KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Friday 28 February 2014

BY FLORA LYIMO ~ UNAWEZA KUTIZAMA THE MBONI SHOW ALIPOKUWA ANA INTERVIEW THE SUPER STAR LIVE DUKANI KWAKE LONDON OXFORD STREET AMBAE NDIYO THE TALK OF MUJINI FLORA LYIMO FASHION POLICE,DESIGNER ,TRADER,PHOTOGRAPHER AND FOR SURE THE TOP BLOGGER WA MAUKWELI TU' MBUTA NANGA!!






 WACHA MOVIE IENDELEEEEEEEEEEEEEEEEE'''MBUTA NANGA'NASEMAJE YOTE''








HABARI YA MUJINI NDIYO HIYOO'' DA'MBONI MASIMBA NA DA'FLORA LYIMO '
Yani hawa mastaa ni nomaaa' Msiwachezee kabisa maana ni wasema Ukweli na wasiokuwa na woga kabisa'Yani ni mpaka kieleweke and I tell you in Tanzania we need Kina Dada/Mama kama hawa hapa pichani na nafikiri mshaona wachache ambao wapo kama hawa ' Na kama na wewe unataka Tanzania yetu isimame kwenye Mistari iliyonyooka kama Mataifa mengine ''Jifunze kufanya kweli ,Upendo ,Umoja yani Tupendane na kuvipenda vya kwetu hasa to support each other '' You know that is what mataifa yale mnayoyamezea mate wanafanya''Tizama UK -London 'ni kwanini kila Mtu anataka kuja UK-London ? Jiulize ni wangapi wamekufa maji na kwenye malori kwa kukosa hewa juu ya kujificha mpaka wafike UK-London '' Yani I can say 'Mungu aziweke Roho zao mahali pema kwani masikini ya Mungu hawakujua UK London ni Mateso makubwa tena hasa pale mtu hata Kizungu hujui na ujuzi wakazi huna'' Yani ni majonzii''Kaeni huko Jamani hata tuliopo huku tunatamani turudi Ila ndiyo hivyo tena Wengine kama Flora Lyimo ndiyo her Second Home Bila kuisahau Nchi yangu Tanzania'' Yani lazima nirudi Home na huwa nakujaga Mara kwa Mara kwani hiyo ni Bahati yangu Mungu alinipa tangu mwaka 1994' nilipokuja UK-London yenyewe 'My dears na hata nikifa leo Jamani hakikisheni mmenipeleka Moshi Kilimanjaro Kwasababu sijaolewa siwezi sema kwa Mtu Fulani maana sisi Wachagga tunapoolewa ndiyo basi ni huko huko ulikoolewa hata ukifa utazikwa huko huko kwa Mmeo alokuowa'au Makaburini kama mnavyo ona Wengi siku izi'' na Msiogope Vifo maana ndiyo hivyo tena tushaambiwa tujiweke tiyari maana hatujui siku wala saa yakuja kwake Bwana wetu Yesu Kristu'na Vifo ni hivyo hivyo'' Hapa siyo my Home'' hapa UK-London nayasaka manoti tu''Ruwa Mangi'' Ok Nyota zangu mpaka hapa ndipo nimefikia Mwisho for today ''kaeni mkao wakumsikiliza Flora Lyimo ndani ya TV's  aka THE MBONI SHOW''
FLORA LYIMO FASHION POLICE BLOG'

BY FLORA LYIMO ~ BREAKING NEWS '' THE SUPER STAR OF DIDAS ENTERTAINMENT TV' DIDAS FACION TURABI PICHANI 'AWAPAKA MAFUTA YA KUKU HATERS ZAKE ADHARANI KWEKUNDUU'' MBUTA NANGA!!


Pichani ndiyo Dida's Facion Turabi the Star herself 'dressing in Flora Lyimo Desings&Trades' If you like that dress she is wearing you can whatsapp +447787471024 also come in Green White and Red''
Jamani napenda kuchukua fursa hii kwanza kutoa shukran zangu za dhati kwa wale wote mnao nipa support na kama kuna jambo nimewakwaza naomba mnisamehe, najua mna mapenzi makubwa kwangu na ndo mana mnaacha shughuli zenu kuja kuni support. Mimi ni mwanadamu na nina mapungufu, na nnapo kosea msi ni judge naomba mnirekebishe kwa upendo, mnajua na mnaelewa napitia kipindi kigumu, mimi ni mti wenye matunda naelewa sasa ni muda wangu wa kupigwa mawe. Ila naomba muelewe kuwa Nawapenda, nawathamini na na waheshimu sana. Na waahidi kuwaletea mambo mazuri zaidi, nimejitambua mimi ni nani na kwa nini natafutwa na haters, kwani sio mimi wakwanza kupitia hii mitihani na sito mpa mtu nafasi ya kuni destroy. I worked so hard to be where I am today na nyie ndio mlio nafanya nifike hapa nilipo kwa mapenzi yenu. I won't let you down. Thank you all and be blessed always for your continuity support.

Flora Lyimo say> HABARI NDIYO HIYOO'JAMANI KAMA KUNA WATANZANIA NAOWAFAHAM HAPA UK WENYE KUFANYA KWELI KAMA DIDA BASI NAWEZA NIKAKUHAKIKISHIENI HAKUNA KABISA HASA UPANDE WA KINA DADA/MAMA' KWA KUTULETEA WASANII WETU NA KUHAKIKISHA WATU TUNAFURAHI KABISA''NADHANI JUZI JUZI MLIMUONA IN TANZANIA AKITURUSHIA VIONJO VYA KAZI ZAKE'NA ALIPORUDI NI KAZINI MOJA KWA MOJA NA SASA MSHAONA ANAVYOFANYA KAZI BILA KULALA'' HASA PIA KUUNGANA NA WENZAKE WENYEWE KUFANYA KWELI MR AYOUBU MZEE NA WENGINE AMBAO YEYE ANAWAFAHAM MWENYEWE' KUHAKIKISHA PIA WAFANYA BIASHARA WADOGO KAMA FLORA LYIMO HAPA UK -LONDON WAMEJISIKIA KWAMBA WAPO WATANZANIA AMBAO WANA AMINI UMOJA NI NGUVU NA UTENGANO NI UDHAIFU'' Yani kwa kweli I  CAN SAY 'WATANZANIA TUIGENI DADA NA NDUGU YETU DIDA HAPA''NA WALE HATERS WAKE JUENI SASA NI MWENDO WA KWENDA MBELE NA HAKUNA KURUDI NYUMA,YANI MNAYOYAONA SASA HIVI NI VIONJO TU''MAMBO BADOO''DIDA MY DARLING JUA FLORA LYIMO SHE WILL BE RIGHT THERE TO SUPPORT YOU BIG TIME'' STAY BLESS ALWAYS''

Flora Lyimo Fashion Police Blog'

FLORA LYIMO FASHION POLICE OF 28/02 /2014'YANI HAWA HAWANA MAPYA KABISA'WALIKUWA WANAHAM NIWATOE KWENYE BLOG YANGU TU'MBUTA NANGA!!

 Huyo ni Victoria Beckham 'ndiyo kabisaaa'sikuzingatia kumuona na hivi Viatu hivi 'tena misoksi yenyewe haina hata mvuto kabisa' tena kaharibu zaidi kwa kuvaa rangi ya gray na Black'' Gray haivaliwi na Black hata siku moja ikaacha kukutupa pipani''Mbuta Nanga''
Sidewalk strut: The fashion designer kept her aviator sunglasses on as she left the building, with her phone clutched in her hand'And Flora Lyimo Fashion Police 'ana machache yakumwambia'' Au kuwaambieni' Yani never ever wear open -toes Shoes with tights never'' na kingine sikuzingatia kuona hawa mastaa wawili (hawa )ndiyo wangetuvalia isivyokabisa leo'' unakaa kama ndiyo umetoka kule migombani tena afadhali hata wakule migombani maana watakuvalia bila tights kabisa'' So my dears AVOID kabisa' this is no kabisa'' now wacha picha ziendelee'mtizame Sarah hapo chini ''Pichani ya Mwisho and have your say'

Waliokamatika leo na Flora Lyimo Fashion Police Blog' Huyo ni Star Sarah Jessica Parker  Nae alikuwa na ham nimtoe leo kwasababu ya Viatu vyake hivyo'' never wear Open Toes Shoes with Tights''
Ok Nyota za Flora Lyimo Fashion Police Blog' 
Have your say ''what you think''
Whatsapp +447787471024 or just Comments here'' 

BY FLORA LYIMO ~ DA'MBONI OF THE MBONI SHOW ALIPOTEMBELEA DUKA LA FLORA LYIMO NDANI YA LONDON OXFORD STREET'

 Hapa katuvalia kiatu chauzwa hicho bei only £60 And Handknit Handbag only £25 by: Flora Lyimo Designs& Trades


 Mastaa wakikutana hamtalala kabisaaaaa'mbuta nanga' Da' Mboni Mwasimba (kushoto) na Da' Flora Lyimo wakihakikisha macho yenu yanaona hivyo viatu''Mmeviona eeee ''yani vyote vyapatikana tuseme yategemea na size ya Mguu wako '' now only have size 39 left'' but More Hot shoes like this to come soon 'whatsapp +44 7787471024 for anything cha mitoko au maharusini magauni's''
 Da'Mboni akijitafutia Kiatu chake ,I can tell you  She is Hot in Style (Kimavaazi zaidi yani Humuwezi kabisa mambo yake kama ya your Flora Lyimo Fashion Police''Mbuta Nanga!!
 Ona Kiatu alichojichagulia 'chezea the Hot Star weweeeeeeeee''akuwache kuleeeee''


 Now yupo tiyari for Interview ,Huku akihakikisha mtatizama kiatu chake 'wapi Flora Lyimo Fashion Police aka Kiboko yao '' Mbuta Nanga"

Mwamuona Shingini 'Mwaona vile hiyo (Cheni )Pearl Necklace ilivojaa vizuri shingoni yani hiyo yote ni Moja na bei Only £15'huwezi pata mahali pengine kwa hiyo bei hapa London Oxford Street '' Only at
Flora Lyimo Designs&Trades'
 Here She is'' the one and Only Mtanzania Mwenye Duka mtaa wa Mahela''London Oxford Street ' Flora Lyimo of Moshi Kilimanjaro'' Didi I say Mchagga' Ok Yah thats where Wachagga wanakoutingisha Mlima Kilimanjaro 'Mbuta Nanga'' Ndiyo Nyumbani kwangu Ulaya nasaka Mimanoti tu''
 THE HOT TANZANIAN SUPER STAR'S 'HAPO KWENUUUUUU''MTAJAZIA MPENDAVYO FLORA LYIMO KESHAWAJAZIA'' AND THAT IS THE TALK OF MUJINI''

 AND THE BUSUUU KWA ALL OUR FANS''TUNAWAPENDAJE SASA''MWAAAHHH''
 THE SUPER PRETTY OF TANZANIA'' WE ARE STARS AND WE KNOWS IT''
 DA' MBONI OF THE MBONI SHOW'' HAPA ANAWAONYESHA KAJAKETI ALICHOVAA KIMASAI ZAIDI DESIGNS BY :FLORA LYIMO NA BILA KUSAHAU THE HEDBAND'' YOTE NI KAZI ZA MIKONO YA MCHAGGA -ULAYA''


HABARI YA MUJINI NDIYO HIYOOO'''MORE PHOTOS TO COME''WITH THE FULL INTERVIEW' BY:THE MBONI SHOW''ALSO NDANI YA DIDAS ENTERTAINMENT TV' BILA KUSAHAU HAPA HAPA AT FLORA LYIMO FASHION POLICE BLOG

BY FLORA LYIMO ~ WAONE HAWA WAZUNGU WALIOMAZIMISHA FLORA LYIMO KUMPENDA MBWA WAO KWENYE BASI' MBUTA NANGA!!

 So was like this' Niliingia kwenye hili basi on my way to work ,Na huyo Mzungu akaingia na Mbwa wake na kuja kusimama nae pale nilipokuwa nimesimama'mahali walipo pichani hapa' Mimi kwa kweli sipendi Mbwa kuwa Karibu nao kabisa ,yani nawaogopa naona kama ndiyo nang'atwa hadi mifupa,Basi nikamkimbia na kwenda kule nyuma kabisa ya basi hili ,Mmama ambae baadae niligundua wapo pamoja na huyo Mbaba,akaanza kunisimamisha nakuniambia usikimbie huyo Mbwa ni mzuri sana haumi watu'' Nikamuambia wewe' yani let me tell you something,A dog is a dog,and you must hear so many sad stories about how they kill kids and all that ' so please stay Home with your dogs and not near me'Basi Wakakasirika kweli nakuanza kuongea wenyewe hadi basi likasimama na wakashuka pamoja ,na Mimi nikawa nawanasa na camera yangu yani I wishi wangejua walikuwa wanagombana na nani ? And ni lazima kumpenda Mbwa wao ? Mimi nilisepa zangu kimnya kimnya mpolee ,sasa wao lazima wakulazimishie Umpende? Nyooo'nafanya yangu kwa kupenda mwenyewe ''yani Mimi nimsema kweli na sababu hiyo I will always win' and soon or later wataanza kunyimwa wasingie kwenye public places na Mbwa zao'' Uwii'yani was nomaaa' habari ndiyo hiyo na Picha pia'' have your say '' Je wewe ni mpenzi wa Mbwa na Je Mbwa waruhusiwe kwenye public Place kama hivi kwenye hili basi au wakatazwe'' mbuta nanga!!
Baada ya kupost on Facebook Live' Haya ndiyo majibu ya Wanafacebook Friends''

Flora Lyimo Hebu ona alivyo fungua mdomo .si akiamua kumrarua rarua huyo mtoto hakuna kitakachombakia ? Uwiii..mimi naogopa mbwa hasa nisomjua .....kudadadeki. ..

5 hours ago · Unlike · 5

https://fbcdn-profile-a.akamaihd.net/hprofile-ak-ash3/t5/s32x32/276230_1583941580_1633276785_q.jpg

Mwatatu Myonga hahahah tuko wengi Flora Lyimonaogopaje mbwa mimi na kama nikikutana nae na najua hakuna kwa kukimbilia nashika kitovu eti asining'ate hahaha imani za zamani wakati tuko wadogo! hahahaha

5 hours ago · Unlike · 3

https://fbcdn-profile-a.akamaihd.net/hprofile-ak-ash2/t5/s32x32/1086453_1281783751_101469653_q.jpg

Flora Lyimo Alafu anakaa kama ananjaa..hapo alikuwa anapiga miyayo...au sijui ndiyo usingizi? Mbuta nanga. ..wakae mbaliiiiii.

4 hours ago · Like · 1

https://fbcdn-profile-a.akamaihd.net/hprofile-ak-prn2/t5/s32x32/1118358_100003054483019_1387634622_q.jpg

Brizzleleo Blogspot I hate hate hate these animals.

4 hours ago · Unlike · 2

https://fbcdn-profile-a.akamaihd.net/hprofile-ak-ash2/t5/s32x32/1086453_1281783751_101469653_q.jpg

Flora Lyimo Hahaaaa unashika kitovu...sikuijua hiyooo..my dear yani mbwa ni wao wamemfuga ndani siku moja anawabadilikia na kuuwa watoto wao au hata wao wenyewe...mbwa ni mbwa. Mwatatu Myonga...pamoja mpenzi. .

4 hours ago · Edited · Like · 1

https://fbcdn-profile-a.akamaihd.net/hprofile-ak-ash2/t5/s32x32/1086369_100000490973804_109000247_q.jpg

Ruth John HUKU KWETU SIJAWAHI KUONA MBWA KWENYE BUS DUUU!

4 hours ago · Unlike · 1

https://fbcdn-profile-a.akamaihd.net/hprofile-ak-ash2/t5/s32x32/1086453_1281783751_101469653_q.jpg

Flora Lyimo Brizzleleo Blogspot..my super Blogger mwenza. .ungekuwepo wangekomaaaa...hahaaaa team no dog in public places. ..

4 hours ago · Like · 2

https://fbcdn-profile-a.akamaihd.net/hprofile-ak-ash2/t5/s32x32/1086453_1281783751_101469653_q.jpg

Flora Lyimo Ruth John..umeona eee..yani wangeruhusiwa wale wanaofanya kazi za kuongoza vipofu tu....and only God knows how they get to do that Job.....yani sijui wanafanyaje hiyo kazi yakuwapeleka wasoona mahali.yani unaona mtu haoni ila Mbwa anakuongoza..aisee...ni nomaa..na Big up to those Dog like that...Ila bado siwaaminiii.. Mbwa ni Mbwa tuu...

4 hours ago · Edited · Like · 2

https://fbcdn-profile-a.akamaihd.net/hprofile-ak-prn2/t5/s32x32/1118358_100003054483019_1387634622_q.jpg

Brizzleleo Blogspot Recently imekua too much na watoto.eti family dogs!!i get in a bad mood nikiona mbwa karibu na mimi.

4 hours ago · Unlike · 1

https://fbcdn-profile-a.akamaihd.net/hprofile-ak-ash2/t5/s32x32/1086453_1281783751_101469653_q.jpg

Flora Lyimo Im with you my super blogger mwenza. .Brizzleleo Blogspot...

4 hours ago · Like

https://fbcdn-profile-a.akamaihd.net/hprofile-ak-ash1/t5/s32x32/203196_1176503891_1037605734_q.jpg

Godfrey P Mjelwa Mbutaa... Heheee na huko si ndo mnajifanya hadi mbwa anapanda basi au treni, .. lol

4 hours ago · Unlike · 1

https://fbcdn-profile-a.akamaihd.net/hprofile-ak-ash2/t5/s32x32/1086453_1281783751_101469653_q.jpg

Flora Lyimo Godfrey Mjelwa...my dear..yani huku Ulaya ni nomaaa kuna Vitu vingine havihitajiwi kufugwa na mwisho wa siku hufugwa na hata urithi mtu anaachia Mbwa na kumnyima mtoto wake alomzaa mwenyewe. ...mbuta nanga. ..uwiii. ..Wazungu na wakae mbali na mimi na Mbwa zao...yani watu wafanye yao jamani siyo kulazimishia watu kuyafanya yao..eti .ni powa tu..hatakuuma..ni mbwa mzuri sana....eee...mzuri kwako na subiri akuoonyeshe he is a Dog one day..

4 hours ago · Like · 1

https://fbcdn-profile-a.akamaihd.net/hprofile-ak-prn2/t5/s32x32/211915_610964379_646827617_q.jpg

Beatrice Stephano Mpangala He he. Mbuta nanga,. Mimi Niko nae mbwa pia. Sasa ukisema Uwe mgeni lazima nimfungia. Ha ha.... Pole.

3 hours ago · Unlike · 1

https://fbcdn-profile-a.akamaihd.net/hprofile-ak-ash2/t5/s32x32/1086453_1281783751_101469653_q.jpg

Flora Lyimo Hapo tutaelewana Mdogo wangu hamna shida kufanya yako..shida ipo pale mtu unalazimishiwa kufanya kitu..kama vile mapadri wanalazimishwa kuwafungia ndoa watu wa jinsia moja....siyo powa kabisa kulazimishiana vitu. ...mbuta nanga. ..Beatrice Maria Stephano Mpangala..

3 hours ago · Edited · Like

https://fbcdn-profile-a.akamaihd.net/hprofile-ak-prn2/t5/s32x32/211915_610964379_646827617_q.jpg

Beatrice Stephano Mpangala Pole sana. Ni kweli, hayo yakulazimishana sio poa..... Lakini wakwangu nitamficha kabisaa, maana isije kua vituko dada. He. Mbuta nanga. Hamna tabu dada 

3 hours ago · Unlike · 1

https://fbcdn-profile-a.akamaihd.net/hprofile-ak-prn2/t5/s32x32/372105_100001575431665_2102011531_q.jpg

Amfirst Ladii hata binadamu ukimuona waajabuajabu inabidi ukimbie lkn hawa watu wanakasirikika sana wakiona unakimbia mbwa zao sijui wana matatizo gani ,,,,hawaelewi kama rafiki yako sio lazima awe rafiki wa wote

2 hours ago · Unlike · 3

https://fbcdn-profile-a.akamaihd.net/hprofile-ak-prn2/t5/s32x32/261067_1186838136_1668319735_q.jpg

Nusrat Semtawa Hahahahaahahaaa nakupendajeee mamaa ya makavu live.....

2 hours ago · Unlike · 1

https://fbcdn-profile-a.akamaihd.net/hprofile-ak-ash2/t5/s32x32/1116461_100003401507033_1949099869_q.jpg

Krishna Krish Uwiiiiiiiiii hahahaaaaa nimecheka mpaka basi, hapana chezeiya dog kabsaaaaaaaaa#flora

about an hour ago · Unlike · 1

https://fbcdn-profile-a.akamaihd.net/hprofile-ak-ash2/t5/s32x32/1086453_1281783751_101469653_q.jpg

Flora Lyimo Krihna Krishna Krish,,,Mbuta nanga'wewe cheka tu'akiamua kukunyofoa habahatishiii'''

about a minute ago · Edited · Like

https://fbcdn-profile-a.akamaihd.net/hprofile-ak-ash2/t5/s32x32/1086453_1281783751_101469653_q.jpg

Flora Lyimo Amfirst Ladii..ITABIDI NIKUZAWADIE ''YANI UMETISHAAAAAAAA..UKWELI MTUPU''

3 minutes ago · Edited · Like · 1

https://fbcdn-profile-a.akamaihd.net/hprofile-ak-ash2/t5/s32x32/1086453_1281783751_101469653_q.jpg

Flora Lyimo My shostitamu ,,yani wewe acha tu,I wish ungekuwepo ,Wazungu wananilazimisha nimpende Mbwa wao,mara next waanze kukukaribisha kwao ,,what next ..Mungu ndiyo anajua''waniwache mie Mchagga sijaja kwao kutafutana na Mbwa ''nimekuja kuziweka mfukoni Pound zao ''mbuta nanga''zinanukiaje sasa''Marashigaliiii'' hahhahaa' Miss you much Nusrat Semtawa.

15 minutes ago · Like

https://fbcdn-profile-a.akamaihd.net/hprofile-ak-ash2/t5/s32x32/1116461_100003401507033_1949099869_q.jpg

Krishna Krish Mbuta nanga....hahaaaaaaaa hahaaa