KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Friday 15 February 2013

FLFP MY VALENTINE'S DINNER 14/02/2013 WITH MY AFRICAN KING !! YANI IT WAS THE DAY YOU JUST HAVE TO SAY YESS MY LOVE IS YOUR LOVE & YOUR LOVE IS MY LOVE!!!

 Kianzio ,kwa kichagga tunasema kyianzio"yani I love my Blessing Home for sure nikikaa hum basi sijisikii kutoka kabisaa hasa nikiwa ninakila kitu ndani nitoke nikienda kutafuta nini ..ama kweli hakuna kitu kizuri kama kuwa na chako na chako ni chako "


Hakikisha una mbege za kutosha ndani siunajua tena ipe roho kile kitu inapendaa!!
 Ugonjwa wangu ndo huuu!! mbege kwa kwenda pole"



 Viazi vikijiivia taratibu huku mpishi akimsikiza mpenzi wake yani full mapenzi moto moto "

 Hi salad jamani siyo yakutazama na kuicha kuila,yani inakufanya unakuwa na mood hata kama hujisikii utajisikia tuu,hasa kwa wale msopenda kushikwa shikwa na wapenzi wenu jaribuni kula hivi hasa BEETROOT peke yake " yani hata kama kwa madada/mama lile tumbo letu la mwezi linapokuanza kukuuma wewe chukua Beetroot kula mara moja utajaniambia" FLFP"
 Yani hapa karibu niunguzee..jamani mapenzi yalininogeaje" ama kweli mapenzi yanatawala Dunia eee"



ENJOY WIMBO WA MAREHEM WHITNEY HOUSTON "
I'M YOUR BABY TONIGHT"
IN LOVE FOR SURE YANI ....HAKUNA KITU KIZURI KAMA KUKA HOME ,KUPIKA,KULA KUNYWA ANYTHING MOYO WAKO ULICHOKIPENDA ON THE TIME NA  KUMSIKILIZA MPENZI WAKO ,HIVYO UTAJISIKIA MPO KARIBU  JAPO HAMPO ON THAT MOMENT!!

3 comments:

  1. hehee..huyo african king mbona hatujaona picha zake hapa atakuwa yule wa Arusha eee,,safi sana mpora wetu wa arusha karibu sana ..

    ReplyDelete
  2. Thank you for this great information, you write very well which i like very much. I am really impressed by your post. Melbourne Restaurants

    ReplyDelete
  3. MBUTA NANGA...HAHHAHAAA..YATAWASHINDA ANONYMOUS NYIE'''FANYENI YENU JAMANI WACHANENI NA MAUMBEYA'''

    ReplyDelete