KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Monday 23 April 2012

*IN YOU BEEN SNAP BLOG * NEWS ZA MAHAKAMANI KUHUSU "LULU " ELIZABETH MICHAEL KUPANDISHWA KIZIMBANI KWA MARA YA PILI LEO 23/04/2012" & SOMA MACHACHE PIA KUTOKA KWA MISS FB FLORA BAHATI LYIMO "

*MKILETEWA HAPA NA MISS FB FLORA BAHATI LYIMO*

 

Mahakama ya hakimu mkazi KISUTU jijini Dar es Salaam leo imeahirisha kesi ya tuhuma za mauaji inayomkabili ELIZABETH MICHAEL ‘LULU’ dhidi ya aliyekuwa mwana filamu mahiri Marehemu STEVEN KANUMBA.

Wakili wa Upande wa Serikali ELIZABETH KAGANDA akizungumza mahakamani hapo amedai Upepelezi wa kesi hiyo bado haujakamilika na kwamba kesi hiyo itatajwa tena 07/05/2012"

Umati mkubwa ulijitokeza katika mahakama hiyo kwa lengo la kufuatilia mwenendo mzima wa kesi hiyo ambayo imevuta hisia za watu wengi hapa nchini.

Hii ni mara ya Pili kwa ELIZABETH MICHAEL kupandishwa Kizimbani kosa la mauaji ya mwana filamu huyo mnamo April 7 2012 eneo la Sinza Vatican Jijini Dar es Salaam.
ASANTE CARTHBERT ANGELO KWA PICHA HIZI"
 
MISS FB FLORA BAHATI LYIMO SAY:
Mimi kwa kusema kweli sioni ni kwanini kumpandisha kizimbani leo kwa mara ya pili na bila kusema chochote au kuairisha ,je walesema ni kwanini kuairisha ,na je anaweza kuwekewa mzamana au ? na ikiwa hawajapata maelezo kamili yanayoyahitaji ni kwanini kumshikilia ? yani mimi namuonea huruma sana huyu dogo wetu kwani inawezekana kuna mengine ndani ya kusababisha kifo hichi cha Marehemu Steven Kanumba na hakijulikani.JE huyo Lulu wamesha mruhusu kuongea ? na amesemaje ?"
Pengine jamii nayo ingeungana kutaka kujua nini hasa kinaendelea kama vipi wamuachie mtoto wa watu mpaka pale watakapojua nini hasa kilichomsababishia kifo chake"Mara tu wakati madactari watakapotoa ripoti yao ndo hapo ukweli utakapojulikana zaid.so MIMI NINGEOMBA WAMUACHIE KAMA HAWAJAPATA USHAIDI KAMILI"
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 

No comments:

Post a Comment