KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Thursday 23 May 2013

BY:FLORA LYIMO ~ HAPPY NEWS' I LOVE MY NEW BIG BOY' MBUTA NANGA!!


 Flora Lyimo Fashion Police " Mtanzania halisi aipendae Nchi yake kupita maelezo" Hapa kwenye picha za chini ni Sim yangu mpya baada ya sim yangu kuibiwa mfukoni kwenye Bus 'thanks God nilikuwa natoka Police baada ya Mazungumzo makubwa na makali na Police anaye shughulikia kesi changu na yule Rats Panya mharibifu na  MBAKAJI Godbless Lema" ilikuwa nimesha waonyesha yote niliyokuwa napenda waone kwenye Sim yangu " so uloiiba   hujanipunguzia kitu ila heri kuwa na waizi kwenye mabasi kuliko kuwa na wabakaji na walipuaji wa mabom" Ruwa Mangi"
Hapa ni baada ya kurudi na pesa zangu mfukoni 'kwani nilikuwa nilipie sim yangu mwezi mmoja ulobakia  kupewa Ingine upgrade ' basi wakaniambia nikilipa na card nitalipa nusu ya bei ya hiyo sim 'lakini nikilipa cash nitalipa full price' Mchagga nilichangamkaje fasta fasta kutoa card  'nijipatie pesa yakwenda kujirusha'Mbuta Nanga" habari ndo hiyo 'fanyeni kazi mpate hizi Card jamani zinauzuri wake hasa ukiwa na mahela humo ndani"




Habari ndo hiyo'sasa ninasim ile kila mtu anaiongelea thanks to my muizi aloniibia sim yangu juzi Jumanne' hakunipunguzia kitu bali naamini ataiuza na kujipatia kamkate nami Mungu ataniongezea zaidi kwani natoaga sana kwa upendo wangu na kwanjia ile Mungu anayotaka na kupendelea kutoa kwa moyo na siyo kwa utajiri" 
WhatsApp me now ili nipate namba zenu tena upya my dears hasa wale wanakuja kwa nia za biashara ,Mchagga mimi huko WhatsApp nafanyia Biashara zangu jamani so add me kwa Biashara zaidi na siyo kwa kutongozana 'Mbuta Nanga!! + 44 7787471024 ASANTENI AND GOD BLESS NYIE SANA"
And before you go don't forget to FOLLOW THIS BLOG"

No comments:

Post a Comment