KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!


GODBLESS LEMA MBUNGE WA CHADEMA ARUSHA 'WANTED IN UK FOR SEXUAL ASSAULT(UBAKAJI) BY POLICE IN UK -LONDON" FLORA LYIMO WISH FOR HER BIRTHDAY MWAKA HUU 2013 IS JUSTICE "TUKIO HILI LILIFANYIKA ALIPOKUJA LONDON KUFUNGUA TAWI LA CHADEMA LONDON 2012' LEMA BAADA YA TUKIO ALIKIMBIA LONDON NA ALIPOTAFUTWA NA POLICE HAKUPATIKANA KWA SABABU YA MAJINA ALOSAFIRIA KUTOKUWA NA UHAKIKA NA VILE VILE HAIKUJULIKANA ALIKOFIKIA WAKATI ALIPOKUJA LONDON ' NA TANGU SIKU YA TUKIO UCHUNGUZI UNAENDELEA NA SASA YUPO WANTED IN UK' JE TANZANIA MNALAKUSEMA KUHUSU HUYU MBAKAJI '?NAJUA WENGI WANAMTETEA KWA PALE HAWAJUI UKWELI WA TUKIO HILI'NA MPAKA WATAKAPO INGIA MILANGO YA MAHAKAMA NDIYO WATAKAPOJUA NI NINI HASA WANATETEA 'IKIWA HUNA LAKUSEMA BORA UNYAMAZE NA KUSOMA KIMNYAA" ASANTENI KWA WALE MNAOPINGA UBAKAJI NA UONEAJI WA KINA MAMA ULIMWENGUNI NA HASA TANZANIA AMBAPO WENGI HAWAJUI NINI MAANA YA RAPE UBAKAJI,NA WENGI WANASEMA HAWAWEZI KUSEMA KWA MTU YOYOTE KWANI WANAJIONEA AIBU.MSIJIONEE AIBU 'SIYO KOSA LAKO KUBAKWA 'ALIE KUBAKA NDO WAKUJIONEA AIBU NA KUTANGAZWA DUNIA NZIMA IMFAHAM"

PLEASE SUPPORT FLORA LYIMO STOP RAPE AND RAP CHARITY"

PLEASE SUPPORT FLORA LYIMO STOP RAPE AND RAP CHARITY"
JAMBO EVERYONE" HERE COME YOUR ONE AND ONLY FIRST(in Tanzania) AND SECOND IN THE WORLD TANZANIAN FASHION POLICE"( MBUTA NANGA)YES SHE IS FOR WATANZANIA ZAIDI" DON'T YOU KNOW WHO I' AM" I'M FLORA LYIMO FASHION POLICE, TRADER,FASHION DESIGNER ,BLOGGER ,PHOTOGRAPHER BUYER AND CEO/FOUNDER OF HOUSE OF FLORA " NEED TO KNOW MORE ABOUT ME" WHATSAPP +44 7787471024 EMAIL:flo1974@btinternet.com OH''BEFORE YOU GO" PLEASE DONATE WHAT YOU CAN OR BUY ONE OF MY KNIT &CROCHET PRODUCT ANYTHING THAT I DESIGN AND THE FOUND WILL ALL GO TO FLORA LYIMO STOP RAPE AND RAP CHARITY" DONATE TO LIoyds TSB ACCOUNT:14590768 CODE:30-65-41 IF YOU WANT TO BUY EMAIL OR WHATSAPP US 'THEN WILL SEND YOUR PRODUCT TO YOU FREE POST ANYWHERE YOU ARE" THANK YOU" ABOUT THE CHARITY" HII CHARITY NI KWA AJILI YA KUWASAIDIA WALE KINA MAMA/DADA WANAOJIUZA OVYO "KUPATA AJIRI ,WALE WALIOBAKWA KUPATA MAHALI PA KWENDA NA PAKUWEZA KUSAIDIWA KWA HUDUMA ZA KWANZA NA VILE VILE KUSAIDIANA NA POLICE KUWEZA KUANGAMIZA WANAOWABAKA NA KUHAKIKISHA WAMEPEWA ADHABU YAO INAYOWASTAHILI" NA MWISHO KABISA KUWEZA KUJENGA CLINIC YA KINA MAMA/DADA WANAPOKUWA NA MIMBA HADI KUJIFUNGUA ILI KUWEZA KUPATA MAELEZO BORA (RECEIVE MEDICAL ADVICE) NA KUWEZA KUJIFUNGULIA MAHALI PASAFI NA PENYE HUDUMA BORA" ILI KUEPUSHA VIFO VINAVYOTOKEA MARA KWA MARA TANZANIA AMBAPO MAMA HUPOTEZA MAISHA YAKE AU WOTE MAMA NA MTOTO KUPOTEZA MAISHA YAO KWA PALE WANAPOKOSA VITUO BORA VYAKUWEZA KUWASAIDIA NA KUWAFUNDISHA VEMA" NA AMINI PAMOJA TUKISHIRIKIANA TUTAFIKA NA KUONA HAYA YOTE NILIYOYATAJA HAPA YAKIWEPO TANZANIA KWA UMOJA WETU" GOD BLESS YOU AND GOD BLESS THE WORLD" AMEN"

Tuesday, 21 May 2013

BY:FLORA LYIMO~ HABARI NDO HIYO 'SITOCHOKA NA WALA SITOLALA MPAKA HAKI ITENDEKE" MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO MTANZANIA HALISI AIPENDAE NCHI YAKE KUPITA MAELEZO"

Hi kwa baada ya kuongea na Police UK ambae ndiyo anaeishughulikia hii kesi kwa sasa hivi baada ya mimi mwenyewe kujifanyia matangazo yangu kwenye Blog na Facebook ili Dunia kufaham niliyotendewa na niliyotendewa siyo jambo nzuri au lakusubiria wengine Kina Mama/Dada wabakwe na kuteswa kwa kitu ambacho hawajafanya na vile vile kwasababu mhusika ni wamatawi ya juu au anacheo Fulani basi isiwe kizuizi' hapa tunamtizama Godbless Lema kama Binadam na siyo kama Chama wala vinginevyo" na anapofanya kosa nilazima haki itendeke kama watu wengine na siyo kwasababu ya yeye kuwa Mbunge ndo hajafanya au haki isitendeke kwa sababu ya alivyo juu''au madarakani au Bungeni'' hapa hakuna alonituma na anaowataja mwanzo hata hawakujua kama nilihudhuria kikao chao hicho cha kufungua Chama chao London kwa mara ya kwanza" kwa hiyo my dears Tanzanian msitizame hapa kwa njia ya vyama 'tizameni hapa kwa njia ya Binadam na haki lazima itendeke kwa kila mfanyakosa" asanteni na ningeshukuru mkinielewa maana silali na wala sitokaa nilale now mpaka haki itendeke''all I want is justice and I will do what I can and make sure Dunia na hasa Tanzania Rat's wabakaji waharibifu kama Godbless Lema ni lazima watambulike na wanaobakwa wasijifiche na kujionea aibu eti kwamba ni kosa lao 'NEVER 'KOSA NI LA ALOKUBAKA na wala msiogope kujitokeza angalieni MIMI MATUSI YOTE NIMEYABABA JE NIMEDHURIKA POPOTE? NA HATA PAMOJA NA MATUSI YOTE HAKUNA KITAKACHOBADILIKA" HE IS WANTED OVER RAPE AND NOTHING GOING TO CHANGE IT"  RUWA MANGI!!

BY:FLORA LYIMO~ HII NI KWA WALE ITAKAO WAHUSU"" YANI LEO NDO NINGEUWAAAAA" MBUTA NANGA!!

KUDADADEKI YANI LEO NDO NINGEUWA HASWAA''MPUMBAVU MWINGINE KANIIBIA SIMU YANGU MFUKONI NIMEKAA NAE KWENYE KITI KIMOJA ON THE BUS'NIPO BUSY NAONGEA NA SIM YANGU INGINE YA BONGO NA MY SIS' KUMBE YA HAPA NA YA BIASHARA ZANGU INAIBIWA'' SO MY DEARS I HAVE NO WhatsApp PHONE MPAKA KESHO MADUKA YAMEFUNGWA HATA PAKUNUNUA INGINE HAMNA' SO KWA WALE MNAOTUMIA HII NAMBA YANGU YA 07787471024 IMEIBIWA'' SINA SIM KWA SASA HIVI' ""I HAVE NO PHONE"  — feeling sad.

BY:FLORA LYIMO ~BLOGS HEADLINE'S NEW'S " YALIYOPO NDANI YA MATUKIO-MICHUZI"


MDAU GEORGE KIVARIA ALIVYOSHEREHEKEA SIKU YAKE YA KUZALIWA - ** * Mtoto aliyezaliwa jana Mr George Kivaria Mkuu wa Idara ya Njia Mbadala aka Alternative Channel ya NMB akikata keki tayari kwa kuwalisha wafanyakazi wa...
 

BY:FLORA LYIMO~BLOG'S HEADLINE'S NEW'S" YALIYOPO NDANI YA BONGO STAR LINK ""


(Photo's) Jiachie na camera ya DJCHOKAblog at SAMAKI SAMAKI Mlimani City - Jana msanii wa bongo fleva ambaye nyota yake ilitokea kwenye shindano la Bongo Star Search hapa namzungumzia BELLA KOMBO alikuwa anasherehekea siku yake y...

BY:FLORA LYIMO~BLOGS HEADLINE'S NEWS" YALIYOPO NDANI YA ZEDDYLIOUS BLOG""


BY :FLORA LYIMO ~ MWANAMKE KUJIAMINI NA KUSIMAMA IMARA" YOUR TOP IN TOWN a.k.a. FLORA LYIMO FASHION POLICE 18-MAY-2013 NEW LOOK ALSO SIKIZA ONE OF MY FAVOURITE SONG!!

 Nawaachieni picha na Taarabu ziwaambieni yote''na wapendaje sasa my HATERS!! yani jueni matusi yenu ndo my Blessing Ever 'and all i want is JUSTICE!! 



 Mwakiona kiatu lakini" na kamjuu changu hakipatikani Dunia nzima" Mbuta Nanga!!
Flora nimezaliwa Moshi nimesimama imara" ukiona nimemuachia ujue nimemchoka"" hahaha'kasikizeni Mama wamichapo hapo chini jamani mimi natakatekenya maungo yangu mwenyewe' Toto la Kichagga lisilokwisha mautamuuuuuuuuuu!!

 Flora Lyimo 'Taarabu naipendaje 'yani nikiingia mlangoni naanzia kutekenya maungo hapo hapo" hahahhaa''hebu nipeni kanga jamani"


 nayaweze eee'nani alisema Wachagga na Taarabu wapi wapi''njoo uwanjani sasa'Mbuta Nanga" 
Rahaaaaa weee,tenaaaa'kujipa mwenyeweeeeeeeeeeeeNa my TAARABU DADA'S"!! haya weee'wapi Khadija Kopa .na Mastar wote wa Taarabu 'na wapendaje!! Imbeni sasa'Twendeeeeeeeeeeee" mpaka chini haswaa"Mbuta Nanga'' hahhahahhaaa'
I hope una Enjoy kama navyo Enjoy mimi" yani maisha mafupi kujibishana na WAPUMBAVU 'NA UKIONA WAKUSEMA SEMA NA MATUSI JUU'JUA UPO ON TOP OF THEM" HATERS  MPOO" HALOOOO" ENDELEENI NA MATUSI MIE NALA RAHA ZANGU NA KUFANYA KAZI ZANGU KAMA KAWA" NA MWENDO NI ULE ULE'ALL I WANT IS JUSTICE!!
Anyway on your way out don't forget to FOLLOW THIS BLOG!

Monday, 20 May 2013

BY:FLORA LYIMO~MBUTA NANGA!! YOU THE FLORA LYIMO FASHION POLICE JURY " WHAT YOU THINK"



Fashion statement: Dennis Rodman sported a blonde mohawk, heavy make-up and a gaudy blazer on Sunday for the finale of All-Star Celebrity Apprentice in New York City
Fashion statement: Dennis Rodman sported a blonde mohawk, heavy make-up and a gaudy blazer on Sunday for the finale of All-Star Celebrity Apprentice in New York City"
Rodman adorned the outfit with a large necklace that looked like seaweed and came complete with small seashells.
All eyes were on Rodman when he made his entrance on the game show as boss Donald Trump looked on.
 

'So Dennis you're looking very, very sharp - I like it a lot,' Trump told him with a smile. 'I want your barber.'
Wild thing: Rodman went all-in with his crazy getup that included a seaweed-looking necklace complete with small shells
Wild thing: Rodman went all-in with his crazy getup that included a seaweed-looking necklace complete with small shells"
Trump asked Rodman about his headline-grabbing trip in February to rogue nation North Korea and his bromance with leader Kim Jong Un.
'He was a good guy to me - I don't care what he does besides that,' Rodman insisted.
'He's just like anybody else in the world, man - he shook my hand, he laughed, he smiled. That was it.'
Side views: Rodman wore a big blonde mohawkSide views: Rodman wore an a big blonde mohawk
Side views: Rodman wore a big blonde mohawk

On your way out of here don't forget to FOLLOW THIS BLOG!!

BY: FLORA LYIMO~EXCLUSIVE: ALBUM(2) YA MISS ABBLA BEDROOM PARTY 18.05.2013 LONDON'ALIPENDEZAJE!!





 Rembesha rembesha ya mwisho kabla kuingia kwenye macho ya walofika kumuona Bi Harusi mtarajiwa" Miss Abbla"







 The Tops in Town wakutana,basi nikuchekaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!hahahaa''penda wewe sanaaa Dada langu la Ukwee la Kitaarabu'Mbuta Nanga"
 Fyenzeni tuwasikieeeeeeeeeeeeeeeee"" hahahhaa'you know we are Top in town right!!
Kadogo changu nakapendaje sasa! Mucha love Always"

 Mwaona vaazi lake kotekote eee!! kuiga nibure my dear's"



 Lovely hapa nacheka japo sijui mwaambizana nini" Mbuta Nanga!!

 Yani unafunga macho hivi'' alafu Mmeo mtarajiwa anakuwa karibu nawe..hahahhahaa'Dada Khadija twakupendaje kwa michangamisha yako'Ruwa Mangi!!








 Misosi time" yani watu tulikula na kushibikaje!!









Wapenzi habari ndo hizo kwenye cad zenu 'sasa kilichobakia ni Mavaazi na nyie kujirembesha Mtang'aaje kuliko Diamond" 
''Mbuta Nanga!! I cant wait kuwafyetua"
On your way out from here don't forget to FOLLOW THIS BLOG!!