KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Thursday 24 March 2011

MOROGORO YAZIDI KUANDAMWA NA AJALI ZA BARABARANI.

Miss FB Lyimo say.  Mungu wangu hata sijui lakusema kabisa. hivi kunaweza kuwa na uwezekano wakutengeneza barabara za malori peke yake?. Good job GLOBAL . keep the good work on and God bless TANZANIA NA WATU WAKE WOTE. RUWA MANGI"


Basi la kampuni ya Usaka lenye namba za usajili T 481 BFJ  lililokuwa likitokea Bukoba kuelekea Dar es Salaam, likiwa limepinduka baada ya kuligonga kwa nyuma lori aina ya Fusso lenye namba za usajili T 873 ALA lililokuwa likitokea Ifakara.
NA DUNSTAN SHEKIDELE,GPL MOROGORO
MZIMU wa ajali umeendelea kuutesa mkoa wa Morogoro, ambapo leo majira ya asubuhi basi la kampuni ya Usaka lenye namba za usajili T 481 BFJ lililokuwa likitokea Bukoba kuelekea Dar es Salaam, leo asubuhi limegongana na lori aina ya Fusso lenye namba za usajili T 873 ALA lililokuwa limebeba shehena ya mchele likitokea Ifakara.

Watu walioshuhudia ajali hiyo, iliyotokea eneo la Maseyu walidai kwamba basi hilo liligonga Fusso kwa nyumba na kupinduka.  Pia, askari aliyekuwepo eneo la tukio aliueleza mtandao huu kwamba katika ajali hiyo hakuna mtu aliyepoteza maisha na kwamba watu 27 wamejeruhiwa na watatu wakiwa wameumia vibaya sehemu za kichwani.

Hii imetokea baada ya ajali nyingine mbaya iliyotokea Mikumi mkoani hapa usiku wa Jumatatu wiki hii ambapo wasanii 13 wa kundi la Five Stars Modern Taarab walikufa na wengine wanane kujeruhiwa.
ZIFUATAZO NI PICHA ZA AJALI HIYO:

No comments:

Post a Comment