Mrema kuwasilisha hoja binafsi | Send to a friend |
*MKILETEWA HAPA NA FLORA BAHATI LYIMO DESIGNER* KUPITIA KWA NORA DAMIAN" MBUNGE wa Jimbo la Vunjo, Augustino Mrema, anatarajia kuwasilisha hoja binafsi bungeni kuhusu kufanyiwa marekebisho sheria zenye upungufu, ili kuzima mtandao wa ufisadi ulioenea nchini. Mrema, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC), alisema miezi miwili aliyofanya kazi ameona iko haja ya kuzifanyia marekebisho baadhi ya sheria. Alisema mojawapo ya sheria hizo, ni za utumishi ambazo nyingi zina upungufu, kwani zinamlinda mfanyakazi hata utaratibu wa kumshtaki unachukua muda mrefu. Mbunge huyo alisema upungufu mwingi wa sheria hizo umeonekana kwenye adhabu wanazopewa watumishi wa serikali hasa wanapobainika kufuja fedha za umma. “Ukaguzi unafanyika miaka miwili baada ya ubadhirifu kufanyika, yaani tunangojea mtu afe halafu ndiyo tufanye postmortem (uchunguzi) ,”alisema Mrema na kuongeza: “Hata ukisema umsimamishe kazi hawezi kuona athari za kusimamishwa, kwa sababu sheria inamtaka mwaajiri atoe fungu na kumlipa kipindi atakachokuwa amemsimamisha.” Alisema tatizo la ubadhirifu wa fedha serikalini ni kubwa, tena linatisha na kama hali hiyo ikiachwa iendelee nchi itakuwa ya walaji.“Ni aibu, baada ya miaka 50 ya uhuru bado taifa limejaa ufisadi, watumishi wengi wa serikali hawako kwa manufaa ya wananchi bali kutengeneza fedha,” alisema. "MORE OF MREMA" Augustine Lyatonga Mrema (born 1945) is a Tanzanian politician and chairman of the Tanzania Labour Party (TLP) party. Mrema is a member of the chaga tribe from Kiraracha Village in Kilimanjaro. He is the second born in a family of five children. From 1955 until 1963, Mrema attended primary and secondary education at Moshi, thereafter joining St.Patrick Teachers training college also in Moshi where he finished his Secondary education in 1965. In 1968 Mrema sat for the Cambridge University O-level exams. He joined the Kivukoni Political Education College, after which he was sent to Marangu for further training. [edit] Government Positions HeldMrema has been in the Tanzania Government, National Security Organisation and the CCM party since 1966, he held various positions including:
[edit] Political careerEven though Mrema has contested every presidential election in Tanzania since the country instituted a multiparty system in the early 1990s, his political career started in 1985 when he tried to run for MP in his home district of Kilimanjaro. His candidacy was blocked by the High Court, and in 1987 he was officially announced as the winner after a lengthy appeals process. He was able to retain his seat in 1990 without stiff competition. The fact that he was an MP enabled the president to appoint him to various cabinet positions. From 1990 to 1995 Mrema held various cabinet and high level government positions:
|
No comments:
Post a Comment