KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Thursday 12 September 2013

BY: FLORA LYIMO ~ HABARI ZA YULE MREMBO SASHA ALIE AMUA KUJULISHA DUNIA KAZAA NA SUPER STAR DIAMOND 'aka NASIBU ABDUL JUMA' YATUA FLORA LYIMO FASHION POLICE BLOG' AND THIS IS WHAT FLORA LYIMO SAY'' SHERIA MPYA IPITISHWE NOW''MWANAUME YOYOTE ATAKAE MZALISHA MWANAMKE YOYOTE ASIE CHINI YA UMRI WA MAPENZI NA KUKATAA MTOTO WAKE' AFUNGWE JELA MIAKA MIWILI ' MBUTA NANGA UMZALISHE ALAFU UKATAE KUMTUNZA MWANAO NA UWEZO UNAO ? THE VIDEO: NA (GPL)

FLORA LYIMO MTANZANIA ALISI AIPENDAE NCHI YAKE KUPITA MAELEZO''
NDUGU ZANGU WATANZANIA NATUMAINI HAMJAMBO POPOTE PALE MLIPO ''
Leo nimeona niongelee machache kuhusu huyu Mrembo anae Elezea Dunia kwamba Kazaa na  Diamond'' Diamond yupi ? Yule Yule Mmoja Diamond Nasibu Abdul Juma' Granted SUKARI YA WAREMBO sijui MADEM'' Hivi mnavyo mpa hayo Majina Mnajionaje? Si nyie nyie ndio mnaompandisha hizo ngazi za kuwatendea Madem anavyowatendea? tena lets just Granted Him na hili '' (Sex Symbol) Nadhani litamfaa pia'' yani  Full kumpaaza'' But nikirudi Nyuma na my point ni hivi''
Wewe kama Mwanamke /Dada'' Usidanganyike kabisa kwamba Mwanaume atalala nawewe now yupo ndani mle zile raha anazozisikia mle tena pale Mwisho wa Safari yake umwmbie ATOE NNJE'' Yani ni Wachache sana amabo wanaweza kufanya hivyo I can say only 40% ya Wanaume wanaweza wakatoa Nnje wakati wana maliza haja yao '' When they come au nitumie ile lugha ambayo wengi mnaijua na kuisemea
''WHEN WANAKOJOA'' Yani usidanganyike kabisa na usikubali kabisa Kulala nae bila Mpira hasa pale unajua tena wewe ni Msichana wa Shule na tena Siku zako za Kupata Mimba unajua ndo hizoo zipo HOT on the time of you and Him kufanya Mapenzi''yani hapo ni Big NO 'HATARI ''asikuingie bila Mpira maana wewe jua  una 95% kwamba utapata Mimba'' sasa ni bora usidhubutu kabisa''
''Back To Diamond na Wale Wanaume wengine wote''
Unajua wazi kwamba kuna magonjwa'' unajua wazi kwamba Msichana wa watu anasoma na yupo Shuleni ' Unajua wazi kwamba Ukishaingia huko ndani kutoka ni Matanga'' yani  yeye sasa hivi yupo Mikonono mwako kwa wewe Dereva wake sasa na Gari anae liendesha ni wewe you are on controw and she put the trust in you ''She trust you big time'' kwanini umdanganye mwenzio wakati unajua kwamba huwezi kusimamisha Gari hilo litakapofikia pahali pake pahatari na kutakiwa kusimama? yani wewe ndiyo umekaza mwendo badala yakusimama na kushuka Nnje? ''Mbuta  Nanga'' Hiyo ni hatari sana umejiweka wewe na hasa Msichana wa watu'' Anyway naongelea nayoyajua Mimi kwani yashawahi kunitokea siku moja I practically had a fight trying to convince the Guy to wear a Condom ,Mpira you know''Yani tena Mimi nilimdanganya kwamba situmii  chochote cha kuzuia Mimba yani contraception,Lakini hakutaka kujua and what I did was Ok  so is up to you condom hiyo hapo kama hutaki Mlango upo wazi sepa and you never going to see me again anyway ''And even now if you decide to use it Im not in the mood anymore'' na tukaishia hapo NO Sex and  I never see Him again from that day na alitukanaje sasa'uwii kweli Sex ni Balaa ''So Girls you need to be
IN CONTROW WITH YOUR LIFE AND DON'T TRUST A MAN TO TELL YOU ATAINGIZA KIDOGO NA KUTOA NNJE''AU ATAKOJOA NNJE ANAPOANZA KUKOJOA'(COME)ORGASM'YANI ASIKUDANGANYE MTU AT THIS TIME'HUWA UNAJIKUTA DUNIA NYINGINE HASWAA''  kitu kingine tena ambacho nimejionea mwenyewe ni pale  Mdogo wangu alipo pewa Mimba akiwa Shuleni Form Two'' na Mimi ndiyo nilie Mpeleka Shule ,Mtoto analala huko huko tena shule ya Masista ambayo ndiyo nilisikia inauaminifu kwa Watoto kusoma na kufanya vema kulikoni.Ila ndo hivyo wanapewa likizo na hizo likizo ndizo za Sex na Mimba juu''yani nikikumbuka mahela niliyopetezea huko ni balaa'' Na alie yalipa mahela hayo ni Mimi garama zote tena nilikuwa na Lipa miaka Miwili yote in Advance ''Hakuna Kitu Mdogo wangu huyo alikuwa anahitaji sikumpa...Kasoro Mwanamme wakumpa hiyo Mimba akiwa Shuleni ndiyo Kitu ambacho sikuweza kumpa Mimi'' na badala yake alifukuzwa Sule na akataka kurudi Home''ila akaona aibu na kwenda kwa Dada yangu 'ambae huyu Kijana ndiko alipomtongozea kwani Walikuwa na Baa la Pombe sasa hapo ndipo pia Flora Lyimo kwa Wema wangu nilikosea sijui ''kwa kumfungulia Dada yangu Baa hilo ''kwani niliona Pesa ninayo nimpe nae ajaribu Biashara yake'' Mwisho wa siku niliambulia hasara tupu ''Vitu vyangu na Pesa zote nilizolipia kule Shuleni sikurudishiwa hata senti moja'' Lakini nikataka sasa Huyo Kijana aliempa Mimba Mdogo wangu awekwe Jela anirudishie Garama zangu zote'' Nakumbuka nilikuwa UK-London naongea nasim utazani ni huyo Kijana naongea nae yani nilizamani niingie kwenye hiyo Sim nimkute angekomaa''But Police walihusika na Cha Moto alikionaje'' Yani I was like 'Anilipe Hela zangu zote la sivyo Amchukue na amuowe na amuangalie Mdogo wangu ''Chezea Mchagga wewe'' Yani mpaka leo wapo Pamoja Harusi wamefunga na Mungu amewajalia watoto wao sasa na Nilisha msamehe Shemeji yangu kwani alisaliti Amri na la sivyo ''Jela ningemuweka Kudadadeki'' Hahhaa'' Anyway '' Jamani Kina Dada kuweni waangalifu sana when it come to Sex'' Yani usijidanganye kwamba ataingia mle nakutoa nnje no way '' naufaham kwamba pia siyo Mimba tu utakuwa unawazia''kuna magonjwa mengi sana husababishwa na unsafe sex'' tumieni Condom kwa sana tena pale mnapojua mpo Mchezoni na siyo kwanza mpo kwenye Mapenzi ya Ukweli ,,mpo kwenye Mapenzi ya Sex'' nothing but just Sex'' kumbukeni condom ''imbeni condom mpaka uwe na uhakika Mwanaume ni wako na unamalengo ya Kuolewa nae''na siyo kukuambia kwa maneno bila vitendo''
Basi  Mimi kabla sijawaandikia kitabu kizima ni kwamba naona
SHERIA IWEKWE  Mwanaume yoyote atakae mzalisha mwanamke yoyote ambae hayupo chini ya Umri wa kufanya mapenzi na atakapo mkataa Mtoto wake baada yakutolewa Vipimo vya Uhaika DNA' nakuhakikishiwa kwamba wewe ni Baba wa Mtoto huyo au Watoto hao na basi Sheria ipitishwa kwamba afungwe jela miaka miwili ,Only 2 years itamtosha kumshikisha Adabu na wengine kuiga nakujua watakapo fanya hivyo kifungo kinawasubiria'' Na Mwisho kabisa kuhusu huyu Mrembo ''Inatakiwa sasa Diamond maana anapesa ana uwezo wakuweza kulipa Madactari  wakapime kujua Ukweli upo wapi ''DNA hazidanganyi na kama kweli basi ajue ana Mtoto na Ni wajibu wake kumtunza Mtoto huyo na Mama yake na isitoshe alipe Wazazi wa huyu Mrembo Hela zao walizopetezea Shule kwa kumkatishia Masomo Mrembo wao'' na hii niikiwa Hajakataa kakubaliana na Kila kitu ''akikataa basi na Sheria ishike nafasi yake''Sheria siku zote ni kwaajili yakutendea Jamii Haki na kuhakikisha wamepewa Haki zao'' Ni hayo tu kwasasa my dears'' Mpaka tena Mapochopocho mengine yanidongokee ''lazima tutayala pamoja hapa hapa kwenye hii Blog yenu ya The Truth and the Truth Only ''Now have your say Nyota zangu kwani unaruhusiwa''
 Be Bless and Take care Always''Flora Lyimo''

MNAMSIKIA EEE'' YANI NINAPENDA ANAVYOHOJIWA KWA UTARATIBUU NA ANAVYOJIELEZEA KWA UTARATIBUU''ANASIKIKA NA TUNAMSIKIA NA TUNATAKA TUMSAIDIE TUJUE UKWELI UPO WAPI '' NA I THINK CHA MOTO KESHAKIONA YEYE MWENYEWE MAANA KUZAA NA KUJARIBU KUIFICHA MIMBA SIYO MCHEZO''
LINGINE NI BAADHI YA WATANZANIA HASA WANAWAKE'' YANI SIJUI MMEKUWA MADUDUKOPO YA AIINA GANI ? HEBU SOMA HII COMMENT YA MAMA TENA WAKITANZANIA ALIYO COMMENT HAPA'' YANI NI KAMA WALIVYO NITUKANA MIMI KWA KUDAI HAKI YANGU YA KUBAKWA NA GODBLESS LEMA MBUNGE WA ARUSHA''' HOW COME MNAONA WENZENU NI UMAARUFU WANATAFUTA WAKATI WAMEONEWA NA WANAHITAJI JUSTICE ?? DO YOU KNOW HATA WEWE YANAWEZA YAKAKUKUTA AU HATA FAMILIA YAKO ?? AND DO YOU KNOW THAT HAWA WATU MBALI NA KUWA NA MAJINA,PESA AU CHEO FULANI 'MWISHO WA SIKU NI WATU BINADAM KAMA WEWE NA MIMI ? AND DO YOU KNOW KWAMBA SHERIA HAIMCHAGUI TAGIRI WALA MASIKINI ? SHERIA INATUMIKA IN 100% KWA WOTE'' NA UKIKOSA HATA KAMA WEWE NI RAIS WA DUNIA LAZIMA SHERIA ITUMIKE NA JUSTICE TO BE DONE''
MIMI NAONA WOTE AMBAO MNATUTUKANA AU MNAWATETEA SABABU WANA CHEO FULANI NA PESA''' NYIE WOTE NI MAMBURULA'S NA HAMUSTAILI MUWE KATIKA DUNIA MOJA NA DINADAM SISI AMBAO TUNAJUA SHERIA NINI NA PIA TUNAOJITOKEZA ILI KUWASHIKA WAHARIBIFU NA VILE VILE KUWASAIDIA WALE VICTIM WENGINE KUTOKUJIONEA AIBU NA KUSIMAMA IMARA NA KUSEMA YOTE NA DUNIA IWASIKIZE'' GOD IS GREAT AND JUSTICE IS ALL NEEDED''
  • mishely george 5 hours agodah, huyu binti kiboko, kwanza kama alikuwa najitambua yeye ni mwanafunzi alikubali vipi kuingia hotelini? anazingua tu alafu ata hajielewi me nisingeweza kuongelea upuuzi kama huo ata kama ingekuwa kweli....................... ovyooooooooooooo · 
    david nsanya 10 hours agoHana akili apewe chumba mwananyamala ajiuzee' · 
    pax joseph 
    Wanake wengin majang duh. Umaaruf hautafutw ivyom
     · 
    Michael Minja 1 day ago

    Ebwana Diamond mharibifu sana kama damu ni yake na akubali kuilea tu maana mateso ni hapa hapa Duniani. Halafu naona kama haijaisha hivi naombeni mtumalizie kipande kilicho bakia.







5 comments:

  1. Flora Lyimo unaakili sana na asante kwa hii mada yako yani kila nikija huku hujifunza kitu cha ukwee...na nakuaminia..ila wabongo wengine ndo siyo waelewa kabisa''pole mamii'''Mungu yupo justice utapata tuu''

    ReplyDelete
  2. flora ukwel ushajulikana uyo mtt sio wake ni wa dada ake,pia sio mtt wa diamond uyo dada amezusha na baada ya kugundulika wazazi wa uyo dada wamekuja juu kwa nn anazusha mambo sasa mambo yamegeuka dada anataka kijiuwa kwa aibu aliofanya,na diamond alichotamka kasema anataka uyo dada arudi ktk media tena aseme ukwel wote ndo yaliyojiri mpendwa

    ReplyDelete
  3. ANONYMOUS OF 16:25..ASANTE SANA KWA TAARIFA..ILA NDIYO MAANA NIKASEMA HAPO ..DNA HAIDANGANYI NA INAHUSIKA SANA''SASA NI VIZURI PIA WENGINE WATAMBUE KWAMBA USIDANGANYE WAKATI SIKU IZI KUNA VIPIMO NA CAMERA KILA MITAA ''NA VILE VILE USIDANGANYIKE KUAMBIWA ATAINGIA NA KUTOA NNJE''NOTHING LIKE THAT ....NEVER'''

    ReplyDelete
  4. ANONYMOUS OF 20:53 ..THANKS SO MUCH........

    ReplyDelete
  5. asante Flora Lyimo'''mistari yako imenyookaje.... hapo ndipo napokupendeaga dada unapata muda wakutuambia maukwee '' Bless you''

    ReplyDelete