KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Wednesday 7 August 2013

BY:FLORA LYIMO~ YOUR FLORA LYIMO FASHION POLICE DIARY ' VYA MUHIM NILIVYO VIFANYA AND VILIVYO MAKE MY DAY ON 06/AUGUST/2013 IS RECORDED AND OUT NOW' MBUTA NANGA!!

 HABARI NDO HIYO 'FLORA LYIMO DESIGNS & TRADES '' AFIKA KUMFUATA RAFIKI YAKE WHO  DIDN'T WANT TO COME TO THE TANZANIAN EMBASSY IN LONDON'' AND WAJUA ALINIKATAZA NISIENDE ? Lakini Flora Lyimo ninavyoipenda Nchi yangu na Watanzania wenzangu nikasema no way ''Wewe nenda nitakuja kukufuata baada ya kujua nini kinaendelea hapa '' And here I was back to her baada ya kutoka Tanzania Embassy' Nachekaje sasa''Yani  I can't wait to tell her what went on in there!!
 Hhahahhahaaaaa''' Uwiii yani I wish Mngetuona tunavyocheka Hapa'' Mbavu sina jamani Uwii''Wale Mamburulas''was in the House at The Tanzania Embassy 'yani wanajijua wenyewe 'Mungu wangu walikuwa wanabahati sana ninamuheshim sana Mheshimiwa Waziri Pinda na Mke wake Kipenzi''Mama Tunu Pinda'' Yani Namshukuru Mungu sana kwa kuweza kunituliza Hasira zangu zakusukumwa sukumwa na kuzibiwa Riziki zangu'''Only hawakujua Riziki hazitoke mikononi mwao za toka kwa Mungu na Mungu alikuwa ameshanipangia''kwamba Leo nitakutana na Mheshimiwa Waziri Mkuu na Mke wake na kuongea ,kupiga Picha pamoja  na Bila kusahau ya Muhimu ambayo nimekuwa nikiomba Mungu niweze kukamilisha''and that was my day''Riziki yangu day''Mburulas kaeni mkijua Next Time mkimuona Mtu yoyote akijilia vyake WACHENI WIVI '''ALOMPA YEYE NDO KAWANYIMA NYIE''' Ni meshapewa mieeeeeeeeeeeeeeeee''Mbuta Nanga''Kwa raha zangu na sasa Mwenye Raha ni nani'' Endelea kutizama Picha 'zitakueleza mengi zaidi kuhusu Top in Town' Flora Lyimo Fashion Police''


 Nimefika kuchukua my zawadi na kuongea zaidi kuhusu yalofanyika tarehe 06/08/2013 Ubalozini UK ''Lazima nipige Picha si mwajua huo ndo ugonjwa wangu eee''Wenye wivu kakajinyonge tena waje niwape kamba za London buree''watajinyongaje sasa''
 Your Flora Lyimo Designs & Trades'' Natengeneza Pesa Mchana usiku ni kunywa ,kula na kupiga mahesabu'' Umbea hasa kwenye Mitandao ki'Anonymous ni Hasara tupu'''Ruwa Mangi''

 Chagua Rangi kwa Pesa zako wewe WhatsApp + 44 7787471024 Anytime''kwa jumla au reja reja ''ukitaka kuona mengi tembelea Mkopo Express of London Accessories to Tanzania from Flora Lyimo '' kwenye Facebook''

 Hot and Must have right now''Yani huwezi amini ni vya mpira ''
 HII PICHA INASEMA YOTE''' WAZIRI MKUU MHESHIMIWA  PINDA ,FLORA LYIMO NA MAMA TUNU PINDA' MENGI SISEMI NOW'' HATA MAMA PIDA KASEMA MANENO YATATOKEA KWENYE PICHA PICHA''hahhahahaaa'' MAMA PINDA NAKUPENDAJE''YANI ULISEMA UKWELI MTUPU NA BADO NACHEKAA''ILA NA HUZUNI PIA'' BUT  SIOGOPI KUWAAMBIA WATU UKWELI WA MAMBO ULIVYO'''YANI KWANGU NI MAUKWELI TU''
 Thanks my FAB Friend of all the time''yani kila akija London she have to make sure kaniletea kitu kutoka kwao ''' I cant wait for our Proper night out  Baby Girl'''


 TAMU TAMU .TAMU KULIKO ASALIIIIIIIIIIIII''''

 Habari ndo hiyoooo'''Flora Lyimo the Tanzanian London Black cab Lover'' Yani napenda sana usafiri huu kinomaa''' Taxiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii for The Fashion Police to Moshi Kilimanjoro Please''Mbuta Nanga''I miss Home jamaniiiiiiiiiiiiiiiiiiiii'''Hamtaamini naandika hapa natokwa na machozii'' Mungu Wangu I cant wait for that Special Day'nitakayojikuta nipo Home nafanya yangu ya Muhim''



 I DONT WANT TO GO HOME BUT I HAVE TO GOOOOOOO''RUWA MANGI'
YANI IS TIME TO GO HOME ,,BUT I DON'T WANT TO GO HOME''KWANI NIKIFIKA NITAANZA KUFIKIRIA KILA KITU KILICHOFANYIKA ON THIS DAY AND THAT DAY
Godbless Lema ''Mburula'' Mbunge wa Arusha aliponi Baka (RAPE) at my own Home? Ruwa Mangi'' Anyway ''is just that Today ni Mwaka tangu ya tukio hilo la kinyama ''na JUSTICE IS WHAT I WANT '' 
God Bless Nyie and Enjoy what 
your Doing my Friends na Watanzania wenzangu Wote''pia nawatakieni maandalizi Mema ya Sikukuu kwa wale Waislam '' Mungu Awajalie yale yote Mlofunga na Kuyaomba'' AMEN''

Siyo mbaya kulia'' AND I LOVE HUU WIMBO SANA''Yani hapa nausikiza huu wimbo na naliaaaa..machozo yananitiririkaje'' Ila hayo machozi ndo yatakayo kusafishia Njia yakuweza kupata unacho Mlilia Mungu akupe '' My JUSTICE ''Right''' Pole sana ikiwa na wewe unayako na nimekuliza kwa Huu wimbo'''Mungu atakufuta Machozi yako soon ''just like the way Navyoamini Mimi hapa sasa hivi''ENJOY''

No comments:

Post a Comment