wacha weee..mpaka chini au vip"
| Miss FB & the Man that make me be here" MR KK" |
| Hahahhaaa..huyo kijana mbele yangu na mzungu wake ,ananitamanije" wacha tamaa kijana una mzungu mkononi hapo.mbuta nanga!! |
| sasa hapa kaka ,huo mkono nyuma unataka mdaka nani!! |
| Chezea hapa ..sina lakusema mie ..ila MBUYU HAUKUMBATIWIIIIIIIIIII!! |
| alokuwa anatuchanganyia vijinyimboz vya kutuamsha kwenye viti" |
| Hahaaa huyo kaka pembeni ANALIWAZAJE!! |

you been snap blog is my favourite blog out there mbig up miss fb...
ReplyDeletethanks dear for your love and support"
ReplyDelete