Hii meza nimeionea huruma sana, yani kila kitu ndo hapo kumalizikia ,hata muda wakujipa nafasi ya kupata msosi mezani hamna..MCHAGGA MBELE YA PESA"mbuta nanga!!
Jamani hili uwa la ndani siyo la mpira, na nalipenda sana yani kila niendapo nikihama nahama nalo.nililiokoa kazini likitupwa mwaka 2006" Na naamini limebarikiwa kama mimi @ my blessing home" |
No comments:
Post a Comment