KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Wednesday 27 March 2013

PARISH OF OUR LADY AND SAINT JOSEPH 24/03/2013 ON PALM SUNDAY"


 I Love this Church yani linanikumbusha sana kanisa letu kule Kilema 'Uchaggani" ambapo nilikuwa ninasali kila Jumapili na Shughuli zote kufanyikia hapo kwa full miaka kumi na tano"

 Jumapili hii ilikuwa nikuomba tu" kwani nivema kabisa kuja hata kama kwa juma Pili moja kuja kujumuika na walimwengu kusali pamoja na kumuwaza Mungu kiundani na kivingine"



 Maji ya Baraka Mlangoni,hutumiwa wakati unapoingia Kanisani na unapotoka "

 Flora Lyimo akisali Rozari yake" Salam Maria umejaa Neema ,Bwana yuu nawe ,Umebarikiwa kuliko wanawake wote na Yesu mzao watumbo lako amebarikiwa"
 Flora Lyimo a.k.a. Muke ya African King'Akisali Rozari yake"Maria Mtakatifu Mama wa Mungu ,utuombee sisi ni wakosefu 'sasa na saa ya kufa kwetu Amina"

 Mbele ya Altare ya Bwana" Nitajongea Altare ya Bwana,na kumtolea sadaka ya shangwe"
 Padri wetu akitoka Misa baada ya kumalizika" Neendeni na Amani" Tumshukuru Mungu"
It was Palm Sunday na kanisani kulijaaje sasa" yani huu niupande mmoja na wa pili (kulia)ulikuwa umejaa hivi hivi " I love the Church kwani nikiwemo hum najisikia kana nipo kanisana na hasa Kanisa langu kule nyumbani Tanzania Moshi Kilema Kilimanjaro ambalo ndilo nimekuwa nikilienda tangia utotoni mwangu mpaka nilipokuja huku UK''
ENJOY WIMBO HUU WA BIKIRA MARIA"
Na usisahau kuisali Rozari yako na Kuiweka kwenye Beg lako ili unapokwenda popote inakuwa ipo nawe na kukulinda" kwani pia huo ndiyo Ufunguo wetu wakuingia Mbinguni~Mama Bikira Maria"

No comments:

Post a Comment