KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Sunday, 16 January 2011

JUST HOW WELL BRITAIN'S BEING SERVED..2011. ARE YOU BEING SERVED *

Er, yer wot? Look, if it ain't on the rack we don't 'ave it***
THIS  IS MY JOB I LOVE DOING BY MISS FB LYIMO* INVESTIGATE JUST HOW WELL BRITAIN'S BEING SERVED..YOU WONT GET MY MONEY IKIWA UNA MATHARAU ..YOU WILL NEVER SEE ME  IN YOUR SHOP OR KATIKA MASGHULI YAKO AGANI. MBUTA NANGA....

NA MATOKEO NDO KAMA YAFUATAYO:

RIVER ISLAND*
In Taunton, Somerset.
OH dear God, This shop is proof that the London shops get all the good stuff, while the provinces have to make do with whatever is creased,covered in sequins and makes you look like a hooker. Like Next, this branch was holding its sale ,and and the atmosphere of a smelly Camden Market stall prevailed. At least the staff were identifiable. though, in River Island  black T-shirts,but I had to wait ten minutes before  I caught some one's eye.
I chose a short black dress , sequin shoe boots , brown milltary shorts and a pair of black leggings. I asked one assistant if the shoe boots came in a size 6.
I don't know .If it's not on on the rack , then we dont have it'.
So you mean I have to look through all the shoes ?'
'Yes , she said ,looking shocked .
Can't you look ,as you are not busy ?
Um , well .ok .but I doubt there are not any sixes left.
JAMANI THIS IS TO BAD.. nafikiri hata wewe kilisha wahi kukufanikia pale ambapo una hela zako waenda dukani alafu ukiingia wauzaji wanakuangalia kama mwizi ,yani wanafikiri huna hata senti tano mfukoni kwa sababu mbili muhim nilizo wahi kuzigundua mimi mwenyewe nikiwa na fanya hii kazi kwa muda wa miaka saba....kama wewe ni mweusi ..black person they wont even look at you......na kama umevaa ovyo ,, huja vaa suit au designer cloth hawataongea na wewe,lakini utakapo toa manoti yako tena na siyo maplastic .credit cards ..wanabaki wakishangaa....SO DONT JUDGE PEOPLE BY THE WAY THEY LOOK OR DRESS**

Wabongo wengine na biashara zao hasa mmoja jina nalihifadhi ,,,ana madharau kama nini ,,alafu hata ukimuangalia hutamani hata kumuangalia mara ya pili ..why ,,just the way anakuangalia kwa madharau...alafu eti anafanya biashara zake huku ana sema mlango utafunguliwa kwa wale ambao siyo adui zake ,,,so how do I know kama mimi siyo adui wako..? na weza nikaja na nikajikuta meambiwa siingii why ? no comment you cant come in ...lol...sasa kama wataka kufanya biashara zako ,,let me tel ya' fanya kwa kila mtu siunatafuta PESA ? la sivyo you wont get anyone  in ...maana maadui zako ni marafiki zangu .na nikitoka na marafiki zangu nataka niende nao popote pale....siyo pale mimi naingia na wao hawaruhusiwi kuingia..nimejionea jambo hili mara nyingi sana......so DONT DO IT  **

No comments:

Post a Comment