KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Thursday 4 July 2013

BY FLORA LYIMO~ MBUTA NANGA!! MAJANGAAAAAA.....HAKUNA BIASHARA ISIYO BIASHARA NA PIA ISIYOKUWA NA WAKATI MGUM''' MACHANGUDOA WALALAMIKA UJIO WA OBAMA TANZANIA ULIKUWA NI HASARA TUPU KWAO'' SOMA WALICHOKISEMA NA PICHA YAO''


Katika hali isiyokuwa ya kawaida,  Machangudoa wameulalamikia ujio wa Rais Barack Obama kwa kile kinachodaiwa  kuwa  haukuwa na faida yoyote kwa kukosa dili za pesa. 
 ''kutoka kwao''
" Tumesikitishwa sana na ujio wa Obama kwani tulikuwa tumejipanga kupiga hela ndefu sana .
"Bahati mbaya watu  wake tuliokuwa tunategemea kuwanasa walikuwa busy na wale  wa  mikoani  walizuiwa" Walisema akina dada hao'' 
Machangudoa hao wanadai  kuwa  kipindi cha Bush alipokuwa Rais ambaye alikaa nchini karibu wiki moja walinufaika sana ambapo wengi wao walijenga majumba kwa pesa za ziara ya Bush''

TUMESHIRIKI KUTOKA BW'

3 comments:

  1. hhhahahahahahhahaaaa mbuta nanga''umenichekeshaje leo''mbavu zangu eee''

    ReplyDelete
  2. Mbuta nanga wewe ni kiboko #Flola

    ReplyDelete