KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Sunday 15 April 2012

* IN YOU BEEN SNAP BLOG * MATOKEO YA KWENYE KILI MUSIC AWARDS 2012 "& MANENO YA MISS FB FLORA BAHATI LYIMO "KWENYE PICHA"

*MKILETEWA HAPA NA MISS FB FLORA BAHATI LYIMO*
mmesimama juu ya Kilimanjaro my dears!!
Warembo wakiwakilisha, mwenye hiyo nguo ya blue aisee i hope is not what i think it is "" mwenye picha yake full akiwa na hii nguo naomba unitumia pls. flo1974@btinternet.com
sema kweli dear " usiache Kilimanjaro kikusemee"
Ukumbi umependeza sana mbele ya Kilimanjaro ukipanda umepanda hashushwi mtu"

The Mamas Boy"Diamond(R) Mshikaji wake na Mama yake"
Mzee Yusuf akiulizwa swali this time not about single" so UNA DHANI WATU WATAILAMBA KILIMANJARO AU WATAINYWA" alaa" leo ni kuilamba tena na chupa yake kuimeza kabisa!!
"Diamond " aulizwa swali: Mbona siku izi twakuona na Mama yako kulikoni" Du wajua mimi Im Mama's boy " na anaumwa sana ninapojikuta na madem mikorogo"oops" so anataka kunichagulia Mwanamke kama yeye"
Tupo wa wili tu"
SO YOU ARE SINGLE" mbona maswali yenu leo ni ya single single tu" ni kwa sababu tumekuja kisingle au "
ulikunywa Kilimanjaro ngapi ? mwenzangu" kwani Kilimanjaro nichakunywa au ni chakupandwa? wewe niuliza kama nimekipanda !!


Watu kwenye Mkeka mwekundu"

 
ARE YOU SINGLE ? NA JE WATUMIA KIKALI CHOCHOTE" IM SINGLE AKIPITA CUTE ONE TU" AND NATUMIA KIKALI CHA KILIMANJARO "



 

Miss FB" say: MY CUTE AFRICAN KING" ALI KIBA  - This is for you Steven Kanumba .R.I.P. I know your watching"







Makakas Kakosekana Steven Kanumba hapa jamani.R.I.P"


TAARABU OYEEE..waambie Mamipasho ya ukwee" Wanapita wakitingisha eti wanaringia figa,vimini vya kukodisha kiulaya wanaiga!! hahhaaa. I wish was there!!Miss FB nimepitwaje mie"







 
nitazidi kupanda Kilimanjaro siyo mchezo!!



hii ni yako Arusha hata Moshi bado moto wa waka juu ya Kilimanjaro!!


upaparaziiii.una kazi kweli kweli..sasa kaka wapiga magoti ili umpige huyu dada picha za wapi !! mbuta nanga"
AU NDO ULIKUWA WAMUULIZA LILE SWALI LA MAISHA?WILLYOU MARRY ME!!




Meza zilivyotawaliwa na Kilimanjaro " Kaka mwenye bluu na nyekundu hapo taratibu angalia pombe zisikutokee puani"


Makamuzi ya nguvu yakiendelea"


Vijana wa THT wakitoa Burudani"


Picha kwa hisani ya Jiachie na Michuzi
Miss FB Flora Bahati Lyimo " say:Napenda kuwashukuru wote mlopiga picha hizi na vile vile mlozirusha hewani na kudakwa na kila alopenda Kuona Maendeleo ya Wanzania " kwani Umoja ni nguvu ,Utengano ni Ugonjwa na Upendo ni Upendaji"
God Bless Tanzania and the World
Amen"

No comments:

Post a Comment