KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Tuesday 22 March 2011

YOU BEEN SNAP .HABARI ZAID ZA AJALI HII MBAYA MNO ,SIJAWAHI KUONA KATIKA MAISHA YANGU ..KYALEUWIIIIIII,, MAMA YANGU MCHAGAA,, NALIA EEE, MUNGU WANGU .WHY ? ASANTNI SANA KWA PICHA NA HABARI HIZI WOTE MNAOZIPOST NA MLIOFIKA KUWASAIDIA LAKINI SHETANI ALIKUWA AMESHAWATANGULIA KUSAIDIA. MUNGU WANGU IM SO SO SAD. HAMNA MAISHA KABISA HAPA DUNIANI KAENI MKIJUA HILI WANDUGU WAPENZI.MAISHA NDO KAMA HAYA.HATUJUI SIKU YETU LINI.TUKAENI NA UPENDO.RUWA MANGI. R.I.P MY LOVELY PEOPLE*.

WASANII 13 WA FIVE STARS MODERN TAARAB WAFARIKI KATIKA AJALI.

Na Dunstan Shekidele, Morogoro
WATU wapatao 13 wamefariki dunia na wengine kujeruhiwa vibaya katika ajali ya basi aina ya Coaster lenye namba za usajili T 361 BGE lililokuwa limebeba wanamuziki wa kundi la Five Stars Modern Taarab waliokuwa wakitokea Kyela-Mbeya kueleka jijini Dar.

Ajali hiyo ilitokea jana majira ya saa mbili usiku ndani ya hifadhi za wanyama za Mikumi mkoani hapa, baada ya gari hilo kuligonga kwa nyuma roli aina ya Scania lenye namba za usajili T 848 APE lililokuwa linavuta tela lenye namba za usajili T 559 BDL liliokuwa na mzigo wa mbao.
ZIFUATAZO NI PICHA ZAIDI ZA TUKIO HILO:

Glady-Cath ( luv u ) Comment by Glady-Cath ( luv u ) 48 minutes ago
mama yangu weeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!! mhuu inatisha jamani loooooooool!!! yaani mafigo njeeeeee mhuu! zipumzike salama roho za marehem. AMINA!!

daddy Comment by daddy 49 minutes ago
roho za marehemu wapumzike mahali pema peponi amin
Bullie Comment by Bullie 50 minutes ago
Madereva muwe makini jamaniiii!Sehemu kama ya Hifadhi wala si ya kwenda mwendo kasi ivo.
Bullie Comment by Bullie 51 minutes ago
tunaomba
julius manning Comment by julius manning 51 minutes ago
jamani hizo baadhi ya picha zinatia simanzi sana . poleni waafiwa wote
Bullie Comment by Bullie 51 minutes ago
reva
Bullie Comment by Bullie 51 minutes ago
Tunaomba
Bullie Comment by Bullie 51 minutes ago
Kwakweli inasikitisha mno mno mnoooooooo jamani,kwani huyu dereva alikuwa anaharaka gani?Mbona madereva mnatumaliza,angalia sasa japo ni mipango ya Mungu lakini tusipende sana kila kitu kumsingizia Mungu,huu ni uzembe wa kupindukia. Inasikitisha sana tena sana,nimeumia sana roho yangu kuona watu wanakufa vifo vibaya kama hivi. Mungu awapumzishe kwa amani, Mungu ibariki Tanzania,ibariki na Afrika pia. 

1 comment:

  1. poleni wafiwa.mungu awalaze mahali pema peponi...

    ReplyDelete