KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Saturday 9 March 2013

GOOD NEWS'MUNGU NI MWEMA FLORA LYIMO KAHAMA MARKET ,HAYUPO LIVERPOOL STREET ANYMORE' KWA WALE (WABONGO)MLOKUWA MNAKUJA KUNICHUNGULIA BILA KUNUNUA SASA KARIBUNI KUJA KUNICHUNGULIA NA HAPA OXFORD STREET LONDON!! THIS TIME NUNUENI JAMANI POSH MJI MKUU HAPA ' MBUTA NANGA!!

 Hapa ndo ndani Dukani Oxford Street London,yani kunapatikana vitu vingi sana kwenye hili duka for he and her na House of Flora ndo kaingia kujiunga na wenye Biashara Mtaa wa wenyewe watalii zaidi na watu wanaokwenda kushop na siyo kuchungulia mafanikio ya wenzao"


 Hapa ndo mpango mzima wa kuyangalia Dukani ni ya weke wapi na yanaendana na sehem ipi"
 Nguo pia zipo ,viatu pia vipo vya Wanaume na Wanawake"



 Nguo kwa bei powa sana ,yani ni sawa na Market bei yake haina tofauti ,ila Mabeg na Viatu ndiyo vina bei ya juu ,tena bora niwaambieni ukweli mabeg yangu hapa ni £40 Pound" so bora usinunulie hapa Dukani uagize kupitia kwangu ili nikuuzie kwa ile bei yangu ya Jumla au reja reja ya Mkopo Express"
 Hapa ndo at my Blessing Home,nikihamishia vitu Dukani baada ya kujiondoa Market" yani Mungu ni mwema kwa kweli kwani nilikuwa najichokea hiyo kazi ya kupanga na kupangua siyo mchezo asikudanganye mtu its a hard work ever'but now naweza kukaa na kuhesabu pesa zangu bila kuhema kama vile nimepanda Mlima Kilimanjaro'Mbuta Nanga!!

 Kuhama siyo kazi ndogo jamani alafu just peke yangu bila hata msaada,kwa hiyo mkiniona nikipanda Black cab zangu na machampagne yangu niacheni ,I work hard for it"
 Mnasemaje mpangilio wangu huu,,umetulia ee,,,karibuni sasa kununua ila hapa ni cash ,pesa mbele kwa mbele nipe nikupee!!




GOOD NEWS WIKI HII YA 08/03/2013 KWA WAKENYA PIA 'KWA WALE MLOKUWA MME MPIGIA KURA RAIS UHURU KENYATTA HONGERENI NA KWA WALE HAMKUMTAKA POLENI" NOW ENJOY HUU WIMBO WA JAMNAZI 'RIZIKI" NAUPENDAJE SASA!!
BAADA YA KAZI NI KUJIBURUDISHA KWA MOJA BARIDI NA KAMZIKI KAKO KWA MBALII...YANI KWELI HAKUNA KAMA MUNGU JAMANI NILIKUWA NAOMBA SANA KILA NILIPOKUWA NAENDA HUKU MADUKANI OXFORD STREET LONDON ,SIKU MOJA NIJIKUTE NA MIMI HUKO NIKIUZA VITU VYANGU HASA MABEG YANGU ,NA SASA SIAMINI ETI HOUSE OF FLORA IMEJIUNGA NA WENYEWE IN OXFORD STREET" MTAYABEBAJE MABEG ,NGUO ,VIATU VYA KIUME NA VYA KIKE " YANI HILI DUKA LINA MAMBO YOTE""WACHA NIKALALE SASA MAANA IM SO HAPPY" KARIBUNI SANA..KWA HABARI ZAIDI,WHATS APP +44 7787471024" ALL WELCOME/KARIBUNI"

3 comments:

  1. Hongera mdada we are so PROUD OF YOU"

    ReplyDelete
  2. Mungu ni mwema kweli dada flora,unaroho nzuri na ndiyo maana ukatoka market na kwenda mji mkuu uk ,,hao wanakuja kukuchungulia waache wazidi kukuchungulia hadi kwenye black cab next time tupigie na picha ukiwa unazinywa champagne zako ndani ya Limo ukienda oxford street kuuza handbags mbuta nanga"

    ReplyDelete
  3. jg muke ya meru9 March 2013 at 15:44

    mibegi yako michafu kama wewe mwenyewe anunue nani 'mbuta nanga" ha hii usiache kuipost flora nakuchukiaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa"

    ReplyDelete