KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Tuesday 19 June 2012

*IN YOU BEEN SNAP BLOG * MISS FB FASHION POLICE OF 19/06/2012" UWIIII..NILICHEKAJE "TIZAMA HUYU ALOVAA STOCKING KICHWANI " MBUTA NANGA!!!





London Self steet style 18/06/2012"Miss FB FASHION POLICE SAY:
Kama mnavyomuona hapa hivyo ndivyo alivyokuwa njiani tena ndani ya mji mkuu wa Uingereza LONDON " jamani ama kweli huyu atakuwa kamuibia Mke /mpenzi wake hiii stocking au ndo anaingia dukani na kuinunua mwenyewe ..ILA duu ni nomaa hebu fikiria utembee nae njiani na mshikane mikono kwa mikono kama mpenzio.Uwiii yani kama hajachanganyikiwa basi bana sina usemi zaidi ya kuwaambieni kwamba THIS IS NO NO BOYS AND GIRLS.. STOCKINGS NI ZAKUVALIWA MIGUUNI NA TENA NA KINA MAMA/DADA. AU pia kuna wengine huzivaa USIKU wakati wakulala eti kuzuia sijui nyele zisifumuke style yake au sababu zao , YANI KAMA VILE HUYU KAKA ALIVYOIVAA HAPA.AU ALIJISAHAU KUIVUA ??""mie sijui lakini hata kwa ushauri wangu wale mnazivaa usiku wakati wakulala  msizitumie kwani hizi huwa zimetengenezwa kwa nylon au silk na sababu hiyo ni mbaya itakubana mizizi ya kishwa na kukusababishia kuumwa na kichwa au shingo sababu dam haikuwa inatembea vizuri kupitia shingoni kuelekea mishipa  ya kichwani ..and also it will make your hair to smells bad maana zina nylon " so AVOID .NISIJE KUKUKUTA NJIANI HIVI MAANA NILICHEKA KAMA SINA AKILI NZURI HUKU NA MPIGA PICHA NA WATU PIA WAKAANZA KUCHEKA WALIONA KAMA TUNA NJAMA YA KUTENGEZA MOVIE FULANI .MBUTA NANGA!! Si mwajua tena Wazungu wanapokuona na Black person hata kama hamjuani basi wao hudhani ni Kaka yako /Dada/Baba /Mama"yah mwajuana .hivi huwa ni kwanini ? mbuta nanga!!!

No comments:

Post a Comment