KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Tuesday 14 May 2013

BY:FLORA LYIMO~ YALIYOPO NDANI YA GLOBAL' NA UWAZI >MREMBO :MBUNGE KANIBAKA' JAMANI MBUNGE HUYO MFAHAMUNI HAPA 'NI GODBLESS LEMA MBUNGE WA ARUSHA ' MIMI FLORA LYIMO ALL I WANT IS JUSTICE!!!

Posts

MREMBO: MBUNGE KANIBAKA

Posted by GLOBAL on May 14, 2013 at 8:00am                                             
Sifael Paul na Erick Evarist

BINTI mrembo aitwaye Flora Bahati Lyimo anamtuhumu mbunge mmoja ‘mtata’ wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania linaloongozwa na Spika Anne Makinda (jina tunalo) kuwa amembaka, Uwazi lina kisa cha aibu ya karne.
Flora Bahati Lyimo.
Katika uchunguzi wake, hivi karibuni gazeti hili lilielezwa kuwa kuna habari ya kashfa nzito inayomtafuna mbunge huyo anayetokea Kanda ya Kaskazini lakini haikufafanua kwamba inahusu nini.



VYANZO

Baada ya…

Sifael Paul na Erick Evarist
BINTI mrembo aitwaye Flora Bahati Lyimo anamtuhumu mbunge mmoja ‘mtata’ wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania linaloongozwa na Spika Anne Makinda (jina tunalo) kuwa amembaka, Uwazi lina kisa cha aibu ya karne.
Flora Bahati Lyimo.
Katika uchunguzi wake, hivi karibuni gazeti hili lilielezwa kuwa kuna habari ya kashfa nzito inayomtafuna mbunge huyo anayetokea Kanda ya Kaskazini lakini haikufafanua kwamba inahusu nini.

VYANZO
Baada ya kutulia na kupekua kwenye vyanzo vyake, Uwazi lilibaini kuwa kashfa inayomlenga mheshimiwa huyo ni ya ubakaji na tayari imefikishwa mahakamani huko London nchini Uingereza.
Habari hiyo ilielezwa ‘kijuujuu’ hivyo gazeti hili likamtafuta Flora ambaye ni Mtanzania anayetokea mkoani Kilimanjaro ambaye anaishi katika Jiji la London kikazi.

MAZITO
Alipopatikana Flora alibanwa kisawasawa ndipo akaibua mazito huku akieleza tukio zima lilivyofanyika kwa data na vielelezo vya kila aina ikiwemo barua ya Mahakama ya Crown ya London.
“Ni kweli mheshimiwa … (anamtaja jina) alinibaka Agosti, mwaka jana. Yeye na makada wenzake wa chama chake walikuja hapa London kwa ziara ya kichama na kwa kuwa mimi sina chama nilikwenda kuhudhuria mkutano wao kwa kuwa nina mtandao wangu (blog) hivyo nilitaka kupata habari za kuingiza kwa sababu ni za watu wa nyumbani (Tanzania).
Spika Anne Makinda.
MAZOEA YAANZA
Akiendelea kuweka wazi kisa hicho, Flora anasema: “Nikiwa kwenye mkutano….(jina la mbunge) alinifuata akaniuliza nimeandika watu wangapi waliohudhuria mkutano huo, nikamjibu 50 akaniambia niongeze idadi hiyo ili ionekane mkutano ulikuwa na watu (Watanzania waishio Uingereza) wengi.
“Hapo ndipo alipoanza kunizoea. Alitaka kunipa kadi ya chama chake  nikakataa, ndipo akadai kwamba mimi nilitumwa kwenye mkutano huo na balozi na rais kwa ajili ya ushushushu.

KISA KUJISAIDIA HAJA NDOGO
“Mkutano ulimalizika, sasa nilipokuwa naondoka kurudi nyumbani kwangu, mbunge huyo na wenzake nao walitoka. Tukiwa njiani wenzake walikwenda kujisaidia haja ndogo, yeye akaniomba akajisaide nyumbani kwangu, nilimkubalia. Alipofika ndani, bila kujua kila kitu kinaonekana kwenye kamera alinibadilikia kama vile adui vitani, ona sasa wema wangu ukawa umeniponza.

HADI KITANDANI
Alinirukia, akaniburuza hadi kitandani kwangu. Nilipokuwa mkali na kwa namna nilivyokuwa nimechanganyikiwa sishikiki ndipo akanivamia maungoni, akanichania nguo zangu akitaka nimwachie atimize lengo lake la kuniingilia kimwili kwa nguvu.
“Nilijitahidi ili asifanikiwe, nikamwambia amekwisha kwani lazima nimwanike ndipo akanipiga nusu aniue akisisitiza kuwa kama nitauanika uovu wake huo au kuchukua hatua zozote ataniua.
“Inaniuma sana, kunibaka anibake halafu atishie kuniua, unyama gani huu?”

AITA POLISI
Flora anaendelea kusema:
“Katika purukushani hiyo, nilipopata mwanya kidogo tu, nikapiga namba ya polisi 999 kuomba msaada. Alipoona hivyo alitoka na kutokomea kusikojulikana. Polisi walipofika hawakufanikiwa kumkamata.”

UBAKAJI/KUTISHIA KUUA
Flora alisema polisi walimchukua na kila kitu cha ushahidi zikiwemo nguo zake hadi kituoni, wakamhoji kwa kumrekodi sauti, wakampa namba ya jalada la kesi inayosomeka; 4621279/2012-UBAKAJI/KUTISHIA KUUA ambapo hadi leo mbunge huyo anasakwa na Polisi wa London, akikanyaga tu Uingereza lazima akamatwe akajibu tuhuma za ubakaji na kutishia kuua.
Flora akaongeza: “Ukweli ni kwamba hakufanikiwa kukamatwa kwa sababu alikuwa na passport za kidiplomasia ambazo nyingine hakutumia jina lake halisi.
“Kesho yake nilisikia alikimbilia Ujerumani, nikawaambia polisi lakini walikumbana na tatizo lile kwani majina niliyowapa siyo aliyotumia kuingia Ulaya.
“Januari mwaka huu nilipotaka kurudi nyumbani Kilimanjaro, mahakama ya hapa (Uingereza) ilinipa barua ambayo nilipofika niliipeleka Kituo Kikuu cha Polisi Moshi nikafunguliwa faili Namba Mos/RB/17127/12 kwa ajili ya ulinzi chini ya R.C.O Ramadhan Ng’anza.
Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Kilimanjaro, Robert Boaz.
“Niliwaeleza kuwa mtu anayetaka kuniua ni mbunge huyo. Kweli waliahidi kunisaidia, nilipoondoka kurudi London niliwasiliana na polisi Kilimanjaro lakini niliona kama kuna kitu au mbunge huyo yupo juu ya sheria kwani walikana kunifahamu.

ASHINDA MAHAKAMANI
“Sitachoka kutafuta haki na kutetea wanawake wanaobakwa kila siku wanaona aibu kusema, naamini aibu haipo kwa mbakwaji bali kwa mbakaji, yule …. (anataka jina) ni mbakaji.
“Nimesharipoti mashirika mengi ya haki za binadamu ya Uingereza. Kuna siku nilishinda mahakamani, kule ni yeye tu anasubiriwa atiwe mbaroni akasimame kizimbani ndipo dunia itajua ninachokisema.”

ASUBIRIWA KIZIMBANI
Flora allisema kama kweli mbunge huyo ni mwanaume aende tena jijini London kama hatasimamishwa kizimbani na kuozea jela.”
Uwazi, kabla ya kumtafuta Kamanda wa Polisi wa Kilimanjaro, RPC Robert Boaz, Jumamosi iliyopita lilimtafuta RCO Ng’anza ambaye alisikiliza mkasa mzima na kudai kuwa hamfahamu Flora lakini alipobanwa alidai yeye siyo msemaji wa jeshi hilo kisha akakata simu.

KAMANDA WA POLISI
Kwa upande wake RPC Boaz alisema kuwa kipindi kinachotajwa cha mwezi Januari yeye alikuwa likizo ndefu na hajawahi kusikia habari kama hiyo lakini akaahidi kuifuatilia kwa RCO Ng’anza na baadaye arudishe majibu kwa Uwazi.
Alipotafutwa tena Jumapili iliyopita kwa njia ya simu yake ya mkononi hakupatikana hewani.

SASA NI ZAMU YA MBUNGE
Kama ilivyo desturi ya Uwazi, Jumamosi hiyohiyo lilimtafuta mbunge anayetajwa katika aibu hiyo kubwa huku akiwakilisha wananchi wa jimbo lake ambapo alisomewa kisa kizima kisha akapewa nafasi kuzungumzia au kufafanua kashfa hiyo ya karne.

Huku akirekodiwa neno kwa neno, mheshimiwa huyo alisema: “Huyo mwanamke (akatajiwa jina la Flora Lyimo) simfahamu lakini usikubali kushiriki kwenye dhambi ya kunichafua kwa sababu ni uongo.

Uwazi: Kwa hiyo mheshimiwa hujawahi kusikia habari hiyo?
Mbunge: Niliisikia, ninaifahamu. Ina karibia miezi nane sasa kwani ameibuka sasa hivi?
Uwazi: Sasa kama hiyo habari ni ya uongo kwa nini usimshitaki?
Mbunge: Habari hiyo ipo mtandaoni, kama nikisema nishitaki mitandao nitashitaki mingapi? Mbona …(anautaja mtandao wa kijamii wa Tanzania) wameshanichafua sana. Nikianza kuhangaika na kesi najua miaka yote mitano nitakuwa mahakamani badala ya kuendesha harakati jimboni mwangu.
Uwazi: Kama anakusingizia kwa nini wewe?
Mbunge: Huyo ametumwa na …(jina la mwanasiasa mkubwa nchini) na …(jina la chama), huko ni kuchafuana kwa sababu kama ni kunikamata, nani asiyejua jimbo langu, ofisi yangu, nyumbani kwangu na umaarufu wangu? Mwambie aje sasa hivi anikamate.

TURUDI KWA MLALAMIKAJI
Baada ya kusikia majibu ya mbunge huyo, Uwazi lilirudi kwa mlalamikaji Flora na kumweleza alichokijibu mbunge huyo ambapo na yeye alisema:
“Nawatumia picha wakati akiingia na kutoka kwangu kwani huku kuna kamera za mtaani zinachukua kila tukio. Unajua lazima abishe kwa sababu ni aibu kubwa kwake na chama chake.”

KUTOKA UWAZI
Sakati hili ndiyo tumeanza kulichimba, mambo mengi yataibuka kwa kuwa tunajiridhisha kwanza na muda wowote tutamwanika mheshimiwa huyo ili ajitokeze na kuthibitisha kuwa hakufanya kitendo hicho kwani mlalamikaji ameshasema yake

54 comments:

  1. big up my dear flora, usirudi nyuma keep up na kazana wewe mwanamke wa shoka hasa nakupendaje

    ReplyDelete
  2. kama kweli weka picha tuone...

    ReplyDelete
  3. Flora alikuwa unatafuta umaarufu naona sasa umeanza kuupata, hongera!

    ReplyDelete
  4. DEAR FLORA.HAPA WATU HAWAKUELEWI KABISA KILAMTU ANAONGEA VYAKE,SASA BASI KITAKACHOWAFANYA WATU WAAMINI HAPA WEKA USHAHIDI TUONE ILI TUKUTETEEE,MAANA UNAVYOONGEA INAKUWA KAMA UNATUMIWA AU UMETUMWA KUMUARIBIA LEMA,JAMANI HIVI NIKWELI MAANA ULIYONGEA HUMU NDANI MAELEZO YANAONEKANA HAYANANGUVU WALA UKWELI,MIMI NIMWANAMKE MWENZIO SIKUPINGI ILA SINAUHAKIKA KABISA.NDOMANA NASEMA WEKA WALAU PICHA ZINAZOMUONYESHA MUHESHIMIWA LEMA AKITOKA KWAKO NA ALIPOKUCHANIA HIZO NGUO.ALAFU KWA NCHI HIZI ZAULAYA UKITA POLIS HUWA HAICHUKUI HATA DAKIKA KUMI WASHAFIKA ILIKUWAJE AKAKIMBIA MAPEMA BILA KUKAMATWA?NAJIULIZA MASWALI MENGI SAANA SIPATI JIBU SO PLEASE CAN U PUT SOME PICTURE HERE?EVIDENCE IS VERY IMPORTANT

    ReplyDelete
  5. Hiii story ya kutunga sana. nina maswali machache,
    1. Wenzake walienda kujisaidia wapi London ile? au vichakani?
    2. Yeye alivyoomba aje kwako ukakubali tu wakati wenzake wameenda kujisaidia sehemu nyingine?
    3. Wakati anakubaka hata hukupiga kelele?

    Dada unatumiwa wewe, ogopa sana

    ReplyDelete
  6. AT ANONYMOUS..TATIZO LENU WATANZANIA HAMPENDI KUAMBIWA UKWELI NA MKIAMBIWA UKWELI MNADAI NI UWONGO MKIAMBIWA UONGO MNADAI WEKA PICHA MKIWEKEWA PICHA MNABAKIA KUSHANGAA...SASA BASI HAPO SINA MUDA NA WATANZANIA KUNITETEA..WENGINE MMESOMA HADI WASHANIKANA HAWANIJUI..SO USHAIDI UPO NA MAPOLICE WOTE WA UK NA TZ,,,NA WATZ NDO HAO UNASIKIA WAMELITUMIA KAMA NET YA KUJIZUIA MMBU..NYIE KAENI MKAO WAKUSOMA YALE MTAKAYO ANDIKIWA NA MNYAMAZE MAANA HAMKUWEPO AU KAMA MLIKUWEPO KAMA WALE WALIOKUWEPO NAE WANAOJIJUA BASI MJE NANYI MAHAKAMANI ....CHA MUHIMU NYIE MWAAMBIENI APANDE NDEGE AJE UK.....ASANTENI NA JUENI HAPA NIMEJITOLEA ILI ILI KINA MAMA /DADA WOTE WAFAHAMU KWAMBA NINI MAANA YA RAPE NA IF IKIKUTOKEA USIOGOPE KUSIMAMA NA KUSEMA ..SIYO KOSA LAKO BALI LA ALOKUBAKA AU KUTAKA KUKUBAKA..HABARI NDO HIYOOO....ALL I WANT IS JUSTICE!!

    ReplyDelete
    Replies
    1. wacha hizo wewe mwanamke,hiyo ni fabricated story yani we ndo wa kubakwa ! jipange kivingine.

      Delete
  7. Anonymous14 May 2013 15:05

    Hiii story ya kutunga sana. nina maswali machache,
    1. Wenzake walienda kujisaidia wapi London ile? au vichakani?
    2. Yeye alivyoomba aje kwako ukakubali tu wakati wenzake wameenda kujisaidia sehemu nyingine?
    3. Wakati anakubaka hata hukupiga kelele?

    Dada unatumiwa wewe, ogopa sana
    NIKIKUJIBU....KWA KUSEMA KWELI MIMI NI MKRISTU NA MBELE ZA MUNGU ANANIONA HATA NAKUJIBU HAPA...NILIPIGA KELELE KAMA SIYO KELELE ANGENIUWA HASAA...NA ALIKIMBIA GATE ALIFUNGULIWA NA WAZUNGU NA WAO PIA WASHAHOJIWA,,JAMANI WACHENI WACHENI MUNGU AITWE MUNGU MAANA NI SIKU YAKE YA AROBAINI ILIFIKA,,POLICE WALIVYOJAA HOME KWANGU NI BALAA...NA KILA KITU KIPO MIKONONI MWAO..NA KUHUSU KUKIMBIA,,SIKUMJUA ALIKOKIMBILIA KUMBUKA HATUKUWA TUNAJUANA WALA ALOFIKIA SIKUWA NAJUA ALIFIKIA WAPI HAPA UK..SASA SINA MENGI YAKUWAAMBIENI ..NINACHOOMBA NI JUSTICE '''' MWENYEWE KASEMA NIMETUMWA NA MIMI MBELE ZA MUNGU HAKUNA YOYOTE ALONITUMA NA HII HAIHUSIKI NA CHAMA CHOCHOTE NA MIMI PIA SIHUSIKI NA CHAMA CHOCHOTE NARUDIA TENA MIMI NI FREE CHAMA ILA MTANZANIA HALISI AIPENDAE NCHI YAKE NA MWENYE KUTAKA WANANNCHI KUTENDEWA HAKI NA HASA KINA MAMA/DADA'' WACHA NIKAONANE NA WAKUBWA HAPA NITARUDI BAADAE..MAANA MNAFIKIRI HAPA NI KUTAFUTA UMAARU..KAMA NIKUTAFUTA UMAARUFU KWANINI LEMA NA KWANINI LEO HII AU MWAKA JANA WAKATI WA TUKIO? NIMEHUDHURIA MIKUTANO MINGI NA SHUGHULI NYINGI ZA WATANZANIA NA WAKIWEPO VIONGOZI AU WATU MASHUGHURI WENGI MBONA SIJAWAHI KUJITAFUTIA UMAARUFU KWAO ??JIULIZENI HILO SWALI NA MLETENI UK ..ALAFU NDO MTAJUA MNATETEA NINI" LETS PUTU VYAMA VYOTE PEMBENI NA TULITIZAME JAMBO HILI LIKIWA NI MIMI FLORA LYIMO NA GODBLESS LEMA''' BILA ANYTHING TO DO WITH POLITICS..MAANA IS GOT NOTHING TO DO WITH IT...NI YEYE MWENYEWE ANADAI NILITUMWA NA ANAWAJUA WALONITUMA''SO HE DID WHAT HE DID MAANA NILITUMA AND YOU WWANT TO TELL ME THAT IS RIGHT FOR HIM TO DO SO''RIGHT!! RUWA KOMANGI OTE MPAKA KYIMANYIKYE KAPITSA!!

    ReplyDelete
    Replies
    1. DADA MIMI NAOMBA UNIPATIYE MAJINA YA HAO WALIKWENDA KUJISAIDI NJIANI
      JAPO KWA SIRI Email.yangu abd0020@yahoo.com
      Asnte

      Delete
    2. we hujabakwa na Lema hawezi kubaka ajuza kama wewe, kwani hujion ulivobana,wacha kutupotezea timing wewe

      Delete
  8. Wewe unatafuta umaarufu pole itakugharimu siku moja, Linda alidanganywa na ccm sasa hivi amewajua, Msanii Nakaaya alidanganywa sasa amewajua, Ulisema umebakwa na Lema na makada wake mara unasema wenzake walienda kukojoa lema ukaenda nae kwake akakubaka mpaka hapa watanzania huyu mama ni muongo sana. Fanya yako acha kumchafulia Mbunge wetu huna jipya. wewe mama mtu mzima ubakwe jamani mbona muongo hivyo. alikupiga weka basi picha uonekane jinsi ulivyokuwa umepigwa. Wewe Mungu akupe rehema na uwe na hofu ya Mungu hata Kidogo. Unajiaibisha sana.

    ReplyDelete
  9. Kwanza inabd we Frola umwagope Mungu wako afu istoshe ume2mia njia yakzaman coz kama uliish Uk bila kuja Tz sasa Tz ya sasa so ile ya mwaka 47 imechange,hata unavyooneka unamuonekano wa kikahaba hauna maadl ya ktz,unadai et unataka kuwasaidia wanawake wenzako baada ya ww kubakwa na zaman ulkuwa wap shame on u!mbona Lema mnamuandama sana nn kawafanyia sasa kama ume2mwa wambie waloku2ma mmebug if pocble 2mia njia nyngne nacyo hii,unadai mpaka aje Uk kwan hapa Tz sheria/po hazpo plz fka mahar umwogope Mungu am sure utashdwa kwa jna la Yesu shetan shdwa nazan utashndwa!!!!

    ReplyDelete
  10. Huo uandsh wa Habar huko Uk uliuanza ln?Wenzake walienda kujisaidia wap?Akanichania nguo ndan ya nyumba yangu baada yakunipeleka ktandan nakama ilkuwa hvyo cku zote ulkuwa wap?Hv wakat unapga pcha ukiwa umejfunika bendela ya Taifa ulkuwa umevaa gamba la rang gan acha kuanzsha kes za kchna ww,imekula nakamwe ha2danganyk xo shame on u&u'r Sender!

    ReplyDelete
  11. unatafuta umaarufu wa kutumiwa kwani LONDON imekua kijiji wewe, acha ujinga kama mbunge alikubaka aliondoka london kwa miguu? hivi wewe kwa ulinzi uliopo kwenye nchi za dunia ya kwanza mtu anaweza kukimbia akajificha kabla polisi hawajamkuta?alafu alitoka kwa kutumia airport gani? kila mtu airport anapita kwa kukaguliwa na ulaya yote imeunganishwa kwenye mtandao angetokea wapi?acha ujinga wewe huko london unafanya kazi gani kama sio hiyo hiyo ya kuuza k......m

    ReplyDelete
  12. Nina shaka na akili za huyu dada

    ReplyDelete
  13. Duh hapa siwezi tetea upande wowote. ila mama kama una hakika mbele ya Mungu unaapa alifanya hivyo find justice ili iwe fundisho kwa wengine. mi ninaamini Mungu yupo na ukweli hujitenga na uongo hujulikana siku zote. mimi sio mtu wa habari sana ila ntafatilia hii case hadi mwisho nijue ukweli ni upi na uongo ni upi. maana siwezi sema huyu dada Muongo maana sijui what real happened na siwezi kusema ni mkweli pia maana dunia ya sasa hivi imebadiika. Watanzania tuache kushadadia vitu tusivyovijua afadhali tukae tusubili hadi mwisho wake maana hatujui kitu gani kiitendeka hasa kama ni ukweli au uongo. na saa nyingine tuweke siasa pembeni maana siasa ni mchezo mchafu. mi yangu ndo hayo

    ReplyDelete
  14. NI KWELI WEWE FLORA NI KICHAA? EMBU FUATILIA LINK HIYO HAPO CHINI

    http://williammalecela.blogspot.com/2013/05/lema-na-chadema-mpuuzeni-huyo.html

    ACHA URONGO DADA

    ReplyDelete
  15. LE MUTUZ HARD TALKK!!:- LEMA NA CHADEMA MPUUZENI HUYO MBURULAZZZ HUKO LONDON/UK!! NOTHING BUT MBURULAZZ!!

    LE MUTUZ LIVE STRAIGHT HARD TALK!!:- !HATIMAYE BIDADA MMOJA WA LONDON AMEFANIKISHA NIA YAKE YA KUTAKA KUJULIKANA KWA NGUVU, LEO MEDIA NYINGI ZIMEAMUA KUMRUSHA SALA AMBAYO AMEISALI KWA MUDA MREFU SANA, OMBI LANGU KWA CHADEMA NA MY FRIEND MBUNGE LEMA, PLEASE MSIFANYE MAKOSA YA KUMJIBU HUYO BIDADA, BINAFSI NAMJUA SANA TENA KWA KARIBU SIO MZIMA ANAHITAJI KUPIMWA AKILI, ALIKUJA HAPA DAR AKAWA HANA PA KUFIKIA NIKAMPA ALIPOONDOKA AKAENDA KUNITUKANA KWENYE BLOGU YAKE KULIKO MAELEZO, NASHANGAA SANA HAJASEMA NA MIMI NILITAKA KUMBAKA, MPUUUZENI HUYO SIO MZIMA ANAHITAJI KUPIMWA AKILI!!,

    - ITIKADI TOFAUTI LAKINI SIKU ZOTE NINASIMAMIA UKWELI TU!! KAMA INABIDI NITAKUJA MAHAKAMANI KUTOA USHAHIDI WANGU KWAMBA HUYO BIADAD SIO MZIMA SHIDA YAKE NI UMAARUFU TU KWA NGUVU!!, LEMA NA CHADEMA MSIMJIBU IN THE PUBLIC AU MEDIA PLEASE NAWAOMBENI SANA, ON THIS I AM WITH YOU 100%, NASEMA TENA MBELE YA MUNGU WANGU KWAMBA BIDADA HUYO SIO MZIMA ANAHITAJI KUPIMWA AKILI! WORD! - LE MUTUZ

    ReplyDelete
  16. wewe kweli mama unavyoonekana unaona hii ni deal ya kuleta hapa eti ulitaka kubakwa? halafu hata sura yako unaona hata mimi siwezi kuitamani kwa kweli wewe ni mbaya sana kama roho yako

    ReplyDelete
  17. eti bint mrembo..ha hahaaa sura yako mbaya kaa kiazi,,acha kutafuta umaarufu wewe..huna lolote wa kubakwa utakuwa wewe? muache lema afanye kazi pls...maelezo yako hayajitoshelezi kabisa yana maswali kibao...uk? washindwe kumkamata? come on stop this stupid

    ReplyDelete
  18. huu ni uongo mtupu... leta stori nyingine///hizi zimechosha... ulikuja tanzania ukajifanya oh! nimeenda nyumbani lounge nimelishwa chakula kibichi mara oh nilikuwa na hela zangu za kuspendi laki tano... leo hii umekuja tanzania tena dar huna pa kufikia wasamalia wema wamekuhifadhi leo hii inajifanya kuwatukana kwamba nao walitaka kukubaka... badirika banaaaaa... usitake kuwa daraja la watu wanapita ukatumiwa kuongea uongo kama kweli ushahidi wa picha unao weka. NAKUTUKANA KWA HERUFI KUBWA... MPUMBAVU MKUBWA ACHA KUONGELEA WATU VIBAYA WAKATI WEWE HUNA HATA SURA YA KUMFIKIA MKE WAKE... WEWE NI KINYAGO TU. UNAMSEMA LEMA ANAMKE MZURI WEWE KINYAGO CHA KIMAKONDE TU. PUMBAVU MKUBWAAAA IWEKE WAZI COMMENT HII USIIFUTE

    ReplyDelete
  19. WADANGANYE WASIOJUA ULAYA NA HASA HAPO LONDON,ETI ULIPIGA KELELE...HIYO SIO LONDON NIIJUAYO MIMI..ACHA UJINGA WEWE ITAKU COST SANA...HUENDA NI KWELI ALIKUJA KWAKO NA ILIKUWA SET UP YA KUMMALIZA...HIVI KWA AKILI YAKO NA UCHUNGUZI WA POLISI WA UK UNAFIKIRI UONGO WAKO UTADUMU?MIMI NAJUA HUKUTOMBWA LABDA ALIKUSHIKA SHIKA TENA KWA RIDHAA YAKO MWENYEWE HALAFU UNATAKA KUMGEUZIA KIBAO...LEMA LONDON ATAKUJA NA CHA AJABU ATASHINDA KWA NGUVU ZA MUNGU, HUENDA KWELI WAKAMKAMATA KWA SABABU YA MANENO YAKO YA UONGO ILA HATADUMU NDANI...HAPO KWA MAMA BWANA KILA MTU ANA HAKI...KUCHANIWA NGUO HAIMAANISHI UMEBAKWA MAMA....PIGA BOKSI LAKO LA KUANGALIA MATAAHIRA HAPO UK UTUME VI POUND VYAKO MGOMBANI.

    ReplyDelete
  20. Lema atabaki kuwa juu tu hata wafanyeje. wamepita wengi wa aina ya huyo dada kutaka kuichafua CHADEMA wakasindwa. sasa sijui kama huyu dada atawza kupambana na chaguo la umma.

    ReplyDelete
  21. This is a shame!!...I mean how could you stoop that low to let people use to to tarnish Lema's name.Is is for the money?Ila kama ni kweli yalikukuta pole..but if not jua kuwa that's a sin..And he deserves an apology, the guy ana familia jamany...let alone people who support CHADEMA.
    I'm not taking sides ila I hope you told the truth if not...its never too late to apologize and start over.

    ReplyDelete
    Replies
    1. nyinyi watu wa chadema ni wajinga sana sana, mnakataa vitu ambavyo viko kabisa kwa mapenzi yenu ya chadema! lema amemrape huyo dada na mjione mko mambulula kiasi gani kuchagua mbunge km huyo! akatae basi na aonekane anakataa

      Delete
  22. Yaani wewe Flora, huna hata haya! Get serious! The guy is not my fan lakini kwa hili hata mi mwanamke mwenzio sikuamini! Chaa! Ote naiyo bana! Leka tiki! Yaani yeye akaingia ndani kwako! Akakuvutia kitandani kwako! Akakuchania nguo zako! Oteeeee! Hadithi yako haina mvuto hata!

    ReplyDelete
  23. Yaani wewe Flora, ote naiyo monoko! Chaaaa! Ni muongo kupiga kiasi! Akakubaka! Kwi kwi kwi! Hebu tafuta namna nyingine ya kutokea! Hii, hell NO! Huyu jamaa he is not my fan ila uongo huu utanifanya sasa nianze kumpa sympathy! Wee mwanamke gani hujiheshimu! Pathetic!

    ReplyDelete
  24. Akaingia ndani kwako! Akakuvutia kitandani kwako! Akakuchania nguo zako! Akaila mali yako! Aaaah! Yaani kama ni umaarufu unataka hapa umechemsha! Kweli! Yaani hata kama ana **ege za punda, sioni akifanya haya. Kwanza hata wewe ulikubali vipi yeye mwenyewe aingie kwako na wengine wakachocholowe mahali pengine! Between nyumbani kwako ni njiani! Kuelekea walikokuwa wamefikia? Mtiririko huu ...unatia mashaka sana! What a concidence! Eeh! Grow up!

    ReplyDelete
  25. Hmmm hapa sijui inaeleweka hii story. Anyway Kama alibakwa tokea mwaka Jana kwanini hakusema Wakati ule ule . .? Amasema Karibu mwaka Sasa tokea Tukkio limetokea .?
    Halafu wewe Flora sijui ni mtanzania wa wapi usiejua Kiswahili. Unakosea Maneno Mengi sana

    ReplyDelete
  26. Kachungulie blog ya Sintah uone unavyochambuliwa. Pole kama ni kweli.

    ReplyDelete
  27. Rachel A. Temu
    Nasema tena Lema hajanunua ubunge walimpa wenyewe kwani wananchi wanampenda. Jiulize wewe Florah ukifa leo utakumbukwa kwa kitu gani zaidi ulichoitendea nchi yako zaidi ya kufanya umburura na kuzusha maneno kuhusu Mheshimiwa Lema. Vyombo vya Dola kazi yao nini??? Unafikiri hawaoni au hawajafanya uchunguzi. Serikali iko busy kuzuia tembo wasiuwawe wewe umebakia kumchafua Mbunge wa Arusha ambaye ni Jembe hata ukibadilisha mpini bado Lema atabakia Jembe. Na ujifunze usiwe unatukana watu wasiohusika na uongo wako huo. Umpewa pound 50 sasa unaanza kuzusha maneno. Mburula weweeeeeee.

    ReplyDelete
  28. Rachel A. Temu
    Timeline
    Now
    Post
    Photo


    Rachel A. Temu
    11 minutes ago
    Nasema tena Lema hajanunua ubunge walimpa wenyewe kwani wananchi wanampenda. Jiulize wewe Florah ukifa leo utakumbukwa kwa kitu gani zaidi ulichoitendea nchi yako zaidi ya kufanya umburura na kuzusha maneno kuhusu Mheshimiwa Lema. Vyombo vy...See More

    Like · · Share

    Rachel A. Temu
    25 minutes ago
    Florah usiye na Bahati nimeamua kuiposti hii picah kukuonyesha ze wife za muke ya Mbunge wa Arusha Godbless Lema. Hapa huingii hata kwa point 0.000000000-01 kwa huyu Mbunge kwa nini unapenda kujiabisha bibi kizee wewe. Eti ulikuja January mwaka huu ukashindwa kuisema kesi yako. Fisi haogopi mzoga nakula wangu ungesema tusikie na sio baada ya kuondoka unaomba msaada kupitia blogu yako Lema akamatwe haiwezekani. Lema ana mke Quality, bidhaa TBS imeptisha halafu wewe leo akubake?? Umemtukana ndugu yangu ambaye hausiki na hii issue lazima nikuburuze. LEMA HOYEEE WATU PEOPLE PEOPLE WATUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUU

    ReplyDelete
  29. Rachel A. Temu
    about an hour ago
    Huyu Florah hana tofauti na Mburura wa Miami Mokey Kimavi wanao uza fake products. Big up Linda Lamia.

    ReplyDelete
  30. Rachel A. Temu
    about an hour ago
    Kweli watu wanmkosea Mungu kusema amembaka huyu Haloween Clown. Lol. Lema wamuache miaka 100000000000000000

    ReplyDelete
  31. Rachel A. Temu
    about an hour ago
    Sasa mseme wenyewe na mtoe maoni yenu Eti Lema amembaka Florah asiyekua na bahati wenzake wenye umri wake wana wajukuuu yeye ndio kwanza anabambana na na akina Diamon mate yanamtoake??????

    ReplyDelete
  32. Baada ya Kunywa sasa anatafuta marketi mchana mchana eti anafanya coverage? Naye siku hizi mwandishi wa habari. Lol nakufaje?????

    ReplyDelete
  33. Rachel A. Temu
    about an hour ago
    Sasa wajameni semeni wenyewe huyu ndiye Mburura anayedai kabakwa hapa tuu unapata picha kamili kwamba ni mlevi anapenda ngono, kwani hii inaonyesha nyeye ndiye aliyetaka kumbaka mbunge wetu wa Arusha. Florah umechokoza asiyechokozeka. Nimeshasema Serikali iko busi inatengeneza bajeti ya bara bara. Magufuli ndio maneno sasa hivi. Mburura

    ReplyDelete
  34. Rose Lwinga yani anahitajika kuwa mirembe dodoma anaona amechanganyikiwa
    about an hour ago · Like

    Fay Summer i tink sasa ni wakati wa blog kukatiwa vibali,,sio kila anaetaka afungue tu,,huna sifa wala akili unafunga block..hao ndio waliovhangia latika wale watoto laki 2 kufeli tanznia..
    44 minutes ago · Like

    Rachel A. Temu sasa hyu kwa nini asibakwe? ana kila sign ya kutaka kubakwa. Kwa nini asibakwe na sio na Mbunge wetu mwenye Heshima agnhhh na mamburura wetuuuuuuu
    23 minutes ago · Like

    Rachel A. Temu hapa inaonekana kapigwa picha na mwanume hebu watupe result haraka

    ReplyDelete
  35. Rachel A. Temu
    2 hours ago
    Florah Bahati Lyimo Huna BAHATI una mkosi wewee. Jana katika pita pita zangu za hapa na pale niliweza kutumiwa msg na mtu kuwa kuna dada wa UK anaitwa Florah Lyimo ambaye anaown blog isiyokua na kichwa wala miguu amemuandika Mheshimiwa Godbless Lema mbunge wa Arusha alimbaka mwaka jana mwezi wa nane. Ki ukweli nilishtuka kwani nimemjua huyu Florah kupitia FB tena yeye kihere here na kizungu mkuti ndiye aliyeniomba urafiki. Nikamkubalia kwa kumheshimu kwani umri umekimbia kdogo lakini nilipigwana butwaa jinsi anavyovaaa kama kinyago cha Halloween. Well akaanza kuteta na mimi kama wazamiaji wengine wa humu FB. Jana nilipoiona hiyo msg sikumuacha nikaingia link ya Globla Publishers kusoma story yooote na baadaye nikaingia FB yake nikaona kapost kuhusu yeye kubakwa kwa Lema. Nilitoa maoni yangu kote kote na maan aya Global Link in FB na kwa huyu Mburura Florah. Na licha ya hivyo nilimsihi aache kujiandikia mwenyewe kwani inaonekana anatafuta sympathy na kura kwa wasomaji. Nilimalizia kwa kusema am off this topic abaki kivyake vyake. Nimeamka leo asubuhi amenitumia msg in my FB ananitukana mimi na ndugu yangu ambaye yeye hausikii na wala hawajuani na Florah. Sasa nimeamua kumjibu::::

    Dear Mburura Florah usiyekua na Bahati kwa wa Lyimo, umelalamika kuwa kiongozi wetu na mbunge wetu Lema aka the new upcoming Mandela amekubaka mwaka jana August na unaomba watu wakusaidie wampeleke UK ili aweze kushtakiwa na mahakama ya UK ana afungwe jeLA??
    Katika maelezo yako wewe umesema CHADEMA walikualika kwenda kwenye mkutano wao huko UK kwenda kufanya coverage na blog yako? Je walikuandikia na kukupa barua ambayo inaonyesha mwaliko? Na ulipofika pale ulifanya kazi yako kama ulivyoelekezwa na sijui kama mlikua na agreement ya malipo yoyote. Baada ya mkutano mlitoka kuelekea mnako elekea bahati mbaya meshimiwa akapatwa na dharura anataka kutumia choo ukatoa ushauri kuwa aende nyumbani kwako akatumie choo alipofika huko mambo ya kawa mambo haya ni maelezo yako sasa. Mimi na maswali machache tuu:
    1. Wewe ni mfuasi wa chama gani?
    2. Kama CHADEMA Walikuita ufanye coverage ulikua una mkataba nao?
    3. Kuhusu suala la mheshimiwa kutumia choo, yeye ndiye aliye kuomba au wewe ndiye uliyejipendekeza kumualika nyumbani kwako ukiwa umeshalewa.?
    4. Kwa nini usingempa option ya mheshimiwa kutumia choo cha gas station ambacho ni bure na easy to access? Ulimualika nyumbani kwako ukiwa una maana gani? What was your intention?
    5. Umesema nguo yako ilichanwa, ilichanwaje wakati mkuu alikua ameenda msalani? au ulikua umemset up?
    6. Kingine kwa nini unatumia blog yako wewe mwenyewe kuomba watu wakusaidie mheshimwa Lema akamatwe apekekwe UK?
    7. Uliposhtaki kwa maaskari na vyombo vya dola uingereza kazi yao ni nini? Interpol wanajua kazi yao sasa inakuwaje wewe unaomba watu huku FB na kwenye blog yako wakusaidie Lema akamatwe? Kuna jambo hapa kati kati?
    Kama ni story ya ubakaji jamani kuna magazeti kama ya Nipashe, Guardian, Citizen kuandika sio wewe kwani jina la Lema ni kubwa my dear.
    Hata gazeti la Sun UK wangeandika, inajkuwaje wewe ndio mwandishi mkuu na mchochezi na muombaji Lema akamatwe?

    Inaonekana ulikua unataka ulipwe hela halafu hujafanya kazi wakaona hamna faida ya kukulipa sasa ukatoka na story yako umebakwa aibu dada, tena aibuuuu saana.

    Umedai January mwaka huu ulikuja Tanzania, mbona hukuweza kuiongelea hii hoja? wewe unamtaka nini mbunge wetu wa Arusha? Florah tabia zako huko UK wanazijua wenzio na wamezichambua kwenye global publishers. Sasa utabakia kuhaha siis huku tuko kwenye budget serikali haina habaree na wewee kwani ni mtu mzima sana kuongea mambo haya.

    Kama unajiamini, kwa nini umshutumu ndugu yangu ambaye hajachangia hoja wala hakujui? Mimi nadhani menopause inakusumbua uzee umegota mahali pake na unataka kunga'ninia ujana. Waache vijana wale bata wewe tayari ni Expiry date, kwisha kazi maamaaake.

    ReplyDelete
  36. Like · · Share
    StarLisha Tillya, Mpui Buhinda Nyagi and 2 others like this.

    StarLisha Tillya hahahahahahahahahahahahahahahhaahahhhahahahahahahahahaah
    4 hours ago · Like

    Rachel A. Temu Ananitumia msg kuniinbox mburula huyu ssssasa ndio atanijuia sura mbaya kama kama anakunya
    4 hours ago via mobile · Like · 1

    Tinnah Kaggwa kuna watu nibalaa, nimeisoma hiyo habari nikmuona, hahahahahaha, utuuzima wote ule abkwe, mie naona labda alienda akaona hakupewa pesa ndoanazua balaa hapa, hahahaha pesa sabuni ya roho kwakweli
    about an hour ago · Like

    ReplyDelete
  37. Comments za blog ya sinta zimeanika kila kitu.! Kama ni umesema uongo itaku cost shoga.

    ReplyDelete
  38. we sema huko UK unajiuza ulitongozwa ukamkubalia akagoma kukulipa umeamua kumchafua mtandaoni...

    ReplyDelete
  39. si umesema kulikua na camera..weka uthibitisho..mmh yan uyo mtu wa kubakwa ni ww,khaa

    ReplyDelete
  40. WEWE DADA KUWA MUWAZI GO STRAIGHT TO THE POINT NATANGAZA BIASHARA KAMA UNAFORCE WATU WATEMBELEE BLOG LAKO KIJANJA ILI WASOME BIASHARA ZAKO UMENOA TAFUTA NJIA NYINGINE YA PROMO CYO HII HII CHAKA DADA MAZIMA UMEPOTEA KAJIPANGE UPYA.

    ReplyDelete
  41. kwa kweli hayupo atakayeweza kukuunga mkono moja kwa moja kwani ushahidi au uthibitisho wa jambo hilo kutokana na maelezo yako hayana ukweli wa lalamiko tajwa

    ReplyDelete
  42. unajua lymo kuwa serious mana ucmchafulie mhe.lema jina.unjua dada yangu ebu fanya mambo yako uctumiwa na chama kumchafua mtu,mimi ni hakimu lakini naona hamna ukweli hapo,hata hizo picha unazozisema kwa nini usingeionyesha police,au ungelisema mapema we kitu kimetokea miezi nane iliyopita ndo uunkuja kusemea sasa hivi.acha uongo.unjua ucingekuwa unavaa mavazi ya ccm yangekuwa ya kweli lakini sasa hayo mavazi yanakutuma useme hivyo.ushauri lymo achana na maswala ya chama fuata mambo yako.tena uciwe mpambavu wa kutumiwa ovyo, tumia akili dada yangu.

    ReplyDelete
  43. mchawi huyu! hana lolote anatafuta umaarufu tu! au atakuwa ameahidiwa kanafasi akija tz!

    ReplyDelete
  44. madai yao Flora, hakuna atakaye kubaliana na wewe moja kwa moja kwa sababu proposition zako hazina mtiririko mzuri, wa kuweza kumridhisha mtu kukuelewa nini unachoongelea. hakuna mlolongo mzuri wa hoja zako(no coherence/correhence of your arguments). suala la ubakaji linahitaji umakini sana kulielezea na kulidhibitisha,maana wakinamama wengi wanalitumia kama silaha ya kuwadharirisha wanaume pia; kuwa makini sana kwa unayoongea, usidhani we kuwa uingereza ndo unajua kila kitu kuliko watanzania walioko tanzania....hacha defence mechanism unaposhindwa kuaondoa dukuduku wtau watakuhoji....kama ile ilikuwa ziara ya kikazi(kiofisi) haileti mantiki vizuri kama kweli wewe una elimu kidogo, kuwa baada ya mkutano Lema aliongozana na wenzake ...alafu baadae wakaenda kujisaidia...wenzake wakwenda vichakani, na yeye akaomba ajisaidie kwako. hii ni hatari sana kauli kama hii, inamaana Londoni wanajisaidia vichakani na inaruhusiwa? na yeye ilikuwaje aamue kujisaidia kwako na awaache wenzake ambao wamekuja wote katika ziara ya kikazi? jambo lingine ni kuwa, umesema alianza kukusumbua tangu mkiwa njiani kuelekea kwko, kama ilikuwa hivyo na wewe uliona kuwa anakubadilikia ulishindwa nini kupiga simu polisi muda huo na wakaja? pamoja na hayo, kama kweli ulisharipoti polisi na polisi wa huko ni tofauti na wa huku,wameshindwa nini kuwajulisha polisi wa tanzania kupitia serikali na mtuhumiwa akakamatwa?....hoja zako hazijaturidhisha mpaka tukuunge mkono....ngoja tungoje uchunguzi wa vyombo vya usalama utakuwa vipi. ila nakuomba ukumbuke kuwa siku hizi ushahidi wa picha na sauti umeanza kutiliwa mashaka sana kwani upo uwezekano mkubwa kufanya udanganyifu na kusakizia mtu ..mathalani lema suti yake inaweza kurekodiwa tanzania katika mkutano wowote ule na ikahaririwa kuhusu tukio unalosema,pia picha zake hizo hizo zinaweza kupigwa tanzania na kutumwa kwako na kuhaririwa...na wazi ikaonekana kafanya hivyo.....

    ReplyDelete
  45. Anonymous of 11;21
    Swali lako nilizuri sana ..ILA HILO NILAKUMUULIZA YEYE...NA PIA HUKU ULAYA SIYO VICHAKANI WATU WANASIMAMAGA PEMBENI PEMBENI USIKU NA WANAJISAIDIA,,NA WENGINE UNAWAKUTA HAPO HAPO UNAPITA WANAJISAIDI CHOO NDOGO....NA WANASAHAU KUNA CAMERA'S....Hasa pembeni pembeni mwa maduka ya watu au mabenk''' na kitu kingine anajua alochokuwa anakifanya Lema tangia mkutanoni..na picha zinaonyesha zaidi...na jamani ushaidi upo ,ila nyie siyo POlice na Mahakama...yote hayo mnayodai nyie yapo mikoni mwa police hapa UK..na wameshafanya kazi yao yakuchambua na kuona Ushaidi wakutosha upo..la sivyo hapa Ulaya sijui huko Tanzania..HUWEZI KUMSINGIZIA MTU RAPE AU HATA KUTAKA KUBAKWA VYOTE NI UBAKAJI NA NIVIBAYA MNO...MTU ANAEZINGIZIA ATAFUNGWA..YANI SIWEZI KABISA KUMZINGIZIA MTU KITU CHA AINA HIYO,,NA JUENI KWAMBA HAKIHUSIANI NA CHAMA CHOCHOTE,,,,MIMI NAIPENDA SANA TANZANIA NA CHAMA CHOCHOTE KINACHOIONGAZA SINA BUDI YAKUINGILIA HUMO KUPINGA BALI KUULIZA SWALI KAMA NINALO LA KUHUSIANA NA NCHI YANGU NA VILE VILE KUWEKA HABARI KWENYE BLOG YANGU AMBAYO INA WASOMAJI ZAIDI YA ELFU ISHIRINI KWA WIKI..IKITEGEMEA NA HABARI NILOWEKA YA HIYO WEEK...NA IPO KWAAJILI YA WATANZANIA WENZANGU HASA KINA MAMA,KUJIFUNZA NINI CHAKUVAA WAPI NA PIA WANAWEZA KUFANYA KAZI KAMA ZANGU NA MIKONO YAO BADALA YA KUKAA VIBARAZANI NA KUWASENGENYA WENZAO...NA NDIYO MAANA UNAONA NINAVYOJITUMA KWENYE SHUGHULI NYINGI HASA HAPA UK ZAKUWAHUSISHA WATANZANIA WENZANGU NA SIYO KAMA NIMETUMWA AU NINAHUSIKA KWENYE CHAMA FULANI NO..MIMI NI FREE CHAMA BUT MTANZANIA AIPENDAE NCHI YAKE KUPITA MAELEZO....KWA HIYO KAENI MKIJUA KWAMBA FLORA LYIMO ANAFANYA VYEMA KUTAKA WANAWAKE WENZAKE WASITENDEWE MABAYA NA KUKAA KIMNYA KWASABABU YA ALOLITENDA JAMBO CHEO CHAKE NI FULANI AU YEYE NI TAJIRI MKUBWA DUNIANI,,NO SHERIA ZIPO 'AND ALL I WANT IS JUSTICE!!

    ReplyDelete
  46. Shoga nenda Zeddylious uone ulivyo chambuliwa. Siri nje nje..!

    ReplyDelete
  47. una miaka mingapi flora? je una mchumba?

    ReplyDelete
  48. hiyo story yote ni UONGO!! ila jibu yafuatayo 1.Mkutano ulifanyika wap (ukumbi)? what happened when meeting was over? 2. Wenzake walijisaidia wap na kwanini asiende na wenzake mpaka akuombe ww? 3. na wakat anakuomba kwenda kwako mlikuwa wap? na how far to your home? usafiri gan mlitumia? na wenzake walijua kuwa uliondok nae?? unawajua wenzake ni makada wa chadema au wabunge nao (taja majina)?? 4. unaishi peke yako?? hakwenda chooni kam alivyotak? alikubaka kitandani ilikuaje mpak kufika kitandani, how your house look like?? 5. hukupiga kelele? kwanin umechelewa kutoa taarifa why now?? 6. LEMA ni mtu maarufu na Mbunge?? je balozi anajua na uliripoti?? 7. je kwanin POLICE UK wasimkamate wtk anaondok Airport?? EVEN in Germany he could be arrested?? My advice be careful my dear, POLITICS not good is bad be care full'

    ReplyDelete
  49. Flora Lyimo najua unavyojisikia Mimi mwenyewe nilikuwa sina hizo habari Only ulipozielezea pale Ubalozini jana usiku'' Kweli hii ni aibu kubwa sana kwa watanzania hasa kuona walivyokutukana hapa ukidai haki yako..nduguzanguni watanzania mimi mwenyewe niliona vile walivyokuwa wanamkataza kupiga picha na waziri Jana usiku ''siyo Fresh kabisa kwanini hamjiulizi wale wote waliokuwepo walikuwa wanapiga picha na Waziri Pinda na ni Flora peke yake ulikuwa mnamzuia ?? that's made me feel bad and don't want to be Tanzanian anymore''Flora IM on your side na lazima JUSTICE UPEWE''WACHA TUMSIKIZE MH PINDA ATAFANYA NINI OVER THIS'''BLESS YOU MS LYIMO'''

    ReplyDelete