KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Thursday 23 May 2013

BY: FLORA LYIMO ~WISH UPON A STAR IN AID OF MAKE-A- STAR FOUNDATION (R) UK" ILOANDALIWA NA MAMA BALOZI JOYCE KALLAGHE ON 22/05/2013 NA KUHUDHURIWA NA BAADHI YA MAKAMPUNI MAKUBWA YAKIKUWEPO SERENGETI FREIGHT FORWARDERS LTD WAZEE WA KAZI"

Kuanzia kushoto ni Mama Balozi Joyce Kallaghe na Support yake Mkubwa Flora Lyimo "a.k.a. Fashion Police Blog CEO/Founder " wakiwakilisha Kikazi zaidi" 
Wapendanao ,nampendaje Dada yangu wa Ukwe'a.k.a. MAMA Balozi Joyce Kallaghe"
Flora Lyimo your  Fashion Designer nikiwa na One or my must have for Charity 'Knit handmade Handbag"  wasiliana nami kulinunua au kukutengenezea la kwako kwa rangi zako na kumbuka all the found is to go to my Charity pamoja na zile zinginge nazozisaidia pia'WhatsApp +44 (0) 7787471024 or Email: flo1974@btinternet.com Flora Lyimo Stop Rape and Rap Charity"



MR & MRS Balaozi Khalagher na Mkewe kwenye Picha ilopigwa na Flora Lyimo bila kujua nawafyetua'I love Picha za kustukiwa" yani zinasema vizuri zaidi kuliko zakujiandaa" 
 Happy Chris Lukosi  Mzee wa Kazi" kicheko chake chasema yote' akiivaa miwani aloshinda ikiwa ni pamoja na pesa zote walichangia £3000 kwa hii Make a Wish  Foundation "I can say to Serengeti Freight Forwarder's LTD'Wazee wa Kazi'' ASANTENI SANA KWA KWA KUTUWAKILISHA WATANZANIA WOTE"

 Mrembo akiwa kikazi zaidi" 
 Mrembo Flora Lyimo a.k.a. Top in Town " akiwakilisha na kukuwepo kikazi zaidi" 


 Warembo wakiwakilisha kwenye Photo Booth kupata picha zao za makumbushao 'hii Photo Booth iliandaliwa na Mama Balozi Joyce Kallaghe' Mwanamke kujituma na Kufanya kazi hasa kama hizi 'I love you Dada 'a.k.a. Mama Balozi' 
Hawa happy warembo ni wamojawapo ya walowakilisha na kuchangia kwani kila alokuwepo hapa ndani alilipia Ticket yake na pesa hizo zote ni za kuwasaidia hawa Watoto wanaugua magonjwa yasopona na kuweza kuwasaidia to make Wish zao 'kwa kuwafanyia yale wangependa kufanya kabla ya kuuaga huu Ulimwengu'so sad hapa naanza kudondosha machozi" Bless Them" jamani hebu fikiria leo ujikute una wiki au miezi au mwezi kujikuta hupo tena hapa Duniani" yani na uwezo wowote huna wakufanya chochote hasa yale ungependa uyafanye''so ndo maana hapa Mama Balozi wetu hapa UK MRS Joyce Kallaghe aliguswa sana na kutaka nae kuwasaidia hawa watoto to MAKE WISH ZAO" ONCE AGAIN 'I LOVE YOU FOR THAT MAMA BALOZI JOYCE' BE BLESS ALWAYS AND JUA NIPO NA WEWE KWA KILA JAMBO HASA KUIWAKILISHA NCHI YETU PAMOJA"
 Baadhi ya Meza ya Watanzania " hii ikiongozwa na Balozi wetu hapa UK -LONDON 'MH Balozi Peter Khallaghe wa kwanza kulia' nae yupo kumsupport Mke wake ambae yupo hapa ndani kikazi zaidi kwani yeye ndo aliyekuwa muandalizi wa hii Foundation kwa kusimamia upande wa wa Tanzania Zaidi"

 Was happy kuona Watanzania wenzangu walifika na kuwakilisha na wengine kama Chris Lukosi wa kwanza kulia akikuwepo kuiwakilisha Campuni yao kubwa 'ambayo yajulikana kama SERENGETI FREIGHT FORWARDERS LTD WAZE WA KAZI"


Safi sana ,asanteni kwa kuwakilisha 'mimi Flora Lyimo kwa kujivunia kwangu kuwa Mtanzania alisi na aipendae Nchi yake kupita maelezo huwa nakuwaga na furaha sana kukutana na wa Tanzania wenzangu hapa UK-London au Popote'wakijishughulisha hasa kwa Mambo kama haya" 

 Bid ikianza ''yani hapa ndo watu walianza kuonyeshana nani mwenye uwezo gani hapa ndani leo kusaidia na kutoa kimoyo na siyo kiutajiri"

 Happy Mama na Mwana"
 Mtanzania akiandika yanayohusu ushindaji wa Ticket hiyo'ya x2VIP Alicia Keys ticket at the O2 Arena ' kwa njia ya Bid ambayo ndo ilikuwa ya kwanza ya hii Foundation thanks kwa Meza yake ilojitokeza kwa kuchangia kuinunua Ticket hiyo na kuwashinda wote walikuwa wana Bid 'mambo ndo kama haya jamani ambayo wa Tanzania tunatakiwa kujihusisha zaidi"





 Toa zote usibakishe hata Paundi moja hata Nyumbani utatembea tu'na Watoto watafanikiwa Wish zao'Mbuta Nanga!!





 Happy people wakifurahia Mapesa na Miwani " yani was Fab night kwa kweli"all for the Charity '

 Watanzania waloshinda Bids za hii Foundation wakiwa kwenye picha ya pamoja na katikati ni Mdada alokuwepo kikazi zaidi kutoa vitu vilivyoshindwa kwa njia ya Bidding" 


Happy Robisa nae alijishindia vyake na kuwakilisha pia" 
Abig Thank you to Sponsors and Performers who have given their time Prizes and Support to Wish Upon a Star in aid of Make -A-Star Foundation UK" Bila kuwasahau Wapiga Picha wote akiwepo Flora Lyimo na pia wale wote walioweza kufika hapa jioni hii na pia wale waliolipia tickets zao na hawakuweza kufika pia"  na kwa mimi Flora Lyimo binausi nasema Abig Thank you and Job well done to Mama Balozi 'MRS Peter Kallaghe"
UMOJA NI NGUVU NA KUTOA NI MOYO SIYO UTAJIRI" GOD BLESS!!
And on your way out of here dont forget to FOLLOW THIS BLOG"

1 comment:

  1. Flora Lyimo na mama Balozi Joyce wako mmetoka chichaaaaaaaaaa..asanteni kwa kutuwakilisha Mungu Baba wa Mbingini azidi kuwabariki'

    ReplyDelete