KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Friday 22 February 2013

AISEE ..KUDADADEKI PISTORIUS GRANTED BAIL" BAADA YA KUSTAKIWA KWA KUMUUWA GIRLFRIEND YAKE ON VALENTINES DAY 14/2/2013.WHATS A JOKE" I HOPE NAE AULIWE KWA KUZANIWA NI KA MBWA!!


 


Statement: Pistorius also said that he was 'deeply in love' with his girlfriend and that she had bought him a Valentine's Day present
Charges: Prosecutors believe that Reeva Steenkamp sought refuge in the bathroom after arguing with the athlete dubbed Blade Runner " FLFP> nikweli kabisa inaonekana zile kelele zilikuwa za ugomvi wao na Mdada wa watu alipoona hasira zimemzidi boyfriend yake ndo kaamua kwenda chooni kujificha huko au hata kujituliza ili aweze kulijiwaza what to do next"


The Paralympian is now nervously awaiting the decision of the magistrate who will announce this afternoon if he can be freed before trial or if he has to remain in custody.
First round: Oscar Pistorius has won his application to be released on bail until the start of his trial for shooting dead girlfriend Reeva Steenkamp"
Flora Bahati Lyimo ,say: Kudadadeki yani ninahasira na wewe kidudumtu Oscar..now I just hopen Reeva gets justice" kwani dam ni nzito kuliko maji"  and again im sure kama ingekuwa ni UK au mahali penye sheria za ukwe,,pasipo African usingepewa Bail kabisa" he shouldnt have gotten bail even if was in US"  What you think people,,have your say"


Step by step: Pistorius' account of how the events unfolded at his upscale Pretoria home on Valentine's Day
Step by step: Pistorius' account of how the events unfolded at his upscale Pretoria home on Valentine's Day"


Kama huku siyo kuwazarau familia ya Girlfriend yake ndo nini..yani haiwezekani mtu unamuuwa your Girlfriend upo nae ndani mmelala na kudhania kwamba alikuwa mwizi kaingia chooni " hebu msikize alishuti baada yakusikia kelele chooni ,ningependa kujua hizo kelele zilikuwa za aina gani ? na je ni kwanini huku muita your Girlfriend na kujua yupo wapi kwanza kabla ya kuanza kushuti,,na je ,huyo Girlfriend hakuweza kusema ni yeye yupo chooni wakati wakurusha buleti moja  kabla ya hiyo nyingine na nyingine ? so aliwezaje kumuuwa kwa kumshuti mara tatu ?na je huo mlango ulikuwa wa aina gani ambao mtu unashuti na kumlenga moja kwa moja na bila huyo mtu kujikinga hata kukaa pembeni kidogo na mlango au hata kulala chini ? yani kwa kweli haiwezekani hakukusuudia kumuuwa mdada wa watu ..na isitoshe majirani walisikia kelele then shot"you just have to look at the size of the house and what he said he did and hear and not knowing she was not in bed baada ya kurudi chooni...is just not add up at all"" so asiwafanye watu ni wajinga ..kauwa na asingetakiwa awe huru kabisa,,and kama hatajiuwa yeye mwenyewe ,atauwa mwengine na kujiuwa yeye mwenyewe  au kuuliwa na mtu anayejisikia uchungu wa huyu mdada"" kweli nimechukia sana mimi mwenyewe kusikia kapewa hiyo bail..hii inaonyesha kwamba Dunia imekwisha na watu tunaishi kila siku haki zetu zikipungua na kuonewa na wenye mamlaka ya maamuzi na vile vile masikini au asiye star kuonewa kwasababu ya udhoofu wake alonao..sawa na pale mtu pia ana rape alafu unasikia kwamba his cute he cant rape her ,hes got a good job he cant rape or kill her..KUDADADEKI..I HOPE NAE ATAJIUWA AU AFUNGWE KIFUNGO CHA MAISHA!! FLFP"

No comments:

Post a Comment