KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Sunday 17 February 2013

KISOMENI KITABU HICHI KABLA HUJAKINUNUA KITABU CHA ~FLORA BAHATI LYIMO ~KUHUSU MAPENZI YAKE YA INBOX NA AFRICAN KING " TRUE STORY PAGE AFTER PAGE!!

NATUMAINI HAMJAMBO POPOTE PALE MLIPO" 
Nimeona niwawekeeni mistari ya kitabu changu kabla hamjakinunua page after page mpaka pale nitakapoweza kuwapostia hapa kwenye hii blog yenu ya mishapo ya ukweli mtupu . Ila samahanini kutakuwa hamna jila lake huyo African King ,kwani nimeliblock kama nilivyo mblock mwenyewe ,sasa basi jina lake nalitumia kama Mr Block" Ambacho nitapost inbox za mazungumzo yote kama yalivyokuwa hapo mwanzoni mpaka mwishoni True Story yani na siyo yakukosa kusoma utajifunza mengi na pia kuepuka mengi au vile vile kucheka na hata kulia"Asante na karibuni sana kunisoma" Ila kitakuwa na mchanganyiko wa Luga "yani mazungumzo ni matam yakisomwa kama yalivyokuwepo kwenye mazungumzo yetu live"

SO KITABU KINAHUSU NINI  NA KINAITWAJE?
INBOXLOVE TRUE STORY "By: Flora Bahati Lyimo"
The Book is about nilivyodhania nimempata mwanaume wakunifaa siku moja tuwe mme na mke na haswa yeye kuwa my African King but only to find out he was a Con Man" Mbuta Nanga!!

PAGE ONE 13 march 2009
Mr Block >Hello 
Liverpool fan ? guess so ,you made a perfect choice ,mambo?
Miss Flora Bahati Lyimo >Oooo yes !! na kesho ni kesho ,mambo poa my dear vipi huko mlipo mwatunyima nini huko?na wakaa Liverpool au ? anyway am just going out clubbing ,so kesho nitakuwa hewani nikishabikia my Liverpool brothers lazima washinde kesho"
Mr Block>14 march 2009
Very well,nafurahi kusikia hivyo mi pia nasubiria kuona tutakavyoshinda ,siko Liverpool niko Hong Kong , huwa nakuja kujifunza biashara kidogo, hope you had a great time clubbing you stay well and I hope to hear from you again soon"
Miss FBL> 15 March 2009"
Salam my dear,natumaini hujambo na huna hungover niliyonayo kwa sasa hivi ,yani nina hungover mbaya mno wewe acha tu ,Anyway sasa makao yako ni wapi my dear ? mimi mtu wa Moshi Kilimanjaro kwenyewe,pole hata nashindwa kuandika hapa najitahidi naona kama nitataapikia my laptop,wacha nijaribu kwenda kulala baadae basi na nakutakia Jumapili Njema"
Mr B>16 March 2009"
Mimi sijambo kabisa naendelea vizuri tu asante na pole sana kwa hang over ,ulikunywa nini hivyo ? badili hicho kinywaji basi tumia chepesi kidogo utaumia sawa' Mimi niko Dar es Salaam ila nikuambie kitu? katika sehem nilizopanga kuweka makazi yangu ya kudumu ni Moshi ,ninapapenda sana sijui kwanini ,yani nilikaa kwa rafiki yangu karibu na KCMC mwaka jana kwa muda wa miezi mitatu nikapapenda mno ,nikiweka sawa mambo yangu nitaenda kuishi kule ,unaendeleaje ?kunywa maji  mengi upumzike vizuri ,utakuwa okay in no time"
Miss FBL> 17March 2009"
Thanks God the hung over is over now" Nice to hear from you again my dear ,yani kwa kusema kweli mimi siyo mnywaji wa Whisky na nilikuwa nakunywa whisky kama maji na sikujui kwamba huwa inamchukua mtu taratibuuuuu,yani mimi huwa nanywa wine au champagne na hata siyo mnywaji sana .Ila sasa hivi nakunywa kwa ajili ya mahasira niliyonayo kwani hutoamini nimeachishwa kazi mwaka huu na mwaka jana nimeachana na boyfriend wangu wa miaka  saba ,na hivi sasa naishi mwenyewe na sijazoea kuishi mwenyewe yani siwezi maisha haya kwa kweli yakukaa peke yangu na huku sina kazi kwa hiyo kwa mahasira I just go out sana sasa kwani sioni hata haja yakukaa hum ndani kabisa peke yangu ,I just don't see the point of stay at home with the t v ambayo ndo ina mtu/watu wanaongea na huwezi hata kuwaongelesha'alafu marafiki nilinao ndiyo tena wanafamilia zao na wengine wanaishi mbali namimi yani ni balaa but that is my life now,sasa anyway karibu sana Moshi kweli pale ni pazuri sana na hata mdogo wangu ameolewa pale Mjini .Good luck with everything you plane to do my dear.

HABARI INAENDELEA USIKOSE KURUDI"




7 comments:

  1. If some onе desireѕ exρert viеw regаrding running a blog then i rеcommend him/her to
    pay a visit thіѕ webρage, Keep up the good ωoгk.


    Also visit my ωeb blog ... tube81.net

    ReplyDelete
  2. I am really grateful to the owner of this website who has shared this fantastic article at here.


    Also visit my website; online forex currency

    ReplyDelete
  3. Good luck with your book I cant wait for the next page's" when it comes to love ,should you listen to your head,your heart,or your best friend? miss flb bless you it look like you did listen to your heart"

    ReplyDelete
  4. nyie wote mnaonekana washamba wa moshi nani asome ujinga wenu.msuyooo!

    ReplyDelete
  5. peleka ujinga wako kule nani akusome muiba wanaume wa watu ,nyoooo tafuta wako na siyo kupoteza muda kutuandikia uchafu au utatuandikia na vile ulimponda jestina george// muke ya meru nae ataandika cha kwake alivyo waiba wanaume za watu na maharusi za fasta fasta yetu machoo"

    ReplyDelete
  6. First of all I would like to say superb blog! I had a quick question which I'd like to ask if you do not mind. I was interested to know how you center yourself and clear your head prior to writing. I've had a difficult
    time clearing my thoughts in getting my ideas out. I truly do take pleasure in
    writing but it just seems like the first 10 to 15 minutes tend to be wasted simply just trying
    to figure out how to begin. Any ideas or hints? Many thanks!


    Also visit my web blog www.dexhamilton.com

    ReplyDelete
  7. Searching stumbleupon.com I noticed your website book-marked as: Blogger:
    *FLORA LYIMO FASHION POLICE BLOG* OF 2011 IS NOW INTRODUCING FLORA LYIMO FASHION POLICE " BEWARE".
    I am assuming you bookmarked it yourself and wanted
    to ask if social book-marking gets you a lot of targeted traffic?
    I've been contemplating doing some book-marking for a few of my sites but wasn't certain if
    it would produce any positive results. Thank you very much.


    My web blog: electronic circuit boards parts

    ReplyDelete