KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Friday 16 November 2012

FREE CASH FOR EVERYONE"MBUTA NANGA!!



Yani kila ninapoona hizi FREE CASH ,huwa nakumbuka mtu mmoja rafiki yangu Facebook aliniinbox nakuniambia eti lakini nyie Flora huko majuu mnabahati sana ,yani mnachukua pesa kwenye mimashine bure bila hata kufanya kazi za kufagia barabara..Nilicheka sana na kumjibu kwa kweli siyo kosa lako wala la wale wote wanaosema na kuamini hivyo ,ni kosa la hao wanaoandika "FREE CASH " na ni maelezo ambayo yanafanya watu wazame baharini kwa kutaka kuja Majuu wakidhani kuna hizo mashini zakuwapa watu pesa bure bila kufanya kazi yoyote" Ruwa Mangi" I wish was like that..free money for everyone for nothing"

No comments:

Post a Comment