KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Saturday 17 November 2012

HIZI NDIZO ZILE PICHA HAWAKUTAKA MZIONE ,BUT FLORA LYIMO FASHION POLICE I WAS THERE NILIONA ,NA KUSIKIA NA MASIKIO YANGU HADI KUPIGA PICHA HIZI"

 Police wakijitahidi kuwarudisha watu (Kardashian's Fans)
majumbani na kuwadanganya kwamba hakuna cha Kardashian's tena the event is cancel mnapoteza muda wenu" go home"eti  kwasababu ya watu kuongezeka na kufanya fujo hawatakuja tena.masikini ya Mungu si wao ni mapolice ni lazima utawaamini maana huna uwezo wakuwasukumia kando na kusubiria kina Kardashian's ,Yani hata mimi kama siyo kukuwepo na mawasiliano na mmoja wapo wa DP.ningeamini na kurudi zangu moja kwa moja to Birmigham"Ila nilijua wanawadanganya na sikuweza kuwaambia chochote" POLE ZAO "



 Hapa fan's wa the Kardashians wamekaa wakilijiwaza where is next ,and what to do now mapema hii "hapa ilikuwa ni asubuhi saa mbili"


Im the Kardashians Fans let me out of here!!

 Yani yule kule kapewa kazi yakuwadanganya watu na kipaaza sauti chake kilikuwa hata hakisikiki kabisaa"
 The look say it all" hawa wote wangejua mpaka sasa hivi ni saa mbili asubuhi na hawatapata nafasi ya kuwachungulia the Kardashian " ni nomaa"

The look say it all.haturudi mpaka kieleweke,kwanini mkatudanganya kwamba hakuna watu kuja mapema kukesha hapa ?alafu tunafika tunakuta watu miatano washafika na kupewa viristibandi (wristband) vyenu" Waongo nyie na lazima mtulipe usafiri wetu na wakati wetu tumepoteza" Mbuta Nanga"

No comments:

Post a Comment