KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Wednesday 14 August 2013

BY:FLORA LYIMO~ YESU NA MARIA'' HEBU TIZAMENI JENEZA LILILOMZIKIA BILIONEA ERASTO MSUYA'' LINATUMIA RIMOTI (REMOTE CONTROL) WASIJE ISAHAU KUMZIKA NAYO TU 'MAANA NA KULE MBINGUNI WATAIHITAJI'' MBUTA NANGA!! SIKILIZA NA WIMBO HUU WA SIKU YA KUFA !!


Hili ndilo Jeneza Lililokua limebeba mwili wa marehemu lililowashangaza wengi kwa vile lilivyokua likifunguliwa kwa rimoti "Remote control" Yani ni nomaaa,Mliona ee'' Ruwa Mangi ' Wasisahau kumzika nayo 'jamani itakuwa inahitaji kule Mbinguni'' Uwiiii 'Kifo cha mabilionea? Ngamanyasepfo wai''CHAMECHENYI NA HAIYENYI SANA WANGU WAKO''

Mwili wa Bilionea Erasto Msuya ukiwa kwenye Jeneza'

Mke wa marehemu (Mrs. Erasto Msuya) akitoa heshima za mwisho'

 Askofu akiandika kitabu cha rambirambi'

Viongozi wa dini wakiandika daftari la rambirambi'

Mamia ya watu wakiwa katika foleni ya kuaga mwili wa Marehemu.

 Askofu akitoa heshima za mwisho'


 Mtoto wa Marehem akiaga mwili wa baba yake'
Mbunge wa Simanjiro Ole sendeka akiwa na Mkuu wa Mkoa wa Arusha wakitoa pole kwa familia ya Marehemu'

Jeneza lenye mwili wa marehemu Erasto Msuya likiwa tayari kupelekwa eneo maalum kwaajili ya kumpumzisha'

 Watoto wa Marehemu wakiwa wanaongoza safari ya kuelekea kaburini utakapohifadhiwa mwili wa baba yao.
 Hii ndio ilikua safari ya kuupeleka mwili wa Bilionea Erasto Msuya kaburini.ambao uliongozwa na Watoto wake huku wakiwa wamezibeba Picha za Marehem Baba yao kwa Huzuni Mkubwa''

Wananchi wakiwa wamejipanga kando kando wakati wa mwili wa marehem ukipitishwa'

Mwili wa Marehemu ukiwasili eneo maalum kwa ajili ya maziko'

Dada wa Marehem alijikaza ipasavyo na kuweza kusema maneno kadha kwa niaba ya Familia'

Mwili ukiwa eneo maalumu kwa ajili ya ibada ya mazishi'
  
Askofu akisoma ibada ya Mazishi.

Eneo la maziko likibarikiwa na Mkuu wa Jimbo'

Jeneza lenye mwili wa Marehemu likishushwa kaburini kwa mashine maalum.,
Yani hii sasa ni kali ya Mwaka haswaa''' Mshawahi kuona hii kitu jamani 'yani siku izi mnafanyaje Vifo ? Uwii kuliko hata Harusi ? Kweli sinamengi yakusema'na Muombea Mungu ampokee salama na wazikaji wasisahau kumzika na hiyo Rimoti (remote control) Mbuta Nanga'''Maana na kule mbinguni lazima wataihitaji'' Ruwa Mangi 'yani hata Mdudu,Udongo  hawatamguso maana naona na hilo Jeneza ni Hatariii''' 

 Jeneza lenye Mwili wa Erasto Msuya likiwa kaburini.

Familia ya marehemu ikiweka Kaudongo kaburini.

Mafundi wakifanya kazi yao ya kufunika kaburi'
 
 Yani hapa hakuna cha Udongo ,mwaona ee'' Ama kweli kufa Kibilionea hasara tupu ,maana unayoyafanyiwa huku hata huyaoni  ni Majangaaaaa'Mbuta Nanga''  R.I.P.Bilionea wetu 'Naona siku izi vifo ndo kuliko hata Harusi' 
 Kama ulikuwa hujui kilicho muuwa Bilionea wetu ni kwamba 'Marehem Erasto Msuya aliuliwa kwa kupigwa Risasi na alikuwa Tajiri mkubwa wa Arusha' Bila shaka mliopo huko Home Tanzania hasa Arusha mtakuwa mnamfaham''
sikilizeni na huu wimbo yani kachozi ndo kananitiririka baada yakushangazwa na geneza'' Kweli Kifo ni Kifo hakuna cha Masikini wala Cha Tajiri hata Bilionea'' yani Njia ni ile ile''Kasoro ni ulivyokufa tu 'yani kilichokusababishia Kifo chako'' RUWA MANGI''

1 comment: