KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Tuesday 12 March 2013

ZAWADI YA MOTHERS DAY"THE PERFECT GIFT TO GET YOUR HUBBY KUKUNUNULIA AMBAYO HAIOZI WALA KUSINYAA" VICKY MUKE YA JOSEPH MATONDA HANDBAG CHOICE!!

Vicky a.k.a. MAMA WAWILI showing off her surprise Handbag zawadi kutoka kwa her Hubby for Mothers Day at her Blessing Home"



Alilifurahiaje Beg lake kutoka kwa her Hubby " what a Surprise" handbag linakuja na cake"Flora Lyimo Fashion Police ,anaweza kuficha Surprise mpaka on the day of it kutokuwa surprise tena,so ukiwa una kasurprise chako wewe nijulishe anytime!!

Hot and Must have Black handbag from HOUSE OF FLORA"
Hot and Must have Green handbag from HOUSE OF FLORA"

Vicky Muke ya Joseph Matonda Mothers Day Surprise zawadi from her Hubby & her Wifi wa Ukweli Flora Lyimo"  WE LOVE HER SO MUCH "
FLFP:Say>Mimi kwa maoni yangu juu ya zawadi kutoka kwa Waume au wapenzi wenu kina Mama/Dada ni bora muwaambieni kitu mnachokipenda on that day ili kumrahisishia mahangaiko ya kuumiza kichwa chake kukutafutia zawadi na mwisho wa siku akaamua kukununulia Maua au kitu ambacho hujakipenda na huwezi kumuambia maana unaona aibu na kuogopa kumharibia upendo na choice yake alokuwa nayo kwako..Cha muhim ni kufanya kama vile Wifi yangu alivyofanya.(ANGALIA ASIJEONA HII SIRI YAKE NAWATOBOLEA" MBUTA NANGA") Yani yeye kamuambia Mme wake kwamba she dont want mau she love Handbag aloliona kwa House of Flora lakijani kwa hiyo anaomba amnunulie hilo begi" you know wakati mme wake Joseph Matonda aliponiagiza hilo Handbag I was so Happy and Proud of Him'' Also I was like,yess..that is how  Watanzania tunavyotakiwa kuishi'kupendana na kuwa na UMOJA" yani ona alivyoniunganishia ,si angeweza kwenda kununua begi la aina yoyote popote,na siyo kwamba hayapo yapo mabeg yanauzwa kila upande..ila chaguo na kupata la kudum ndo hapo utakapojikuta Beg linakubeba badala ya wewe kulibeba beg lako" Anyway  ni hayo tu kwa leo UKIHITAJI HILO HANDBAG LA VICKY .WEWE NIPIGIE SIM AU WHATSAPP +44 7787471024" NA ZINGATIENI UPENDO TUPENDANE NA KUUNGANISHIANA KWENYE BIASHARA ZETU KAMA WENGINE" NA KAMA MR JOSEPH MATONDA NA MKEWE VICKY WALIVYOFANYA"
God Bless " Ruwa Awatarame "

No comments:

Post a Comment