KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Sunday 9 March 2014

BY FLORA LYIMO~ SOMA UJUMBE WA LEO KWA WALE WANAUME VITOMBI TOMBI KUTOKA KWA ABU NUNDAS'' AWATOLEA NJE MAKAVU LIVE'''MBUTA NANGA!!

 THE GOOD DAD Akifanya yake na Watoto wake'''

BY ABU NUNDA: Kama unajua KUzALISHA''Naujue KULISHA pia''
FLORA LYIMO: Yani ni kaujumbe kafupi lakini kanakata kuliko msimeno'' yani kasema ukweli zaidi ya Ukweli hapa 'na huku asema na matendo pia'Pichani hapo yupo home shopping na watoto wake Mpango mzima sijui wa Mwezi ,alafu siunajua Mwezi ndiyo umeanza eee''Ukimpata Mwanaume kama huyu Aisee Shukuru Mungu sana na USIMBANIE YALE MASUKARI YA WANAUME'' MAANA WATAFUTAJI WAPO WENGI SANA NA WAKIMPATA NA UJIKUTE HUMPI MASUKARI YAKE 'UNAANDIKA NAMBA ZA ZAMANI NA ZALEO UTAZISOMA MPOLEE''MBUTA NANGA''
Be a Good Man like you are MR Nunda''

1 comment:

  1. Mbona ni vitu vya kawaida sana watu wote wansopenda family zao wanafanya shopping na kama unapenda kula utanunua tu ili ule upo mbuta banga

    ReplyDelete