KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Saturday 7 April 2012

* IN YOU BEEN SNAP BLOG * JE HIKI NDICHO CHANZO CHA KIFO CHA KANUMBA KWELI ? HIVI MBONA WANAHARAKISHA VITU YANI NIKAMA UTADHANI KAFARIKI WIKI ILOPITA ? ALAFU KWELI HUYO MDOGO WAKE MIMI ANANISHANGAZA HAPO PICHANI KAWEZA KUSIMAMA BILA KUONEKANA NA HUZUNI KIVILE HUKU AKIWEZA KUONGEA NA VYOMBO VYA HABARI " DUUU.KWELI SI BURE IPO NAMNA" MIE YANGU MACHO !!

*MKILETEWA HAPA  NA MISS FB FLORA BAHATI LYIMO *

MDOGO WAKE KANUMBA
Baada ya kifo cha Kanumba, hivi sasa mdogo wake aliyekuwa akiishi naye nyumbani kwake asema kulikuwa a ugomvi kati ya kaka yake na muigizaji Maarufu Elizabeth Michael alimaarufu Kitu kilichowapelekea Kanumba na Lulu kuingia chumbani na kumwacha mdogo wake kanumba sebuleni.


<><> <><> <><> <><> <><>
LULU
baada ya muda mfupi Lulu alitoka chumbani akiwa anamuita na walipoingia chumbani walimkuta kanumba kaanguka, mdogo wake alipoenda kumuita daktari wa kanumba mara tuu aliporudi hamkuta tena Lulu nyumbani.
Hadi sasa tunapoongea Lulu yupo chini ya ulinzi wa polisi ostrebay kwa mahojiano zaidi,

<><> <><> <><> <><> <><>
Baada ya kuanguka



R.I.P THE GREAT KANUMBA

No comments:

Post a Comment