KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Thursday 31 May 2012

*IN YOU BEEN SNAP BLOG * MISS FB FASHION POLICE OF 31/05/2012 NI WALOCHAFUA CHUGHULI ZA JANE'S KITCHEN PARTY " AMBAZO DRESS CODE: ILIKUWA NI PINK ,YELLOW AND BLUE"

Kwanza napenda kuwaombeni radhi kwa kuadimika kwa 
*MiSS FB FASHION POLICE*  kwani nimekuwa na shughuli za kufa mtu ila msijali nitajitahidi hata kwa mara moja kwa mwezi.kwani Napenda kuona WATAZANIA TUKIWA MISTARI YA MBELE KWA MAVAAZI HASA KWENYE SHUGHULI ZETU AU ZA WATU" GOD BLESS YOU ALL AND HAVE FAB DAY WADAU WANGU "(picha) kutoka kwa 8020 Fashion"

MISS FB FASHION POLICE SAY:

Hebu watizameni hawa Madada's jamani hivi walikuwa wanawaza nini wao wanaambiwa dress code ni Pink ,Yellow and Blue .wao watazeme hapa yani wamefika na mavaazi yao ya shughuli zao na siyo za mwenye shughuli hii Jane's " si hii nikumchafulia kabisa wewe waona tena na wakapanda juu na kutaka kufunika na jina kabisa na wrong rangi zao .

Tuanze na (wakushoto)  ndo basi kachafua kabisa yeye kachukua black dress kaongezea hicho kitambaa kilichobakia kwa mshono wa full dress ya nguo ambazo zilivaliwa in full huko ukumbini " au ndo mabaki ya fundi wa michoni ya nguo zile  yalobakia na kumdanganya tutakuongezea kitambaa hicho kwa bei sawa bure?!! My dear next time zingatia "dress code ni dress code "tafuta rangi hizo hata kanga zipo za rangi hizo zimejaa tele.wacheni kujiaabisha na kutuharibia shughuli za watu "

Tumaliza na (wakulia) huyo ndo nomaaa! aliwakaje na wrong rangi yake" huyu dada yani alitafuta mng'aro wake huo kwa makini sana ila kwa shughuli zake na siyo za hii shughuli ya dress Code Pink ,yellow and blue...yeye angetakiwa avae hiyo nguo yake ya Orange in Blue na hivyo viatu na handbag viwe orange..my dears mnapoambiwa DRESS CODE.JUENI NI DRESS NA SIYO "ACCESSORIES" sasa wewe ulituvalia Accessories dress code na ukahakikisha mpaka juu utapanda kufunika maandishi kabisa ya hii shughuli sijui mlikuwa mnataka paandikweje hapo palipowakilisha shughuli hii Jane's Kitchen Party"
"MBUTA NANGA!!!

No comments:

Post a Comment