Hii meza nimeionea huruma sana, yani kila kitu ndo hapo kumalizikia ,hata muda wakujipa nafasi ya kupata msosi mezani hamna..MCHAGGA MBELE YA PESA"mbuta nanga!!
| Jamani hili uwa la ndani siyo la mpira, na nalipenda sana yani kila niendapo nikihama nahama nalo.nililiokoa kazini likitupwa mwaka 2006" Na naamini limebarikiwa kama mimi @ my blessing home" |

No comments:
Post a Comment