KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Monday 26 December 2011

* YOU BEEN SNAP BLOG * SOMA HABARI YA HII FAKE XMAS EVE PARTY ILOANDALIWA NA FARIDA MATATA. 24-12-201 "WATANZANIA TUTAJIFUNZA LINI ? NA MTU KAMA HUWEZI SHUGHULI NI KWANINI KUZIFANYA ? WEWE UKIONA WENZAKO WAKIFANY AKITU ,NAWE USIJIFANYE KUKIFANYA ,MAANA INAHITAJI UZOEFU NA UKWELI "NA HIZO FAKE FAKE NDO ZINAWASABABISHA WATANZANIA WASIENDE KWENYE SHUGHULI ZA WATANZANIA WENZAO WANAZIFAKE MNO JAMANI .KWELI SI UNGUANA""NAMI SITACHOKA KUWAAMBIA UKWELI WAO "




Farida Matata uje mwanangu kwenye Paty ya xmas Eve na nguo nzuri ukushinda utaondoka na hilo jujuu
21 December at 12:42 ·
HAYA NDO MANENO YA HII FAKE XMAS EVE YA FARIDA MATATA (FASHION ) NA GARI AMBALO NAJUA NIMELISHINDA NA KUTAPELIWA" mbuta nanga"
Goodnews!!!!!

HAPPY CHRISTMAS TO ALL TANZANIANS LIVING IN LONDON


...
YOU ARE INVITED TO COME AND WINE,DINE AND DANCE WITH ME ON THE CHRISTAMS EVE (24TH NIGHT) .
PLENTY FOOD AND DRINK, YOU ARE NOT BUYING IT, IT'S FREE... BIG BIG PARTY HERE IN NORTH LONDON....

COURTESY OF FARIDA MATATA

BELL & HARE
724/726 HIGH ROAD TOTTENHAM
N17 0AG

haya da Dama Fatuma Kimazi Asha Kimazi Mamii Mariam Kimazi Zaomba Mwashumu Anty Fay Rebeka Nuru kimazi Lavenia Fatuma Andrew {DJ] Chambi also DJ dada zuwena Da Sambwe na Mwananidi Evelyn and Criss mbiky bety fatuma matron Laura mariam mayange muba rahma tunu msirwa wifi hindu Bety Banyikwa na rafiki yake na wapenzi wangu wanaoishi Milton mnakaribishwa hii shuhuri ya kila mtu manakaribiswa wote atakaye vaa vizuri kuliko mwingine Zawadi ya hilo jujuu kwsa juu ataondoka nalo usiku wa xmas eve .......

Hivi ndivyo alivyoandika kwa my wall on facebook "
Farida Matata watu hawakuja waliokuwepo wanantosha pamoja nawewe kumbuka wewe mtoto kutukana wakubwa sio adabu basi fanya wewe kama utaona mtu lakini kukupa BMW kwa nguo uliovaa sio sawa niheshimu kwa ajili ya Mamii na Fifi

HEBU MSOMENI JAMANI MBONA MAMA HUYU YET AGAIN SHE IS FAKING IT"
Kwamba nimemtukana, SIJAMTUKANA KABISA MIMI NIMEMUAMBIA UKWELI WAKE" WE NEED TO KNOW WHO WAS THE WINNER "KAMA UMESEMA SIYO MIMI ,NA USHANIAMBIA NIMESHINDA NA MDOMO WAKE YEYE MWENYEWE.NA HAO ALOWATAJA HAPO ,MAMII NA FIFI SIJUI WANAHU NINI"


POLENI WADAU ,DADA MWENYE ILE PICHA KANIOMBA NIITOE ,NAMI NIMEITOA KWANI ANAHESHIMA ZAKE NA ALIKUWEPO NA ALISHUHUDIA YOTE NA HAKUBALIANI NA U FAKE HUU WA FARIDA MATATAya kwamba siyo vizuri alivynifanyia" 
Pichani hapa ,huyu Dada anayetaka kunyanyua viatu vyake hapo NDO NAE BAADA YANGU MIMI KUDAI GARI NILOAMBIA NIMELISHINDA KWA KUVAA VIZURI KUPITA WOTE WALOFIKA HAPA LEO.ALIAMBIWA KASHINDA PIA" so Mama Farida akanza kunibadilishia maneo .WEWE WALA HUJASHINDA ALOSHINDA NI HUYO MWANANGU (pichani hapa) Na hakutaka kulichukua gari hilo maana kanionea huruma watu wengi hawajaja.walokuja ni wanangu tu na wewe. so hata sijamuelewa kabisaa!!
SO HABARI NDO HIVI"
Mtoto wake Lisa Matata (mamii) alinipigia sim , kuomba nimtangazie kwa Blog yangu , tangazo la mama yake la xmas eve party .na kama naweza niingie kwa wall ya mama yake ili niichukue kutoka kwake, nami nikamuambia sawa. hapo hapo nikaingia kuliangalia tangazo hilo. baada ya kulisoma nikawa naona kama haiwezekani ,Inaweza kuwaje watu waje kula bure ,kunywa bure na hapo hapo uvae vizuri ushinde Gari ? ndo nikampigia sim Lisa ,vipi hii shughuli niya ukweli ? akasema ndiyo ni ukweli mama yake kaamua kuifanya kusherekea xmas na Watanzania, ndo nika muuliza vip mbona hata hamna saa .inaanza saa ngapi na kumalizika saa ngapi? ndo akaniambia mama yake ndo pengine kasahau kuandika ila wewe andika saa nne mpaka saa kumi na moja. 10pm-5am. so nikaenda kuitangaza na na nadhani wengi wenu mmeliona tangazo hili "
SO on xmas eve .time 9pm nimejiandaa ,mara Lisa akapiga sim kujua kama ninaenda au vipi ,nikamuambia nakuja wewe utakuwepo saa ngapi ?kasema saa nne na nusu.
Nimefika pale na taxi yangu hapa nimelipa £22.kuingia mlangoni nakuta wanalipisha £10. nikawauliza kwani watu wanalipa ? na kama wanalipa mbona hamjaweka kwa tangazo lile ? ndo mama Farida Matata akaniambia yani wewe ulidhani xmas hiki watu watapewa mahali pakuparty bure bila kulipa, nika muambia ni sawa sijakataa..ila ungewajulisha watu .ili waelewe wanalipa na kiasigani .basi nikajilipia nikaingia ndani nikakuta kweupee...ni yeye na wafanyakazi na siju watoto wake mie siwafaham.
nikaingia nikaagiza drink yangu baada yakuona hamna yoyote anayegawa hizo FREE DRINK TULIZOAMBIWA HAPO kwenye tangazo.FREE DRINKS NA VYAKULA " so nimejinunulia champagne yangu £60. nimekaa nakunywa nae pia nikampa glass na baadae Lisa akaingia na rafiki yake .tukakaa na kuanza kunywa ,huku wakiwa wana liwaza ni heri waende kule UWANJA WA NYUMBANI ( THE PIT STOP) nikawaambia sawa"kukaa muda kidogo sikumuona tena Lisa ,kumuuliza mama yake Farida ndo kasema hakupenda music hii hapa kwahiyo kaondoka" mie nikabaki nashangaa sasa mtu kakualika na shughuli ya mama yake utaondokaje tena bila hata kuaga" mimi basi hapo ndo naagiza chupa ya pili ya champagne kwani Misic niliipenda sana.Ma dj wanajua kazi yao .nilienjoy kisawa sawa. ndo HAPO FARIDA AKAJA KWENYE MEZA YANGU AKANIAMBIA WEWE NDO UMESHINDA. ndo nikamuambia basi tutangaze maana siwezi kushinda bila kutangaza na picha tupiga ..ndo maanake. asema sawa atamuambia DJ atangaze, punde si punde namsikia DJ akitangaza wanafunga , so nikamuita nikamuambia sasa vipi ? ndo hapa akaja na huyu dada alodai ni mtoto wake na yeye ndo kashinda, ETI MIMI ALINITANIA ..kwamba nimeshinda?? how come ? ndo hapa hata mwenye hiyo bar akasema kwa kweli wewe ndo ulishinda na umevaa kisawa sawa kupita wote walokuja hapa,mimi pia naona wamekudhulum lakini usijali .hapa ni kwangu nayeye sitaki aniharibie jina la bar langu .tukabakia tunayaongelea na wao wakaondoka .kwhiyo  
WADAU HEBU NIAMBIENI MTU KUMUULIZA UKWELI NDO ANAANDIKA HUKO FACEBOOK ETI NIMEMTUKANA,HAPO KUNA MATUSI GANI ? Watanzania tunatakiwa TUAMKENI NA TUACHE KUFANYA MAMBO YA AIBU ,TUNAJIAABISHA .NAMIMI NAWAPENDA SANA WATANZANIA NA NAIPENDA NCHI YANGU TANZANIA NA NITAKUFA NIKITAKA PENGINE NIKITAKA WATANZANIA WAFANYIWE KWELI "
Ni hayo tu , wacheni maoni yenu hapa ,kwani itaweza kusaidia kwa njia moja au nyingine. JE UNGEKUWA WEWE UNGESIKIAJE ? NA KAMA NI SHUGHULI YAKO WEWE UNGEFANYAJE ?

47 comments:

  1. pole saaana flora ni bora ungebaki home cku ipite kuliko kutapeliwa na kupoteza muda wako,huyo mama asijilazimishe kufanya mambo makubwa ambayo hayawezi.

    ReplyDelete
  2. sasa hapo kuna point gani ya kumwingiza FIFIE:au aliishiwa maneno!sio mstaharabu kabisa kwanza ilibidi aombe msamaa kwa kutenda kinyume cha kile alichokutendea kutapeli,watu wengine wanajua kweli jinsi ya kumtafuta mtu mpaka uvunguni,,,,lol

    ReplyDelete
  3. KUNA BAHAZI YA WATU WANAISHI KWA UTAPELI HAPA NA NDO MAANA WATU WALISUSA NA KUSHTUKIA MANA WANAMJUA..WALIIINGIA MTINI HAWAKUTOKEA!AKAJIKUTA YUKO PEKE YAAKE NDANI YA UKUMBI.STOP FOOLING PEOPLE.BIG SHAME

    ReplyDelete
  4. HAPO HUJATUKANA FLORA ILA UKWELI UNAUMA WATU ALWAYS HUWA HAWATAKI KUAMBIWA UKWELI~~KM ULIVYOMWELEZA NDO SASA ANAJARIBU KUKUTENGENEZEA STORY ZA UONGO ILI UONEKANE MBAYA~~LOOO HESHIMA NI KTU CHA BURE BUT KWENTE UKWELI NI VIZURI KUAAMBIA KULIKO KUKAA NALO MOYONI! DUUU AMELIKOLOGA HILO NA ALINYWE...

    ReplyDelete
  5. hhahahahahhaaaa.MISS FB wewwekiboko chao hao fake people.. you know FAKE PEOPLE DO FAKE THINGS ...and for the look of what you are wearing AND OTHERS .YOU ARE 100% THE WINNER.

    ReplyDelete
  6. hao wachovu BMW walitoe wapi?

    ReplyDelete
  7. hunajua huyu mama farida matata atakuwa ana undugu na huyo fifi .mbona anamutaja hapo yeye anahusika na hivi alikuwepo ,hebu tupe mapicha yake naana anapenda kukuiga siku izi sana.
    arafu hao watu wa noth ni ovyosana watakuwa wanaambiana wasikupe hiro gali ,kwani wao ndo wale wale wenye hasila na wewe kwa kumchukulia fifi mme wake ,na mapenzi haya lazimishwi sasa hao wao wananjama za WACHANA NAO FLORAH .MIMI NAKUPA USHAURI HAO HAWANA LOLOTE UPO JUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUU..

    ReplyDelete
  8. sio fifi ni Titi kwa hiyo ulitaka gari

    ReplyDelete
  9. hahhahahhahhahaaaa..kweli wewe kiboko cha watanzania waishio london ,wapee wapee vidonge vyao wamezoea kufake watu alafu wana lalamika hatuendi ,mimi siendagi kwenye shughuli za wabongo tena najiendea kwa wanaija na wakenya.
    ILA WEWE NENDA ILI UTULETEE MAMISHAPO NA MAPICHA YA UKWELI LADY GAGA WAKITANZANIA MBONA WATAKOMA....

    ReplyDelete
  10. kwa nguo gani ulivaa ushinde gari rubishhhhhh

    ReplyDelete
  11. im with you miss fb YOU ARE THE WINNER, na gari alitoe ,la sivyo unaweza kumfungulia mastaka,sikalitangaza na picha unazo ,alafu siyo ajabu ukute hilo gari limeibiwa yani huyo aunt farida matata hana lolote watoto wake pia hawana lolote aje kutoa gari kwa alovaa nguo nzuri ,na anajua mashoga zake hajui kuvaa kabisa,tobaaaa...

    ReplyDelete
  12. kweli flora bahati lyimo wewe kiboko unatakiwa tukuteuwe uwe hata Rais ,mbuta nanga!!

    ReplyDelete
  13. hayo matiti mdada utasababisha wanaume wahamie kwako ,umependezaje...kweli ndo maana Africa king peter ngatika kaacha mke wake mbovu na watoto ,YOU BEEN SNAP BLOG UREEEEEEEEEEEEEEEEEE"

    ReplyDelete
  14. tatizo lako miss fb ,wewe umekaa sana na wazungu huwajui wabongo wa hapa london, hawana mpango ni waswahili sana,tena washamba wakuvaa,yani hangalia watu waliambiwa wavaa nguo zuri watashinda gali bmw ,arafu wamevaa nini, angalia wakina zaomba na mamii sasa hao ndo wakushinda ,FARIDA TOA GALI KWA MISS FB una mtapeli ,HUNA LOLOTE nyoooooooo"" hata kuandika hujui shule sijui kama umeenda.BIG UP YOU BEEN SNAP BLOG"

    ReplyDelete
  15. pole sana flo,ila ukome kwenda kwa wabongo ,rudi kwa wazungu mwaya.

    ReplyDelete
  16. hahhahahhhhhhhhhhhhhhhhhhhhahaaa,kudadadekiii.

    ReplyDelete
  17. naomba uwe mke wangu pls.peter ngatika.

    ReplyDelete
  18. aunt farida matata anatembelea mabasi aje kutoa bmw ,hivi mnaakili na mlienda mkidhani ni ya ukweli hayo ,hata kuandika hajaenda shule maandiko yake,alafu anawataja majina ndo walikuwa washindi au ..kweli miss fb wewe kiboko yao na endelea kutupa mishapo na mapicha ya ukwee..mimi ni mdau wako mkubwa na ipenda san blog yako na vile unavyojitolea mpaka kwa waloadhirika na mafuriko dar ,.YOU ARE OUR TANZANIA SUPER STAR...GOD BLESS YOU AND HAPPY NEW YEAR;

    ReplyDelete
  19. WERAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAMSHINDI FLORA BAHATI LYIMO MPENI GARI HILO ACHENI UTAPELI. FARIDA WE WE NI MTU MZIMA ACHA UTAPELI WEWE NDO UNATAKIWA KUWA MFANO WAKUIGWA

    ReplyDelete
  20. wewe flora huna hata haya kwa nguo gani uliovaa kila sehemu hiyohiyo wala hujapendeza hata kidogo nguo unarudiwa kila siku asyefunzwa na mama yee atafundwa na walimungu huna haya hata kidogo

    ReplyDelete
  21. mtoto flora asioisha utamu.com ABSOLUTELY YOU LOOK HOT BBY,YOU GOT NICE BOOPS NDO MANA PETER KAKUGANDA COUSE HE KNWS HW SWEET & GOOD IS...YOU LOOK SEXYYYYYY UR THE WINNER! YOU DESERVE TO GET THT BMW DAMN! FOR SURE..WAKUPE HAKI YAKO.

    ReplyDelete
  22. wape wape wakimeza wakitema shauri yao,kutwa huyu mama kuchezea tuu watu akili sasa hapo amefika na kugonga mwamba yaaani kadandia bus kwa mbele,sema flora usiogope! dawa yao ndo hiyo,mtu mzima ovyooooooo anaishi kwa utapeli tuu.

    ReplyDelete
  23. pole flora huyu mama sio mstaharabu mana km alikuwa na cha kuongea na wewe alitakiwa aku inbox kuliko kukuandikia pale ktk wall..sasa km unampaka wewe mpake tuu mana yeye mwenyewe ndo amelianzisha tapeli mkubwa wa uk.

    ReplyDelete
  24. auhhhh gosh...bby absolutely ya'gorgeous with that boops,i cant hold my feeling ur killing me soft,i wish i could get that chance of mr.peter ngatika so that i can enjoy like him.ur the winner!! GET WAT U VE BEEN PROMISED

    ReplyDelete
  25. FLORA UNAFAA KUWA MBUNGE WA NORTH LONDON MANA HATA UWAOGOPI UNAWACHAMBA NA KUWAPAKA MMOJA MOJA NA WOTE WAMENYWEA KIMYA WAMEUFYATA MANA WALISIDI MIDOMO NA MASIMANGO NA BADO KUDADAKI,WIVU UTAWAHUA MBNI KUENDEKEZA DHIKI..

    ReplyDelete
  26. SAWA FLORA WEE WAPAKE TUUU WAMEZIDI WEWE NDO KIBOKO YAO...MBNI HAWAKUJIBU SASA KUDADAKI NA WASHINDWE NAMBA NI CHAFUUUUUUUU HIYOO JARIBU TEENA BAHADAE.

    ReplyDelete
  27. I LOVE YOU FLORA MSEMA KWELI DAIMA!UNAFAA KUWA WAZIRI WA JAMII MANA KUTWA UNATETEA HAKI!IM SO PROUD OF YOU!HUPO JUUUUUUUUU LIKE A STAR

    ReplyDelete
  28. namjibu huyo aliyoandika kwa nguo gani ashinde! na mbni umeficha jina sasa km wewe ni mwanamke kweli,weka nguo yako hapo ndo tulinganishe na flora sasa. ukome kuingilia yasiyokuhusu ndo nyie nyie mnaoishi hapa uk kwa kujificha na ndo mana umeficha mpaka jina lako,ji sort na mambo yako kwanza then ujue kuyafuata ya yasiyokuhusu..i feel sorry for you

    ReplyDelete
  29. nakupenda flora no mata wat!unanipa raha za dunia ambazo sijawahi kuzipata.najisikia raha saana nikiwa na wewe.AFRICAN KING.PETER NGATIKA

    ReplyDelete
  30. Florah naamini katika list yote uliyotaja ya waalikwa hakuna anayekufikia kwa mautam na kwa kupendeza.Kwa muonekano ulifunikaaa, we komaa na huyo mama tapeli mpaka kieleweke. Anajulikana kwa utapeli ila kwako kagonga mwamba. Muaibishee na mauwongo yake utadhani haishi UK?

    ReplyDelete
  31. Huyo mama kafulia anataka kumtapeli nani? Hapo kapiga wrong number, kazoea utapeli. mshwwwww

    ReplyDelete
  32. Huyo mshindi aliyevaa nguo nyeusi nguo gani kavaa ambayo aunt farida anadai mshindi kama anaenda kuzaaa hatari family yao wote hawakupendeza uchafu mtupu

    ReplyDelete
  33. Hii niya kupelekwa Ikulu .sasa wewe umdhulim miss fb alafu useme akuheshim wewe ni kama mama yake? haiwezekani MPE FLORA BAHATI LYIMO HAKI YAKE....ungetaka uheshimiwe usinge mdhulum ,na je ni wangapi umewadhulum , ama KWELI ZA MWIZI ALUBAINI. BIP UP MISS FB...

    ReplyDelete
  34. hahahaa,ama kweli AUNT FARIDA UMEPATIKANA, SI UMPE GARI MISS FB ,YAISHE KULIKO KUDALILISHWA KOTO HUKU M,dunia nzima inajua ume fanya fake party na kumdhulum dada wa watu ..na unakataa kumpa haki yake kwa ajili ya MAMII MWANAO NA FIFI .HATER WA MISS FB KWA KUMCHUKULIA BABA WATOTO WAKE.. sasa wewe mama umelikoroga na utalinywa.alafu hapo kuna mtu kabadilisha kaanza kusema waimanisha titi...badala ya fifi ,unawezaje kukosea ff na tt ??

    ReplyDelete
  35. na wewe flora bahati lyimo kama unachotaka ni bmw ..mimi nitakupa voguuuuuuuuuu..haya party yangu next week njoo nitakuinbox adress.wachana na hao wanjaaa...

    ReplyDelete
  36. sasa wewe ulokomment hapo kwamba miss fb analudia nguo kila siku ,,unamacho kweli na unahakika yote yanaona ? hakuna anayejua kuvaa kwenye shughuli za wabongo kama miss fb na dolla songambele ...wewe hata wakizirudia nguo zao wapo juuu,,,wanapendezaaaaaaaaaaaa

    ReplyDelete
  37. nyie wote mlocoment hapa KALALENI ...AU MTAFUTE KAZI ZA KUFANYA ,,WAACHIENI WAHUSIKA WANAJIJIA NA ANUT FARIDA UKOME KUWATAPELI WATU ....

    ReplyDelete
  38. uwiii makoment yote haya .kweli wamekudhulum , yani hata haoni aibu ,hebu akupe haki yako..

    ReplyDelete
  39. ee mie napita tu hapa hodi Flora ukisha nikaribisha nakuja na mautamu yangu na maneno ya huyo Farida tapeli maana najua mambo yake mengi sana mpka akome mwaka kabla haujaisha na kufikia January tunaanza upya na watu wa ukwee

    ReplyDelete
  40. na huyo fatuma macho ndo alisema usipewe ni mimi hapa mariam kimanzi.

    ReplyDelete
  41. WADAU NA NDUGU ZANGU WATANZANIA, NAPENDA KUWASHUKURU WOTE MLOWEKA COMMENT ZENU HAPA ..ila naomba kwa maana sitoweza kuzisoma kabla ya kuziweka hapa.MSIWEKE COMMENT ZISIZOENDANA NA HII FAKE PARTY ...kama ni mambo ya ushafu ,kuchukuliana mabwana na mengine mengi ambayo mnayasemea hapa naomba msiweke kwani HAYATASAIDIA YOYOTE YULE ATAKAE FANYA AU KUFIKIRIA KUFANYA PARTYS ..AFANYE KWELI NA BILA KUZIFAKE..YANI UKISEMA KITU NA UKITIMIZE..kwa hiyo naomba wekeni za kuendana na flora bahati lyimo KWA KUDHULUMIWA GARI ALOAMBIWA KASHINDA NA MWISHO WASHUGHULI ANAAMBIWA ALITANIWA ...KASHINDA NI MWENGINE NA MWENGINE HUYO HAJULIKANI NA MWENYEWE KAKATAA KANIAMBIA HAJASHINDA HILO GARI huyo mama ni muongo...haya kazi kwenu wadau ..JE KAKA NI MAMA YAKO UTAMKUBALIA KUWAFAKE WANANCHI ..MIMI SIYO MTOTO WAKE NA WALA SINA UNDUGU NAE..NAPIA NIMEMFANYIA MENGI KWA UPENDO WANGU NILONAO ..NA SASA NDO NAFANYIWA MABAYA KWA MAHATERS WANGU NILONAO .MMOJA KWA KUVAAA NGUO ZA KUONYESHA CHUPI ..WA PILI KWA KUMUIBIA BABA WATOTO WAKE..JE BABA HUYO ALIKUWA MACHO AU KALALA ALIPOIBIWA ? NA JE MVAA NGUO HIYO ALIIVALISHWA NA MIMI AU ? HOW COME TODAY NAJA KUNYIMWA HAKI YANGU KWA HAYO ??? ANYWAY ..KUNA MUNGU PIA HUKU DUNIANI SIYO KWETU NA SISI SIYO WENYE KUAMUA WENYE KUTENDA MANDAMBI YAO WAPEWE ADHABU GANI....STAY BLESS ALL...AND GOD BLESS THE WORLD NA WATANZANIA WAWEZE KUFANYIWA UKWELI KAMA UKWELI ULIVYOANDIKWA....

    ReplyDelete
  42. ???! kumbe fatma macho ndo aliyetia fitina hapo,hiyo ni roho mbaya na chuki! anaweza kuua huyu mtu.hilo gari yeye ndo alikuwa analitaka labda.achen utapeli wabongo ndo mana hamuendelei na mkumbuke tu kwamba duniani mnapita tuu BMW mtaliacha nyuma.acheni kudhurumu watu innocent!siri imefichuka

    ReplyDelete
  43. dj wafatuma macho28 December 2011 at 16:11

    flora bahati lyimo mimi nilikuwepo na niliona kila kitu ,wewe mwanza nilikuwa sikufaham, lakini nilivyokuona nikaambiwa wewe ndo miss fb ,nilikupenda sana. mchangamfu , msafi , fashonista , upenda raha, yani sijaona watanzania hapa london wanaojua kuvaa kama wewe, mimi kweli hiyo nguo ulovaa sijui kama kuna Mbongo atakayedhubutu kuivaa ,maana ni ya bei na ya mastar kwani wengi ni washamba,,wewe waone picha zao kwenye mashughli alafu utaja niambia kama nimesema uwongo..mimi sasa ni mama na familia yangu kwa hiyo najitoa humo kwa mafashion ..ila ULIPENDEZA KUPITA WOTE,NA HUYO LISA Mamii ANATAKIWA ASHIKE ADAU MAANA HATA MAMA YAKE ALISEMA KAMKIMBIA HII SIKU YA SHUGHULI...wakome kabisa miss fb mimi nipo nawewe 100%

    ReplyDelete
  44. hahahahahahahhahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaanimechekaje..kweli flora bahati lyimo unafaa tukuzawadi gali la maana kuliko hata hilo bmw,maana kwa mishapo ya ukweli hatukuwezi..I LOVE THIS YOU BEEN SNAP BLOG. is number one london blog ....big up miss fb.

    ReplyDelete
  45. sasa mama mzima ovyooo..mbona anafanya vitu vya ajabu jamani.kukudhulum alafu mtoto wake lisa ndo anajifanya kwenda kukutukana huko facebook ,hivi flora bahati lyimo unaona kweli wanavyokutukana au wamekublock hao watapeli fake wa mashughuli...??

    ReplyDelete
  46. FARIDA MATATA NA MATATA YAKE ASITULETE UIZI WAKE ATOE GARI. NA AKOME NA VIPATY PATY VYAKE VYA FAKE MAMA NTILIE WA LONDON APATE WAPI BMW YA KUMPA MTU KAMA SI UWONGO HUO MWIZI MKUBWA.

    ReplyDelete
  47. sasa hilo hapo sio lake jamani basi mwambie huyo farida matata na matata yake akome kuongopa mama ntilie huyo what a contridiction mara akupe gari mara hana hao watu wenye chuki waache kukutumilia kwenye blog yenye heshima yake wa kwanza michuzi wa pili wewe flo wasiharibu hii pride yetu

    ReplyDelete