KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Monday 28 April 2014

BY FLORA LYIMO ~ THE SEXY FLORA LYIMO IN HER SELF 40th 'BIRTHDAY CAKE'' ALBUM (1) ITS ALL ABOUT FLORA LYIMO HOW TO LOOK SEXY AT HOME'' KANTANGAZEE'MBUTA NANGA!!


Flora Lyimo in herself in Cake '' Huu ndiyo wimbo wangu niliokatia cake yangu with''I LOVE HUU WIMBO SANA HASA PALE UNAPOFIKIA MWISHO MWISHO'' Yani jamani jueni kwamba hakuna Mtu atakae kufanyie vitu upendavyo wewe au atakae kuwezesha uishi maisha uyapendayo wewe 'But 'you' ''wewe mwenyewe ndie dereva wa gari lako ambalo ni maisha yako ''maisha yako ndiyo gari lako na dereva ni wewe mwenyewe'' so hii ndiyo maana mnaniona mimi Flora Lyimo 'Nikijitahidi kuendesha gari langu mwenyewe 'maisha yangu nafanya vitu nipendavyo mwenyewe na mnao umwa kwa maisha yangu sasa nawaaambieni hivi R.I.P. Maana sasa naanza Fresh...Naanza Miaka mingine 40 FRESH KABISA'' Nikijifunza kutoka kwenye hiyo 40 niliyoikabidhiwa LIVE ON 23/4/2014 Na mwenyewe Mungu ambae ndie alie niumba tena bila kukosea kitu '' na jembe sikulinoa ,nimenunua lipya haswaa''Kaeni mkijua sasa maisha yangu ya kuanza moja mpaka miaka mingine 4o start Now'' And start with this FABU''Birthday Party at my Blessing Home 'kwa Kihindi Hindi mavaazi zaidi ''Ikiwa ninayo yafanya yanawauma hadi kulazwa kwenye wodi za mahutihuti in mahospitali na kwenye makao yenu 'basi sasa jueni ndiyo mtakufaaa''na narudia tena,JEMBE SIYO LILE 'Nimenoa la zamani,nimenunua lipyaa .HABARI YA MUJINI, NDIYO HIYO TENA UK Uingereza'Flora Lyimo RULE IT''Mbuta Nanga'' Yani IM SO BLESSED WITH THOSE FRESH FRIENDS AND THOSE EVER KUSINYAA FRESH FRIENDS WA MIMI 'ALWAYS WITH ME'' IN SHIDA AU RAHA'' I LOVE THEM SO MUCH ''THEY ARE THE REASON WHY IM SO HAPPY TODAY ''AND WILL ALWAYS HAPPY MAANA WAO NI TOP UP ''KWANI FLORA LYIMO MWENYEWE PIA NIPO HAPPY HATA KAMA SINA HELA HUWEZI KUJUA KABISA '' AND THAT IS ONE OF MY BLESSING FROM GOD''ALWAYS BE HAPPY ''RUWA MAMNGI..




Flora Lyimo anajiaminije''Mwanamke kujiamini na Body ilotulia''sexy ndiyo mambo yote'' I love my curvy Shape'' Kunenepa kunadiliiii''na kunenepa ni mpango mzima wa kuwa Mwana Taarabu '' Ukiona Mwanamke Mwiimbaji au Mpenda Taarabu mwembamba Jua ''Ndiyo yupo kinjiani akiutafuta Unene Ili awe Mwanataarabu wa Ukwee''Wapi Khadija Kopaaaaaaaaaa''I love you and Miss you Super Star wangu wakitaarabu Namba moja'' Na wale Wataarabu Star wote''nawapeni Haiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii''' Taarabu ndiyo Ngoma ya Mwanamke Alisi wa Kitanzania'' Ukibisha wewe siyo Mwana Taarabu tupishe sie 'Tupiteeee''Mbuta nanga'' Utadhani sijazaliwa Moshi Vijijini Vile'' I love TAARABU ''NA Ndiyo maana hupenda Kufanyia Party zangu at Home 'ili nikeche nikilewa na Kucheza Taarabu'' Tulikeshaje na kuendelezaje My 40th Bithday party on 26/4/2014 hadi on 27/4/2014 ''And yes  No photos kwa baadhi ya waalikwa Ili kuwakomesheni nyie wakusubiria mdake ambao hawajaomba ruksa at Home'' MTAJIJUUU''IKIWA KUKU WAKO HUJAMFUNGA KAMBA'' AKITOKA ATARUDI JIONI AU FLORA LYIMO ATAKAPO PENDAAAAAAAAAAAA''MBUTA NANGA'' HAHHAAAA'' I LOVE MY LIFE''WATANZANIA WENZANGU UK ''MNANICHEKESHAGA SANA''POLEE JIRANIIII''POLEE JIRANI'' NILIMPENDA MWENYEWE , NA KANIPENDA MWENYEWE POLEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEENIIIIIIIIIIIII''HATERS I WILL ALWAYS KILL NYIE VIBAYA SANA'' AND THIS IS HOW TO KILL ANY HATERS'' WAZIDISHIE WHAT THEY HATE ABOUT YOU ''


EAT MY BODY''' FLORA LYIMO IN CAKE''' CHEZEA THE LADY GAGA OF TANZANIA WEWEE'' aka THE SEXIEST 40th TANZANIAN WOMAN IN THE WORLD'' KANTANGAZENI''MBUTA NANGA'' NDIYO HABARI YA MUJINI''
I LOVE FLORA LYIMO ''FOR SURE 'MPANGO MZIMA WA FLORA LYIMO HOW TO LOOK SEXY AT HOME'' NO ONE LIKE ME'' I love the idea of Sexy Underwear's Everyday clothes ,hasa pale unapokuwa upo Home' yani for that instant CONFIDENCE Boost ''Jaribu kuvaa Rangi Rangi na kuepukana na Black kwa muda 'na kaeni mkijua kwamba Red is the new Black if you DARE TO BE ''DIFFERENT'' LIKE FLORA LYIMO''

mwaona hizo new Hair eee'' yani naziuzaaaa'zipo za kila aina na ni mara yangu ya kwanza kuvaa lace wig''what you think ? wacha maoni yako hapa hapa''
hahhaaaa''mnataka nianze kuwakatieni wapi ''? mtanitafuna au mtani lamba? mbuta nanga!!

Santeeeeee''Dogo langu la Ukweee Moja kwa moja kutoka Marangu ''Kilimanjaro oyee''Mwamuona akijipatia Snap zake eeee'' Thanks for Coming Watu wangu ''I love nyie Today and Always''
Was joto hatariiiiiiiii''Jamani kusikia Raha nako kuna leta Joto hatariii''I was so Happy '' yani So Happy ever '' Im 40 years Old and I know it ''sasa naanza Upya'' mingine tena 40'' God Help me to be me and Have all the things that I want in my Life'' Yani IM SO PROUD OF MYSELF AND I THANK GOD EVERYDAY OF MY LIFE'' RUWA AIKA MBEE''









Mwaona hilo joto la furaha''Yani nilikuwa na tiririka haswaa''Maraha mlonimwagia my Fabu Friends mliofika hapa kusherekea na Mimi my miaka Arobaini ya kukuwepo hapa Duniani ni Hatarii''Yani jueni MEBARIKIWA SANA MAANA YOU ARE IN MY PRAYERS EVERYDAY AND HAKUNA KITU KIZURI KAMA KUWAPINGA HATERS WA MTU NA KUWEZA KUFIKA NA KUONYESHA WALE HATERS WAKE ..KWAMBA WAMESHINDWA NA WATAZIDI KUSHINDWA KATIKA JINA LA YESU''' YANI NAITOA NAFASI ''ATAKAE WEZA AJE KUNISHINDA'' WAPI YULE KUBWA JINGA LA MUJINI? NA WALE HATERS WA FLORA LYIMO WOTE ? YANI I TELL YOU THIS'' MLIYOTAKA YASIFANYIKE''YALIFANYIKA'' AND THIS IS WHAT YOU MISS''







Is the time to look up huko mbinguni na kumshukuru Mungu wakati wa kuitia kisu cake hii'' yani is about ''Godddddddddddddddddd'' Your amzingggggggggggggggg I didddddddddddddddddd It''
 Thank you so muchhhhhhhhhhhhh''''mbuta nanga!!
Habari ndiyo hiyooo'''Yani usipime ''Hii cake ni Surprise kubwa sana kwangu wakati wa kwenda kuichukua'' The habari ni hivi ''Wiki mbili zilizopita nilienda Kwenye Duka la Cake pale pale ninapotengenezewa cake zangu for miaka mitatu sasa'' Mimi nilienda pale na kuwaambia Cake ninayotaka na je wataweza kunitengenezea ? niliwaambia waniangalie my Body alafu wanitengenezee cake ya kuanzia kifuani hadi nusu mapajani ''only to show me wearing sexy chupi na sidiria tu'' then wakaniambia tunaweza lakini itakuwa gali sana'' nikawaambia ikiwa mnaweza sitojali how much hiyo gali yenu mnayosema'' so how much ? then wakaniambia itakuwa about £120 pounds'' nikawaambia is that is what you call gali? Ok if you do it the way I want ''will pay you £130''how about that '' is my 40th Birthday Cake and I want it to be the one to Remember'' maana will never going to come again '' so I want it to be the way I want and na maneno yake pia'' wakanipa kakaratasi nichore na kuandika maneno ''so i did'' and this is what you can see here in matokeo ya Flora Lyimo 40th birthday party 26/4/2014Today ''the Flora Lyimo in cake'' Walinipatiaje sasa'' ? and Also cha kunishangaza zaidi ni pale nilipokwenda kuichukua haraka haraka on Jumamosi jioni na kufika pale kukuta ni cake kubwa hatariiiiiiiiii''mbuta nanga''NILISHANGAAJE??sikuweza kuibeba''nilibakia na shangaaaa''how do i ever going to take it Home now? uwiiii is tooo big my dear''I wish you could of tald me was going to be this big ? And She say to me the 'Boss' say kwa sababu unatuleteaga style mpya za cake na tunazipendaga''ameamua kuifanya kubwa na yakukufurahisha on your Big day 40th Bithday party ever'' so that is why madam'' Kudadadeki' I was si mngenipunguzia hata nilipie Nusu ya hiyo bei basi..Mchagga kwa Hela ''sasa naona kama ni kubwa sana na Waalikwa ni wachacheeeeeee'''Hahhahahaa''Sasa nataka nusu hela back '''hahhahahhaa'' But you know what ''IM SO PROUD OF WAFANYAKAZI WOTE HAPA DUKANI NA HUYO BOSS WAO AMBAE HATA SIMFAHAM'' YANI THIS IS HOW TO DO BIASHARA''MAKE CUSTOMER HAPPY AND FOR SURE ALWAYS WILL COME BACK TO YOU ''HABARI NDIYO HIYOO''
NOW FOLLOW THIS BLOG ILI USIPITWE WITH THE NEXT ALBUM ''COMING SOON.
FLORA LYIMO FASHION POLICE BLOG'

2 comments:

  1. woowowowoww Flora Lyimo i love your new look at 40 '''yani umetishaaaaaaaaaaaaaaaaa''''happy birthday and be bless ...

    ReplyDelete
  2. Flora Lyimo wala usiwajibu wana wivu na maendeleo yako wapotezeeeeeee''' TUPA KULE WACHA KAZI ZIENDELEE''

    ReplyDelete