KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Monday 30 September 2013

BY:FLORA LYIMO ~ HOW TO LOOK SEXY AT HOME'' WEEK YA TATU'' MWANAMKE KUJIAMINI NA FLORA LYIMO ANAJIAMINIJE''MBUTA NANGA!!

YANI HAKUNA KIZURI KAMA KUKUWEPO AT HOME..FEEL SEXY AND LOOK SEXY AT HOME KWA RAHA ZAKO NA KAMA MPENZI WAKO YUPO MBONA HATA MABAA ATAYASAHAU ? MBUTA NANGA''KINA DADA/MAMA JIFUNZENI TO LOOK SEXY AT HOME NA SIYO KWENYE PARTY  PEKE YAKE ''KWANI KULE MNAKWENDA LOOKING SEXY TO KILL NA WAKATI MPENZI /MMEO UMEMUACHA NDANI KWA KITU GANI ? HIYO NDIYO SABABU WENGI WENU MNAACHIKA'' DO THINGS AT HOME''SIKILIZA MZIKI MZURI ,PIKA CHAKULA KIZURI ,PATA KINYAJI CHAKO KIZURI '' PUT ON YOUR SEXY CLOTH DANCE THE DAY OR NIGHT AWAY ''NA USIJISUMBUE NA MIWANAUME ISOJUA NINI MAANA YA KUPENDA AU KUPENDWA'' YANI TUPA KULE KABISA''NA ENDELEA KUAMINI DUNIA HII HAKUNA SHA UMRI WA CHOCHOTE UMRI UPO KWA KUVUNJA SHERIA TU'' MENGINE IS JUST NOTHING''NA WAKO MWENYE TABIA ZA KUFANANA YUPO ONE DAY UTAMPATA SO WEWE ENDELEA KUFANYA YAKO''KWANI MAISHA NDIYO HAYAAA 'UNATOKA KWENDA SHOPPING''' NA UNABAKIA HUKO HUKO KURUDI NYUMBANI NI MATANGA''RUWA MANGI '' ISHI MAISHA YENU JAMANI NA FANYENI YENU'' ANYWAY ''ENJOY THE SONG'' PANAPONIHUSU PATAMUJE''

 FLORA LYIMO FASHION POLICE 'MBUTA NANGA' HABARI NDIYO HIYOOOOOOOOO'THE TOP IN TOWN '' AT HER LONDON HOME'







 NDIYO MPANGO MZIMA WAKUFANYA KAZI ZANGU AT MY LONDON HOME''

 I LOVE MY NAME''''NIKIONA HIVI I JUST LOVE ME MOREE''''RUWA MANGI''
SASA WALE WA LONDON MNAONICHUKIA ''ALAFU MNAANGALIA TV 'MARA MATANGAZO YA BIASHARA YANATOKEA NA NDIYO HIYOOO''FLORA ''FLORA ''FLORA THE TOP IN THE WORLD''' MNAZIMA TV AU ''MNACHUKUA MKATE NA KUNIPAKA ALAFU MNANILAMBAJE'''MMMMMMM''FLORA FOR EVERYONE!! MBUTA NANGA!!

BY:FLORA LYIMO ~ NIWANGAPI MLIVAA HIVI ? NA JE BADO MNAVAA HIVI '' BARAKA IMETANGULIA MISA'MBUTA NANGA!!

 MIMI MARA YA MWISHO KUVAA KISHIDA WAS 1989'' YANI NAKIKUMBUKA KABISA KISHIDA CHANGU HASA CHAKUENDEA KANISANI ''' KWELI TUMETOKA MABLI''NANI AVAE HIVI LEO ? SI VAI KABISAAAAAAA!!


Yani kusema kweli huyu Mama amenifurahisha sana Leo,yani amenikumbusha mbali mno '' Hivi Vishida kwa wale Wachagga mnavikumbuka au niseme kamisi ? Yani unavaa alafu mpira unalegea au unakatika njiani basi wewe ni kushinda ukipandisha au kushikilia kiunoni kila unapopiga atua'' Hahahhaaaa' kweli tumetoka mbali aisee''Mungu ni Mwema sana na huyo Mama inawezekana ndiyo kaingia hapa Mjini London ''Maana sijaona kabisa Mtu yoyote alievaa Kishida hivi na tena chenyewe ndicho hicho kimeshuka sijui ndiyo mpira umelegea''mbuta nanga!! Alafu mwaonaje Rangi zake'' I just Love that Handbag the one on the left''  Je wewe wakumbuka ulivaa hivi mwisho lini? Tuachie Mapochopocho yako hapa''

BY:FLORA LYIMO~ BREAKING NEWS'' SO SAD'' VIJANA WADOGO MIAKA 17 NA 27 YEARS WAKUTWA FAKIZUNGUSHWA NA MAJI BAHARINI WAMEKUFA WOTE KWA KUTOROKA KWAO KUTAKA KUJA MAJUU'' JAMANI LET ME NIWAAMBIENI KITU''IKIWA HUKUJA MAJUU MIAKA ILE YA 80 NA 90'SAHAU KABISA..MAJUU IMEBADILIKAA''

                                      !!WARNING: GRAPHIC CONTENT !!

Victims: 13 immigrants drowned off the coast of Sicily after their boat ran aground this morning
Victims: 13 immigrants drowned off the coast of Sicily after their boat ran aground this morning''
The bodies of 13 immigrants have washed up on the coast of Sicily after a boat carrying 200 people ran aground as it approached the shore.
When the boat ran into difficulties in rough seas near the coastal town of Scicli this morning, the migrants it was carrying jumped into the sea.
Most made it to shore and ran away, but a number of men were unable to swim strongly enough and drowned.
Horror: Rescuers pause to pay their respects to the 13 victims of the tragedy
Horror: Rescuers pause to pay their respects to the 13 victims of the tragedy''

Rescue boats and divers are now combing the waters looking for more bodies.
Two alleged leaders have been arrested on suspicion of people-trafficking, according to Italian newspapers.

One of the alleged smugglers is said to have lashed out at a swimmer who tried to rescue him from the water.
As well as the 13 men who drowned, a number of other immigrants had to be rescued, and several - including a pregnant woman - were taken to hospital for treatment.
Accident: This boat was carrying around 200 people when it ran aground in rough seas near shore
Accident: This boat was carrying around 200 people when it ran aground in rough seas near shore''

Grief: A priest says prayers over the bodies of the victims, who were trying to immigrate to Italy
Grief: A priest says prayers over the bodies of the victims, who were trying to immigrate to Italy''

Location: The boat is thought to have run into difficulties near the coastal town of Scicli in Sicily, pictured, this morning
Location: The boat ran into difficulties near the coastal town of Scicli in Sicily, pictured''

One immigrant who tried to escape after reaching the shore was hit by a car on a nearby road and suffered serious injuries.
In addition, 20 children are among the 70 migrants apprehended so far, most of whom came from Eritrea in East Africa, according to Corriere Della Sera.
The nationality of the 13 victims, whose bodies were laid out on the shore, is not yet known.
However, Sicily and surrounding islands are notorious hotspots for immigrants arriving by boats from Tunisia, Libya and sub-Saharan Africa.
Tragic: A policeman stands next to some of the bodies washed up on the beach this morning
Tragic: A policeman stands next to some of the bodies washed up on the beach''

Arrests: Two people were apprehended by police on suspicion of people-smuggling and taken into custody
Arrests: Two people were apprehended by police on suspicion of people-smuggling and taken into custody''

Rescue: Quick thinking by bystanders helped to save the life of several migrants trying to swim to safety
Rescue: Quick-thinking bystanders helped to save the life of several migrants trying to swim to safety''

The region has also attracted a large number of Syrian immigrants in recent weeks following the continued violence in the country's civil war.
This is not the first time in recent months that illegal migrants making the desperate journey to Italy have drowned on the way.
Last month six migrants died after they jumped out of a boat off the coast of Sicily.
The fishing trawler was illegally transporting some 100 migrants when it hit a sandbank about 15 metres (50 feet) from the shore.
Scene: Police officers and firefighters stand by the boat, pictured in the background, that carried the group of migrants
Scene: Officers and firefighters stand by the boat, pictured in the background, which carried the group''
It is thought that the six victims, believed to be Egyptian, thought they had arrived onshore and so jumped overboard.
They were identified as being between 17 and 27 years of age.
The 27-year-old was trying for a fifth time to get into Italy, investigators said following the incident in August.
In July seven immigrants drowned while trying to hold on to a fishing cage being towed to shore.

THE DESPERATE JOURNEY TO ITALY

Sicily and the islands surrounding are hotspots for illegal immigrants arriving by sea from Tunisia, Libya and sub-Saharan Africa hoping for a better quality of life and employment.
Recently, following continued violence in the country, a growing number of Syrian immigrants have fled to the region hoping for protection from the raging civil war.
Often the immigrant's desperate journey ends in tragedy.
Last month six migrants died after they jumped out of a boat off the coast of Sicily.
Some 100 migrants where aboard a boat when it hit a sandbank close to the shore.
Six perished as they tried to swim to land.
In July seven drowned after they tried to hold onto a fishing cage which was being towed to shore off the coast of Sicily.


TUMESHIRIKI NA KUCHAMBUA KUTOKA DM''

BY: FLORA LYIMO ~ HOW TO LOOK SEXY AT HOME ''WAPORA WANAOJIAMINI !!



HABARI NDIYO HIYO ''MWANAMKE KUJIAMINI ''AND NOW IS ABOUT LOOK SEXY FEEL SEXY'' WAPORA WANAONGEA KWA MAPIGO YA SEXY PHOTO'S NA SIYO KWA KUVIMBA VIDOLE KWA KUANDIKA MATUSI MITANDAONI''' HALOOOOO''' WAPI KINA WALE'''  ENDELEENI KUWARUSHIA SEXY PHOTO'S MY DEAR'S''KWANI HIYO NDIYO DAWA YA HATERS''''MBUTA NANGA!!

BY:FLORA LYIMO ~ PATA LILY ALLEN HANDBAG KIRANGI ZAIDI 'AVAILABLE IN TANZANIA NOW''


 GET YOUR BAG NOW FASTA FASTA KABLA HUJABEBEWA''AVAILABLE IN TANZANIA NOW''
 KWA RANGI NA PESA ZAKO'' NA KAMA HUJATOA ODA WAHI NOW''
BEBA KWA RANGI NA HELA ZAKO WHATSAPP +44 7787471024'' KARIBUNI''
Lily Allen attempts to hail a cab after leaving the Bulgari Hotel in London's Knightsbridge on Sunday
Taxi! Lily Allen attempts to hail a cab after leaving the Bulgari Hotel in London's Knightsbridge on Sunday'' Na kweli kavaa kimama haswaa'' mbuta nanga" Taxi to Flora Lyimo Please'' In for more Handbag'' 


Three days on and Lily Allen was still catching the eye, or at least her luminous handbag was, during a day out in London.

The 28-year-old singer is currently working on her forthcoming third album – the follow-up to critically acclaimed It’s Not Me, It’s You – but appeared to be taking some time out on Sunday when she was spotted leaving the Knightsbridge based Bulgari Hotel.
Mother-of-two Lilly looked stylish in a powder blue coat and matching patterned dress as he teetered out of the upmarket address on a pair of chunky black heels – but her garish bag inevitably commanded the lion’s share of attention.
 
Lily, 28, shows off her distinctive Hermes bag while brandishing a packet of cigarettes Lily, 28, shows off her distinctive Hermes bag while brandishing a packet of cigarettes
Write caption here'' YOU CAN GET BEGI LA UHAKIKA AT FLORA LYIMO MKOPO EXPRESS OF LONDON ACCESSORIES '' 

TUMESHIRIKI NA KUCHAMBUA KUTOKA DM''

BY:FLORA LYIMO~ MATITI ARE THE TALK OF MIJI MIKUU RIGHT NOW'' THIS TIME IS FOR MIRANDA '' MATITI NNJE YA NNJE''MBUTA NANGA!!


Taking the plunge: Miranda Kerr shows off plenty cleavage in a low-cut white dress at the Stella McCartney show at Paris Fashion Week
Taking the plunge: Miranda Kerr shows off plenty cleavage in a low-cut white dress at the Stella McCartney show at Paris Fashion Week''


Perfect accessories: Miranda teamed her flowing white dress with a classic grey handbag and retro cateye sunglasses Perfect accessories: Miranda teamed her flowing white dress with a classic grey handbag and retro cateye sunglasses

PATA HANDBAG LAKO KAMA HILI NA MENGINE MENGI AT FLORA LYIMO DESIGNS &TRADES' WHATSAPP +44 7787471024''

A kiss for the cameras: Miranda playfully pouts at awaiting photographers
A kiss for the cameras: Miranda playfully pouts at awaiting photographers'' Yani bila Photographers kama Flora Lyimo 'Aisee hizi picha tungezipataje'' so nilazima muwatunze na kuwaheshimu wafyetuaji jamani'''

BY:FLORA LYIMO~ MBUTA NANGA'NIMECHEKAJE JAMANI KUNA WATANZANIA WENGINE WENYE LAANA 'SI BURE''HEBU SOMENI COMMENT YA HUYU 'KUHUSU MKAKA ALIE ELEZA DUNIA ATAMUOWA MPENZI WAKE MASOGANGE MARA TU 'ATAKAPO PUMULIA BONGO!!

Stori: Na Imelda Mtema'
MCHUMBA wa ‘video queen’ maarufu Bongo, Agnes Jerald ‘Masogange ‘, Evance Komu amefungua kinywa chake na kusema; siku mchumba wake huyo atakapotia miguu nchini, wanafunga ndoa.
Masogange kwa sasa (juzi) yupo nchini Afrika Kusini alikokuwa akikabiliwa na kesi ya madawa ya kulevya ambapo alifanikiwa kuwa huru baada ya kulipia faini ya randi 30,000 (shilingi 4,800,000) aliyoamriwa na Mahakama ya Kempton.
Akizungumza na gazeti hili hivi karibuni mara baada ya Masogange kuachiwa, Evance alisema anamshukuru Mungu kwa kesi hiyo kumalizika na kinachofuata kwenye uchumba wao ni ndoa tu.
Evance aliweka bayana kuwa kinachomsukuma afanye uamuzi huo kwa sasa ni kutokana na jinsi alivyoguswa na changamoto kubwa alizopitia mchumba wake hivyo ameona kuna kila sababu ya kumuoa kabisa ili apate faraja ya milele.
“Mchumba wangu amepitia majaribu ya kutosha na mimi sioni muda wa kupoteza tena, akitua tu Bongo kinachofuata ni ndoa nina imani itakuwa ndiyo jambo kubwa la kumfariji na kumpa upendo wa hali ya juu,” alisema Evance pasipo kutaja siku ambayo mchumba wake atarejea.
Katika kesi hiyo iliyokuwa ikimkabili Masogange, alishikiliwa na mwenzake Melisa Edward ambaye naye aliachiwa huru kwa kukosekana na hatia.


TUMESHIRIKI NA KUCHAMBUA KUTOKA GLOBAL''

Comment by hangwa majaliwa on Thursday'
Hivi huyu mjinga anaona sifa kutangaza ndoa na mwanamke aliyejaa kashfa za kila aina !! Video za ngono yeye, kujiuza yeye, madawa ya kulevya huyo huyo , kweli nchi yetu ina malimbukeni wengi,Mtu amesuka nywele kama msenge eti anatagaza ndoa !!! Verry stupid tusishanhae kuona wajinga wengine wakimfanyia pati huyo fuska baada ya kutoka lupango, Watu km hawa inabidi serikali iwafunge kwanza wa apprise nchini kwa kuchafua jina la nchi,

Comment by Focus Kunambi on Thursday
SAWA BWANA KOMU, MUOE TU HUYO MALAYA ALIYEKUBUHU, HAKUNA AMBACHO HAJAFANYA KUANZIA KUREKODI VIDEO ZA NGONO HADI KUUZA MADAWA YA KULEVYA. HATA HIVYO HATA WEWE SIKUELEWI UNAPOSUKA NYWELE UNATAKA NANI AKUTAMANI!!!!

BY:FLORA LYIMO~ HOW TO LOOK SEXY AT HOME' WEEK YA TATU'' HAPPY MONDAY EVERY ONE' MBUTA NANGA!!


 FLORA LYIMO FASHION POLICE''SIYO MWINGINE NI YULE YULE MLIE ANZA KUMTUKANA MAY MWAKA HUU'' TANGU ALIPOSIMAMA IMARA NAKUTAKA JUSTICE OVER HER DIRT RATS  RAPIST 'GODBLESS LEMA MBUNGE WA CHADEMA ARUSHA TANZANIA''
Lets Me Tell you something my Dear Tanzanians'' 
NO ONE IN THIS WORLD HAVE RIGHT TO RAPE ANYONE ANYTHING' ANYTIME ANYWHERE'' EVEN IF SHE WAS UCHI WA MNYAMA'' HATA AKIWA MPENZI WAKO, MKEO TENA WA NDOA YA UHALALI ''IKIWA HAJAKUKUBALIA KUMLALA NA UKAMLALA KWA NGUVU ''HIYO NI RAPE''UMEMBAKA'' MY DEARS KINA MAMA/DADA'' MNATAKIWA MSIMAME IMARA NA KULIPINGA HILI JAMBO NA KAMA HUFAHAM NINI MAANA YA KUBAKWA RAPE'' BASI NIPO TIYARI KUWAFUNDISHENI HUKO TANZANIA' KWA SABABU NAONA ASILIMIA YENU 60% OF YOU DON'T KNOW WHAT RAPE IS'' UBAKWAJI '' SASA BASI NDIYO MANA MNAONA PIA HIYO CHARITY YANGU NILIYOANZISHA WHICH IS ''FLORA LYIMO STOP RAPE AND RAP CHARITY''NA NIKIENDELEA KUWAKUMBUSHENI HILI ''YANI MSIKUBALI KABISA MNYIMWE RAHA ZENU VITU AMBAVYO UNAVIPENDA ALAFU 'UWAOGOPE NA KUWASIKILIZA HATERS''' NA VILE VILE IKIWA UMEBAKWA AU UNAPIGWA NA MWANAUME YEYOTE 'NIKIIMANISHA HATA MMEO WA NDOA'USIOGOPE KUMSHTAKI ''KUNA SHERIA NA KAMA SHERIA HIYO HAIPO TANZANIA BASI IPO ULIMWENGUNI NA MIMI PAMOJA NA ULIMWENGU NATAKA KUWAHAKIKISHIENI NITAYABEBA MATUSI YOTE 'NA SITACHOKA KUFANYA YANGU NA KUHAKIKISHA ALL RAPIST PAMOJA NA GODBLESS LEMA ''WAMENUKA SHERIA ZINAZO WAKABILI NA JUSTICE IS WHAT I EVER NEED AND JUSTICE WILL BE DONE'' I HOPE VERY SOON '' AND NO ONE WILL EVER GOING TO STOP ME OF TELLING THE TRUTH AND ALSO DOING WHAT I LIKE'' NA USIDANGANYIKE ETI KWASABABU UMEVAA NGUO FUPI  AU UPO UCHI ,AU UMELEWA ,AU UMESHIBA SEMBE AU UMEJIKALIA MIGUU YOTE KUSHOTO KULIA 'UNAHAKI YAKUBAKWA'' AND THAT IS WHY AFTER MATUSI YENU YOTE OVER MY SEXY PHOTOS WHICH WENGI WENU NI WAFUASI WA CHADEMA KWA KUDAI KWAMBA NINATUMIWA NA CCM NA KWA KAULI YAKE GODLESS LEMA aka DIRT RATS 'KUSEMA KWAMBA MIMI NA RAIS KIKWETE NI WACHAWI'I CANT WAIT FOR MY JUSTICE JAMANI 'YANI NAONA KAMA KWELI NITASHIKWA NA HICHO KICHAA WANACHO NIAMBIA NINACHO''UWIIII''YANI PICHA ''NIMEAMUA KUWAONGEZEA NA NITAZIDI KUWAONGEZEA AND YOU MY DEARS'' IF YOU LIKE TO LOOK SEXY AT HOME AU HATA  BARABARANI 'HAKUNA MWENYE RUKSA YAKUKUBAKA''ILA YES UKITOKA HIVI LAZIMA WATAKUGEUZIA MIMACHO NA WENGINE HAWATASHUGHULIKA NA WEWE'' YANI HUKU ULAYA SUMMER TIME MBONA WAPO WENGI TENA MJI MKUU'? NA BAHARINI HATA KULE BONGO MBONA WANAENDA ?WHY NOT ME ?' YANI ITAKUWA FLORA LYIMO AT HER OWN HOME? YANI KWA KWELI MLINISHANGAZA NA PIA KUNIFURAHISHA SANA'' HOW CAN YOU BEEN SO STUPID ?MBURULA WA MAMBURULA NA KUANZA KUNITUKANA MITUSI ISHAPITWA NA WAKATI OVER MY OWN PHOTO'S? PLEASE ENDELEENI ''AND NOW COME WITH MATUSI MAPYA PLEASE!! KUDADAMBIVUUU''YANI KAMA SIYO KUHAKIKISHA NAENDA NA SALA ZANGU NA KUMUOMBA MUNGU ANIPE NGUVU ZA KUWASHINDA HATERS''UNGEKUTA NISHAJIUWA KITAMBOO'''BUT I WON'T ''BADALA YAKE HATERS ARE THE ONE WILL BE'' R.I.P. HATERS''

 HABARI NDIYO HIYOO''PANAPONIHUSU PATAMUJE'' ENJOY THE SONG'' NA USIOGOPE TO DRESS SEXY AND FEEL SEXY '' MAISHA NI YAKO NA RAHA JIPE MWENYEWE''
''RUWA MANGI'' WHY DON'T YOU JUST DO YAKO NA UKATUWACHA TULALEEEE!!



 HABARI NDIYO HIYOO'' ILA WEEK BILA MONDAYS  HAIJAKAMILIKA''



AHHAAAAAA''FLORA LYIMO ''aka TOP IN TOWN ''KIBOKO YA HATERS 'YANI NILICHEZAJE NYIMBO ZA RIANNA LEO'' WAS ABOUT RIANNA SONG TUUUU'' HAHAAAA'' AND YOU KNOW WHAT THAT MAKE ME FEEL LIKE IM THE ONLY GIRL IN THIS WORLD'' MBUTA NANGA'' NGEKYESUKO MCHOO''OTE LANYO NGEKYEKUNDA'' NGIMKUNDE NA RUWA NA MAI MARIA''  PROUD CHAGGA AND PROUD TANZANIA-UK ''
JAMANI WACHENI NIACHIE HAPA '' ILA MSIKOSE ALL FLORA LYIMO SEXY PHOTO'S TO COME EVERY WEEK IS ABOUT HOW TO LOOK SEXY AT HOME BY: FLORA LYIMO''
FOLLOW THIS BLOG ''USIPITWEEEEEEE!!