KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Sunday 3 June 2012

* IN YOU BEEN SNAP BLOG * ROUND TABLE DISCUSSION FOR US NGO IN WASHINGTON DC 13/MAY /2012 KWETU FASHION DESIGNER BY: MISSY TEMEKE AND FABAK FASHION " SIKIZENI WIMBO HUU WA Uvivu ni adui wa ujenzi wa taifa" HUKU MUKITIZAMA PICHA ZA UBUNIFU WA MAVAAZI HAYO"



Missy Temeke (kushoto ) na Model wake " wa Kwetu Fashion "





Kushoto ni MH Balozi Mwanaidi Maajar ,nae alifika kuwapongeza na vile vile kuwaambia mawili matatu kwani hivyo ndivyo Tanzania inavyotakiwa kwa Viongozi au wenye FUNGUO za kuwafungulia milango Watanzania ambao wapo tiyari kutaka kuiona Nchi yao kuwepo kwenye mistari ya mbele kufanya" Weldone my dears""
"UMOJA NI NGUVU NA UTENGANO NI UDHAIFU" Na bila serikali ya Tanzania kuangalia na kuwashia Tochi Watu kama Missy Temeke ili waweze kufika wanapotaka kufika kwa ubunifu wao hatutasogea popote bali kuendelea kurudi nyuma"



















Asya of Fabak Fashion atuonyesha Urembo wa Vaazi alolivaa " ndo mambo ya Ubunifu na Ufundi"











Misosi ilikuwepo pia ,meno lazima yateswe kwa mbunifu !! "Mbuta Nanga"

Kushoto ni Mbunifu wetu Missy Temeke (Kwetu Fashion Designer) yani yeye hata hapo anaonyesha kabisa kwani hata kitambulisho chake kavaa tofauti hapo na wenzake" Weldone my dear wangu"keep it up kwani Taifa lakutegemea Wewe ,Mimi na Wale wote wenyekutaka maendeleo siyo kwao tu bali kwa nchi na Dunia nzima"

No comments:

Post a Comment