KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Thursday 17 May 2012

I'm listening to WWW.MILLARDAYO.COM MAKALA KAMILI YA KANU... in Hulkshare:

KANUMBA AMBAE HATUNAE TENA"
I'm listening to WWW.MILLARDAYO.COM MAKALA KAMILI YA KANU... in Hulkshare:


JAMANI HEBU SIKILIZENI MAKALA HAYAO HASA DACTARI WAKE KANUMBA"
Mimi kwa yale niliyoyasikiliza hapa na ikiwa ni ya ukweli na ukweli mtu .BASI NAONA TANZANIA HAMNA SHERIA KABISA NI KAMA UPEPO BAHARINI"
Mpaka sasa hivi naamani wangelikuwa washamuachia huyu Lulu na vilevile kulisafisha jina lake kwa pale wanapomshikilia kwa Mauaji ya huyu Kanumba" kwa hiyo" waliwahoji waliokuwepo hasa Dactari wake na kuweza kupata haya nayoyasikia hapa leo na kuendelea na kumshikilia huyo (Mtoto) Lulu kwa mauaji ? na walipomshika siku hiyo walimsikiliza na pia wakamkuta na alama za kupigwa na alompiga ndo aliyekufa (Kanumba) wajua kama alikuwepo hai leo yeye ndo angelikuwa wakustakiwa kwa kumpiga? na licha ya kuwa ni msichana mdogo na vile vile sijui kama ni maskio yangu au vipi ..Lulu anamuita Mme wake waliowana au ? na lingine hizo pombe zilitoka wapi huku akisema yeye siyo mnywaji wa vitu vikali ? na lingine ni kwamba alikuwa na Lulu kikazi au kumdanganya mke wangu mpaka Lulu mwenyewe zikamuingia akilini na kubakia kumuita pia Mme wangu ..mme na mke ni pale watu hao wawili kufunga ndoa(za kihalali)kama hawajafunga ndoa wao siyo mme na mke na mimi nawashangaa sana wale wanaojidanganya kwa Majina hayo "
Anyway mimi ninachoomba sasa ni huyu Lulu kuachiwa free maana hata hapa  kimeshaonekana wazi .kwamba makosa ni ya nani " NA NDUGU ZANGU WATANZANIA ..Jueni kwamba FIMBO YA MUNGU HAINA SALAMA KWA KILA MTENDA MABAYA" Na hii inaonekana wazi kwamba ni fimbo ya Mungu ndo iliyomchapa Kanumba kwani aliyokuwa anayamfanyia hayakuwa ya kumridhisha Mtu yoyote hasa Mwenyezi Mungu mwenyewe.Lulu ni msichana mdogo na kwanini kumtendea makubwa tena ambayo hata mtu mzima MAMA YAKO MZAZI HATA BABA YAKO hatoweza kuyabeba au kukubaliana nayo Licha ya Jamii"

2 comments:

  1. your so good na mwenye akili sana flora bahati lyimo yani point zako mama zina faa bungeni ,bora tukupekura zetu maana kwa kuwatetea watu wanao onewa your right up there with them and that is why i love you and i love your blog ,you see that Jestina blog is rubish she wont talk about anything that make any Tanzania to think she got a blog to follow up with her ..and why she wasnt there at that CFAB ilofanyika juzi na yeye siku zote ndo huenda kupiga piga hodi ubalozini au ndo washamtema""" BIG UP YOU BEEN SNAP BLOG " flora nikikuona nitakununulia mbege ..buta nanga.

    ReplyDelete
  2. flora bahati lyim nimekusoma na nimesikiliza hotuba hii nikabaki nikijiuliza maswali mengi sana yani ni kama ulivyosema tanzania hamna sherea na hawazijui kabisa, mimi naona watanzania waandamane kumtetea huyu lulu ,kwani inasemekana hapo alipigwa na hata anaweza kuwa ALIMBAKA.na isitoshe she is only 17 God help this baby" why dont they think??nimeimaind tanzania na serekali yote kichizi mazee hata huko sitarudi kukaa ni kuwatembelea washikaji na kuusepa fasta fasta...

    ReplyDelete