KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Saturday 11 June 2011

YOU BEEN SNAP * WEDDIND ANNIVERSARY ,WITH A DIVORCE" TALAKA" MISS FB SAY: yani hii habari imenikumbusha mawili matatu ya kuwaambia wale WANAOACHWA NA KUTOKUKUBALI MATOPE ,WAKATI MVUA ISHANYESHEA PENYE VUMBI" yani cha muhimu ni kwamba jua haupo peke yako ,na wala siyo wewe wa kwanza au wa mwisho kuachwa, wapo wengi na watazidi kuongezeka kila siku,mnachotakiwa kukifanya ni kwamba kaeni chini kubalianeni na jambo hilo hasa pale ambapo pana watoto , jua hao watoto hamkuwazaa kuwachukulia kama SILAHA, mliwazaa kuwapa maisha ya pale mtakapoweza kuwapa na vile vile kuelewa kwamba ni watoto wenu nyote wawili na siyo wa mmoja wenu, sasa basi" choreaneni mistari iliyonyooka ya kuweza kuwaangalia hao watoto na kuwawezesha kutokujali au kuona tofauti yoyote ya kwenu nyie kuachana..jua kama hujafa unahaki yakuweza kuwaona hao watoto wenu wakati wowote .bora wao wenyewe wakubaliane na hilo ,na kama ni watoto hawana budi yakutokukubaliana na hili kwani bado ni watoto " isije ikawa tabu mpaka pale ambapo VIFO vinatokea na MALI KUHARIBIWA ,ULIMWENGU MZIMA KUJUA .la. hebu jiulize ,wakati mlipokuwa mnaanza mapenzi yenu the VERY FIRST TIME, DID YOU CALL ON ANYONE kushuhudia mapenzi yenu ? i think is A BIG NO" so ni kwanini sasa iwe tabu '' kumbuka kwamba hapa DUNIANI WANAUME NI WACHACHE SANA, NA WANAWAKE NI WENGI MNO..siyo ajabu ukajajikuta na mwanaume mmoja ambaye kesha owa wanawake wengi na pia KESHA WAZALISHA WENGI MNO , hayo yote ni kwaajili ya upungufu wa WANAUME DUNIANI , hapo wewe jiweke mkao wa kutambua kwamba , mwanaume unapokuwa nae, FANYA NAE YALE YOTE UNAYOJISIKIA AU MNAYOJISIKIA NAE KUYAFANYA, kwani ipo siku moja yatakwisha hayo mapenzi na ndoa zenu ,hata ziwe ndoa za CHUMA LA PRADA"yatajaisha na kushika kutu , hapo usije anza kujuta ni kwanini niliolewa au nilizaa nae ,au kwanini unaniacha au umeenda kulala na mwanamke mweingine.. hapo jiachie na kujiweka mkao wakumkaribisha mwengine kwani maisha yako hayaishi hapa duniani kama hujafa" ni haya tu kwaleo , na nawaombeni mzingatie hili jambo , MNAPO ACHWA ! ACHIKENI KWA USALAMA AU UELEWANO ,NA KAMA KUNA WATOTO MSIWATUMIE KAMA SILAHA, NA KAMA NI NGUO ZAKE MPE,,sioni haja yakuwa na manguo yake yakinukia chumbani na kila mahali , chakufanya ni kuyampa kama anayahitaji mwambie afunge virago vyake na aondoke tena mpe siku moja ,ila hakikisha watoto hawapo wapeleke hata kwa jirani au kama huna jirani unaelewana nae,waweza kusema baba anasafiri mchezo kwisha,why you want kukaa na manguo yake yakazi gani ?mpe kama hayataki ,yapeleke kwenye charities, ILA USIMPE NYUMBA, AU VIFAA VYA AINA YOYOTE VYA NYUMBANI , ILA KAMA NYUMBA MMENUNUA PAMOJA, MNAWEZA KUELEWANA NA KUIUZA MKAGAWANA NA KUWEZA KUNUNUA NYINGINE KWA AJILI YA WALE WATOTO NA WEWE MUACHWA KUWEZA KUSAHAU ALOKUACHA KIURAHISI ,KWA KUHAMIA NYUMBA NYINGINE.maana najua siyo rahisi kuishi ile ile nyumba na kulalia kile kile kitanda mlichokuwa mnalalia. so just think and move on MAISHA HAYAISHI KWA KUACHWA AU KUPEWA TALAKA, DIVORCE.tena hapo ndo maisha yako yanakuwa mapya na mambo mapya" GOD BLESS NA NAWATAKIENI MAISHA MEMA NA MAREFU " RUWA MANGI"

*MKILETEWA HAPA NA FLORA LYIMO DESIGNER*

Former White Stripes front man Jack White and his wife British model-turned-singer Karen Elson are calling it quits after six years of marriage.

But instead of lamenting the end of their marriage, the couple are throwing a party to celebrate.
Jack, a 35-year-old native of Michigan and Karen, 32, announced their divorce today in a joint statement.
Calling it quits: Jack White and Karen Elson, pictured together in 2009, announced they are divorcing after six years of marriage
Calling it quits: Jack White and Karen Elson, pictured together in 2009, announced they are divorcing after six years of marriage"
'We remain dear and trusted friends and co-parents to our wonderful children Scarlett and Henry Lee,' the announcement said.
'We feel so fortunate for the time we have shared and the time we will continue to spend both separately and together watching our children grow.'

Amicable: The couple is throwing a party to celebrate their split
Amicable: The couple is throwing a party to celebrate their split"
The two met on the set of the White Stripes Blue Orchid music video.
The couple was married in Brazil in June 2005 and have two children, who are five-years-old and three.
In a clear indication that the breakup is amicable, Jack and Elson even had invitations printed up to their divorce party which asks guests to join them to 'celebrate their 6th anniversary and their upcoming divorce
with a positive swing bang hum dinger'.
Leaked online today, it also states that the party, which is being held in Nashville, Tennessee, is 'only for close personal friends and family' and requests that guests do not bring 'plus ones or dead beats'.
The big post-marital bash, taking place tonight will feature 'dancing, photos, memories and drinks with alcohol in them.'
Jack was best known as the guitarist, pianist, and lead vocalist of The White Stripes until the group split up earlier this year.
He was even ranked as number 17 on Rolling Stone's list of The 100 Greatest Guitarists of All Time.
Karen, who hails from Oldham in Greater Manchester, is the current face of Louis Vuitton, and has a thriving music career in her own right.
Star: Jack seen performing with The White Stripes back in 2007
Star: Jack seen performing with The White Stripes back in 2007"

No comments:

Post a Comment