KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Wednesday 31 July 2013

BY FLORA LYIMO~ BREAKING NEW'S ~POP SUPERSTAR RIHANNA WINS HIGH COURT BATTLE WITH TOPSHOP IN LONDON TODAY'' KWA KUTUMIA PICHA YAKE KWENYE T-SHIRT BILA HISANI YAKE''MBUTA NANGA!!



The singer is suing Topshop over the 'unendorsed' use of her image
The singer's 'shopping habits' are testament to Topshop's reputation, lawyers for the retailer said
Dispute: Rihanna has won a battle with Topshop over a T-shirt bearing the picture of her face, seen left, which she claimed is similar to one of her album covers and could mislead fans into believing the item was 'genuine'

Pop superstar Rihanna today won a High Court fight with clothing giant Topshop over a T-shirt they sold with her face on it in a case that could be
worth £3million.
The singer claimed the ‘unendorsed’ white T-shirt with a photograph of her in a bra top may have damaged her image because fans could have thought it was genuine merchandise.
The Barbadian star and two Los Angeles-based associated companies claimed she is entitled to damages from Arcadia Group Brands Ltd, which operates Topshop, over the unauthorised use of her picture.
Topshop disputed her claim but Judge Mr Justice Birss ruled in her favour today after a hearing in London, but will decide on damages at a later date.
Justice Birss said Topshop's sale of a Rihanna T-shirt at the centre of the dispute was an act of 'passing off'.
But he said the 'mere sale' of a T-shirt bearing the image of a famous person was not necessarily an act of 'passing off'.
He said a 'substantial number' of buyers were likely to have been deceived into buying the Rihanna T-shirt because of a 'false belief' that it had been authorised by the singer.
The judge said that was damaging to her 'goodwill' and represented a loss of control over her reputation in the 'fashion sphere'.
He said it was for the singer not Topshop to choose what garments the public thought were endorsed by her.
Rihanna in Los Angeles last night after eating in an Italian restaurantRihanna in Los Angeles last night
Big win: Rihanna in Los Angeles last night after eating in an Italian restaurant on the eve of her court victory in London''

Decision: Justice Birss sitting at the High Court said Topshop's sale of a Rihanna T-shirt at the centre of the dispute was an act of 'passing off'
Decision: Justice Birss sitting at the High Court said Topshop's sale of a Rihanna T-shirt at the centre of the dispute was an act of 'passing off'''
Rihanna had claimed that she was entitled to damages for the unauthorised use of her picture.
The judge did not make any assessment of damages in a written judgment published today.
The superstar's team asked the high street clothing chain run by billionaire Sir Phillip Green to stop selling them.
The legal threat came despite the What's My Name singer having dined with Sir Philip and music mogul Simon Cowell while on her Christmas break to Barbados in 2010.
The star, who last year signed a deal worth a rumoured £800,000 to design a range with High Street rival River Island, tweeted about the Boxing Day meal they had together, saying: 'Just had dinner w/ Simon Cowell Philip Green @ Sandy Lane! Great night!'
She has also spent time with Sir Philip's daughter Chloe while holidaying at the same time in the Caribbean two years ago.
It was even rumoured she might follow in the footsteps of Kate Moss and design a range for Topshop, but the two parties ended up in court.
Dinner pals: Rihanna having a meal with Sir Philip Green and friends in Barbados on Boxing Day 2010
Dinner pals: Rihanna having a meal with Sir Philip Green and friends in Barbados on Boxing Day 2010'' 
Flora Lyimo >Huyo hapa akiwa na the CEO of Topshop kabla yakutumia Picha yake'' I think'' yani watu kwenye kwenye Pesa ni hatari unamkana Rafiki na hata Wazazi wako hivi hivi sababu ya pesa'' Mbuta Nanga'' Yani Mimi  naona yasingefikia hata  mahakamani 'wangeyaongea kama walivyokuwa hapa na kuyamaliza ''walipane aliyouza kwenye hiyo T-shirt na kuacha kumtumia tena bila hisani yake'' Rihanna anapesa za kutosha I think lakini pesa kweli ni SHETANI'''
Chat: Sir Philip's daughter Chloe sits with Rihanna on Barbados over Christmas 2011
Chat: Sir Philip's daughter Chloe sits with Rihanna on Barbados over Christmas 2011'' Hapa Mtoto wa Baba mwenye Topshop (kushoto) Je hapa wanapanga njama gani?? Mbuta Nanga''
Last year Topshop released a T-shirt featuring a picture of Rihanna from her 'We Found Love' music video, which sold out quickly afterwards.
'Shopping habits': Employees of Rihanna, seen wearing a Topshop jumper last year, have asked for clothes for the singer on six occasions since she launched legal proceedings, the retailer's lawyers said
'Shopping habits': Employees of Rihanna, seen wearing a Topshop jumper last year, have asked for clothes for the singer since she launched legal proceedings, the retailer's lawyers said''
This month the court heard that while the singer was claiming the top blighted her image it had not stopped her entourage contacting Topshop to ask for clothes for Rihanna half a dozen times since the lawsuit was launched, the retailer's lawyers said.
A barrister at London's High Court claimed Rihanna's representatives had asked Topshop for products for the singer on '10 recent occasions', and said her 'shopping habits' were testament to the retailer's own considerable reputation.
Of those 10 occasions, six came after Rihanna launched proceedings against Topshop, said Geoffrey Hobbs QC.
Mr Hobbs said: 'It is not in dispute that Rihanna is a celebrity (but) the reputation of Topshop is also material to the allegation of misrepresentation.
'Rihanna's own shopping habits provide compelling evidence of Topshop's reputation in fashion wear. (There are) 10 recent occasions on which her representatives have contacted Topshop asking for products for her to wear.
'We note that six of these requests post-date this dispute,' the barrister said.
The T-shirt in question is printed with a snap of the star wearing a bra top, which she says was 'very similar' to images used on one of her album covers.
She claimed sales of the shirt amounted to 'passing off' and may have led to her reputation being tarnished with her fans, had they bought the garment thinking it was 'genuine' endorsed merchandise with 'an emotional connection to their heroine'.
Lawyers for Topshop maintained the retailer did nothing wrong, and accused the pop star of making an unjustifiable bid to establish a 'free standing image right' over use of her picture in the UK.
Mr Justice Birss, sitting at London's High Court, heard that Topshop bought a licence to use the image on the T-shirt from the photographer who took it, during the video shoot for Rihanna's single We Found Love which was filmed in Belfast and Bangor, Northern Ireland, in November 2011.
However the 25-year-old singer protested that they had short changed her and her fans when the T-shirt went on sale.
Claims: Topshop was selling a T-shirt emblazoned with a picture of Rihanna's face she claims is 'very similar' to one of her album covers
Claims: Topshop was selling a T-shirt emblazoned with a picture of Rihanna's face she claims is 'very similar' to one of her album covers''
The judge was shown the controversial tank-top T-shirt, showing the singer in a pale bra top with her hair in an up-do, as part of a 'wall of T-shirts' displayed to the court on coat hangers in evidence.
Martin Howe QC, for Rihanna, who is suing Topshop's owners, Arcadia Brands Limited under her real name, Robyn Rihanna Fenty, told the court: 'Rihanna is one of the world's most famous musical performing artists. She needs little introduction.
'Like most well known contemporary performing artists, she engages in merchandising, and like most such performing artists, it represents a significant part of her revenue stream.
'In 2012, Topshop sold a T-shirt displaying a clearly recognisable image of Rihanna taken when she was on a video shoot. She was wearing her makeup and hairdo for the video shoot, and very similar images of her appeared on her CD inlay (for the album Talk that Talk.)
'A substantial number of people buying, or even seeing, those T-shirts would think they are approved or somehow connected with Rihanna, when, in fact, they were not approved of or connected with her at all.'


TUMESHIRIKI NA KUCHAMBUA KWANZA KUTOKA DM''

BY FLORA LYIMO~ KWA WALE MLOSEMA HAMUMFAHAM MILLEN MAGESE THE TANZANIAN AMBAE ALISHA WAHI KUWA MISS TANZANIA NA SASA NI TOP MODEL DUNIANI (ANAFAA JAMANI) YANI MTIZAME HAPA NA MSOME ALOTUAMBIA LEO'' RUWA MANGI!!

KWELI KUNA WATU WAMEPANGIWA VIPAJI VYAO NA HATA MUVIZUIE VIPI VIPO MWILINI MWAO NA HAMUWEZI KUVIBANDUA  HATA KWA KITU GANI''' SO WAOMBEENI MUNGU WAZIDI KUFANYA VYEMA ''TUOMBEANENI NA KUPENDANA JAMANI TUACHENI WIVU WATANZANIA'' YANI MIMI NAJIVUNIAJE MY TOP MODELS OUT THERE'' NA KILA MMOJA WETU ANAEJIHUSICHA KWA KAZI NA KUIWAKILISHA NCHI YETU TANZANIA ''GOD BLESS NYIE NA KUMBUKENI FLORA LYIMO ANAWAWEKENI KATIKA SALA ZAKE DAIMA'' RUWA MANGI''

OK''NOW HERE IS WHAT THE DOLL SAY''MILLEN MAGESE' 
  1. No matter what you're going through you must Live . Live when you can at the end of the day it's all about finding your Happiness. Dont forget to Forgive and find peace in ur heart. Stay Blessed#
In love with your handbag''yani lazima nilitafute mnadani next week''mbuta nanga""

Tuesday 30 July 2013

BY FLORA LYIMO ~ BREAKING NEWS'' T.I.D. WAKISHIRIKIANA NA FLORA LYIMO ' WATOA LAKI 4 KWA ATAKAE MTAJA ALIYEMUIBIA TID TOPBAND JUZI VITU HIVI''

 HAPA FLORA LYIMO NA TID ALIPOKUWA LONDON '' YANI HAKUNA KITU NACHUKIA KAMA WIZI NA UTAPELI WA JASHO LA MTU HIVI HIVI MNAMUIBIA NA KUMTAPELI MWENZENU ''JUENI IPO SIKU MTAOZEA JELA AU MAKABURINI BILA HATA MLIVYO IBA NA KUTAPELI'''RUWA MANGI'' POLE SANA MY DEAR TID'' Hope utapata kumuweka mbaroni ''



ONA SASA MAMBURULA'S
 HI HASARA TUPU ALAFU MIJITI HAIJAENDA HATA BUSHI' IJUE NAMNA YA KUKIVUNJA KIYEE CHA GARI'''
  1. KUTOKA KWA THE MNYAMA MWENYEWE>T.I.D.>Mtu huyu aliyeniibia mimi T.I.D power window na vitu vingine kwenye gari yangu usiku wa kuamkia leo nyumbani kwangu, ntakuwa namjua tu, natoa laki mbili kwa mtu atakeyentajia huyu mwizi ..0652291804 nipigie''

    Na Flora Lyimo naongezea Laki zingine MBILI '' Fanyeni Fasta 'Tulikamate hili lijidudu Mburula liharibifu la maisha na mali ya watu ''tena vya Big Star's kama TID MNYAMA WA UNYAMANI''' MLIOKO BONGO KAZI KWENU''MTAJENI LAKI NNE JUMLA HAPA NI YAKO''' MBUTA NANGA''

BY FLORA LYIMO~ HIVI NDIVYO LONDON ILIVYO TODAY NA SEHEM NYINGI ZA UK KWA UJUMLA BADA YA JUA KURUDI AFRICA'MBUTA NANGA!!


Gusts: A glamorous racegoer is caught out by the strong winds as she arrives at Goodwood today
Gusts: A glamorous racegoer is caught out by the strong winds as she arrives at Goodwood today'' Hhahahahaa''I'la nimelipenda begi na vaazi ''nice look pamojaa'''FLFP''
Hope you didn't pay too much for that blowdry! Female arrivals suffer in the gusts
Hope you didn't pay too much for that blowdry! Female arrivals suffer in the gusts''
Show must go on: Rain doesn't stop play for these racegoers who huddled together under umbrellas as they made their way to the trackside
Show must go on: Rain doesn't stop play for these racegoers who huddled together under umbrellas as they made their way to the trackside''
Can we share? One racegoer's pretty umbrella seems to be style over substance
Can we share? One racegoer's pretty umbrella seems to be style over substance''
Stiff upper lip: Expert at carrying on whatever the weather, these well-dressed racegoers enjoy themselves despite the rain
Stiff upper lip: Expert at carrying on whatever the weather, these well-dressed racegoers enjoy themselves despite the rain''

Goodwood's hardest working pashmina: This woman hides her hair under a cream wrap
Goodwood's hardest working pashmina: This woman hides her hair under a cream wrap''
TUMESHIRIKI NA KUKAGUA KWANZA KUTOKA DM''

BY FLORA LYIMO~ THE DIRT RATS MBAKAJI WA MTOTO WAKE MWENYEWE HADI KUMZALISHA LEO ATUPWA JELA KWA MIAKA 30' JE INAMTOSHA ? HAIMTOSHI KABISA MBURULA PUMBAVU''


 Yusufu Amani (39) aliyembaka mwanaye wa kumzaa kisha kumzalisha baada ya kutengana na mkewe akiwa kizimbani.


         Kulia ni mtoto aliyebakwa na baba yake kisha kuzalishwa akiwa na mtoto wake wakati wakitoka mahakamani. Kushoto ni mama mzazi wa binti aliyebakwa na kuzalishwa.

MAHAKAMA ya wilaya ya Mbeya imemhukumu kwenda jela miaka 30 mkazi wa Isanga Mkoani hapa baada ya kumtia hatiani kwa kosa la kumlawiti na kumzalisha binti yake wa kumzaa akiwa na miaka 15( jina linahifadhiwa).Mwendesha mashitaka wa serikali  Archiles Mulisa  aliiambia mahakamani hiyo Mbele ya Hakimu Gilbert Ndeuruo kuwa Mshtakiwa huyo ni Yusufu Amani (39) anayedaiwa kumbaka mwanaye wa kumzaa kisha kumzalisha baada ya kutengana na mkewe.Alisema kosa hilo ni kinyume cha sheria kifungu cha 154 (1)a na 155 sura ya 16 iliyofanyiwa marekebisho  mwaka 2002, pamoja na kifungu cha 158(a) cha makosa ya kuzini.Akisoma Hukumu hiyo Hakimu Ndeuruo alidai kuwa Mtuhumiwa alianza kujihusisha kimapenzi na mwanaye Mwaka 2008 baada ya kutengana na mkewe ambapo Mtuhumiwa aliachiwa watoto wote.Aliongeza kuwa wakati huo binti huyo alikuwa na umri wa miaka 12 na alikuwa akisoma shule ya msingi darasa la Tano jambo ambalo wamedumu nalo kwa miaka minne hadi ilipogundulika kuwa binti alikuwa mjamzito Mei, 2012.Alisema mbinu aliyokuwa akiitumia ni kumtishia binti asitoe taarifa kwa mtu yoyote na kwamba baada ya kugundulika kuwa na ujauzito alimwambia amsingizie kijana yoyote mtaani kwao.Hakimu Ndeuruo alisema Mahakama ilimtia hatiani Mtuhumiwa kutokana na ushahidi wa Mhanga wa tukio hilo ambaye ni binti pamoja na ushahidi wa kitaalamu kutoka kwa Mkemia mkuu wa Serikali.Alisema ushahidi wa Mkemia Mkuu wa Serikali baada ya kupima Vinasaba kutoka Mtuhumiwa, Mhanga na Mtoto aliyezaliwa ulidai kuwa  Mshtakiwa ndiye baba halali wa Mtoto kutokana na Maeneo 15 ya vipimo vya Vinasaba kati ya Baba na Mtoto aliyezaliwa kufungana kwa asilimia 99.9.Aidha kabla ya kutoa hukumu, Hakimu alimpa nafasi mtuhumiwa kujitetea ili apunguziwe adhabu au asiweze kuhukumiwa kabisa lakini hali ikawa tofauti baada ya Mtuhumiwa kujibu kuwa hana la kujitetea vyovyote itakavyokuwa anachotaka ni nakala ya hukumu.Kutokana na kushindwa kujitetea Hakimu Ndeuruo alimhukumu kwenda jela miaka 30 na kwamba ana haki ya kukata rufaa katika Mahakama kuu endapo hakuridhika na hukumu hiyo.Awali katika ushahidi wake Mahakamani hapo, Mtuhumiwa huyo alidai kuwa hakutenda kosa hilo bali alitengenezewa na Mkewe ambaye aliapa kumkomesha baada ya kukosana na kumpata mume mwingine jambo ambalo lilipingwa vikali na hakimu na kudai kuwa “mfa maji haachi kutapatapa”chanzo:mbeya yetu blog''


BY FLORA LYIMO ~ VAA HIVI VIATU NA KIPOCHI AT GONGA'S BEACH WHITE PARTY IN BONGO 2013 'UZAWADIWE NA YOUR FLORA LYIMO FASHION POLICE!!

 Your ''Flora Lyimo Fashion Police'' akiwa amewavalia baadhi ya HOT AND MUST HAVE'' LONDON HANDBAG AND SHOES 'Trade by Flora Lyimo'' WhatsApp + 44 778 7471024 ''
 Chezea Mguu wa Kichagga unaosema Mwanamke Kazi na Kujiamini''Mbuta Nanga''
 Muke ya African King'' Najiamini na Nimesimama Imara''nikipita kwenye mataa yakiwa red wanajua Pesa haijaingia Mfukoni na nilazima wao wasimame Mimi nipite na siyo kusubiria mataa kunipotezea Muda wangu''Hhhahaaaa''Hatariiiiii''Chezea Mchagga Ulaya ''akuache kwenye Mataa'' Ok 'now nipe Oda yako utakapo maliza kuzitizama picha za Album hii na kunisoma''
 Vipochi Clutch Bags yamerudi tena kwa mara nyingine na this time nimeyadaka ya kutosha ''tena in rangi mbili now'' ni wewe uchague kwa pesa zako and yanapatikana in Tanzania now ' Kwa wanaouza Flora Lyimo Design's & Trade's''
 AVAILABLE IN TWO RANGI NOW' KAMA MNAVYO YAONA HAPA''
 HAPA UNAMECHISHA KWA BLACK AND WHITE SHOES''MADONNA SHOES '' AND YES' UKITAKA WASIMAME WOTE WAKUPISHE UPITE KWENYE GONGA'S BEACH WHITE PARTY'' VALIA HIVI''TAFUTA KIGAUNI CHAKO AU KIKAPTULA AU KIMINI CHEUPE ''' HAKI YA NANI  HATA Flora Lyimo Fashion Police 'I ' will give you The Award'''Mbuta Nanga''UTAKUWA UMEKANYAGA WOTE''





Habari ndo hiyoo..THE TALK OF MUJI MKUU LONDON ''' CHEZEA ULAYA UACHWE KWENYE MATAA'''RUWA MANGI''FLORA LYIMO HANA MUDA WAKUSUBIRIA MATAA YA BADILISHE RANGI KABISAAA'''
 Pateni vitu vya uhakika kutoka London na vilivyo kaguliwa kwanza na your ''Flora Lyimo Fashion Police'' Ili muuziwe kwa bei powa na  vyenyewe vipo kwa hali ya kurdhisha''
Rangi zingine pia zipo ukitaka kuziona tembelea our Mkopo Express Page in Facebook au tizama hapa hapa kwenye hii Blog kwenye habari zilizopita'
  1. Photo: Gonga's WHITE "Beach' PARTY SAT 17.08.2013 From 1300Hrs... Stay UP.. LEDGER PLAZA BAHARI BEACH
    Habari ndo hiyooo''I CANT WAIT'''PARTY HAPPY PEOPLE''

BY FLORA LYIMO~ TABLE MANNERS KWA WATANZANIA''HII NI KWA WALE WATANZANIA WOTE AMBAO HAWAJUI AU NISEME HAWANA TABLE MANNERS' YOUR FLORA LYIMO FASHION POLICE IS TODAY LOOKING AT YOU & YOUR TABLE"MBUTA NANGA!!

Flora Lyimo a.k.a. Fashion Police 'Mtanzania aipendae Nchi yake kupita maelezo''
Leo  nimeona niongelee kuhusu Adabu za kwenye Meza ''Table Manners''Waingereza wanasema'' Na hii ADABU '' nilitaka kuizungumzia siku nyingi ila sema sababu ya Mambo mengi nafasi nilikuwa sijapata kwani Mchagga kama Pesa haijaingia huwa sina Muda kabisa ya kusimama na kusubiria mataa ya geuze Rangi'' Mbuta Nanga'nisije nikagongwa siku sijaingiza pesa tu'' Anyway back to my topic '' kuhusu Watu hasa Watanzania wenzangu mnavyo kaa kwenye Meza zenu mkila ''yani hii ni popote huruhusiwi kuweka Vipochi au mabegi yenu juu ya meza'' yani HURUHUSIWI KITABIA NJEMA ZA KUKAA MEZANI''AVOID KABISAA''
Yani vitu hivi viepuke wakati umekaa mezani au unakula''
(1) Vipochi na mabegi mezani''
(2) Kuongea huku mdomo umejaa chakula''
(3) Kupokea simu mezani na kuanza mazungumzo huku wenzio wapo wanakula ''
(4) Umekaa mezani na wenzako na wewe hushirikiani na wao upo busy bizi na Sim yako ya mkononi''
(5) Kuvua viatu na kuviweka pembeni chini ya meza''
(6)kuvua viatu na kubakia na soksi kama ni kuvua viatu kukaa chini kwa Waislam zaidi''basi na Soksi vua pia''
(7) Kuvaa Nguo za kuonyesha makwapa '' hii ni kwa wanaume zaidi''vile vivesti(vest) vya kuacha makwapa wazi msivae kabisa''
(8) Kulalia meza'yani unafunga mikono alafu unaiwekea juu ya meza''
(9)Usijipake make up (kujipodoa)ukiwa umekaa hapo hapo mezani''
(10) Unapo simama yani umemalizana na hiyo meza ''usikiache kitu chako nyuma 'kirudishie mezani kama ulivyo kikuta mwanzo kabla hujakikalia' siyo unaondoka na kuacheni maviti yamezagaa zagaa'' huo ni ustaarabu na Adabu yenye kumridhisha mtu yoyote hata ulokuwa nao kukiiga ikiwa wao pia hawafanyagi hivyo''
Anyway yapo mengi ila kwa leo wacha niwaachieni hayo kumi yanatosha kwa kujifunza na kujirekebisha hasa mlio na Watoto kuwafundisha '' Ni hayo tu na endeleeni kutizama picha hizi hapa mtaona jinsi walivyo kaa na Mapochi yao mezani pamoja na Mabegi utazania ni ya Zahabu na Gold 100% na hata kama 'yangekuwa siyo tabia nzuri kuviweka juu ya meza'' Yani wengine huku Ulaya wanaambiwa kabisa wayatoe na kuyaweka chini au kwenye paja lako '' ikiwa umeona lina pesa sanaaa'' Sasa wengine utaona anazuia hata nafasi ya Chakula kupatikana sababu ya libegi lake''au mijibegi yao kujazana Mezani'' hata kama limetoka Ulaya LONDON BAG' Kutoka Flora Lyimo Mkopo Express of London Accessories to Tanzania'' usiliweke juu ya meza''Wewe mwenyewe ndo unajua Begi lako nila wapi na umelinunua Shilingi ngapi siyo lazima kulianika kwenye meza ya Chakula'' tena wakati wa Kula'' Epukeni hili jamani Mkija Majuu msije chekwa na kujiaibisha wakati utaambiwa uliondoe au ukiona Wazungu na wale walio na Table manners kama Flora Lyimo Mtanzania wa Ukweli London ''akikata shingo kuitazama meza yako ukadhani ni kwasababu umependeza au unasura kama ya Bikira Maria'' No ''nikwasababu nakupiga picha kwa macho na baadae kwa Sim au camera zangu mbili''kubwa au Ndogo''Hapana chezea moto wa ''Flora Lyimo Fashion Police eee''Mbuta Nanga''

Umewaona Watanzania  na Mabegi yao mezani ee'' AVOID kabisa yani ni marufukuu'' Hebu yaoneni sasa mkiyaweka chini kwani yangevuja milioni mnazodhani zimo humo ndani ''Ruwa Mangi''
Hebu oneni walivyoyapanga mabegi yao kwenye meza ya kulia Misosi tena wakati wa kula''''jamani hii siyo meza ya kujaza mabegi na pia siyo wakati wa mauzo ya mabegi hayo au mnayauziana wenyewe kwa wenyewe''lipi la London na lipi la China? Hahhahaa''wacha nicheke mie'' Na huyo nae sijui ndo kakuta Chakula kibichi au ndo kaambiwa anakula yule Mnyama asokula? mbuta nanga''Nyanyuka kayamalizie chooni Dada''hapo umeshikilia mdomo hivyo sijui ndo ulitemea hapo hapo''Ngamanyesepfo ndao''
Tizameni meza hii ilivyokuwa na Heshima zake ..yani hivi ndivyo meza inavyotakikana kukaliwa na siyo kujazwa mamipochi na mamibegi kama yauziwa kule Kiboriloni '' au Kariakoo''Kina Dada/Mama  ''Igeni Wanaume'' wanavyo kaa kwenye meza hapa na vile vile hawa wanaonekana wana Table Manners maana siku izi Bongo kuna Wanaumewanawake na utawajua tu''hasa wakiwa na Blog zao za Kimburula'' Wacheni niishie hapa na nadhani mtajifunza kuanzia leo ''Table Manners kwa Watanzania'' By: Flora Lyimo''

BY FLORA LYIMO ~ ASHA BARAKA UMEVAA NINI TOBAAAA'' FLORA LYIMO FASHION POLICE OF 30/07/2013 MBUTA NANGA!!

Asha Baraka (kushoto) MKURUGENZI WA AFRICAN STARS TWANGA PEPETA'AKIFUTURU NA MBONI WA MBONI SHOW''Dada letu umetuamulia haswaa,yani umetuvalia Soksi na malapa ya kimtindo sasa ina maana huko siyo Bongo au ni wapi maana hata Ulaya kipindi hichi watu wamepandisha darini soksi zao zitashukishwa huko kwenye Mwezi wa kumi na mbiliiii''' mbuta nanga'' Kweli haiwezekani Dada umevaa hivyo kwenye Wageni tena wengine waheshima waukweli'' au ulijisahau ''Ruwa Manga'' jamani hivi ni vitu vya ku AVOID KABISAA''Yani tena katilia pozi la kufa mtu utadhani kavaa kiatu cha London '

Thanks kwa Warusha Picha na Mpiga Picha''
FLORA LYIMO >NIKIWAJIBU COMMENTS ZENU''KWA ONGEZO LA PICHA'''

 Hapa ni baadhi ya wageni wa Mboni ''ambao mkiwatizama  hapa mwaweza kuwatambua kuna Shilole ,Husna,Penny na wengine poleni sijawafaham kimajina 'Ila wote hapa mnaona walivyo vaa Kislam kwa wale mlodai kwamba Asha Baraka alivaa hivyo (Soksi ) kwa sababu ya Uislam vaaji zaidi'' Sasa mbona hawa hawajavaa Soksi na Malapa'''? au ndo hawana huo Uislam mlousema nyie Kina ANONYMOUS'' au ndo hawalisikii baridi mlolisema lipo Bongo now''Hivi nyie Anonymous ni Wadudu gani msotaka kujionyesheni Sura zenu? Mbuta Nanga"" 
Mheshimiwa wa Nguvu alikuwepo ,Mzee Ali Hassan Mwinyi ambae alishawahi kuwa Raisi wa Nchi yetu Tanzania''Hapa akiongea machache na walokuja Kufuturu''au niseme Wageni wa Mboni wa Mboni Show'  Mkitaka kuona Picha zaidi Mnawaona wenye Picha washatia Stampu yao hapo Pichani'' Watembeleeni kwa Habari na Mapicha Moto Moto'Ila Mkiungua Msijemkanilaum' Mbuta Nanga!!

Monday 29 July 2013

BY FLORA LYIMO~ JE HUYU NI MWANAMKE AU MWANAMME?'' MBUTA NANGA'' NA HIKI NI KIPINDI CHA JUA ULAYA 2013 NA WENGINE HALI YAO NDO HII!!

 Hapa ndo kafikaaaa''yani ni nomaa''nilipo muona kwa mbali nilidhania ni Mama mjamzito hapo anataka kuzaa vile..so nikatoa sim nipige 999 Kufika karibu nikakuta ni Mwanaume kajilia vitu vya Malkia vya bure kajishibia ndiii'' Hhahahaa''

 Jua limemkolea eee''

HABARI NDO HIYOO''MBUTA NANGA!!