KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Wednesday 13 February 2013

FROM .LE MUTUZ TO SISTER LADY J DEE, NINATEGEMEA UNIOMBE RADHI KWA SABABU ALIYEKUSHAMBULIA NA LOUNGE YAKO NI FLORA BAHATI LYIMO" HEBU ENDELEENI KUMSOMA HAPA" ALAFU SUBIRIENI MAJIBU YA FLORA LYIMO FASHION POLICE MWENYEWE TOP IN TOWN " COMING SOON"MBUTA NANGA!!

 LE MUTUZ KWAKO SISTER LADY J DEE, UNAJUA UONGO USIPOJIBIWA ON TIME UNAGEUKA KUWA UKWELI, NIMESIKIA TOKA MCHANA KWAMBA UMEANDIKA MANENO YASIYOFAA KWENYE FACEBOOK WALL YAKO YAKINIHUSISHA JINA LANGU KWA HILO SISTER UMEKOSEA SANA NA NINATEGEMEA UNIOMBE RADHI KWA SABABU ALIYEKUSHAMBULIA NA LOUNGE YAKO NI Flora Bahati Lyimo THROUH BLOG YAKE KAMA KAWAIDA YA SIKU HIZI BLOGGERS WENGI WANAPENDA SANA KUTUM...IA JINA LANGU KUVUTIA WATU NA HAPA INAONEKANA THAT WAS THE CASE OTHERWISE MIMI SIHUSIKI IN ANYWAY NA HABARI ZA HIYO BLOG, MIMI NA YOUR HUSBAND TUNAHESHIMIANA SANA NO WAY NINAWEZA KUHUSIKA IN ANYWAY KUCHAFUA JINA LA CLUB YENU NA WORST NI KWAMBA MARAFIKI WENU NDIO HAO HAO MARAFIKI WANGU HAPA MJINI, KAMA VIPI ULITAKIWA KUMJIBU MWENYE HIYO BLOG ILIYOSHAMBULIA LOUNGE YENU LAKINI SIO MIMI, MY PHONE NO NI 0717-618-997 AU 0764-046-083 NAOMBA UNIPIGIE AU NIPE YAKO TUONGEE, KULIKO KUGOMBANISHWA NA MTU ASIYEISHI HAPA BONGO, NINACHOJUA TULIKUJA LOUNGE YAKO TUKAAGIZA CHAKULA CHA SAMAKI AMBAO HAWAKUWA SAWA NA MUME WAKO AKAAMUA TUSILIPIE WALE SAMAKI, TO ME THE CASE WAS CLOSED THERE, SASA INAONEKANA KUNA AMBAYE HAKURIDHIKA NA KWENDA KUWACHAFUA LOUNGE YENU KWENYE BLOG YAKE AKITUMIA NA JINA LANGU, THAT WAS WRONG: SALUTE MY SISTER LADY J DEE NOW DO THE RIGHT THING NIOMBE RADHI!! - LE MUTUZ

FLORA BAHATI LYIMO AMJIBU NA KUJIKUTA KESHAJIONDOA URAFIKI FACEBOOK"NA POST HAIPO LAKINI NILISHAIWAHI MAANA NAMJUA MUOGAAAAA....!!HUANDIKA VITU BILA KUFIKIRIA NA KUVIFUTA AU KUVIFICHA VISIONEKANE NA MTU"ILA NI HIVI NYIE INGIENI KWA FACEBOOK YANGU MILANGO YOTE IPO WAZI SOMENI CHAMBENI TOENI UKWELI WENU WAKUWEZA KUWASAIDIA WATANZANIA KUTOKUOGOPA KULALAMIKA PALE WANAPOTENDEWA VISIVYO HALALI"

UMELIKOROGA UTALIMWA.......SASA SIUMENIWASHA NISHALIPUKA HATA SIJAWAKA TU...SI WEWE WILLIAM J.MALECELA NI DUME LA KITANZANIA AU ?? NA SIULITAKA ULICHOANDIKA NA KILICHOKUKUNA UJIBIWE AU UKUNWE..SO MBONA UMEIFUTA ?? NA USIFIKIRI MIMI NI MJINGA NA SINA UGOMVI NA WEWE ....NA HUYU LADY J.DEE ULOSEMA ANAKUTUKANA SIJU KWA WALL YAKE YA FACEBOOK....KWA PALE ANGETAKIWA KUNIULIZA MIMI ..SIJAONA NA NINGEPENDA... KUONA ..ANAJUA NIPO WAPI NA NJIA ZANGU ZOTE ZIPO WAZI ...SO SIWEZI HATA KUMJIBU ...BUT ..KUKUJIBU WEWE WILLIAM J.MALECELA.... UNASEMA SIKU IZI BLOGGER WENGI WANATUMIA JINA LAKO KUVUTIA WATU NA ETI MIMI NASEMEKANA NDO NIMEFANYA HIVYO ?? WHATS THE FUCK >>>PLS TELL ME...UNA KITU GANI AU JINA LAKO NDO LIMEKUWA ( FACEBOOK ) OR PASSWARD ?? NDO TULITUMIA AU NDO NISEME UMEKUWA OBAMA KWA KUISHI MAREKANI FOR 30YRS ?? HAY" PLS .PLS NAKUOMBA SANA UACHE HUO UJINGA WAKUSEMA MABLOGGERS WANALITIMIA JINA LAKO KUVUTIA WATU KWENYE BLOG ZAO " AGAIN WHATS A FUCK !! DONT YOU THINKING LIKE A MAN ?? MWANZO KABISA MIMI NIMETUMIA JINA LAKO NA PICHA KWASABABU ULIKUWEPO NA PIA SAMAKI HUYU MBICHI HATA WEWE ULIMUONJA NA UKAKUTA MBICHI ,KWA HIYO NDO WATU TUSILALAMIKE ?? THAT IS MY FEEDBACK AND PIA BUREE " LA SIVYO NISINGEKUTAJA KABISAA,KWANINI NI SIMTAJE OBAMA NIKASEMA NAE ALIKUWEPO NA AKALALAMIKA ?? IS IT KWA MAANA WEWE NDO ULOMZIDI UMAARUFU AU ? OKOK,JAMANI WATANZANIA KWELI TUNAELEKEA WAPI KWA UPUMBA WAAINA HII..WATU WAZIMA BADALA WAFUNDISHE WADOGO MAMBO MAZURI NA YAKUIJENGA TANZANIA NDO MAMBO YAKUIBOMOA TANZANIA " FLFP "

12 comments:

  1. Hhahahahhaaa FLORA LYIMO FASHION POLICE .nakupendeaja hapaa,wamekuogopaje keshafuta na uchafu wake alojidai kuandika kwa wall yake hyu william j.malecela tofai yake na dem ni uume tu,,hawana lolote endelea kuwapa vidonge vyao watavimeza tu ..yani kweli nimekuaminia mtoto wakichagga kumbe hukuchelewa kuirusha kwa blog yako....hahhahahaa!!!

    ReplyDelete
  2. YANI NAVYOMSOMA HAPA HUYU PUMBA NDO HASIRA ZINANIPANDA NOW....HEBU MSIKIZE ETI ,,NILITUMIA JINA LAKE THAT WAS WRONG ?? IS THAT KWA SABABU HUKUWEPO AU WEW PIA HUKUWALA HAO SAMAKI (UONJA ) NAKAKUT WABICHI NA HUYU RAFIKI YAKO MME WAKE LADY J.DEE ANGEKUWA ANAJUA WHAT WE CALL CUSTOMER CARE...ANGEKUJA PALE KWENYE MEZA YETU NA KUTUOMBA MSAMAHA WOTE,,MAANA SIYO WEWE ULIYEAGIZA SAMAKI PEKE YAKO....NEXT THING PIA IS JUA WEWE UMENIKOSEA AU UNAWAKOSEA MABLOGGERS WANAOJIITA BLOGGERS AU WENYE BLOG KAMA MIMI KWA KUSEMA TWATUMIA JINA LAKO KUVUTIA WATU KWENYE BLOG ZETU.....HEBU NITAJIE HIZO BLOG'S NA JE ZINAITWAJE ? HAYO MAJINA YAKO AU ? KAMA WEWE NI MWANAME KWELI ?? DO IT AND NOW KUDADADEKI ...WILLIAM YANI USITAFUTE NILIPUKE ZAIDI ...MCHAGGA MIE SIZIMIKI OVYO ..MBUTA NANGA!!!! NA MBONA UKAIOND KAMA VILE ULIVYOIONDOA ILE YA MUKE WA MERU ..EEE....SIFUTI KITU MIE NIKIANDIKA NA KUPOSTI HAKITOKI HATA UNISHIKIE BUNDUKI USONI..DO IT ...YANI NINAHASIRAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAGRYYYYYYYYYYYYYYYYYYY

    ReplyDelete
  3. Im sorry about what happen to you flora bahati lyimo ,i hope jd will write you a letter of apology ,that is what in here uk we cal customer service "or made a public apology for the team;s bad performance, and for willam j.malecela he need to be a MAN"

    ReplyDelete
  4. tupa kule Flora hawana lolote alafu yeye mwenyewe kasema hapo kwamba mme wake lady jd ni rafiki yake na wewe unaishi majuu kwa hiyo huna haki yakulaamika au ?? msunyoooooooooo!! wapotezee kule dada yetu wa mkpo express unaotujali sie wabongo ,yeye aliishi marekani miaka 30 ,na bado anaishi kwa baba yake hana lolote mbona hata asifungue banda la nguruwe"

    ReplyDelete
  5. DADA FLORA UNAJUWA KUWA HILIJITU NI JUNGA LA MWISHO NASHANGAA ANASEMA WATU WANATUMIA JINA LAKE KUPATA UMAARUFU WAKATI YEYE NDIYE AKIKUTA HATA KUKU ANAOMBA APIGE NAE PICHA ILI AWEKE KWENYE BLOG YAKE AONEKANE KAMA ANAWAJUWA WATU WA MJINI, TENA MOST OF TIMES HUWEKA VITU BILA YA RIDHAA YA WENYE PICHA ZAO SOME PEOPLE HAWATAKI KUWA KWENYE HICHO KIBLOG CHAKE UCHARA KILOJAA MATANGAZO KAMA GAZETI LA METRO. HUYU SASA ANFAA ABANDIKWE JINA LA DUME DADA NA BORA AVISHWE DIRA NA CHUPI YA BAMBINO MAANA AMEZIDI HIVI JUZI TU ALIMTUKANA MUME WA WATU BILA YA SABABU. NA HASA ILIKUWAJE WEWE ULIPOFIKA BONGO UKAWA UN HANG NA MTU KAMA HUYU???????????? EXPLANATION PLS !!! ILA NAKUAMINIA MAAANA SASA KAINGIA CHOO CHA KIUME KUDADADEKI

    ReplyDelete
  6. Achana naye huyo jadyee na malecela awana lolote ukweli ndo huo mbona wanaandika vya nchi za watu, wao wakikosea wasiandikwe kwa umaarufu gani alikuwa nao na kwa restaurant gani hiyo ya kutisha watu mjini mpumbazu yeye jaydee na mumewe pamoja na malecela anajishaua kujikosha mjini, sisi ndo wale wale watanzania tunaokuja na kuondoka.

    ReplyDelete
  7. Hilo kubwa jinga linaoishi kwa baba na kuomba pocket money kila asubuhi, amekuitwa wewe ni mshonganishi eti unamchonganisha na lady JDEE na mmewe,yule mshenzi umempatia sana Flora Bahati Lyimo umempa za uso ameufyata fyuuuu amezoea kuonea kima Mrs Meru,leo amepata kiboko yake sisi si hodari mbona ame ku unfriend, tiririkaaaa FBL

    ReplyDelete


  8. yaaani fb nkufagilia..uzi tu hapa nimetoka kuongea na mtu..namuuliza hivi hili jibaba mbona linaandika pumba?????kwenye blog?hajui hata maana ya kuwa na blog..hata hata hadhi a kuwa bungeni..watu waingiao bungeni wanajieshimu sihili jingalinakuza nywele akili hakuna...

    back to the story now...yaan fb make sure unakula nae sahani moja wasikutishe wala nini ..kwani ukila kibichi ndio usiseme??samaki kweli walikuwa wabichi na picha tumeona,...
    yaani wajinga sana muta nanga...uililaze hili fb mpaka kieleweke na msamaha auombe...

    ReplyDelete
  9. you are rite ..jack mzidakaya...you kwon tatizo letu watanzania hatupendi kuambiwa ukweli na alichosema flora hapa kwa nilivyomsoma anahaki yakulalamika ,kwanini wapewe samaki wabichi alafu asilalamike, and for william asinge mtukana flora eti yeye ni mmoja wa mabloggers wanalitumiajina lake kwa kuwavutia watu kwenye blog zao..lijitu lenyewe ni jinga kama dem nani amtumie jina lake kwenye blog even who want to see him mtu bila hata shape lipo lipo likubwa kila mahali kama tembo..tupa kule mimi namsubiria aje kunitonyesha kwa kuweka picha yangu kwa lile liblog lake la matangazo kama gazet la bure.

    ReplyDelete
  10. Kazi kutukana wenzake eti mburula kumbe lenyewe ndo mama na baba wa Mamburula. Tena akukome na akome kuparamia watu asiowajua nyoko nyoko mbebs hebu atupishe. Yaani hili li mburula william nadhani si mzima. Safi sana flora komesha huyu mburula.

    ReplyDelete
  11. Hahaha we mdau umenivunja mbavu eti baba na mama wa mamburula uwii kweli kabisa miss FB komesha mburula lemutuz masifa na mtumbo wake kama ananyea humo. William Malecela ukome wewe ndo unatafuta watu na majina yao ili upate watu kuingia kwenye liblog lako lenye matangazo ya bure juu mpaka chini. Kwanza we mama mipacho fashion police hebu tuwekee picha za harusi ya Juma Pinto naskia kao mke wa pili juzi Ijumaa huko dar leta mambo mapya achana na hili mburula.

    ReplyDelete
  12. Flora vipi hizo picha za harusi ya Pinto kwani william hajakutumia ama anaona akituma hizo atakosa kwenda kunjwa bia za bure pale sports bar Jamani tupeni mambo ya mjini tunawategemea watu kama nyinyi mutuwekee sawa mambo sawa hapA. mAANA MIMI SIAMINI KAMA JUMA PINTO AMEOWA MKE MWINGINE NA KAMA NI HIVYO AMEMUOWA NANI?????

    ReplyDelete