KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Wednesday 9 May 2012

BURUDIKA KWA WIMBO WA Omar Kopa" HUKU UKITIZAMA PICHA ZA MATOKEO YA KITCHEN PARTY ILOFANYIKIA HUKO BEDFORD 5/5/2012" DRESS CODE ILIKUWA NI YELLOW & BLUE" SASA WALOCHAFUA WANAJIONA NA KUJIJUA.MISS FB FASHION POLICE NITAWALETENI WAO SOON HAPA HAPA!!!

























Miss FB Fashion Police say: SASA KAMA ULIKWENDA KUCHAFUA ANGALIA PICHA NA NYOSHA MKONO JUU .UMWAMBIE B"HARUSI MTARAJIWA POLE NA HUTO/HAMTARUDIA TENA!!
Hivi ni kwanini hampendi kuonekana vizuri kwenye shughuli za watu yani unapoalikwa na kuambiwa dress code. inakuwa ni jambo nzuri kuanza kutafutana na rangi hizo wengine mnapewa hadi miezi mitatu minne? BADO MNAFIKA KUPIGA DEKI BADALA YA KUPAMBA KWA DRESS CODE ZENU ZA SHUGHULI HIYO!!




MIE NAONA NI MADHARAU NA UNAJIDHARAU MWENYEWE NA SIYO SIE MIMI AU WATAKAO ACHA MAONI YAO HAPA!! WE WANT WATU HASA WATANZANIA KUZINGATIA WITO ,UMOJA,UPENDO NA MWISHO KUWA KATIKA MISTARI ILONYOOOKA"






UNAPOSIMAMA NA WATU WENYE HIZO DRESS CODE ZAO UNAFANYA MSTARI HUO KUKATIKA ..SO KAZI KWENU WADAU .NIRUSHIENI PICHA ZA WALOCHAFUAAAA!!! MBUTA NANGA" WATAKOMA LINI"

16 comments:

  1. wapi chevu this time alisalimu amir flora umejua kumfundisha,namuona jengo kakossea njia na radhia mikono juu,wapi mama salha,mama kishore,mama lulu,mama pilly moyo na kata ya milton big up mc

    ReplyDelete
  2. Anonymous of 21:52 UNAVYOWAFAHAM MAJINA!! SI MCHEZO .KWA RAHA ZAKO "
    Haya ndo hao nimeshakuwekea!! Nawe JIFUNZE KWA THE NEXT SHUGHULI ZA WATU ZENYE DRESS CODE"

    ReplyDelete
  3. wewe anonymous wa hapo juu naona nakunyimaga usingizi mpaka utaje jina langu ndio usikie raha PUMDAVU WA AHEAD MIMI CHEVU nimekujibu wala sikuogopi na kama mwanamke kweli usingelificha jina lako.

    ReplyDelete
  4. watu mnamuonea chevu mbona wapo wengi tuu

    ReplyDelete
  5. mariam mmsai,rehema,sofia jengo mjirekebishe

    ReplyDelete
  6. Anonymous of 10:57 WATU HAWAMUONEE MY CHEVU ...SHE ALWAYS LOOK FAB ..NDO MAANA HATA AKIKOSEA KIDOGO TU...WASHAMTAJA NA PIA MIMI KUMUWEKA MAANA SHE IS MY 100% MPAMBAJI WA SHUGHULI ZA WATU.NA SIYO MCHAFUA NA MPIGA DEKI.....Ona sasa kama MY Mariam Mmasai..yule dada tangu nianze kumuona ..nilimpa 100% ya mavaazi..na yeye ndo hivyo hivyo kama CHEVU ...na yes wapo wengi hasa kwenye hii shughuli ya BEDFORD ..NAWASHANGAAAAAAAAAAAAA....WATU FULL KUJAZANA MLE KUCHAFUA NA KUPIGA DEKI "KUDADADEKI WASINGEENDAAAAAAA!!!

    ReplyDelete
  7. Anonymous of 10:57..HIVI KWELI HUYO NDIYE?? maana mie nilimuangalia mara kama kumi hivi nikadhani sie,hapa nilifikiri atakuja mtu aniambie kabandikwa picha yake hapo ,kwani hakuwepo kwenye shughuli hii..YANI MIMI KUSEMA KWELI MARIAM MMASAI huwa namuweka mstari wa mbele ...BADO SIJAAMINI HAPO ALIKUBALI KUJA KUCHAFUA NA KUPIGA DEKI....DADA YANGU MARIAM MMASAI ..USITUANGUSHE Watanzania ..MISS FB FASHION POLICE anataka uendelee kuwa MSTARI WA MBELE!! Wengine DU..subirini picha za wachafuzi zaja.MBUTA NANGA"







    mariam mmsai,rehema,sofia jengo mjirekebishe on BURUDIKA KWA WIMBO WA Omar Kopa" HUKU UKITIZAMA PICHA ZA MATOKEO YA KITCHEN PARTY ILOFANYIKIA HUKO BEDFORD 5/5/2012" DRESS CODE ILIKUWA NI YELLOW & BLUE" SASA WALOCHAFUA WANAJIONA NA KUJIJUA.MISS FB FASHION POLICE NITAWALETENI WAO SOON HAPA HAPA!!!

    ReplyDelete
    Replies
    1. sasa tuseme huyo chevu hakuvaa dresscode maana hata sielewi kwa nini mwamsema hebu nielezeni wajameni,mwamuonea.

      Delete
  8. Anonymous of 22:35" NAONA UMEKOSA KAZI...KALALE"
    Hapa nishasema CHEVU WANGU HASEMWI HAPA KWA KUTOKUVAA DRESS CODE YA BEDFORD" SAWAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA!!......NA HAONEWI MTU HAPA,NIKIMUWEKA MISS FB FASHION POLICE JUA MWENYEWE KAJITAKIA..KWANI WEWE AU NYIE SI MNA MACHO HAYAONI ?? DRESS CODE WAS BLUE & YELLOW. SASA KWELI WALOVAA RANGI ZINGINE HASA (BLACK)INA MAANA SHULE ZAO ZILIKUWA ZINAFUNDISHA RANGI TOFAUTI NA SHULE ZINGINE DUNIANI AU?????
    HAYA KALALE SALAMA MIE PIA NAENDA KULALA"

    ReplyDelete
  9. JAMANI MIE NAMPENDA SANA HUYO CHEVU MWANAMKE WA SHOKA AKIVAA HATA MATAMBARA MACHAFU YANAMPENDEZA KIAMA.MARIAM MMASAI MWISHO WA KAZI KITU YOYOTE YAMPENDEZA PIA.GRACE KASHURA YUKO JUU JUU JUU ZAIDI.FATUMA NAE MWANAMKE WA SHOKA.REHEMA NDIBO MOTO WA KUOTEA MBALI NA MABWANGA YAKE KWA UFUPI MWAWAONEA GERE WATOTO WA WATU WASAFI NA WAZURI FULL STOP.

    ReplyDelete
  10. MK OYEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE MTAJIBEA MWAKA HUU.

    ReplyDelete
  11. Flora usimuogope mtu hapa wachambe hao wamezidi vimbelembele na vifrontfront wape wape habari zao.

    ReplyDelete
  12. sio sofia jengo ni rehema jengo utasutwa flora.

    ReplyDelete
  13. muke ya mzungu14 May 2012 at 19:30

    sasa wewe enonymous unaemuambia miss fb atasutwa ,kwani yeye ndo kawataja majina ,,nyie ndo mwawataja majina na yeye anawawekeeni kwa hiyo kama jina limekosewa yeye hatambulishi watu kimajina yeye anachanbua watu kidress code..upo hapa!!

    ReplyDelete
  14. kashehe binadamu mna mambo hasa wanawake

    ReplyDelete
  15. HALIKUNIKI UPO HAPO15 May 2012 at 12:30

    mmeisha ambiwa (DRESS CODE). mnaelewa maana yake au hamuelewi? daa waswahili matatizo sana ndo hao wanaambiwa STOP DANGER. wao ndo kwanza wanakwenda

    ReplyDelete