KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Sunday 22 April 2012

*IN YOU BEEN SNAP BLOG* NDUGU ZANGU WATANZANIA. NAAMINI WENGI MMESOMA AU KUONA MATAGS YA UBAYA KUMHUSU MANGE KIMAMBI "KWENYE FACEBOOK ".HIVI NYIE MLONIAMBIA NIWEKE KWENYE BLOG YANGU KWAMBA MANGE YUPO JELA NA BLOG YAKE IMEFUNGWA MLIYATOA WAPI HAYO MANENO NA KUNA MANGE KIMAMBI MWINGINE AU NDO HUYU HUYU HAPA PICHANI NA MANENO YAKE KUHUSU UBAYA HUO MLOMPACHIKA AU ULOMPACHIKA ? KWELI NAWASALIENI SANA NYIE VIJIDUDUKOPO MSOTAKA MAENDELEO YA WATANZANIA NA HATA ULIMWENGUNI " SITOCHOKA KAMWE KUPIGANA NANYIE KWA KUWAAMBIENI UKWELI WENU" RUWA MANGI"

Miss FB Flora Bahati Lyimo" Naipenda Tanzania na kila kilichopo ndani na hata nnje " na sitachoka kupigana na wasotaka maendeleo ya Watanzania wenzangu"

Mange Kimambi " Mtanzania halisi .mpende mchukie .hilo nitatizo lako na maumivu yakizidi katafute kamba ya CL ujinyonge nayo au kama vipi Mange mwenyewe atakununulia"nami nitachangia.
"KWELI WENYE WIVU TUWANYONGE "TUPENDANENI JAMANI" 
MTANZANIA DAIMA.......SHAME ON YOU........ PDFPrintE-mail
Written by Mange
Sunday, 22 April 2012 03:36

HUYO RAY HATA BAADA YA KUFANYA MA INTERVIEW KIBAO NA KUPELEKA STORY KWENYE MAGAZETI

MASKINI YA MUNGU HATA PICHA YAKE HAWAKUWEKA GAZETINI, AMENUNAJE HUKO ALIKO....,...

MAMA U-TURN NIMEUZAJE SURA???? NA FULL NAME JUU....LOLEST....


Gosh, this is the kind of silly news a main stream paper in Tanzania writes.
The country is going through a major crisis right now and they actually find space, tena a really visible space to write such a stupid untrue story.
Ok, this is the last time im addressing this stupid.
SIJAWAHI KULALA NDANI IN MY ENTIRE LIFE AISEE…I HAVE NEVER SEEN THE INSIDE OF A CELL.
I mean vitu vingine tujaribu kutumia common sense, hivi Ray ni wa kunilaza mimi ndani au kunifunga????? Gosh, that will be the day!!!!
Mtanzania Daima, Irene whoever, u got wrong information and its so stupid of you to publish it without speaking to me first. I spoke to a policeman on the phone and was told wataniita if ever nitahitajika because some dude called Ray complained about something that he thinks originated from me, how is a phone conversation being translated into spending a night in jail?????
And some blogger from Minessota, instead of kumaliza shule, maana for 6yrs now bado anasoma bachelors which is a 4 yr degree. Huo muda unaotumia kuspread negativity about Mange Kimambi na kujisifia nimemkomesha Mange,Mie ndo kiboko wa Mange. Why don’t u study and try to graduate kabla hujajikuta unasoma bachelors degree for 10yrs??? By the way I will keep ignoring your insults siwezi kujibishana na mtu ambae highest completed education ni secondary school, maana clearly upeo wetu ni tofauti sana.
hivi ukiona unamtukana mtu daily on your facebook page and that person doesnt respond, instead of kusema kaniogopa why dont u think KANIDHARAU AU KANIONA MJINGA???? Anyways, ndo hivyo tena inabidi uwe umesoma ili uweze kufikiria kidogo. Maana sidhani kama nitaweza ku argue na mtu ambae anaenda kusimama kwenye magari ya watu huko marekani then anapiga picha na kupost on her blog saying gari lake. and definately siwezi kumtukana mtu ambae for 5yrs anatembea na mume wa mtu, alafu anasema ye mzuri sana ungekuwa mzuri ungekuwa na mume wako mwenyewe shoga, au huyo mume wa mtu angemwacha mkewe akuoe wewe.unajiona mzuri alafu kutwa kudandia waume za wenzio...THIS GIRL REALLY NEEDS TO GO SEAT DOWN SOMEWHERE AND SHUT THE FUCK UP!!!

and the other 2 women wanaosaidiana nae huko facebook ndo kabisaa i cant even deal with them mmoja ame graduate Dar es salaam University of Jollies&Q-BAR, mwingine after pursing a criminal career in the US for yrs and not even getting ki diploma kaja Dar akapata akili ya kujiendeleza kielimu and finally mwaka jana aka graduate chuo kinaitwa TANZANIA UNIVERSITY OF MIREMBE/VICHAA......so i will keep ignoring them, maana hawa watu siwawezi na hawachoki. wananiwaza wakilala,wakiamka,wakila,wakinya,wakiwa wanangonoka. i mean we mtu facebook page yake imejaa Mange Kimambi, Mange Kimambi,Mange Kimambi ,hivi huyo mtu ni ana akili timamu kweli? si wa kumsamehe bure tu.
i promised myself 2012 no beef, so endeleeni kuni provoke na matusi on facebook sijui viblog vyenu i will never give u airtime on u-turn. i will keep ignoring you. mwisho wa siku YOU ARE A NONE MOTHERF****** FACTOR..
PS: Kama unawajua niliowaongelea hapo juu tafadhali kaa nacho rohoni naomba usitume comment yenye jina hata moja, kama unajua kuandika comments za mafumbo karibu kama hujui acha tu... nna maana yangu sana why i dont want any one's name on this post....

9 comments:

  1. hahhahahahahhahahhhaa...dada umenichekesha sana ...eti asiempenda mange ajinyonge kwa kamba ya CL..hahhah.....

    ReplyDelete
  2. my advice to u dada yangu stay away from dramas.hii issue ya mange na Ray is non of our business.am saying this coz nakupenda.fanya mambo yako.

    ReplyDelete
  3. Anonymous of 05:09 am..HAYO MAMBO YAKUSEMA STAY AWAY FROM DRAMS ZA RAY AND MANGE...IS NOT THE WAY TO ADVICE ANYONE...MIMI WHAT IM NOT HAPPY ABOUT HAPA NI KWAMBA ....WALE WANAOZITANGAZA HABARI HIZO ZA UWONGO NA VILE VILE KUMTUKANA MATUSI MAZITO MAZITO HADI BABA YAKE MAREHEMU NA MWANAE.huku wakijificha MAJINA YAO!!.SO WAO WANAHUSIKA NA NINI HAPO ?? YA MANGE WAMPE MANGE,YA BABA YAKE MAREHEMU AU YA MWANAE WAWAPE WENYEWE...YANI NATAKA WATANZANIA WOTE JAMANI TUUNGANE PAMOJA NA KUUPINGA UJINGA ,KWANI NIAIBU SANA KUONA WATU BADALA YA KUSHUKURU(KUWAPONGEZA) WENZAO KWA YALE MEMA WANAYO YATENDA WAO WANAKAA KUWAOMBEA MABAYA TU" WASHENZI WOTE VIJIDUDUKOPO VILOOZA..NA SITOCHOKA KUWAAMBIA PALE WANAPOFANYA KOSA...UNA SHIDA NA MTU KAMFUATE ,,,MWANDIKE AJUE WAMUANDIKA AU LA..KATAFUTE KAMBA YA CL ..NA MAMGE MWENYEWE ATAWAPA ILI WAJINYONGE NARUDIA TENA...WATANZANIA TUPENDANE NA TUACHE KUFUATILIA NA KUPALILIA MAUMBEA,MAWIVU ,MAUZEMBE ..HAYO YOTE NI MAGONJWA NA DAWA YAKE .....HAKUNA"

    ReplyDelete
  4. Heee..Mdogo wangu umeona eee.....mwaka huu ni wao wakujinyonga na kitu cha CL"

    ReplyDelete
  5. dada yangu naona umesahau..nani na ni mwanamke wakwanza kufungua blog ya kutukana watu,Mange alimtukana TK JIDE na wengineo..hadi marehemu wazazi wake(TK).yeye ndio mwanzilishi wa haya matusi yote kwenye ma blog.usimtetee tu dada yangu.what goes around comes around.watu wangapi kawadhalilisha kwakwe?????????wewe unatakiwa kumuombea aache tabia yakuchefua watu kwenye blog yake.

    ReplyDelete
  6. well put anony 26 April 2012 09.29, kweli mkuki kwa nguruwee

    ReplyDelete
  7. Wee Anonymous 26 april 09:29.... sasa unataka watu wafanyaje .hakuna mtu anaetaka watu waishi bila amani ,,,,HASA MIMI HAPA...NAOMBA MUNGU TANZANIANS TUWE WATU WANAOPENDANA NA WANAOSHIRIKIANA KWA MEMA NA SIYO KWA MABAYA KILA WANAPOMUONA MTU NA KAPATO KIDOGO TU..WAO WASHANZA KUKAA VIKAO VYA SIMU .....KUDADADEKI DUNIA HAIJAUBWA NA MJOMBA WA MTU BABU WALA BABA" MDOGO WALA MKUBWA...eeeh"

    ReplyDelete
  8. wape vidonge vyo frola maana wamezidi kwa maumbea msunyooooooo...

    ReplyDelete
  9. Wow! In the end I got a website from where I can actually get valuable facts
    regarding my study and knowledge.
    Also visit my page : car insurance quotes

    ReplyDelete