KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Monday 27 August 2012

*IN FLORA LYIMO BLOG* HAPPY PEOPLE HAVING FAB AUGUST SUMMER BANK HOLIDAY UK 2012 AT VICKY & JOSEPH MATONDAS HOME!! (Album 1) GORGEOUS WATOTO ZAIDI"!

 Mzazi lazima apate chakula cha moto na chakumfanya awe na ngguvu na watoto kujipatia maziwa ya mama kwa wingi" hapa MPORA anapata machalari kapikiwa na wifi yake Flora Lyimo" ...

 Yani hapa hebu mtizameni Mama wa Mapacha (Vicky ) kulia pichani hapa tumbo limekwenda wapi ...yani lazima niondoke hapa na hiyo siri " la" sivyo siondokiiii""



 SAY TOTOOOOOOOOOOOO.........TOOOTOOOOOOOO!!!





 Kama wataka mmoja wa mapacha hawa weka mkono juu" yani si mchezo Mapacha "





 Hahahhaaaa.yani unabahati sana jamani wewe ndo umeamkiwa hadi na kichekoo!! na mnafananaje na Nicole"
















Aunt Mary akiwaza akambebe Pacha yupi " jamani wote wakianza kulia sijui itakuwaje ama kweli nawapongeza sana Mama na Baba yao wanafanyakazi nzuri mno"na Mungu azidi kuwaongoza"














Happy people having FAB August summer bank holiday UK 2012" more photos to come so make sure umerudi maana zitakuwa za MAPOZI YA NGUVU "" 

2 comments:

  1. hongera sana joseph matonda na mkeo kwa wtt wazuri sana. mungu awabariki.

    faridah amependeza sana na wtt wake jamani, wamekuwa, mungu azidi kumpa nguvu na awe mvumilivu tu watoto wake wazuri mpaka raha yaani. hilo baba lao yaani sasa hivi ashaanza kuhangaika usifanye mchezo na radhi za mke ruwa mangi! linahangaika bongo kila mtu anamcheka sasa, ametapatapa kwa umalaya na sasa kaangukia kwa shangingi lile anakoma! chezea wanawake wa bongo wewe wanamkomesha jibabaa bwahahahaaaaaaaaa
    keep up faridah mimi nakupa hongera zangu nyingi sana, wewe ni mwanamke wa kuigwa kabisa, wtt unalea poa kabisa na wewe mwenyewe unatesa bila homa keep up mama

    ReplyDelete
  2. Hi there, I enjoу гeading through your post.
    ӏ like to write a little comment to supрort you.
    My blog :: africanmangoes.org

    ReplyDelete