KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Sunday 13 May 2012

* IN YOU BEEN SNAP BLOG * TOP IN TOWN -MISS FB FASHION POLICE BIRHDAY MAMA ,SI MWINGINE NI MY CHEVUUUUUUUUU" BE BLESS ALWAYS MY ONE OF NAMBA MOJA TANZANIA -UK BEST MAVAAZI" XOXOX












Hapa ni MAMA NA MWANA"" Bless you my dears"AND HAPPY MOTHERS DAY ON YOUR BIRTHDAY MY CHEVU"



Miss FB FASHION POLICE" Say: Kwanza kabisa mimi binausi na my blog YOU BEEN SANP BLOG napenda kumtakia moja wa namba moja yangu ya BEST NA WASOWACHAFUZI WASHUGULI ZA WATU TANZANIA IN LONDON THE ONE AND ONLY ( CHEVU "nathani wengi mnamfaham kwenye Facebook na vile vile tangu awe mnyima wengine usingizi kisa " wanakiduku duku chao binausi " mimi sina kiduku duku na wale wote naowaweka hapa YOU BEEN SNAP BLOG .ki MISS FB FASHION POLICE ZAIDI" mimi nawaweka maana naona wanafanyaga makusudi kutotimiza wito wa mwenye shughuli hizo DRESS CODE yake..na vile vile kuona wanajidharau ,kwahiyo mimi napenda kuwaambia wazi wasijidharau na kama hawajui cha kuvalia  wapi ..waingie hapa you YOU BEEN SNAP BLOG mara kwa mara nakuona wale (maselebreti )naandika kwa kiswahili ili muelewe zaidi si mwafahamu sie Waswahili na siyo Wazungu " kwa hiyo pia unaweza kunijulisha vipi naomba unipe mawaiza nivae nini shughuli gani nami nipo tiyari kukupa mawaidha na pia naweza kukusaidia kufanya shopping yako"
Anyway ..kwa hiyo mkiona Chevu kawekwa huku mara nyingi siyo kwamba anaonewa ni kwamba yeye ni mmoja wapo namba moja ya Watanzania -UK wanaovaa vizuri kulikoni " WEWE MUANGALIE HIZO BAADHI YA PICHA NILIZOWEKA LEO ..TOP IN TOWN ...Kama hukubali , JIRANI WAUNGUZA CHAKULA WACHA UMBEA!!! MBUTA NANGA!!

3 comments:

  1. mama iman aka JG14 May 2012 at 19:42

    Miss FB fashion police wa ukweli mimi nakupa 100% you know your job of fashion police ya watanzania uk..chevu she is always top in town and yourself wengine wanaigaa hata mimi mwenyewe nakuiga yani hasa hiyo hair do yako.big up dear LOVE YOU SANAAAA..na pole nilitamani kuja to your birthday party but niliogopa maana hukunialika!!

    ReplyDelete
  2. mama fashion police hujakosea kwenye haki mpeni huyu binti wa kisambaa ni tishio moto,Leo umenena.

    ReplyDelete
  3. hair hair kila siku clean mpaka raha kumlooklook.

    ReplyDelete