KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Tuesday 19 June 2012

* IN YOU BEEN SNAP BLOG * SAD DEATH NEWS TUMEMPOTEZA TENA NDUGU YETU MTANZANIA 18/ 06/2012" KUDADADEKI KIFO MBONA HUPENDI KUONA WATU WAKISHI ?!!

*MSIBA WASHINGTON METRO *



Tunasikitika kutangaza msiba wa ndugu yetu Domitian Rutakyamirwa (pichani) aliyefariki jana asubuhi Juni 18, 2012 saa mbili na dakika 55 asubuhi (8:55 am) katika hospitali ya George Washington University, Washington DC.

Marehemu Domi (kama anavyofahamika kwa wengi) ni mume wa Dada Bernadetha Kaiza na wote walikuwa wakiishi Washington DC.
Msiba upo nyumbani kwa familia ya Mr & Mrs Deo Mosha.
Anwani ni:
4402 Hatties Progress Dr,
Bowie, MD. 20720
Mipango ya kuusafirisha mwili wa marehemu Domitian kwenda Tanzania inaanza na kama ilivyo desturi yetu, tunaomba ushirikiano wenu katika kufanikisha hili
Kwa maelezo zaidi na maelekezo tafadhali wasiliana na:
Idd Sandali (Rais wa Jumuiya ya waTanzania DMV) 301-613-5165
Henry Kente: 240-938-2452
Bernadetha Kaiza: 240-704-5891
Marmetha (Mimi) Kente 301-693-4550
Mubelwa Bandio: 240-281-0574

Kwa wale walio nje ya Washington DC Metro, mnaweza kuchangia kwa akaunti iliyofunguliwa kuwezesha hili.
Akaunti hiyo imefunguliwa katika Bank of America.
Jina KAIZA DOMITIAN CARE AND SUPPORT.
Routing.. 052001633
Account.. 446026881993.

Tutazidi kuwataarifu juu ya maendeleo ya msiba huu zikiwemo gharama na hatua za kumsafirisha marehemu kuelekea nyumbani Tanzania kwa mazishi. Raha ya milele umpe ee bwana na mwanga wa milele umuangazie. Mungu aibariki na kuilinda familia ya Ndg. Domitian Rutakyamirwa, awape faraja na kuwatia nguvu katika kipindi hiki kigumu.

"Bwana ametoa na Bwana ametwaa, jina lake lihimidiwe"

5 comments:

  1. Far too many children become the victims of abuse, neglect, or abandonment and then sadly, often they become wards of the court
    who will eventually determine their fate.
    The promotion of good health is necessary to ensure that people
    are healthy, wealthy and wise. If a person is connected
    with the latest headlines, it will develop an awareness in
    him with regards to the world which surrounds him.

    Look into my webpage: www.iyans.com

    ReplyDelete
  2. Put it someplace where you cannot miss it if you tried.
    My grandma can really feel vindicated at such a claim,she's been saying this all my life. Emotion linked to a definite objective is a strong mixture.

    my blog post; 4shoptv.com

    ReplyDelete
  3. Vanity Fair is stylish and well written, and they push the envelope in
    celebrity reporting, giving readers if not a balanced representation, then at least an interesting angle to a well known personality.
    You can give tips to the workers in the salon, restaurants where the star visit frequently.
    Celebritynewsapp has developed a celebrity app which is getting popular day
    by day.

    My web site - latest celeb news

    ReplyDelete
  4. Far too many children become the victims of abuse, neglect, or abandonment and then sadly,
    often they become wards of the court who will eventually determine their
    fate. This glass would cost less than $1000 and would be available to almost all the people in Britain.
    Committee on Gulf War and Health: Health Effects of Serving in the Gulf War, Update 2009.


    Feel free to visit my homepage; Latest Daily News

    ReplyDelete
  5. One can find plenty of funny pictures and videos by a single click on
    any search engine like Yahoo or Google. Some pictures will remind you of your ambitions about your life while other humorous ones will relieve your stress
    and make your life more comfortable and easier. However, for the next several miles until we got to our hotel, he smelled pretty
    dog-gone good, not.

    Here is my web-site :: all funny pictures and jokes

    ReplyDelete