KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Saturday 30 May 2015

WHATS NOW ? WATANZANIA MUISHIO MAMBELEZ'' HASA UK 'MJI MKUU UKIWA NI LONDON '' ZINGATIENI MANENO YA FLORA LYIMO MBUTA NANGA'' NA KARIBUNI KUSALI NA WENZETU PIA KUKUTANA NA KUBADILISHANA MAWAZO'' KILA JUMAPILI AT Prayer Temple.119 East India Dock Road,London E14 6DE





''TUMSIFUNI YESU KRISTU ''NA MAMA YETU BIKIRA MARIA''

FLORA LYIMO (MBUTA NANGA) MTANZANIAALISI AIPENDAE NCHI YAKE KUPITA MAELEZO ''

NDUGU ZANGU WANZANIA WENZANGU '' Nina matumaini makubwa ya kwamba HAMJAMBO POPOTE PALE MLIPO'' Vile vile nina furaha kubwa sana sana kuweza kujiona siku ya leo nimeweza kuamka salama kabisa na pia kupata nafasi yakuweza kuwaandikieni haya nitakayo waambia leo '30-5-2015 KUHUSU UKUWEPO WETU HAPA UK NA KUJISHUGHULISHA NA MAKUTANO HASA KUPITIA KANISANI '' UWE MKRISTU AU MUISLAM ''  TUKUTANENI HATA JUMAPILI MOJA KWA MWEZI  ILI TUWEZE KUJUANA NA VILE VILE KUBADILISHANA MAWAZO ''

''CHA MUHIM NA KUJIPANGA''
Mwajua wengi wetu wakati tunapokuwa wazima wa afya ,kazi tunayo ,mke unae,mpenzi unae,watoto unao ,maisha yako unavyopenda wewe unayo '' pesa unazo ''
Wajua tunajisahau kabisa kwamba hivyo vyote
TUNAWEZA KUAMKA NA KUKUTA HATUNAVYO 'Na vile vile hata kuamka pale ulipo lala Usiku unashindwa kabisa'' Yani ni jambo ambalo LIPO ''LINAWEZA KUTOKEA tena wakati wowote'' Sasa basi cha msingi na ninachotaka kuwaambieni siku ya leo ni kwamba'' Tusisubiri mpaka yatukute au yakukute'' tukumbukeni ULE MSEMO USEMAO '' (AKIBA HAIOZI) Jamani tuwe tunakutana hata mara moja kwa mwezi tukishirikiana na Wenzetu Wakenye au hata Nchi zingine kwa watakao penda'' ili  Tujadiliane jinsi gani yakuweza kujisaidia wakati wa shida '' Shida kubwa kama vile MISIBA'' Ndugu zangu Wanzania wenzangu '' kama mnavyojua tunatabia hii ambayo ni kubwa sana yakusema ONA WENZETU WAKENYA WANAVYO TUSHINDA KWA VITU HIVI NA VILE ? Hebu leo tujiulize je ? ni kwanini na sisi tusiweze kufanya wafanyao hao Wenzetu wakenya au makabila mengine ? Yani kiukweli hakuna kitu wanacho kifanya wao nasi kukiona kizuri wooow wameweza ,alafu na sisi tusiweze '' TUNAWEZA KABISA'' Maana kila walichokitumia na sisi tunacho '' Kwa hiyo ni kwanini na sisi tusifanye kama wao ? Kwa mfano '' Makanisani '' Wanakutana wanasali kwa pamoja na wakimaliza wanapata chai kwa pamoja na hapo hapo kuweza kujuana na kubadilishana mawazo '' na wanafanya hivyo kila Jumapili ijayo kwa Mungu '' Sasa wewe jiulize Sisi Watanzania ni kwanini tusiweze kufanya hivyo ? na Tukawa tunafanya ya maana ,sio unahudhuria kanisani hapo kwa sababu unataka kuomba misa sijui ya Shukrani au mengineyo '' Yani tuwe tunahudhuria kwa kuomba Mungu na kuweza kubadilishana mawazo na kutoa sadaka zetu kwa Mungu alozitupa kwa pamoja na Vile vile tukaweza kukusanya Pesa kidogo hata kufungua Bank account yetu ya SHIDA'' ili tuweze kuweka huko hata £10 PAUNDI KUMI KWA KILA MWEZI '' Hiyo nadhani wengi wenu haitawashinda'' na Mimi mwenyewe Flora Lyimo ''Nipo tiyari kwa Mchango wangu na pia kusaidia kufungua hiyo Bank yetu ya ''SHIDA'' 
UNAWEZA KUFIWA LEO AU KESHO ''
Ndugu zangu wanzania '' Hata uwe tajiri wa Dunia'' HUWEZI KABISA KUJIZIKA UKIFA LEO AU KESHO '' Na hivyo basi '' Msiwapeni ndugu zenu au familia zenu mizigo ambayo wenyewe Ukifa na utajiri wako '' Wanaanza kujisambazasambaza tena huku wakitumia Marafiki zao ili waweze kuwasambazia misaba hiyo ili wapate michango ,maana wao hawana ushirikiano mzuri na wenzao Wanzania au WALISHA SEMA HAWAJICHANGANYI 'Sasa hapo yule alokufa tajiri na mihela yake ''kumbe hata bank account ndugu hawana uwezo wakuweza kutoa chochote mle na vile vile unaweza kukuta una madeni kibao na sababu hiyo pesa zote zinazuiliwa hata usipate za kukusafirisha au kukuzika ipasavyo '' kitakacho bakia utachomwa kivuli chako kitazikwa vizuri tu kwa BURE AU BEI RAISI HAPA UK '' Ila wajua sisi wengi wetu Wakristu kuchoma watu wanapo kufa SIDHANI KAMA NI HISTORIA YETU AU NI KITU AMBACHO TUNAKIFANYA'' Mimi tangu udogo wangu hadi ukubwani nilikuja kugundua hilo la mtu kuchomwa na majivu yake sijui kuhifadhiwa sijui kwenye vikopo mara kutupwa baharini mara sijui wapi ''yani hayo yote nimeyajulia Ulaya hii'' I HATE IT'' Yani hata kwenye mazishi nikisikia ni mtu kuchomwa sipendi nijikute nimehudhuria'' I THINK NI DHAMBI KUBWA SANA TENA SANA ''NA MUNGU HAPENDI '' NA HATA ALOCHOMWA HATAKWENDA MBINGUNI '' ''NGACHOKA''
Lingine ni sasa wewe ambae hujichanganyi unaachia rafiki zako wakuchanganyie wenzako ambao wewe mwenyewe hujichanganyi nao '' waje kukutolea michango na pia kujiunga na wewe kwenye Misiba au shida zako '' Hiyo naona ni aibu na kujichora sana'' maana watu wanakusema vibaya mno japo wanatoa ile michango na pia kuja kukufariji '' KAMA UNA TABIA HII'' BADILIKA SASA NDIO MUDA WAKO /WENU /WETU wakubadilika'' Hakuna Mzungu ambae anaweza kukusaidia ukiwa na shida kivile sisi wenzako tungeweza kukusaidia'' Tusitegemee wazungu tukijua wao ndio kila kitu '' Wala tusitegemee Ubalozini kujua ndio mambo yote'' Ubalozi haupo nchini za nnje kwa kuwasaidieni kwa shida zenu au shida zetu binausi '' Yani hilo tukae tukijua kabisa'' Na kujipanga'' Mimi nawashangaa sana watu wapo bizi kushughulika na maisha ya wenzao na kuwachukia bure ,kisa wanafanya yao ili wapate kuishi wapendavyo au hata mtu anajipa raha zake kwa vile ampendavyo ''My dears'' nawe JISHUGHULISHE ,JICHANGANYE ,JIPE RAHA ZAKO UPENDAVYO WEWE''
KARIBU KANISANI APA KUJICHANGANYA' UPO /MPO EeeE''
''AIKA RUWA''
Kila jumapili Mimi hujitahidi sana kwenda kanisani hapa hata mara moja kwa mwezi ili kujichanganya na wenzangu wa AFRICA ZAIDI '' WANYUMBANI ZAIDI ''Na pia nina kanisa langu ambalo lipo karibu na maduka yangu mjini Oxford Street ''Hilo kanisa ndilo la kwanza kuhudhuria nilipokuja London kwa mara ya kwanza kuishi mwaka 1994'' Yani kitu cha muhim nilichokitafuta ni KANISA LA ''KATOLIKI '' Niliuliza na nikaonyeshwa hili ambalo ndilo hupita pita hapo nnje karibia ya kila siku na nikisali na kumshukuru Mungu na Mama yangu Bikira Maria'' Na hapa kwenye kanisa langu mtaa wa Mapesa ni Wenzetu wa mataifa mengine na Waingereza wenyewe ndio utakutana nao kwenye hilo kanisa''
Sasa basi mwenzangu ''Pia naomba ujiamini ,ujikubali na ujue kufaham maswali kabla yakujibu ''

Kuna siku niliuliza Mtu '' Ambae pia alifiwa na Mama yake Mzazi hapa UK' na ikawa kwa ushirikiano wa Ndugu na Marafiki kukafunguliwa group kwa ajili ya mchango wa msiba huo in Whatsapp''
Basi watu wakawa wana adiwa na kukaribishwa mle wengine wakiwa hata hawamjui alofiwa wala kuwahi kumuona alokufa '' but kwa kuwa pesa zilikuwa zinahitajika kwa ajili ya mazishi '' Lazima UBINADAM ukuwepo in 100% Kushangia chochote ulichonacho'' 
Basi pesa zikawa bado ''watu wakawa wanatafuta namna ya kuzikamilisha'' Mimi Flora Lyimo from mawazo yangu '' Nikapost mle'' Kuuliza swali la kutaka kujua Alofariki ili niweze kuwapa ushauri mwingine ambao lengo lake ni kupata zile pesa kupita marehem''
''swali nililouliza '' 
Jamani marehem alikuwa anaishi vipi hapa UK ? Nilichojibiwa na Mtu mbae sinahabari kabisa ikiwa msiba anaundugu nao au la'' ni aliropoka kama mwizi '' nakujibu '' HAYAKUHUSU ''MAISHA YA WATU WANAVYOISHI HAPA UK HAYAKUHUSU '' Jamani wajua nilitamani angeniambia hivyo in my face'' ningemzabua kofi PAAAAAAAAAAA'' alafu angepata faham''ya kwamba sijauliza watu wanavyoishi maisha yao hapa UK'' niliuliza marehem alivyokuwa anaishi hapa UK ''na ikiwa hayanihusu ''BASI MLITUHUSISHA KWENYE HILO GROUP KUTOA MISHANGO YA MAZISHI KWANINI ? Singesema hayanihusu au hayatuhusu na msituhusishe ? Yani anabahati watu walinipigia sim na kuniomba nimuache huyo ni 
''le mburulaz '' hajitambui 'na maisha yake hapa UK anaishi kama mwizi tu''ndiyo sababu ''hata swali hakuweza kujibu ''karopoka mapovu yalimtokaje''
Sasa mtoto mwenye Msiba nae akanijibu '' 
Hhahaha''Ngoja nicheke kidogo maana nilicheka sana''
alinijibu hivi''
Na dada yangu FLORA#Labda tu kujibu swali au hoja yako.Ni kwamba ,kama nilivyo mimi mwanae naishi hapa kama Mtanzania na mkoba wangu wa kibongo na marehemu mama naye alikuwa hivyo hivyo .Nina uhakika na hilo .2013 tulienda nyumbani pamoja na alitumia pp yake ya kibongo .Tafadhali Naombeni tuache huu mjadala wa UWEZO WA UBALOZI WETU NA MSIBA HUU.ASANTENI SANA WAPENZI.

MBUTA NANGA'' #juaswalikwanza
Hahhaa''jamani hili ndilo jibu nililijibiwa ,WEWE UNALIONAJE ? je ni sahihi ? Wacha niwafahamisheni '' 
Mtu anapo kuuliza unaishije hapa UK ''? Hakuulizi kama una mikoba sijui makaratasi ''Yani Paspoti ''Hapana kabisa jamani ''Mimi sijui kama nikutokulewewa swali au nikuropoka au nikutokujiamini '' 
sasa wewe mtu badala ujibu ' (kwa mfano ) Mama alikuwa anaishi hapa UK kwa muda fulani na alikuwa anafanya kazi au Biashara zake so and so Na hadi kifo chake alikuwa anaishi london na akiwa anafanya kazi au biashara zake so and so ''au alikuwa kesha acha na alikuwa nyumbani hadi kifo chake'' YANI MIMI SIKUULIZA MAMBO YA MIKOBA ''KABISA '' NA SASA MJUE NA KUJIPANGA MNAPO ULIZWA MASWALI '' MSIROPOKE KAMA WEZI NA WAKIMBIZI AU WALIOJILIPUA'' maana siku zote wanaishi kwa wasi wasi '' JUENI SWALI HILO MLILO ULIZWA NA KULIJIBU IPASAVYO '' NGACHOKA'' haahhaa'' JAMANI MIMI SIFUATILII KAMA WATU MNA MIKOBA AU ''LA'' Yani utajijua mwenyewe maana KUFA KWAJA KWA KILA MTU '' Sasa ikiwa hiyo mikoba huna ''Jipange usije ukafa ukaachia familia na ndugu zako shida maana hata hao hao marafiki wanaweza wakagoma kwa sababu unazozifaham wewe ulo fariki'' TUMSIFU YESU KRISTU ''
MY DEARS TUJICHANGANYENI NA TUJIPANGE''

UNAKARIBISHWA KILA JUMAPILI''
At Prayer Temple.119 East India Dock Road,London E14 6DE
Tel. 020 7515 1616
www.ccbc.org.uk
info@ccbc.org.uk

'WHATS NOW ? IT WAS 19-9-2013 '' MSHINDI WA ILE BUKU 50 TZSH. NDIYO HUYU HAPA'' JIBU HILI APA'' WAIKUMBUKA HII SIKU EEE'' RUWA MANGI''JAMANI KAMA UNA MWANYA NITUMIE PICHA YAKO NA KAMA UNAJUA MAANA YAKE LET SHARE PLEASE !! A CUP OF KILIMANJARO BLACK COFFEE FOR MY....... FLORA LYIMO AFRICAN KING WA UKWEE'' I LOVE MY NEW IN TO ME''HAHHAAA WEWE ULIE TUU'UCHEKE KWANI UNA MWANYA''

FLORA LYIMO FASHION POLICE aka MUKE YA AFRICAN KING WA UKWEE''TO BE''HALOOOO''UKIONA HEKA HEKA ,UJUE ANAOLEWAA''
NYOTA ZANGU  HAPA  MSISHANGAE INAITWA CHEZEA CAMERA IKUVUE NGUO'' MBUTA NANGA'' SASA HABARI YA MIJII MIKUU NI KWAMBA ''
''MWANYA'' UNA MAANA GANI HASA PALE UNAPOKUTOKEA GAFLA ? YANI UNAPOKUWA HUJAKUWA NAO TANGU UTOTONI AU NISEME  HATA SIKU MOJA ''ALAFU KIDOGO KIDOGO UNAONA UKIWANAO HUUUUUUUUUUUUUUUUUU''KAMA WA FLORA LYIMO HAPA''
  WEWE ENDELEA KUTIZAMA PICHA ZOTE NA SIKIZA MY SONG OF THIS MOMENT TO GO WITH IT'' UKIMALIZA NITUMIE PICHA YAKO KAMA NA WEWE UNA MWANYA'' KAMA HUNA NA UNAJUA MAANA YAKE THEN ''TUAMBIE HAPA ILI NASI TUSOJUA TUPATE KUJUA'' FLFP
 UKINIPENDA MIMI''NA MIMI NITAKUPENDA PIA'' UKINIDHAMINI BABYYY''NAMI NITAKUDHAMINI PIA''' YANI NIKAMA WALIJUA MANENO YANGU MOYONI EEE'' THANKS WAPENZI FOR HUU WIMBO NIMEUPENDAAA'' HASA PALE PANAPONIHUSUU'' ENJOY THE SONG'' 
NA MTUWACHE TU.......!!!! MBUTA NANGA''NACHEZAJE SASA'' AMA KWELI KUKOSA USINGIZI NI KUINGIA PENZINI KINOMAA''
LOVE CONFIDENT THAT IS WHAT IS ALL ABOUT IN HERE''AND YES ''YOU NEED THAT''JIPENDE KWANZA KABLA HUJAPENDWA NA JITENDEE YOTE UPENDAYO WEWE MWENYEWE'MAISHA NI YAKO NA SIKU YA KUONDOKA HAPA DUNIANI HATA PAMOJA NA KULETWA HAPA NA WAZAZI WAKO ,UTAONDOKA MWENYEWEE NA MZIGO WAKO UTAUBEBA MWENYEWE '' IKIWA KUNA ASOPENDA UYAPENDAYO WEWE 'HAYO NI MAPOCHOPOCHO YAKE'' MBUTA NANGA''
''NO TIME FOR HATERS'' WAMEKWISHAAAAAAAAAAAAA''

 MWAUONA MWANYA WANGU EEEE''YANI NIMEUPENDAA'ILA USIONGEZEKE ZAIDI YA HAPO'' YANI UWE HAPO HAPO ''YANI HAPO HAPO ULIPOSHIKILIA BABYYYY''HAHAAAAAAAA''

 KILIMANJARO BLACK COFFEE'' SUKARI NA MAZIWA FOR MY AFRICAN KING''

 HAYA SASA HEBU ONENIIIIIIIIIII''HAHHAHAAA''WEWE ULIE TUUUUU''UCHEKE KWANI UNA MWANYA? HAHHAHAA'UNAKUMBUKA HUU MSEMO'''
 MWAUONA EEEEEEEEEEEEEE''''CHEZEA WENYE MWANYA WEWEEEEE''''
 HAPA NDO WAONEKANA VIZURIIII''JAMANI KWELI NAJIULIZA SANA''WHY GAFLA NAKUWA NA MWANYA?? ANYONE?? HELPPPPPPPPPPPP''''
 YES THE ONE AND ONLY ''' UKINIPENDA MIMI''NA MIMI NAKUPENDA PIA'' UKINIDHAMINI BABYYYYY''NAMI NITAKUDHAMINIJE'' HABARI NDIYO HIYOO''WATUWACHE TUPENDANE WAJE WAULIZANEEEEEEEEE'''

 LOVE IS UP THERE''AND I CAN FEEL AND TOUCH IT''' YANI MAPENZI YASOKUWA NA MFANOO''YES MAPENZI YA WAPENDANAO YASOKUWA NA MFANO NI YALE YA WAPENDANAO WENYE DUNIA YAO WENYEWE''' AND THAT IS WHAT I EVER EVER WANT ''' TUWE NA DUNIA YETU BABYYYYYYYYYYYYYY'' HALOO BEIBEEE''' ABEEE''''TULIPOANZIA HAWAJUI 'TUNAPOKWENDA WATAJUAJE'' BY:ERICK''' I LOVE MISTARI YAKE INAKUWAGA IMENYOOOKAJE'' 
HABARI NDO HIYOOO''JAMANI FANYA ILE KITU ROHO YAKO INAPENDA NA MOYO WAKO UMEAMUA'' MENGINE YATAJIPANGAAAAAAAAAAA'' SASA KAMA WEWE UNA MWANYA ...TUMA PICHA KWA flo1974@btinternet.com 
KAMA HUNA WEWE TUAMBIE UNA MAANA GANI? YANI WENGI WETU TUNAPENDA KUJUAA'' HAHAHHAAA''NACHEKA NINA MWANYA MIE'' MBUTA NANGA''
HAVE A LOVELY DAY ALL'' STAY BLESS ALWAYS''FLFP''

KUTOKA KWA  MMOJA WA NYIE NYOTA ZANGU''21.9.2013 AT MY FACEBOOK WALL'
  • To be honest with you, I don't comment on your blog but I must go thru your blog everyday and I am so much amazed coz your blog stands out of all Tanzanian people who owns blogs. You are the best and you will remain an outstanding lady. The only thing I praise you today is haujaweka huu upuuzi 
    ( Which was about yule mnuka mdomo m.kimavi')kwa blog yako. Big up to you my lady. Waache wadiscuss upuuzi kwa blog zao maana watu wanasema low minded people discuss about people, so waache wakazane kujadiliana na kutafuta/kununua ugomvi, we twanga maendeleo ya kuwaendeleza wanawake wenzio na Mungu atakubariki mpenzi''
  • MSHINDI WETU WA BUKU 50 tzsh'' ALIE WAHI KUWEKA COMMENT YAKE WA KWANZA INSTAGRAM YANGU NI''
  • Zulfa_wa_ans 
  • Jibu was 2013 
  • HONGERA SANA MPENZI '' NOW nitumie whatsapp majina yako kamili ili niweze kukupa buku yako 50'' 
  • Jamani FLORA LYIMO instagram kama mbutanangablog HUWA NATOAGA MASHINDANO YA BUKU 50'S tzsh'' SO UWE UNACHUNGULIA KULE HUWEZI JUA LINI UTAKUWA MSHINDI '' LOVE YOU MY DEARS''
  • MBUTA NANGA THE ONLY ONE IN THE WORLD''

Monday 25 May 2015

WHATS NOW ? HUYU STAR NAE KAAMUA KUMUIGA THE ONE AND ONLY MBUTA NANGA FLORA LYIMO IN THE WORLD'' FULL KUJIAMINI ''



On-tour: The performance was one of the last scheduled for Kesha's long-running Warrior Tour
WANAO JIAMINI WAJIKUTA WAKIFANYA YAO IN GREEN  HAIR ''

Green lady: Kesha and her new green hairdo took the stage in Las Vegas, Nevada for a show on Saturday
Green lady: Kesha and her new green hairdo took the stage in Las Vegas, Nevada for a show on Saturday''
Kesha first debuted her new hairdo via Instagram a week before the Vegas show, and little seemed to have changed since then.
Flowing loose over her shoulders, the colour was previously described by the singer as 'slimey.'
For her clothing, Kesha opted for a lacy, somewhat see-through leotard of white and silver, paired with fishnet stockings for the full showgirl look.
On-tour: The performance was one of the last scheduled for Kesha's long-running Warrior TourOn-tour: The performance was one of the last scheduled for Kesha's long-running Warrior Tour
On-tour: The performance was one of the last scheduled for Kesha's long-running Warrior Tour''

TUMECHOTA NA KUMIMINA KUTOKA DM ILI MJIONEE'' 

WHATS NOW ? HAPPY BIRTHDAY THE MBONI SHOW KIPINDI KINAADIMISHA MIAKA MITATU NA KUSHEREKEA KWA KUTOA MISAADA HOSPITALI '' MBUTA NANGA''SO PROUD ''


 Mkurugenzi wa Mboni Show, Mboni Masimba akimkabidhi Mkuu wa Idara ya Uzazi na Magonjwa ya Akina mama wa hospitali ya Taifa ya Muhimbili, Dokta Mathew Kallaga (aliyepokea kwa niaba ya uongozi) vifaa mbali mbali vyenye thamani ya Tshs. Milioni saba alivyotoa kwa hospitali ya Taifa ya Muhimbili jijini Dar es Salaam ikiwa ni maadhimisho ya miaka mitatu ya kipindi hicho. Kila mwaka Kipindi cha Mboni huwa kinaadhimisha kwa kutoa msaada sehemu mbali mbali ikiwa ni mpango wake wa kurudisha fadhira kwa jamii ambapo mwaka huu aliungwa mkono na PSPF, Nakiete Pharmacy, Fadhaget Sanitarium Clinic pamoja Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda.
 Mkurugenzi wa Mboni Show, Mboni Masimba akipongezwa meneja wa Jengo la Wazazi, Sister Amina Mwakuluzo kwa moyo aliyouonyesha. Kila mwaka Kipindi cha Mboni huwa kinaadhimisha kwa kutoa msaada sehemu mbali mbali ikiwa ni mpango wake wa kurudisha fadhira kwa jamii ambapo mwaka huu aliungwa mkono na PSPF, Nakiete Pharmacy, Fadhaget Sanitarium Clinic pamoja Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda. (Picha zote na Cathbert Kajuna wa Kajunason Blog.)
 Mkurugenzi wa Mboni Show, Mboni Masimba akitoa shukrani zake kwa uongozi wa hospitali ya Taifa ya Muhimbili kwa kuweza kumpokea na kukubali vifaa alivyotoa ili viweze kuendelea kusaidia jamii. Mboni alitoa vifaa mbali mbali vyenye thamani ya Tshs. Milioni saba alivyotoa kwa hospitali ya Taifa ya Muhimbili jijini Dar es Salaam ikiwa ni maadhimisho ya miaka mitatu ya kipindi hicho. Kila mwaka Kipindi cha Mboni huwa kinaadhimisha kwa kutoa msaada sehemu mbali mbali ikiwa ni mpango wake wa kurudisha fadhira kwa jamii ambapo mwaka huu aliungwa mkono na PSPF, Nakiete Pharmacy, Fadhaget Sanitarium Clinic pamoja Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda.
 Mkurugenzi wa Mboni Show, Mboni Masimba akimkabidhi kikombe Mkuu wa Idara ya Uzazi na Magonjwa ya Akina mama wa hospitali ya Taifa ya Muhimbili, Dokta Mathew Kallaga.
 Mkurugenzi wa Mboni Show, Mboni Masimba akitoa zawadi mbali mbali kwa akinamama aliyowakuta katika wodi ya wazazi. Kipindi cha Mboni huwa kinaadhimisha kwa kutoa msaada sehemu mbali mbali ikiwa ni mpango wake wa kurudisha fadhira kwa jamii ambapo mwaka huu aliungwa mkono na PSPF, Nakiete Pharmacy, Fadhaget Sanitarium Clinic pamoja Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda.
 Mkurugenzi wa Mboni Show, Mboni Masimba akimkabidhi nguo kwa mama aliyejifungua mtoto wa kike. Pembeni anayeshikilia nguo ni Mkurugenzi wa Fadhaget Sanitarium Clinic, Dokta Fadhili Emily.
… Mkurugenzi wa Mboni Show, Mboni Masimba akiwa amebeba mtoto kwa furaha.
 Mkurugenzi wa Mboni Show, Mboni Masimba akitoa zawadi ya Nakiete Baby Diaper ambazo hutengenezwa na Kuuzwa na Nakiete Pharmacy ambao nao waliungana nae kutoa msaada huo.
 Mkurugenzi wa Mboni Show, Mboni Masimba (katikati) akiongea machache mara baada ya kukabidhi vifaa vyenye thamani ya Tshs. Milioni saba alivyotoa kwa hospitali ya Taifa ya Muhimbili jijini Dar es Salaam ikiwa ni maadhimisho ya miaka mitatu ya kipindi hicho. Kutoka kulia ni Mkurugenzi wa Fadhaget Sanitarium Clinic, Dokta Fadhili Emily, Mkurugenzi wa Fedha na Utawala wa Nakiete Pharmacy, Dorine Mzava na Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda. Wengine ni Mkuu wa Idara ya Uzazi na Magonjwa ya Akina mama wa hospitali ya Taifa ya Muhimbili, Dokta Mathew Kallaga na Dokta Vicent Tarimo.
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda akiongea wakati alipounga mkono Kipindi cha Mboni Show katika utoaji wa Misaada katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili jijini Dar es Salaam. Pembeni kulia ni Mkurugenzi wa Fedha na Utawala wa Nakiete Pharmacy, Dorine Mzava na Mkurugenzi wa Mboni Show, Mboni Masimba.
Mkurugenzi wa Mboni Show, Mboni Masimba akitia shukrani kwa wauguzi wa hospitali hiyo.
Picha ya Pamoja…
Mkurugenzi wa Mboni Show, Mboni Masimba akihojiwa na waandishi wa habari mara baada ya kumaliza kutoa msaada katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi wa Mboni Show, Mboni Masimba akishow ndugu zake na Emma Kahere na Mariam Masimba.
Timu ya Mboni Show ikifurahia pamoja madokta.
 ASANTENI KWA FULL HABARI '' MIMI BINAUSI NASEMA THE MBONI SHOW UZIDI KUBARIKIWA MY DEAR '' HUU NI MFANO MZURI SANA MMEONYESHA ,I HOPE NA WENGINE WATAKUIGA''

Saturday 23 May 2015

WHATS NOW ? BREAKING NEWS'' FLORA LYIMO MBUTA NANGA NA LINDA BEZUIDENHOUT ARE OFFICIAL KIBOKO YAKE MANGE aka KUMAKUMAMBI'' LEO KASARENDA YANI KAJITANGAZA KUTUKOMA .CHEZEA MBUTA NANGA ''AKUWACHE UKIFAGIA BAHARI ''


FLORA LYIMO MTANZANIA ALISI AIPENDAE NCHI YAKE KUPITA MAELEZO''
Ndugu zangu Watanzania wenzangu natumaini hamjambo popote pale mlipo '' Mimi leo nina furaha sana na bado nitazidi kuwa na Furaha zaidi pale ambapo Mange kumakumambi atakapo hukumiwa kwa anayo yafanya kuidalilisha Nchi yangu ,Viongozi wangu ,Rais wangu na Watanzania wengi sana ambao wengi wao anawatukana ovyo just kwa sababu wanacho kile ambacho yeye mwenyewe hawezi kuvipata au alikuwa nacho na sasa hanacho tena'' 
BASI LEO KAJITANGAZA RASMI KWENYE KILE KIBLOGU NUKA CHAKE KWAMBA FLORA LYIMO NA LINDA 'AMETUSHINDWA NA ISOTOSHE KAJITETEA KAMA KAWAIDA YAKE'' Kwa sababu nilimuagiza vitu kupitia Instagram  peji yangu avionyeshe,NA AKASHINDWA KUVIONYESHA'',vitu hivyo vikiwa ni NYUMBA ANAYO ISHI ,VYOMBA ANAVYOTUMIA VIKIWEPO HADI MASHUKA LOGO ZAKE TUNATAKA KUZIONA NA PIA VYOOMBO VYOTE'' Baada ya yeye kudai kwamba eti anakoishi anaweza kunilipia mimi napoishi na vijisenti vibaki'' hhahaha'' sikashindwa kuvionyesha pamoja na banck account anionyeshe pesa zilizoingia japo kwa mwezi na siyo week na ziwe ni za kwake na siyo za kupewa na hao baba watoto wake '',na hata mimi nitamuonyesha vya kwangu vyote ,vyote'' tena ni kwa jasho langu na siyo la wazazi wangu wala waume zangu au baba watoto nk,lafu tuone ni nani wakujigamba'' nyoko nyoko zake ameachwa vibaya na mzungu hana lolote 'kilichobakia ni kukesha mitandaoni kushafua nchi yangu na watanzania wenzangu' 
SASA NAMUAMBIA HIVI NAOMBA ANIONYESHE USHAIDI WA PESA ANAZOLIPWA KWA AJILI YA KUPOST UJINGA WAKE KWENYE KIBLOGU NUKA CHAKE'' si apo chini ukisoma hiyo post yake kasema analipwa kufungua domo lake'' sasa atuonyeshe anavyo lipwa '' MENDE LA CHOONI LINALOJITANUA TANUA OVYO ''
UTUKOMEEE YANI SUBUTU KUTUPOST TENA UTAJUTAAAAAAAAAAAA''MBUTA NANGA'' CHEZEA NA DANGANYA WASOKUWA MABLOGA LAKINI BLOGGER KAMA MIMI APA HATUDANGANYIKI NG'O'''NOW 'Hebu tiririka nalo '' yani HIVI KUNA MTU ANAWEZA KUJIFOSI KUANIKWA KWENYE KIBLOGU NUKA CHAKE? LABDA MAMA YAKE Alie panda mabasi  ALOMZAA NA BABA MWENYE NYUMBA'' Yani Mange heshim sana mabasi alayo panda Flora Lyimo Mbuta Nanga' Yani jamani ni hivi '' Mama yake mzazi alikuwa mfanyakazi wa nyumbani yani alikuwa akimfanyia kazi za nyumbani baba yake Mange kabla ya Mama yake kuchepuka na Mwenye Nyumba'' Tajiri yake'' yani  jua huna lolote la kuniambia wewe mange ukome kabisa'' Eti nitakufa nikipanda mabasi bila kujua kuendesha magari ''kama magari yalikuwa Dili mama yako angekuwa nayo na asingekuwa yaya kama unavyo mfanya mwanao Bhoke ''UPO HAPO '' Na kama hujui Mabasi sasa hivi ni dili na nipo mbioni kuwa na mabasi yangu huko bongo ukiona mabasi yaloandikwa MBUTA NANGA'' jua nimo ndani najitengenezea mimashilingi yasiyo hesabika'' hahhahaa''' HESHIM MABASI ALOPANDA MAMA YAKO KUMPATA MWENYE NYUMBA AKAKUZAA KWA MCHEPUKO ..JUST LIKE YOURSELF'' NGACHOKA'' 
KWANINI WASIOKUWA  ” LEVELS BABY LEVELS ” WANAFORCE KUPOSTIWA KWENYE BLOG YA LEVELS??? 
PS: Baboon la kichaga na huyo shangingi asie na bahati hapa duniani maana maneno mengi miaka 50 muulize ana achievement gani dunia hii….At 50 yrs competition yake ni kina Mange hahahahhaha, so sad…. Huyo sokwe mtu taahira  simuweziiii anani cyberbully tu ….hahaah… Baboon kiboko yake waingereza tu, full kumpandisha mabasi mpaka siku anakufa,they treat her like the nyani that she  is… Hahaha, eti hawataki mataahira kwenye bara bara zao,wazungu jamani…Kwani uchizi wake hautibiki eti???Baboon ujanja wake ni insta tu , kiboko yake mzungu bwana, mpe funguo za gari mwambie endesha mpaka pale tu,hahahaha anajua atakavyobebwa juu juu kupelekwa asylum ya vichaaa….hahaha..haruhusiwi kushika chombo cha moto mpaka anazikwa..chezea mzungu anavyojua kunyanyapaa sokwe mtu mwenye utaahira juu….
Ndo hivyo msione siwataji humu mkadhani nawaogopa nope, ni vile hamna hadhi ya kuongelewa humu, nani anataka kuongelea nyani linalocheza uchi insta, au bibi la miaka 50 linalohisi bado liko 10yrs old. Humu hatudiscuss maskini au choka mbaya humu tunadiscus watu wa levels tu kama Huddah au Zari.Tukaneni mpaka mchoke, mie mwenzenu magazeti ndo kwanzaa naandika maana nalipwa kwa kuandika hayo magazeti,yani in short nalipwa kupanua domo langu nikuuzi sio nyie mnaopoteza time online for nothing,wenzenu hii ni ajira mnafanya kutugeza,,,hhahhah..hasiraaa eeeh??hahha … Sasa siku na nyie mkiwa levels kama kina Huddah ntawaleta humu ila for now level yenu ni huko kwenye page za manyani……hahahhahha….Hata mtukane mpaka mdate siwaletiiiiiiii ng’ooo, maana huwa sipendi kutukana watu choka mbaya mie nataka wa levels tuuu…hahhahaa….
OKAY BYEEEEE
Mtajijua nawajazia mahabari yooote kwenye posti moja maana namie naanza kula weekend…
Hii ni entertain ya kutosha kwa weekend nzima jamani….hahaaaa
si update blog mpaka Mondayyyyyyyyyyyyy , nsije achika sasa mwanamke wiki nzima nimekalia umbea tu ' 
MBUTA NANGA'' say.. Sasa mnaona hapa eti anamcheka mwenzake kwa kuiba picha za kujigamba Instagram,, HIVI MANGE UMESAHAU WEWE ULIVYO IBA ZILE WIGS  ZA WATU ? Yani kweli wewe siyo wakupewa pole ni WAKUCHEKWAAA' Si ni bora mdada wa watu yeye ni picha za kuringishia watu tu ''sasa wewe uloiba wigs na kuwatapeli watanzania wenzako tena unawaita mawaziri eti ''hahahaa'''
HEBU MSOMENI APO CHINI''
Instagram inaharibu watu jamani…kha! yani kila mtu anataka ajionyeshe huko insta kuwa yeye ana maisha mazuri….hahaha
Uwiii nahisi mie ndo nimechelewa maana Africa nzima wamesharepoti hii habari..uwiiii blog za kinigeria ndo wamemaliza mchezo wooote .
Wanaigeria wamemsema Huddah jamani…
Hivi huyu nae ni nini?kha? kwenda kuiba mipicha ya watu kujifanya eti ana hang out na matajiri wa Nigeria…hahahhahaha…Uwiiiii… 
MBUTA NANGA ..Say .Alafu lilivyo lizembe eti sasa hivi linawaita Huddah na Zari ni high levels'' Sijuzi juzi umesema kwamba wanaishi maisha fake ? hahahhaaa' CHEZEA MBUTA NANGA '' yani lazima UTUKOME KABISA'''
AIBUUUUUUUU…..Uwiii alimsemaga Wema eti anakunywa cheap champagne  ndo maana yeye kaweka hizi expensive,,hhahahhaha…

kha! ngoja weekend nipetipeti mume sasa….ahhahahahahhahah

Monday 18 May 2015

WHATS NOW ? MAPOKEZI YA MOTO KWA MIKONO MIWILI KWA RAIS WA MSUMBIJI FILIPE JACINTO NYUSSI'' YANI MHESHIMIWA RAIS WETU KIKWETE KAMA KUPOKEA RAIS MWENZIO NI HIVI 'BASI HATA MIMI NAKUJA KUGOMBEA URAIS'' FABULOUS''MBUTA NANGA!

SI KWA MAPOKEZI HAYA JAMANI '' YANI HADI RAHA''

WELCOME HOME MY BOY '' NI MUDA MREFU SANA SIJAKUONA ''MBUTA NANGA''I CANT WAIT TO HOLD YOU  TIGHTLY''
Rais Kikwete akimpokea Rais Filipe Jacinto Nyusi uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam . Rais huyo anayefanya ziara yake ya kwanza nje ya nchi kama rais wa Msumbiji yuko katika ziara rasmi ya siku tatu.
Rais Filipe Jacinto Nyusi akipokea shada la maua baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam . Rais huyo anayefanya ziara yake ya kwanza nje ya nchi kama rais wa Msumbiji yuko katika ziara rasmi ya siku tatu.
Rais Filipe Jacinto Nyusi akikagua gwaride la heshima baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam . Rais huyo anayefanya ziara yake ya kwanza nje ya nchi kama rais wa Msumbiji yuko katika ziara rasmi ya siku tatu.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete na mgteni wake Rais Filipe Jacinto Nyusi wakiangalia ngoma baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam . Rais huyo anayefanya ziara yake ya kwanza nje ya nchi kama rais wa Msumbiji yuko katika ziara rasmi ya siku tatu.
Rais Filipe Jacinto Nyusi akisalimiana na baadhi ya wafanyakazi wa Ikulu jijini Dar es salaam katika siku ya kwanza ya ziara yake ya kwanza nje ya nchi kama rais wa Msumbiji yuko katika ziara rasmi ya siku tatu.
TUMECHOTA NA KUMIMINA KUTOKA'' MATUKIO MICHUZI ''

Sunday 17 May 2015

WHATS NOW ? ALBAM 2 OF PICHA ZA DIAMOND PLATNUMZ SHOW IN LONDON LAST NIGHT ''WAS FABULOUS 'MBUTA NANGA! ALSO WIMBO WAKE NA NAY WA MITEGO ..MAPENZI AU PESA''



MBUTA NANGA' MKONO WA MAPESA'' NASEMAJE? MAPENZI NI PESA KUDADADEKI '
IM SO KUBALIANA NA NYE KWA MAPENZI NI PESA'' YANI IM SO PROUD OF YOU MY SUPER STAR WANGU WA NGUVU'' MY DEARS''ENJOY THE SONG'' Yani is just FABULOUS'''
Ukitaka kumuona MBUTA NANGA AKIUCHEZA HUU WIMBO '' NENDA KWENYE INSTAGRAM PAGE YAKE'' 
@mbutanangablog

 MEZA ALOKAA MBUTA NANGA'' NA KULIPA £40 'JAPO WENGINE WALILIPISHWA £25 '' SAWA SIJALI SILALAMIKI MAANA NIMERIDHIKA'' LA SIVYO AISEE''THIS TIME BAHARI INGEKAUKA MAJI ''MAANA MOTO AMBAO NINGEUWASHA HAPA WANGETUMIA MAJI YOTEE KUUZIMA LAKINI WAPI '' HAHHAHA'' ETI MBUTA NANGA NI TAJIRI ANA PESA KWA HIYO HAKIKISHA ANAKUJA NA ANALIPA £40 POUND YEYE HIYO SIYO PESA '' HAHHAAA'' JAMANI Sina pesa mnazoniwazia but AMEN 'I cant wait kuzipata'' BUT WHEN ITS COME TO MAMBO MAZURI NIYAPENDAYO KAMA DIAMOND SHOW ''HATA £100 PALE MLANGONI NINGELIPA'' THAT IS HOW I DO THE THINGS I LOVE ''I JUST DONT CARE '''  Ila please wahusika naomba mzingatie utaratibu wenu wa hizo tickets price '' YANI MTU ALIKUWA ANA LIPA £25 ALAFU ANAINGIA NDANI NA ANAKWENDA KUKAA KWENYE ZILE MEZA ZA VIP ZA sijui £30 mara £40 zisizo kuwa na bei ya UHALALI '' yani wale walio lipa £30 to £40 pounds walibakia kusimama kisa hawakupata sehem ya kukaa'' then hata hvyo mwisho wa siku ,Mtu kama mimi nilikwenda kucheza pale mbele na gafla Diaomnd akaingia stejini na mimi nikajisogeza pale mbele kabisa ''Sikujua ndiyo nilijiweka jela'' Yani watu wote walikuja nyuma yetu na hatukuweza kupumua wala kujeuka nyuma sababu ya kubanana'' nilikaa pale pale natamani drink wala sikuweza kwenda kuchukua kwa sababu pia ningetoka pale na singeweza kurudi pale mbele tena'' so i stay mpaka to the ends'' AND WAS LIKE THAT'' NO MPANGILIO MAALUM FOR THE TICKETS'' SO JIPANGENI HAPA KWENYE SWALA LA TICKETS ZA VIP ''PLEAS''






















MBUTA NANGA MKONO WA MAPESA '' Nasemaje  ? MAPENZI PESA ''Yani mapenzi bila pesa ni sawa na BAHARI BILA MAJI ''