KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Tuesday 17 April 2012

*IN YOU BEEN SNAP BLOG *LOOK OF 17/04/2012. ZAWADI YANGU YAKIPEKEE KWA LULU"AND YES ITS HER BIRTHDAY TODAY " & MISS FB FLORA BAHATI LYIMO AND YOU BEEN SNAP BLOG WISHI YOU HAPPY BIRTHDAY LULU" DONT WORRY JUST SAY THE TRUTH"

*MKILETEWA HAPA NA MISS FB FLORA BAHATI LYIMO*



Lulu " pichani hapa kama mnavyofaham ndie anaye shikiliwa kwa kuwa yeye ndo mtu wa mwisho kukuwepo na marehemu Steven Kanumba"

Mimi kwa maoni yangu kwa kweli namuombea sana huyu Lulu kwani kuna mengi sana ambayo wengi hatuyajui na vile vile hatutakaa tuyajue..kwani wakuweza kutuambia ukweli wa mengi hayo ashakufa na hatoweza kutuambia chochote mpaka sasa hivi. NA KWA HIYO KINAELEKEA KWENYE ULE MSEMO WA .(MAKOSA NI YA MAREHEMU) R.I.P.Steven Kanumba"
Lulu my dear leo mimi zawadi yako ya Birthday ni ROZARI *

Nimekusalia nayo leo ili MAMA BIKIRA MARIA aweze kukuongoza uweze kusema ukweli wa yale utakayo ulizwa kwa kuendana na Kifo cha huyu Ngugu na Kaka yetu Steven Kanumba" kwani siku zote ukweli ndo muhimu katika kila jambo ,na UKWELI ndo utakao wezakukuondoa hapo ulipo sasa hivi " na vile vile nimemuomba Mungu na Mama Bikira Maria waweze kuwasimamia Jamii na wale wote wenye maamuzi ya kukuachia huru au kukufunga" wakumbuke kwamba cha muhim ni kukusikiliza wewe sasa hivi na siyo mwengine " na kama kuna alokuwepo basi sisi hatujaelewa yupo na kama yupo mbona nae hajashikiliwa kwa madai hayo ya Kifo cha Steven Kanumba"
Anyway ,,mimi kwa leo ni hayo tu ,na nadhani Mungu na Bikira Maria watasikia Sala zangu na vile vile za Jamii" God Bless you and God Bless Tanzania na bila kusahau Roho yake Steven Kanumba aiweke pema Amen"

No comments:

Post a Comment