KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Sunday 13 January 2013

HIKI NDICHO KILICHO MPELEKA FLORA LYIMO FASHION POLICE NYUMBANI KWAKE MOSHI TANZANIA .JUBILEI YA DADA YAKE MKUBWA YA MIAKA 25 YA UTAWA PAMOJA NA KULIONA NA KULIBARIKI KABURI LA BABA YAKE MPENDWA ,SO WAS FURAHA NA HUZUNI 12-12-2012 KIJIJINI KWA JEUZWA MJINI .MBUTA NANGA!!

 FLORA LYIMO FASHION POLICE ,ROCKING MY OWN DESIGN, AFRICAN PRINTS DRESS"YANI NILIENDA DUKANI PALE MOSHI MJINI NA KUNUNUA HIVYO VITAMBAA PELEKEA FUNDI NA KUMCHOREA NATAKA HIVI NA HIVI " AND I NEED IT IN TWO DAYS" SO BUNI NI HOW MUCH I PAY FOR EVERYTHING"
Uwiii niliimwagaje sasa....was like OMG " Sitaki imagikeee""



 DADA LYIMO kushoto NDO MWENYE JUBILEI YAKE 25 YEARS  YA UTAWA"AKIWA NA MKARA WAKE"


Wapendanao ndo haooo..Wapende wachukie mwisho wa siku utalala"
 Hapana chezea Mjukuu Mkubwa wa Lyimo ndo huyoo" kiupande wa Dada's"

 Mjukuu mwengine wa Lyimo na mmoja wa walochukua jina la Flora Bahati Lyimo " so huyu ndo Bahati kama Mama yake Mkubwa!!



 Masista sikujua wanaringaga hivi ,yani hapana chezea wao kabisaa,mpaka wana na mtindo wao wakunywa vinywaji vyao vyakipatipati"
 Chezea Mdogo wake na Sista Maria Caritas " Yani hawa watoto Basilei ni nomaa wapende wachukie mwisho wa siku UTALALA!!

 Vimalaika vilikuwepo pia ,yani hawa ndo mchanganyiko wa Shangazi na Mama Mkubwa wao"
 Vimalaika vikipeleka Mau kwa Shangazi na Mama Mkubwa wao ,THANKS TO MY FAB FRIEND RUTH JOHN" WE LOVE YOU SANAA!!

 My Ruth John mwenye nguo ya Brown"ndani ya Flora Lyimo Fashion Police Home.karibu sana kwa Wakolyimo my dear,"

 Vimalaika vya Wakolyimo vikaanza kucheza na kuimba ,chezea wao " so so Proud of them ,Na Sista wao anawapenda kupita maelezo!!
 Meza Kuu ndo hiyoo" si mambo ya Vijijini ni Mambo ya Mjini /vijijini" thanks to mdogo wake Sista wa Jubilei ya miaka 25 Flora Lyimo Fashion Police ,wa Ulaya!
 Flora Lyimo Fashion Police ,akionyesha mazito live kutoka Ulaya hadi kijijini kwao Kilema ,chezea yeye ,,sasa Masista walibakia kusema,Yesu na Maria" wewe siutaangusha hiyo Champagne na niya mahela mengi hivyo " hahahhahaa.." Ruwa Mangi " I have so much funny with my Family and Friends hasa Masista na Mapadri kwa mara ya kwanza Maishani mwangu" Whats a Blessing at our Home!! Ruwa Aika Mbee"
 Sasa MC kaniambia niipeleke chupa kwenye meza zote ili ikashuhudiwe sijui ndo ipewe na baraka" yani i was like mmm...sijawahi ona hii ni mpya yakupeleka champagne  kuwekewa mikono kabla haijafunguliwa" Mbuta Nanga" nilizungukaje meza karibia zote sasa!!

 Mwaiona eee,,ni Champagne ya ukwe..ila" sijaja nayo Ulaya kama wengi walivyodhania,yani Ukiwa Ulaya Kila kitu ni umekitoa Ulaya" hahahhaa!!
 MC,akitoa oda kwa Flora Lyimo Fashion Police,kabla hujaifungua naomba uipeleke kwenye meza fasta fasta waione alafu urudi uje kuifungua" I was like,,mmmm" hii mbona kazi sana bila mshahara,Mmesema hamjui kufungua Champagne ,nikajitokeza kuwasaidia na sasa nikaizungushe na meza zote pia??"  si nyie nawalipa na mimi mnanilipa"..hahhahahha!! was a joke"

 Masista wangu changamkeni leteni glasi zenu fasta fasta...Ruwa Mangi"Mbege inapokaaaa"wacha washangae!!


 Sasa hapa ni Meza Kuu ya Mapdri peke yake,,walinichekeshaje sasa..Uwii hadi nikatamani kuwa Sista nikakae nao wanichekesheee..eti,NUMUEUSI NECHA NDAO ULAKUCHUBUO "Ruwa Mangi"

 Fungua Fungua fasta fasta  ..watazinywaje leo ""hadi waziogee kabisaa"Mbuta Nanga"







Napenda kumshukuru Mungu sana na Mama Yetu Bikira Maria,jamani hakuna jambo jema huku Duniani kama Kujua Mungu anazisikia Sala zako ,kwa kukuwezesha kuyafanya mambo yako kama ulivyoyapangia..Ndiyo " nakubali kuna maadui wengi sana wapo namimi kila upande lakini  kwa sababu mimi ni Mtu wa Mungu na nina Imani hiyo yaliwashinda" yani Mpaka NDEGE ILINIACHA LAKINI NIKAKATA TIKITI NYINGINE HAPO HAPO NA NIKAENDA HOME NEXT DAY "LAZIMA NIKASHEREKEE SIKU KUU HII KUBWA NA YA KIMUNGU MUNGU NA BARAKA TELE AT OUR HOME ,AND YES SHE IS OUR ONLY BIG SIS" DADA YETU MKUBWA " AND you know what wakati Ndege ilitua nilibakia wa mwisho kushuka huku nikilia machozi ya Furaha" God is Great All the Time"" Msikose kumuomba kwa Kila jambo kwani SHETANI LAZIMA ASHINDWE KATIKA JINA LA YESU !!
Narudia tena Maadui kaeni Mbali sana na hii familia ya Lyimo .Flora Lyimo Fashion Police ni Mtoto wa Mungu na Alotoka kwenye Familia inayo muomba Mungu na kumtumikia Usiku na Mchana ,na Ukiona kitu Kimenishinda jueni hakijabarikiwa" Tazameni hii ni moja ya mfano ,hapa tulipofanyia sherehe hii siyo Mjini ni Kijijini kwetu kule Kilema.Wakati huyu dada yetu mkubwa Sista ambae ndo mwenye hii Jubilei yake hapa Nyumbani kwetu ya miaka ishirini na tanu ya Utawa yani ya USISTA" watu walikuwa wanatucheka sana,tulikuwa hatuna  Nyumba ya (BLOKU)tulikuwa tuna kanyumba ka UDONGO " na tulikuwa hatujui hata Godoro nini" you know " so wakasema anasomea Usista wa kitu gani wakati wasichana wenzake wanakwenda mjini Dar ,kutafuta kazi na kuolewa na wanaume wenye hela.Lakini Dada yetu pamoja na sisi wote hatukutaka kumkatiza Imani yake ya kuwa Sista ..aliondoka nyumbani na kuishi huko uparokeani na hatukumuona tena home mpaka tukaja kuambiwa anapata Usista" Sasa wanamuona huyo hapo LEO KAWALETA MAPADRI HOME NA MASISTA WENZAKE WAKUTOSHA KUSOMA MISA NA KUSHEREKEA SIKUKUU YAKE MUHIM NA WALE WALE WALOKUWA WANATUCHEKA ,LEO HII NDO WAMEKUWA WAKWANZA KUJA KUTUPONGEZA NA WENGINE WAKAONA AIBU HATA HAWAKUDHUBUTU KUSOGELEA GETINI" NA Ile Numba ya Udongo sasa hivi haipo zipo za Bloku na siyo moja wala Room Moja " Zipo zakutosha na zakuridhisha Familia ya Lyimo na wageni wao .Jamani hakuna kama Mungu na Hakikisha unapo OMBA MUNGU AKUPE KITU FULANI " UNA MUOMBA KWA NIA NA UTAKIPATA TU"" HAKUNA ALOKUWA ANA MUOMBA MUNGU ,KULALIA MAGODORO NA NYUMBA ZA BLOKU KAMA MIMI" SASA WALAHI NA LALIA MAGODORO MAWILI IN ONE BED" RUWA MANGI  AIKAMBEE" BILA KUSAHAU ,MAJI YA BOMBA,UMEME,TV .......ETI KULE VIJIJINI WATU TUNA MPAKA TV...NA MACHOO YA NDANI TENA YAKUKALIA" KIZUNGU ZUNGU ZAIDI" HAHAA,WACHA NIISHIE HAPA JAMANI ,MIE NAJIVUNIA JASHO LANGU NA SIYO LA MWANAUME WA MTU TAJIRI ,NA KULILISHA MKE /WAKE ZAO NA WATOTO WA WATU BUREE"(Nilishaapa sitaki tena kudanganywa mie,nilishadanganywa la kutosha) I KNOW  MALIPO NI HAPA DUNIANI AISEE NDO MAANA MWAKA HUU 2013 NIKASEMA NITATENDA MEMA TU,,KWANI KUNA WENGI TUMEWAZIKA NA TULIKUWA TWALA NAO SAHANI MOJA AU KUWASIKIA MITAANI NA HATA KWENYE  MITANDAO " HAINA HAJA KABISA KULILIWA KWA SABABU YA KUMDONOA MME WA MTU /NA MME WA MTU AKIKUJIA MWAAMBIE AJE NA BARUA  YA KUTOKA KWA MKE WAKE AU MCHUMBA WAKE" ALAFU  KAMA ANAKUAMBIA HANA NA ANATAKA KUKUOWA ,ASIANZE KUKUAMBIA UMPE HELA ZA BIASHARA AU ZA KUFUNGUA OFISI" JUA HAO NDO MATAPELI WAKUBWA ,Na jua hata Kinadada wapo matapeli pia,wanavizia wanaume wenye Hela na wapo tiyari kubadili dini zao au hata kufa kwa magonjwa yoyote ili mradi KAOLEWA NA MME MWENYE HELA ,ATAMPA KILA AKITAMANICHO NA ATAMPANDISHA KWENYE NDEGE NA KUMLETA ULAYA AU KUMPELEKA POPOTE NA NDEGE,KUTOKA KWENYE KIMJINI KAKE ANAKOISHI" NANYIE WANAUME PIA MSIDANGANYIKE NA HAO KINADADA/NA SINGLE MUM'S" HASA KAMA WAPO TANZANIA NA WEWE UPO MAJUU" USIDANGANYIKEEE" NA VILE VILE JUENI HAKUNA MAPENZI YA MBALI YA UKWELI " ETI WEWE UNAISHI UK NA MWENZIO ANAISHI TZ " HAYO YATAKUWA MAPENZI YA CHUMA NILETEE"ANYWAY ,USIKOSE KURUDI APA TENA KWA MAPICHA NA MAMIPASHO YA UKWELI HAPA HAPA KWA YOUR ONLY ONE BLOG YA MAUKWELII "
*FLORA LYIMO FASHION POLICE BLOG*
FOUNDER"

I MISS YOU MY WAJINA ...JAMANI UKAJA LONDON NAMI NIKAWA SIPOO"STAY BLESS ALWAYS AND I KNOW MY TIME WILL COME TUTAKULA MACHALARI PAMOJA!! RUWA MANGI"

No comments:

Post a Comment