KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Monday 27 May 2013

BY:FLORA LYIMO ~ ALBUM (2) YA THE SPICE WEDDING OF ABBLA ILOFANYIKA ON 25.5.2013 AT WEMBLEY LONDON " HII NI PARTY YA NNE YA HARUSI HII NA YA MWISHO !!

 The Cake yani hi Album nimeona niwaanzieni na Cake japo mpate kutuliza njaa " Yummy !!






 Picha yangu ya kwanza nikijaribia Camera ;Warembo mlipendeza na asanteni eee!!











 Chezea Mama mzaa CUTE BOY" yani mimi nilimpenda mnoo na kumfananisha na Khadija Kopa 'alitupagawishaje" hakuna Mtu kuketi chini wewe,kwani ulikuja mkutanoni''mbuta nanga!! 

 The Boss hapa yupo Job kuhakikisha kila kitu kipo pahala pake na kinafanyika kuendana na masaa yake"
 Wafanya Biashara wakutana  from left the Boss wa Sun Lounge Banqueting and Flora Lyimo Fashion Police CEO and Photographer wa kufyetua na kufichua yalofunikwa kwa sanaaa''Mbuta nanga!!


 Keep up the good Job Mama" we were so happy we didn't want the night to end" full kuchangamsha  wageni wenu"




 Mistari ikiendelea yani penda usipende unakiuno utajikuta ukikitekenyea stejini 'Mwanamke Nyonga tena kwa Luga mbili 'ala"









 hahahhahaaa Asanteeee,yani kicheko chako nichakumtoa nyoka pangoni haswaaa'yani hapa nachekaje sasa" mbuta nanga!!





Habari kwa picha zaidi ndo hizo .usikose kurudi kuona Album zingine moto moto " zipo mtamboni zaja" and don't forget to 
FOLLOW THIS BLOG"

2 comments:

  1. mlipendeza sana,Flora Lyimo where can i get that Dress your wearing yani nimeipenda na imekupendeza sana kila kitu on point'' kama wapiga picha shughulini ni kama wewe basi watapata kazi sana,maana wengine huenda wachafu wachafu na wananuka hata hutaki wakusimamie karibu kukupiga picha''we love you kwa kweli huwa unatupafurahisha sana in many way"

    ReplyDelete
  2. Kumbe wewe ni mpiga picha?

    ReplyDelete