WELCOME TO MISS FB FASHION POLICE IMESHAFIKA TIME YA KUKUPA COMPLIMENT EIDHA IWE NZURI AU MBAYA" STYLE IS FAR MORE THAN KNOWING WHICH TOP CO-ORDINATES WITH WHAT BOTTOM: KARIBU KUTOA COMPLIMENTS ZENU KWA WALE NITAKAO WA WEKA PICHA ZAO KWENYE YOU BEEN SNAP BLOG" HAMNA MANENO YA MATUSI BALI YALE YAKUSAIDIA MTU APATE KUJUA WHAT SUITS THEM IN TERMS OF STYLE "HOPE IT WILL HELP WENGI "

Monday, 4 June 2012

* IN YOU BEEN SNAP BLOG * NIGHT NIGHT WANACHAMA WANGU .FLORA BAHATI LYIMO NOW SHE IS IN 2009" WITH Luther Vandross & cheryl lynn - if this world were mine"ITS ALL ABOUT EVERLASTING LOVE!!!

* IN YOU BEEN SNAP BLOG * LOOK OF 04/6/2012. MAMA MTARAJIWA ATUAMBIA MACHACHE KUHUSU MIMBA YAKE " NAFAHAMU KUNA KINA MAMA WENGI WANACHAMA WA BLOG HII" HEBU NIAMBIENI YAKWENI.NIMEWAACHIENI MUACHE MAONI YENU WAZI WAKATI WOWOTE"

Yes they are......very connected,hubby akishika tumbo tu mtoto unasikia movement nakwambia mungu mkubwa sanaaaaa na pia hubby anapata all signs zote za mimba na mimi napata kidogo sana,im glad lol...

IN YOU BEEN SNAP BLOG * MBUTA NANGA" HAHAHHAAAAAA ,KUMBE ISSA MICHUZI NDO HUYO NA ANACHEKAJE HADI RAHA".YANI SPORAH HEBU MUAMBIE TENA BWANA WACHAGGA TU MAARUFU KWA BIASHARA BWANA KUTAFUTA PESA NA SIYO KUSOMA MAGAZETI" HEBU WASIKILIZENI WADAU" did I say Wadau " and what is Wadau? Issa Michuzi Chatting with Sporah Njau

Sunday, 3 June 2012

* IN YOU BEEN SNAP BLOG * LOOK OF RED : ANGALIENI WALIOVALIANA NGUO ZAO NA MWENGINE KUIREFUSHA ILI IMKAE KIMALKIA ZAIDI" JE YUPI KAPENDEZA!! WACHA MAONI YAKO HAPA ANYTIME" HAVE YOUR SAY ANYTIME!!

*MKILETEWA HAPA NA MISS FB FLORA BAHATI LYIMO*

Back in August last year Kim Kardashian wore the Alexander McQueen dress for a night out in New York
De-ja vu: The Duchess of Cambridge's Alexander McQueen dress has previously been worn in sleeveless form by Kim Kardashian, centre, and Tulisa, right
Tulisa Contostavlos wore her Alexander McQueen dress for X Factor auditionas last year. Her version was shorter than Kate's and also sleeveless
De-ja vu: The Duchess of Cambridge's Alexander McQueen dress has previously been worn in sleeveless form by Kim Kardashian,  and Tulisa Contostavlos,though 5ft 10in Kate had her version made longer to suit the occasion"


The long and short of it: The original Alexander McQueen version was sleeveless, and much shorter than the one Kate wore today
Hii ndiyo Original ya hizi nguo zao .By :Alexander McQueen"

What is surprising though, is that the Duchess seemed to have taken style inspiration from two most unlikely celebrities.Na hivi ndivyo walivyosimama"
Photos from Mail online"

* IN YOU BEEN SNAP BLOG * QUEEN JUBILEE SIKU YA PILI YAWASHA MOTO KWENYE MAJI IN LONDON LEO 03/6/2012 NA UMEWAKAJE!!!


The Duchess of Cambridge prepares to board the Spirit of Chartwell where she and Prince William joined the Queen for the Diamond Jubilee Pageant on the River Thames
The Lady in Red!!Fletcher designed the Duchess's distinctive red maple leaf hat worn on her tour of Canada last summer"
Topping off the bright outfit with a flamboyant red hat by Sylvia Fletcher from royal milliner James Lock & Co, Kate made sure the public lining the banks of the Thames would be able to spot her easily aboard the barge.
Lady in red: The Duchess of Cambridge cut a swathe through the gloomy weather this afternoon as she stepped on to the Spirit of Chartwell wearing a vibrant scarlet Alexander McQueen dress - on her lapel, Kate wore a maritime-themed brooch featuring two silver dolphins. It's a gift from the Royal Navy Submarine Service of which William is Commodore in Chief"

The Duke and Duchess of Cambridge prepare to board the Spirit of Chartwell

Royal arrival: The Duke and Duchess of Cambridge walked past a row of magnificently dressed Chelsea Pensioners before boarding the boat and waved to the assembled crowds lining the river"


Arriving at the river: The Duke and Duchess of Cambridge and Prince Harry, prepare to board the Spirit of Chartwell

Arriving at the river: The Duke and Duchess of Cambridge and Prince Harry, prepare to boar"


Royal trio: Prince Harry, the Duchess of Cambridge and Prince Williamwave as they pass the Houses of Parliament aboard the Royal barge

Royal trio: Prince Harry, the Duchess of Cambridge and Prince Williamwave as they pass the Houses of Parliament aboard the Royal barge"

The Duchess of Cambridge meets well wishers before boarding the Spirit of Chartwell The Duchess of Cambridge meets well wishers before boarding the Spirit of Chartwell
Time to talk: The Duchess of Cambridge meets well wishers before boarding th Spirit of Chartwell "

Private joke: The Duchess of Cambridge, Catherine shares a laugh with Camilla, the Duchess of Cornwall
Private joke: The Duchess of Cambridge, Catherine shares a laugh with Camilla, the Duchess of Cornwall"

The rain takes the shine off the Queen's Diamond Jubilee River
Keeping cover: The Duchess opted for a large red umbrella as rain continued to fall"
All eyes on them: Members of the Royal Family (from left to right) the Duchess of Cambridge, Prince Philip, Duchess of Cornwall, Prince Charles, Queen Elizabeth II, Prince William and Prince Harry on the Royal Barge

The main characters: Members of the Royal Family (from left to right) the Duchess of Cambridge, Prince Philip, Duchess of Cornwall, Prince Charles, Queen Elizabeth II, Prince William and Prince Harry on the Royal Barge"

Majestic: The 1,000-strong flotilla started its journey at Battersea bridge and will draw to a close at Tower Bridge, where the Royals will have disembarked to watch the grand finale

Majestic: The 1,000-strong flotilla started its journey at Battersea bridge and will draw to a close at Tower Bridge, where the Royals will disembark to watch the grand finale"



Royal barge: The Duchess of Cambridge, stands talking to Camilla, the Duchess of CornwallRoyal barge: The Duchess of Cambridge, stands talking to Camilla, the Duchess of Cornwall
Royal barge: The Duchess of Cambridge was in high spirits as she joined the Queen on the gilded barge;

Stunning: The Queen looked wonderful in a white coat and hat made by Angela Kelly and her team at Buckingham Palace. The outfit, studded with Swarovski crystals, was a year in the making

Stunning: The Queen looked wonderful in a white coat and hat made by Angela Kelly and her team at Buckingham Palace. The outfit, studded with Swarovski crystals, was a year in the making"

Fit for a Queen: The Queen's pageant outfit, designed by Angela Kelly, was an ivory dress and coat in white boucle threaded throughout with silk ribbon and decorated with crystalsFit for a Queen: The Queen's pageant outfit, designed by Angela Kelly, was an ivory dress and coat in white boucle threaded throughout with silk ribbon and decorated with crystals

Fit for a Queen: The Queen's pageant outfit, designed by Angela Kelly, was an ivory dress and coat in white boucle threaded throughout with silk ribbon and decorated with crystals"
Picha na habari kutoma "Mail online"

8IN YOU BEEN SNAP BLOG * LOOK OF 03/4/2012 QUEEN'S JUBILEE SIKU YA PILI" NA SHEREHE BADO ZINAENDELEA!!!

*MKILETEWA HAPA NA MISS FB FLORA BAHATI LYIMO *

The firm: Members of the Royal family (from left to right) Prince of Wales, Duke of Edinburgh, the Queen, Duchess of Cornwall, Duchess of Cambridge, Duke of Cambridge and Prince Harry
The firm: Members of the Royal family (from left to right) Prince of Wales, Duke of Edinburgh, the Queen, Duchess of Cornwall, Duchess of Cambridge, Duke of Cambridge and Prince Harry"

Kudadadeki hii ndo familia ya Nguvu ya UK-London ,yani hawataki mchezo kabisa kama mwakumbuka ile drama ya Prince of Wales na Duchess of Cornwall "Nawaingereza wengi kutokubaliana nao lakini waone hapa " kwani HAWO NDO  WAPORA WAKE QUEEN kwa makubaliano yake"

*IN YOU BEEN SNAP BLOG * PATA ILE FILAMU KILA MTU ANAYOIONGELEA IMEWASILI UK " NA INAUZWA KWA BEI POA NA KUPOSTIWA PALE ULIPO " WASILIA NA PRODUCER NUSRAT SEMTAWA !!!

Damu ya Mjomba" ni filamu inayomuhusu binti mmoja aliyeolewa na kukaa muda mrefu bila kupata mtoto, hivyo kwenda kwa mganga wa kienyeji na mganga akamwambia ili apate mtoto ni lazima apeleke damu ya mjomba wake, je alifanikiwa?? hayo ni maelezo tu kwa ufupi.

 kwa waliombali mnaweza kutumiwa,kwa maelezo zaidi mtafuteni the Pruducer mwenyewe yupo facebook Nusraf Semtawa Tell: 07405777969" Asanteni na msimisi!!

*IN YOU BEEN SNAP BLOG * BREAKING NEWS .USHAURI KWA WATANZANIA NA MANENO ALOYAANIKA HADHARI NDUGU YETU SALHA NA FLORA BAHATI LYIMO KWA KIPINDI HIKI CHA WAINGEREZA NA WAKAAJI WAKE TUKISHEREKEA MIAKA 60 YA MALKIA WA UINGEREZA 1952-2012" KEEP CALM &CARRY ON OUR QUEEN"


Pichani (kushoto ) Bibi yetu Malkia Queen Elizabeth Alexandra Mary born 1926 Crown 1952"ndiye mwenye shughuli hizi za NGUVU MNO" Na kulia ndo Miss FB Flora Bahati Lyimo
Mtanzania halisi mwenye kuipenda Nchi yake kupita maelezo.Fashion Designer,Trader, Fashion Police, Photographer ,Blogger na Msema kweli" NA HUU NDIYO USHAURI WANGU WA LEO 03/6/2012"
Natumaini hamjambo popote pale mlipo na mnajiandaa vyema kwa maandalizi haya ya furaha kubwa ya Malkia wetu " Queen Jubilee ambayo wengi tunasherekea pamoja nae na kumshukuru kwa mapumziko alowapa Wafanyakazi wa Uingereza"na kuwaruhusu kufanya visherehe sherehe popote pale njiani hata vichochoroni" na bila kusahau mbege kwa wingi" (ALCOHOL ) maduka mengi yalikaushwa "na hiyo ndo njia mojawapo yakutajirisha masikini au tajiri kutajirika zaidi" GOD BLESS THE QUEE!
Rais wetu Kikwete IGA TAFADHALI MHESHIMIWA "Tanzania kuna Viongozi hata mastar wanaostahili heshima kama hizi na kufanya hivi hakuhitaji hela "
"Bali WITO ,HESHIMA" UMOJA NA UPENDO"
Sasa basi mie lengo langu na Ushahuri wangu wa leo ni kuhusu wale Watanzania wote hapa UK -London wanaotaka kufanya biashara ya aina yoyote ile. Mwanzo kabisa jueni Watanzania tunaugojwa wa KUTOKUPENDA MAENDELEO YA WENZETU" na dawa yake ni hivi" Unapotaka kufanya biashara yako kwa mfano " Mchoma nyama  BBQ kitanzania style" Hii ya nyama choma imenifikia ila kwa kusema kweli mimi huwa ndo napata habari za mitaani kulikoni ,na huwa nazichunguza alafu nawajibia hapa *You been snap blog * maana hii ndo blog yenu Wanzania hasa mlioko UK-London inayowarushieni mishapo ya ukweli na mnayokubaliana nayo mpende msipende utayaona au kuyasikia adharani badala ya uvunguni" kwa mchoma nyama huyo habari ndo hiyo" na lingine usilipishe watu hela za kutafuta utajiri wa haraka.watu sasa hivi wanahesabu kila senti siyo kama zamani" Anyway" Usifanyie biashara hiyo Nyumbani kwako au hata kwa Mtu .jua hao hao watu hasa WATANZANIA au hata wewe mwenyewe utakuwa una CV isiyosafi .hamna yoyote alie na CV safi kuhusu Marafiki " na biashara isiyohitaji CV hiyo ni yakufanyiwa nje ya Makao yako (NYUMBANI) au ya rafiki.fanyieni kwenye makao ya wananchi wa aina yoyote ( PUBLIC PLACE) wanaruhusiwa na watajiruhusu wenyewe kufika bila kujisikia kwamba wamekuja kwa fulani au wanalengo fulani " Mimi ndivyo ninavyoona "Vile vile usichanganye ULOVE LOVE (MAPENZI )na kila afikae kwenye makazi yako hayo utakae jisikia nae"HAPO NDIPO UTAKAPO JIJENGEA CHUKI NA UTENGANO "
 Mengine msomeni huyu Ndugu yetu hapa chini nae ana USHAURI WAKE!! 
Hivi ndivyo Ndugu yetu SALHA"alivyo post kwenye Wall yake ya Facebook !!

Jamani ndugu zangu wa uk hasa kwa upande wa wanawake wezangu"
 Tuwacheni ufisadi uvunjiaji wa ndoa zetu tuwacheni majungu uchokozi roho mbaya chuki binafsi fitna uhasama uchomeaji kwani hakuna alotoka kwao na kapu za pesa kila mmoja kaja kutafuta sio ukimuona mwanamke mwenzio kanunua kitanda kipya au sofa jipya uwanze kuchukia na kumsema na kumchunguza kiasi gani anapata wakati na ww unao uwezo wa ...kununua ukimuoa anang'ara uso na rangi za midomoni ukaona anapata yule ,tumekuwa hatupendani chuki zimezidi kwa upande za ulaya ukizaa unaisabiwa mtoto wa ngapi kwa hiyo analipwa kiasi gani ,tumeweka pesa mbele kuliko utu ,watu wanafika kuchagua maziko ya fulani siendi au harusi ya fulani siendi kwa nini tunakuwa hivi ulaya inakutoweni Imani na utu hakuna kuzikana hakuna kupendana hakuna huruma ukitizama kwetu africa tulikuwa na umoja ushirikiano hapa ulaya mtu yupo ttayari akuendee kwa mganga uharibikiwe tutizame hatma zetu tutajibu nini kwa Mola wetu kumbukeni kuna malipo siku yamwisho tuwache chuki binasfi hasa kwa wale wanaona watu wanasikiluizana kwenye ndoa za watu na kufitinisha na kuwachisha sio vizurii Mungu atawalipa tu msione rahisi kuvunjiana maisha tena mwisho wake mbaya zaidi fikirieni na punguzeni ukalbikasi watu wa uk msg send

* IN YOU BEEN SNAP BLOG * LOOKING BLUE SUNNY !! STRAWBERRY BELLA THE HAIRDRESSER OUT &PROUD JUST TAKE A LOOK OF HER HAIRDO"

Strawberry Bella herself looking blue sunny "








What you sow here is what she did go get your Classic look at Jawabela "And for  more of  her hairdo go to  www.jawabela.blogspot.com

* IN YOU BEEN SNAP BLOG * ROUND TABLE DISCUSSION FOR US NGO IN WASHINGTON DC 13/MAY /2012 KWETU FASHION DESIGNER BY: MISSY TEMEKE AND FABAK FASHION " SIKIZENI WIMBO HUU WA Uvivu ni adui wa ujenzi wa taifa" HUKU MUKITIZAMA PICHA ZA UBUNIFU WA MAVAAZI HAYO"



Missy Temeke (kushoto ) na Model wake " wa Kwetu Fashion "





Kushoto ni MH Balozi Mwanaidi Maajar ,nae alifika kuwapongeza na vile vile kuwaambia mawili matatu kwani hivyo ndivyo Tanzania inavyotakiwa kwa Viongozi au wenye FUNGUO za kuwafungulia milango Watanzania ambao wapo tiyari kutaka kuiona Nchi yao kuwepo kwenye mistari ya mbele kufanya" Weldone my dears""
"UMOJA NI NGUVU NA UTENGANO NI UDHAIFU" Na bila serikali ya Tanzania kuangalia na kuwashia Tochi Watu kama Missy Temeke ili waweze kufika wanapotaka kufika kwa ubunifu wao hatutasogea popote bali kuendelea kurudi nyuma"



















Asya of Fabak Fashion atuonyesha Urembo wa Vaazi alolivaa " ndo mambo ya Ubunifu na Ufundi"











Misosi ilikuwepo pia ,meno lazima yateswe kwa mbunifu !! "Mbuta Nanga"

Kushoto ni Mbunifu wetu Missy Temeke (Kwetu Fashion Designer) yani yeye hata hapo anaonyesha kabisa kwani hata kitambulisho chake kavaa tofauti hapo na wenzake" Weldone my dear wangu"keep it up kwani Taifa lakutegemea Wewe ,Mimi na Wale wote wenyekutaka maendeleo siyo kwao tu bali kwa nchi na Dunia nzima"