KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Monday 21 May 2012

* IN YOU BEEN SNAP BLOG * FLAVIANA MATATA AKABIDHI MABOYA 500 KWA SHIRIKA LA MELI LA TAIFA KAMA SEHEMU YA KUMBUKUMBU MIAKA 16 YA AJALI YA MV.BUKOBA" AMBAYO ALIMPOTEZA MAMA YAKE MZAZI SIKU KAMA YA LEO" POLE SANA NDUGU YETU NA MUNGU AZIDI KUKUPA NGUVU NA UPENDO"


Flaviana Matata akishindwa kujizuia na kuangua kilio wakati wa ibaada ya kumbukumbu ya miaka 16 ya ajari ya meli ya MV Bukoba alipotembelea baadhi ya makaburi ya watu waliopoteza maisha katika ajari hiyo yaliyopo Igoma jijini Mwanza, katika ajali hiyo Flaviana alimpoteza pia mama yake mzazi. Flaviana akionyesha moja ya maboya yenye nembo ya foundation yake aliyokabidhi katika kumbukumbu ya miaka 16 ya ajali ya MV Bukoba ikiwa ni kampeni yake ya kupunguza ajali za majini nchini Tanzania.
 
Historia imewekwa leo na Flaviana Matata alipokabidhi msaada wa maboya (life vests) 500 kwa Shirika la Meli la Taifa (Marine Services Co Ltd) kama sehemu ya kumbukumbu ya MV Bukoba - ambapo ni miaka 16 tokea meli hiyo ilizama na kuua watu takriban 1,000 akiwa pamoja na mama yake Flaviana"
 
Flaviana Matata akiwasha mshumaa pamoja na Jackie Sikawa ,Jema Kimbu na Maria Sarungi... kama sehemu ya kumkumbuka ya mama yake mzazi ambaye alimpoteza katika ajali ya MV Bukoba miaka 16 iliyopita.... R.I.P mama Flaviana "Amen"

Flaviana Matata akiweka shada kwenye kaburi lisiyo na jina Igoma jijini Mwanza kama sehemu ya kumbukumbu ya watu waliopoteza maisha yao katika ajali ya MV Bukoba. Flaviana alimpoteza mama yake mzazi.

No comments:

Post a Comment