KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Wednesday 31 October 2012

*IN FLORA LYIMO FASHION POLICE BLOG*SO SAD NEWS !! BI'HARUSI ATEKWA ,ABAKWA ,AUAWA NA KUTUPILIWA MBALI KAMA MNYAMA!!


Makongoro Oging' na Haruni Sanchawa"BI. Harusi mtarajiwa, Elizabeth Terezia (32), mkazi wa Mbezi Beach, Kinondoni jijini Dar es Salaam amebakwa, ameuawa kikatili na watu wasiojulikana wakati akitoka katika Kanisa la Ufufuo na Uzima, Kawe, Dar linaloongozwa na Mchungaji Kiongozi Josephat Gwajima, Uwazi lina kila kitu mkononi.

Mwili wa marehemu Elizabeth Terezia (32) ulivvyokutwa.
Kwa mujibu wa bwana harusi mtarajiwa, Edefonce Sikwembe (42) ambaye ni mkazi wa Kunduchi, Dar tukio hilo la kinyama lilijiri Oktoba 10, mwaka huu majira ya usiku wakati Elizabeth akirudi nyumbani kutokea kanisani hapo.
“Siku ya tukio tulikuwa katika viwanja vya kanisa la Gwajima, nilimpigia simu mwenzangu kumwambia nakwenda nyumbani kuandaa biashara ambayo ningeifanye kesho yake,” alisema Sikwembe.


Jeneza lenye mwili wa marehemu Elizabeth Terezia likiwa mbele ya waombolezaji.
“Kwa maana hiyo yeye nilimwacha kanisani. Saa 2:30 usiku nikampigia tena simu kutaka kujua alipo, akaniambia yupo njiani anaelekea nyumbani kwao.
“Saa 3:00 usiku nilimpigia tena, maana ilikuwa kawaida yangu akiwa nje ya nyumbani kumfuatilia anaporudi ili nijue alipo, lakini cha kushangaza akawa hapatikani, niliamini simu yake iliishiwa chaji.

Marehemu Eliza enzi za uhai wake.
“Sikuwa na wasiwasi hata kidogo. Hata usingizi wangu usiku haukuwa wa mang’amunga’amu. Alfajiri ya siku iliyofuata nilipoamka nilimpigia simu tena nikiamini mchumba wangu Eliza alichaji simu usiku, lakini bado akawa hapatikani!
“Hata hivyo, niliondoka nyumbani alfajiri hiyohiyo kwenda Buguruni ambako ndiko kuna biashara zangu. Njiani nilimfikiria sana Eliza, si kawaida yake kutopatikana hewani kwa muda wote huo.
“Ilipofika saa 12 asubuhi, shemeji yangu anaitwa Lillian alinipigia simu na kuniambia Eliza tangu alipokwenda kanisani jana yake jioni hajaonekana nyumbani.

Bwana harusi mtarajiwa wa marehemu Eliza, Edefonce Sikwembe (42) akiwa na simanzi.
“Kuanzia hapo nilianza kupatwa na wasiwasi, tena mkubwa. Namjua Eliza, si mtu wa kwenda kulala mahali bila taarifa, hasa kwangu,” alisema bwana harusi huyo huku machozi yakimtiririka. Kabla hajaendelea, akasema kwa uchungu na kwa kifupi!
“Da! Inauma sana kwa kweli.”
Akaendelea: “Palepale nilifunga biashara, nikaondoka kwenda kwao ili nikapate maelezo mazuri. Lakini kabla sijafika Mbezi Beach, njiani maeneo ya Afrikana nilikutana na Lillian.
“Tukaamua kwenda kanisani kwa Gwajima kwa ajili ya kuulizia. Njiani akili yangu iliwaza mengi, lakini yale mabaya sikuyapa nafasi na nilimwomba Mungu kwamba kama kuna baya lolote limemfika mpenzi wangu iwe ni filamu na si la kweli.
“Tulifika, mawazo yangu yalitamani tuambiwe Eliza alilala pale kwa ajili ya huduma, lakini ikawa kinyume, tukajibiwa kuwa alipoondoka jana, hakurudi!


Mwili wa marehemu Eliza ukiwa umetelekezwa pembeni yake kukiwa na biblia yake.
“Kuanzia hapo nilichanganyikiwa, nilikuwa nikitembea eneo la kanisa huku na kule nikiamini nitamwona Eliza wangu, lakini bila mafanikio.
“Nikaenda kuuliza kwa majirani wa maeneo yale lakini majibu yao yalikuwa hawajamuona mtu na aina hiyo. Kuna wakati nilitaka kuamini kwamba, alifichwa eneo lilelile na wafichaji waliniona ninavyohaha kumsaka mchumba wangu.
“Mwishowe, mimi na Lillian tulikwenda Kituo cha Polisi Kawe na baadaye Oysterbay kwa ajili ya kuulizia na kuripoti, nako hakukuwa na taarifa za mchumba wangu.
“Baada ya hapo tuliendelea kuulizia na vituo vingine vya polisi na tulifika Hospitali ya Temeke, Amana na Mwananyamala ambako pia hatukumpata Eliza. Mpaka hapo bado sikuacha kupiga simu yake na iliendelea kutopatikana.” (akatokwa machozi).
Akaendelea: “Siku ya nne tangu kutoweka kwa Eliza, shemeji Lillian alinipigia simu, akaniambia niende nyumbani kwao, nikahisi Eliza ameonekana. Njiani mapigo ya moyo yalikuwa yakienda kwa kasi.
“Nilipokaribia kwao, niliwaona watu wengi wakiwa katika mfereji ambao upo karibu na hapo nyumbani, nikashtuka na kusimama kwanza, kisha nikatembea tena.


Mama mzazi wa marehemu Eliza akiweka udongo kwenye kaburi la mwanae.
“Lakini tayari mwili wangu ukawa unaishiwa nguvu kwani nyuso za watu wale zilikuwa za huzuni tupu. Kusema ukweli japo ni mwanaume, nilishindwa kujizuia, nikakaa chini hasa pia baada ya kuliona ‘Difenda’ la polisi likiwa katika eneo lile.” (Sikwembe akalia tena).
Alipotulia, akaendelea: “Shemeji yangu alinifuata huku akilia na kusema, ‘shemeji hatumaye Elizabeth hatunaye tena duniani.’
Sikwembe alishindwa kusimulia vizuri kutokana na kilio, lakini alisema ilionekana marehemu alitekwa na watu wasiojulikana, wakambaka na kumuua kwa kumnyonga kwa khanga kisha kutuupa mwili wake katika mfereji huo.


Mwili wa marehemu Eliza.
Alisema mwili wa marehemu ulikutwa ukielea kwenye maji machafu na umelimba huku nguo yake za ndani ikiwa pembeni yake sanjari na Biblia aliyokuwa nayo kanisani.
“Elizabeth amekufa kifo cha kusikitisha sana, kinaniuma sana, maiti yake ilibidi ichukuliwe kwenye nailoni mpaka Hospitali ya Mwananyamala, lakini uongozi wa hospitali hiyo walisema chumba cha maiti kilijaa hivyo tukampeleka Muhimbili,” alisema mwanaume huyo.
Marehemu alizikwa Oktoba 14, mwaka huu, Mbezi, Dar es Salaam na ilikuwa wafunge ndoa na Edefonce Desemba, mwaka huu na tayari vikao vya harusi vilishaanza kwa pande zote mbili. Mungu ailaze pema peponi roho ya marehemu. Amina.



Marehemu Eliza wakati wa uhai wake.

Tuesday 30 October 2012

*IN FLORA LYIMO FASHION POLICE BLOG* OMG!! GOD BLESS AMERICA " POLENI SANA WALE WOTE MLOKUMBWA NA KIMBUNGA HIKI "FORTY-EIGHT DEAD...and it's NOT over: Obama's grim warning as he prepares to visit scenes of hurricane 'major disaster' TOMORROW!!

 

Eye of the storm: New York was among the hardest hit by Superstorm Sandy. A fire broke out in Queen destroying between 80 and 100 houses
Eye of the storm: New York was among the hardest hit by Superstorm Sandy. A fire broke out in Breezy Point, Queens, destroying between 80 and 100 houses"
 
Battle: More than 190 firefighters have contained the six-alarm blaze fire in the Breezy Point section, but they are still putting out some pockets of fire
Battle: More than 190 firefighters have contained the six-alarm blaze fire in the Breezy Point section, but they are still putting out some pockets of fire"
Washed up: A resident pushes a bicycle down a street covered in beach sand due to flooding from Superstorm Sandy in Long Beach, New York
Washed up: A resident pushes a bicycle down a street covered in beach sand due to flooding from Superstorm Sandy in Long Beach, New York"
Destruction: Cars floating after being pushed out a flooded basement during last night's battering
Destruction: Cars floating after being pushed out a flooded basement in the city during last night's battering"

Beached: A 168-foot water tanker, the John B. Caddell, sits on the shore where it ran aground on Front Street in the Stapleton neighborhood of New York's Staten Island
Beached: A 168-foot water tanker, the John B. Caddell, sits on the shore where it ran aground on Front Street in the Stapleton neighborhood of New York's Staten Island"

Fleet in the floods: Yellow cabs in a parking lot are surrounded by water after Superstorm Sandy struck Hoboken, New Jersey
Fleet in the floods: Yellow cabs in a parking lot are surrounded by water after Superstorm Sandy struck Hoboken, New Jersey"
Wrecked: A man looks at an uprooted tree which fell on a car when Superstorm Sandy swept through the Brooklyn borough of New York
Wrecked: A man looks at an uprooted tree which fell on a car when Superstorm Sandy swept through the Brooklyn borough of New York"
Uprooted: A fallen tree at Cooper Square in the East Village, New York, after Superstorm Sandy battered the city
Uprooted: A fallen tree at Cooper Square in the East Village, New York, after Superstorm Sandy battered the city"
Something in the way: A fallen tree blocks a street on the Upper East Side of Manhattan in the wake of Hurricane Sandy
Something in the way: A fallen tree blocks a street on the Upper East Side of Manhattan in the wake of Hurricane Sandy"
Torrent: Cars on Avenue C and 7th Street are submerged in floodwater which flowed through the city after Superstorm Sandy arrived
Torrent: Cars on Avenue C and 7th Street are submerged in floodwater which flowed through the city after Superstorm Sandy arrived"
Left: An umbrella lies abandoned in the dirt on a Manhattan street hours after Superstorm Sandy swept through New York
Left behind: An umbrella lies abandoned in the dirt on a Manhattan street hours after Superstorm Sandy swept through New York"
Overblown: A lighting shop in New York is closed after the storm. Strong winds brought down part of a banner which had advertised the business's 'blow-out sale'
Overblown: A lighting shop in New York is closed after the storm. Strong winds brought down part of a banner which had advertised the business's 'blow-out sale'
Understatement: A Whole Foods store in New York informs its customers that it is closed 'due to inclement weather'
Understatement: A Whole Foods store in New York informs its customers that it is closed 'due to inclement weather'
Mopping up: Shop owner Amanda Zink begins the arduous task of cleaning her store The Salty Paw, which was completely flooded on the waterfront of lower Manhattan
Mopping up: Shop owner Amanda Zink begins the arduous task of cleaning her store The Salty Paw, which was completely flooded on the waterfront of lower Manhattan"
Dangerous: A cordon is put up around scaffolding which collapsed in New York after Superstorm Sandy caused widespread damage in the city
Dangerous: A cordon is put up around scaffolding which collapsed in New York after Superstorm Sandy caused widespread damage in the city"
The scale of the devastation left by Superstorm Sandy is mounting today as the death toll continues to rise - currently 48 people across the US and Canada have been reported dead, but the final figure is expected to be significantly higher.
President Obama declared a 'major disaster' in New York and Long Island as flooded streets were littered with cars, homes were razed to the ground and tankers washed up on shore.
The President warned that Sandy 'is not yet over' and announced that he would visit New Jersey on Wednesday to visit the scenes of the destruction.
Hundreds of thousands of people are without power in New York and the transit system, schools, the stock exchange and Broadway are all out of action after a 13ft wall of water caused by the storm surge and high tides brought severe flooding to subways and road tunnels.
Sandy, one of the biggest storms to ever descend on the country, hit the mainland at 6.30pm local time yesterday having laid waste to large parts of the coast during the day.
The storm that made landfall in New Jersey on Monday evening with 80mph sustained winds, cut power to more than 7.4 million homes and businesses from the Carolinas to Ohio, caused scares at two nuclear plants and stopped the preside"

*IN FLORA LYIMO FASHION POLICE BLOG* (GODBLESS LEMA ) ALIYEKUWA MBUNGE WA JIMBO LA ARUSHA MJINI ASAKWA NA JESHI LA POLISI TANZANIA !!

 



Godbless Lema alipokuwa hapa London UK on 7/8/2012 "
 
Jeshi la polisi mkoani Arusha linamsaka aliyekuwa mmbunge wa jimbo la Arusha mjini Godbless Lema kwa tuhuma za kushambulia mwili pamoja na upotevu wa simu pamoja na fedha.
Akiongea na waandishi wa habari jijini hapa kamanda polisi Lebaratus Sabas alisema kuwa jeshi la polisi linamsaka lema na wenzake ambao idadi yake hawajatajwa kwa tuhuma za kushambulia mwili wa watu wawili tukio lililofanyika october 28 mwaka huu katika kata ya daraja mbili.
Alisema kuwa jeshi la polisi lilipokea taarifa za malalamiko kutoka kwa watu wawili waliojulikana kwa jina la Ibrahimu Juma pamoja na Maritin Daniel wote wakazi wa daraja mbili kuwa aliyekuwa mbunge wa jimbo la arusha mjini Godbless Lema akiwa na wanzake walimvamia na kuwashambulia kwa ngumi pamoja na kuwanyanganya simu aina ya samsang yenye samani ya shilingi laki tatu pamoja na fedha taslim kiasi cha shilingi laki mbili kisha kuondoka na kuwaacha.
Alisema kuwa watu hao waliamua kutoa taarifa polisi na jeshi la polisi linamsaka lema kwa ajili ya kujibu tuhuma hizi .
Gazeti hili lilimtafuta lema kujibu tuhuma hizi akupatikana kwani simu yake ya kiganjani ilikuwa imezimwa.

wakati huo huo jeshi la polisi linaashikilia watu wawili kwa tuhuma za kukutwa na vitambulisho feki wakati wa uchaguzi wa udiwani wa kata ya daraja mbili uliofanyika jana jijini hapa.
Akizungumzia tukio hilo kamanda wa polisi mkoa wa Arusha aliwataja watu hao kuwa ni pamoja na Amosi Rajabu ambaye alikutwa akiwa na kitambulisho bandia chenye namba 45036846 huku mungine akijulikana kwa jina la Lukas Thomas manya ambaye naye alikamatwa na kitambulisho bandia ambapo alisema namba yake ilikuwa imefutika .
Alisema kuwa watuhumiwa wote hawa wapo chini ya ulinzi wanashikiliwa na jeshi la polisi kwa ajili ya upelelezi na pindi utakapo kamilika watafikishwa mahakamani .
Habari hii inatoka kwenye JAMII BLOG !

Monday 29 October 2012

*IN FLORA LYIMO FASHION POLICE BLOG* MZIGO NDANI YA MABOX WATANZANIA WENZANGU KAENI MKAO WAKUNUNUA ,KWA JUMLA AU REJA REJA!!

 Flora Lyimo the Trade at mnadani " kazi kweli kweli sijui ninunue yapi niache yapi"Ruwa Mangi "
 hapa ni nyuma na mbele penye hilo uwa"alafu kuna rangi zifuatazo ,Pink ,Orange ,Green ,cream na gray"

 Hili nalo ninakuja in black ,white ,pink and blue"


 hili nalo hapa ndo kwa mbele na chini picha inayofuata ni kwa nyuma,na yanakuja in red and black ,yellow and black yani linamchanganyo wa rangi mbili mbili"na lina kibegi chake kidogo humo ndani unaweza pia kukitumia kama begi lingine.2in 1"

 ndani ya begi hili la mchanganyiko wa rangi mbili mbili"





Kazi kweli kweli nimechokaje na kuna baridi yakufa mtu ,,yani kweli msione mtu anakunywa ma'champagne yake mkaanza kumsema mnavyojisikia,yafaaa mmseme kwa anavyojisikia mnywa champagne huyo " I WORK HARD FOR MY MONEY MAN!! Anyway kazi kwenu mliopo huko Tanzania mzigo ndo huoo unakuja upo ndani ya mabox ,nyie kaeni mkao wakununua tena Flora Lyimo Fashion Police anawapeni kwa bei ya (MAWIRI) NDIZI hapo Kichagga kidogo si mwaelewa tena mie Mchagga nsosahau kwetu na Lugha ya Mama"  Ikiwa unahitaji kwa bei ya jumla pia wasiliana nami .+44 7787471024 Email:flo1974@btinternet.com 
Facebook :Flora Bahati Lyimo 
WhatsApp:Flora Lyimo

Sunday 28 October 2012

*IN FLORA LYIMO FASHION POLICE BLOG* ZOE SALDANA EMBODIES LEGENDARY JAZZ SINGER (NINA SIMONE) AS SHE DONS ONE OF HER SIGNATURE HEAD WRAPS FOR NEW FILM"

 

Double take: Zoe Saldana covered her hair on set of her new film Nina on Friday, donning a head wrap - one of Simone's signature looks Double take: Zoe Saldana covered her hair on set of her new film Nina on Friday, donning a head wrap - one of Simone's signature looks
Double take: Zoe Saldana covered her hair on set of her new film Nina on Friday, donning a head wrap - one of Simone's signature looks"
She accessorised with a pair of tan leather gloves and toted an oversized bag.
Earlier in the day, Saldana was seen filming scenes with a young co-star.
The Avatar was seen balancing the child, who was dressed in a pretty green dress, on her hip.
Playing the part: The 34-year-old actress was the spitting image of the late songstress in her chic ensemble - consisting of the beige-coloured accessory paired with a matching beige shift dress and cape
Playing the part: The 34-year-old actress was the spitting image of the late songstress in her chic ensemble - consisting of the beige-coloured accessory paired with a matching beige shift dress and cape"

Chic: The actress's ensemble was accessorised with some tan leather gloves with check trim
 
Chic: The actress's ensemble was accessorised with some tan leather gloves with check trim"
This time Zoe's costume consisted of a billowing burgundy maxi skirt and a white plunging top, both belted at the waist.
Her outfit was rounded out with some ethnic-style jewellery, including a choker and a headpiece.
Zoe caused controversy when it was first revealed that she had been cast as Simone, with many saying she wasn't 'dark-skinned enough' to play the legendary jazz singer.
Change of dress: Earlier in the day, Zoe was seen filming in a burgundy maxi skirt and plunging white top
Change of dress: Earlier in the day, Zoe was seen filming in a burgundy maxi skirt and plunging white top
Change of dress: Earlier in the day, Zoe was seen filming in a burgundy maxi skirt and plunging white top"
Tiny co-star: She was seen balancing a small child on her hip to film her scenes
Tiny co-star: She was seen balancing a small child on her hip to film her scenes"
She has been sporting a black Afro-style wig to play legendary jazz singer Nina Simone.
But Zoe Saldana covered her hair on set of her new film Nina on Friday, donning a head wrap - one of Simone's signature looks.
The 34-year-old actress embodied the late songstress in her chic ensemble - which consisted of the beige-coloured accessory paired with a matching shift dress and cape.

*IN FLORA LYIMO FASHION POLICE BLOG * NANI ALISEMA MAVAAZI YA HALLOWEEN NI YAKUOGOPESHA NA BLACK!! KIM KARDASHIAN ATUZIBITISHIA SIYO" AT HALLOWEEN PARTY WITH KANYE!!

 

Catch of the day: Kim Kardashian dressed as a mermaid to attend a Halloween party on Saturday
Catch of the day: Kim Kardashian dressed as a mermaid to attend a Halloween party on Saturday
Catch of the day: Kim Kardashian dressed as a mermaid to attend a Halloween party on Saturday"
 
Any excuse: Kim certainly went all out for her costume while Kanye played it safe
Any excuse: Kim certainly went all out for her costume while Kanye played it safe"

Hand in hand: Kim may have steered clear of a spooky outfit but Kanye didn't seem to mind
Hand in hand: Kim may have steered clear of a spooky outfit but Kanye didn't seem to mind"

Smile for me baby: Kanye sweetly snapped photos of Kim as she posed on the red carpet
Smile for me baby: Kanye sweetly snapped photos of Kim as she posed on the red carpet"