KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Friday 25 May 2012

* IN YOU BEEN SNAP BLOG * WAPENDANAO WAGOMBANA BARABARANI NA KUPIGWA PICHA NA FLORA BAHATI LYIMO "TIZAMA PICHA ,SOMA MANENO YAKE HUKU UKIBURUDIKA NA HUU WIMBO WA Siwema by : Lady JayDee"



Leo lazima kijulikane "yani huyu kaka hapa alipigwa na pilo na uzuri wake hakuwa anamrudishia yeye alikuwa anatafuta namna yakusepa tu"

Hapa kaka kapigwa na pilo hiyo lakini wapi " yani natamani ningelikuwa na wapiga video badala ya camera,maana walikuwa wanazungushana zungushana hapo "
"chezea Flora Bahati Lyimo"

Una maana gani yakunidanganya nikakuvulia chupi na sasa hivi hutaki nikuvulie tena ,umempata mwengine eee" Tulipendana kwa uzuri na tuachane kwa uzuri kaka ee,haya rudi ndani hata unipe kwa uzuri tuachane kwa uzuri basi " ama unadhani ndo sitoweza kumpata mwingine tena wakunibeba haswaa ,wewe hata kunibeba mwanzo huwezi"ovyoo unachoweza ni k*t*mba tu"Hebu niambie siku ulonibeba,niambieeeeeeeee!! 

Hawa uwaonao hapa pichani niliwakuta njiani wanagombana yani huyo kaka haogopi huyo dada anaweza kumshika na mkono mmoja alafu akamrusha katikati ya barabara na kumalizwa na gari , yani huyo dada alikuwa na hasira katoka anamfukuzia huyo kaka nadhani hawaishi mbali na mtaa huu huyo dada muone katoka na vindala vyake vya ndani huku akimrushia mapa na mito lakini wapi kaka anazidi kusepa, Hivi inakuwaje mpaka mwanaume uanze kugombana na mwanamke wako ambapo wewe mwenyewe ushamdanganya chupi keshakuvulia huku unakwenda kumdalilisha mitaani wazunguka ukiwakatiashingo madada wengine mabaa unakesha nyumbani unarudi asubuhi ukiulizwa umetoka wapi hivi unasema umetoka wapi ? uwiii yani Mungu aniepushie wanaume hawa maana naweza jikuta nikipiga hodi polisi peke yangu kablahata hawajaambiwa na yoyote nilichomfanyia"
kaka kama vipi umeona mie sifai ondoka kwa uzuri tumalizane kwa uziri ,tulikubaliana kuvuliana nguo kwa uzuri na kwa hiyo yaishe kwa uzuri "lakini pale utakapo nidanganya danganya ndo hapo jamani kina mama wenye maendeleo yao na wasio na ukilema ULEMAVU waaina yoyote ndo hawawezi kuvumilia ujinga na uchafu wa aina hiyo" na hata kama una ulemavu wowote jua kwamba una haki yakutendewa vema ila kwa ujinga wako na tamaa zako unaweza ukajikuta ukitaapikiwa na ukala tena mpaka na mataapiko ya mke mwenza wajakutaapikiwa na wameza"kwa hiyo kina mama/dada fanyeni juu chini ikiwa huna ulemavu waaina yoyote yakukuwezesha wewe kumtegemea huyo mwanamme asokupa heshima unazozistahili .fanya kazi kuwa na hela yako yakuweza kujisimamia mwenyewe kwa vitu vyako vya kawaida"

Pole zake huyu dada ila mie hata sioni haja ya huyu dada kutoka ndani wamkimbiza huyu kaka barabarani ikiwa hajakuibia au pengine kamuibia""jamani kuna na wanaume wezi wanaiba wakipeleka kwa wale wake au mama watoto zao " ama kweli mapenzi ni balaaaaaaaaa!!! Ruwa Mangi"

6 comments:

  1. sorry kwani walemavu ndio wakuomewa wewe mbona mzima ulitemwa then ukarudiwa then ukatemwa je wewe mlemavu

    ReplyDelete
  2. hahhaaaaaaaaaaaaaaa yani flora nimechekaje kweli wewe kiboko na ndo maana sikosagi kupitia kwenye hii blog yako ya mipicha ya ukwee na mipasho usipime,keep it up miss fb

    ReplyDelete
  3. weraaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa,kweli flora hii kazi inakufaaa kwa camera hatukuwezi ,nimechekaje maandishi pichani ,eti walivuliana chupi kwa uzuri na wakiachanawavuliane kwa uzuri na waachane ..hahahahahaaa hiiiheeee,heeeehiii mbavu zanguuuuu

    ReplyDelete
  4. wewe anonymous 10:32 ,NAOMBA UNISOME TENA AU KAMA KAKUSOMEA MTU mwaambie akusomee tena ..NIMESEMA WALE WALEMAVU NA WANAOJIONA KWAMBA WAO NDO WAKUTENDEWA HAYO ..WAKUMBUKE KWAMBA.WANAUWEZO WAKUONGEA " kwa hiyo sijasema walemavu ndo wakutendewa .UPO HAPO " na hii fungia sandukuni mwako .MIMI SIJATEMWA NA SITAKAA NITEMWE ,KWANI MIE IM GET UP AND GO GIRL.simbembelezi mwanaume au hata kiumbe chochote,mwanzo sina muda na watu wasokuwa na mipango kuniharibia time yangu ..my time is for work au kukusambazia habari moto moto na mapicha moto moto hapa kwa my blog " YOU BEEN SNAP BLOG" mengi msoyajua ndo mnayalalia mijicho wazi ...mwanzao nilowatema mama watoto zao wanabidi wanishukuru sana ,,kwani nikiwaruhusu kuniona hata sasa hivi naandika hapa watakujaje fasta..nyooo..ukome na hakikisha umesoma hii au umesemewa vizuri" KUDADADEKI .NEXT TIME NJOO NA PICHA YAKO NA JINA LAKO WHY KUJIFICHA""

    ReplyDelete
  5. HAHAHAHAAAAA MPE MPE MISS LYIMO WA UKWEE. MANINA ZAKE. KATEMWA YEYE NA ANAJIDAI ETI WEE NDO UMETEMWA, WEE KAMA USINGEKUBALI KUMUACHIA ANADHANI ANGEKUWA NAYE NOW.
    NOW KAZI TU NA SI MANENO YASIONDA SHULE. MI PENDA WEWE MISS LYIMO
    BY BINT GULLAM

    ReplyDelete
  6. BINT GULLAM,umewaona eee,,,MANINA ZAO kwa kweli ,kwani wanataka kujua whats up with my LOVE AFRICAN KING RIGHT NOW.AND WATAJUA YALE NAYOTAKA WAJUE TU,,MENGINE WATAYALALIA JICHO MOJA WAZI NA KUFYONZA MPAKA MENO YOTE MIDOMONI MWAO YAWAISHE ..BUT THE THING IS I KNOW Hamna wakunitema mie..MTOTO WAKICHAGGA NIMEFUMBWA NA MAMA YANGU KISAWA SAWA..KUJITEGEMEA MUHIM NA KUMHESHIM MME /BOYFRIEND ASOKUTENDA ADHARANI KAMA ALIVYOTENDWA YULE NA WALE WENGINE WOTE..YANI MPAKA ANAHAM HOME NA BADO WAMPIGANIA KAMA SI ULEMAVU NDO NINI..NYOOOOOOOOOOOOOOOOOO.....MATAWI YANGU HAYASINYAI KAMWI KWANI NAJUA KUYAMWAGILIA MAJI NA KAMA SIYO MAJI BASI BARAFU KUYAYEYUSHIA..CHEZEA MIE.....IM GOD'S GIRL BY THEWAY""""

    ReplyDelete