KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Monday 8 April 2013

FLORA LYIMO ATOKA KUITEMBELEA WANAWAKE LIVE BLOG" AND OMG" TEMBEA UJIONEE" I LOVE JOYCE KIRIA STORY" NIKAMA ALIKUWA ANANIONGELEA MIMI" MBUTA NANGA!!


WIKI HII TENA TUNAMALIZIA KUKATA KIU YAKO YA KUTAKA KUFAHAMU MAMBO TOFAUTI YAHUSUYO VITI MAALUM BUNGENI HUKU BADO WENGI WETU TUKIWA TUNAJIULIZA MAMBO KADHA WA KADHA WAHUSIKA WAKO STAND BY KUTUJIBU YOTE YALIYOSALIA .... UNGANA NASI


 Ahadi ni deni nae super woman yuko tayari kuhakikisha anatekeleza kile alicho kuahidi si kingine bali ni mwendelezo wa yale usiyo yafahamu kuhusiana na viti maalumu vya bunge kwa wanawake"


 Mh. Halima Mdee akielezea ni kwa namna gani nia yake ya kutoka kwenye viti maalum na hatimae kushinda jimbo la kawe ilifanikiwa huku akiwasihi wanawake kuacha kupenda vitu vya kupewa bali wapiganie haki zao


 Mh Esther Bulaya akikana kukutana na kikwazo cha rushwa ya ngono bali anadai kutumikia kwake umoja wa vijana wa chama chake CCM ndiko kulimuaminisha kwa wajumbe mpaka wakamteua awe mbunge wa viti maalum"



Wote kwa pamoja wakilishambulia jukwaa la wanawake live kila mmoja akitoa experience na kuweka uwiano pale kwenye mitazamo hasi ya wanajamii"


Mchanganuzi wa masuala ya ushiriki wa uundwaji wa katiba mpya ya Tanzania dada Festa Andrew kutoka TGNP nae akimalizia kuainisha mitazamo tofauti ya wananchi juu ya namna gani wanawake wangependa wawakilishi wao wa viti maalum wapatikane.





Kwa Nini Wanawakelive:Flora Lyimo say:hii ndiyo habari ilonifanya nikajiona ni kama ananiongelea mimi" yani Maisha ya kuanzia House Girl na kujikuta sasa hivi naita Ulaya -London my Home for Good is just A DREAM" na bila kusahau ninavyowaangalia Ndugu zangu kule nyumbani Moshi" na isitoshe Mimi pia ni Mtoto wa Saba" But sie tupo wengi" hatupo Saba" but the number inahusu"ANYWAY  PLEASE MSOME DADA YETU HAPO CHINI'PIA KARIBU KUITEMBELEA BLOG YAKE'CLICK HIYO PICHA YAKE AU HAPO WANAWAKE LIVE"


My Photo
Dar es Salaam, Tanzania



Jina langu ni Joyce Kiria Mimi ni mtoto wa kwanza kwa familia ya watoto saba. Kama mtoto yeyote yule nilikuwa na ndoto za kufaulu katika maisha. Hata hivyo karibu ndoto zangu zididimizwe na kitendo cha ukatili (..) nilichofanyiwa nikiwa mtoto. Katika umri wa 14 ilinibidi niache shule, Umri wa miaka 15 nilianza kufanya kazi za ndani ili kuwasaidia wazazi wangu kuikimu familia yetu. Kuacha kwangu shule kulinitia machungu, Ila sikuacha hili kuwa pingamizi la kufikia Ndoto yangu. Leo hii nasimama mbele yenu kama mfano mzuri wa mfanyakazi za ndani (house girl) aliyekataa kuikubali hali ya kuididimiza NDOTO yake. Yale niliyoyapitia nikiwa Mtoto, Mschana mdogo na Mwanamke yamenisababisha kufanya uamuzi wa kuleta utofauti katika maisha ya watoto waschana na wanawake kupitia Wanawakelive na HAWA Org. Blogger: +255753787126 E-mail Address:
wanawake2012@gmail.com
 

No comments:

Post a Comment